SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 05. 2021
  • SPIKA NDUGAI ALIVYOMTOA NJE MBUNGE CONDESTER - "NENDA KAVAE VIZURI"..
    Spika wa Bunge, Job Ndugai amemtoa katika ukumbi wa Bunge mbunge wa Momba (CCM) Condester Sichwale, kutokana na kuvaa suruali iliyombana.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 115

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba Před 23 dny

    Na maandiko ya Mungu yanabaki vile vile na IMEANDIKWA

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514 Před 3 lety +6

    Ni kweli wanawake tunaenda uchi sana tunawapa shida wanaume wao wameumbwa na hisia za karibu sana

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 3 lety +5

    Islam religion--ililiona hili kitambo

  • @frankmakomba378
    @frankmakomba378 Před 3 lety +1

    Mfumo dume vazi ni zuri kabisa. Pia alichaguliwa na wanawake huko jimboni kwake. Msilete mambo ya jinsia na dini bungeni.

  • @emanuelisraelmandi5891
    @emanuelisraelmandi5891 Před 3 lety +2

    Hawa wazee wanawachukulia vijana kama watt wao ni sawa lkn mambo ya kuaibishana kama watt hayana maana nadhan hekima imempungua mheshimiwa Omar angetumia namna nzur tu kumjulisha huyo mbunge , amenikera sana anataka avae baibui au kwann nahc analeta udini tu

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 Před 3 lety

    Dugai uko sawa izo nguo mtavaa mkitoka bungeni

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 Před 3 lety +4

    Kweli arudishiwe hukohuko getini asiingie

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we Před měsícem

    Vizur

  • @zainarashid1024
    @zainarashid1024 Před 3 lety +2

    Na avae kwake au nyumbani sio kazini nawe vaa sio waislam heshima haiuzwi

  • @brightonkomba3200
    @brightonkomba3200 Před 3 lety

    Huo ndo msimamo, nmekuelew Ndugai

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 3 lety

    Ni kweli vazi Hilo halifai bungeni.

  • @papafikiri
    @papafikiri Před 2 měsíci

    Maisha yanaenda kasi

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 Před 3 lety

    Anakiherehere

  • @jaffarabdullah4011
    @jaffarabdullah4011 Před 3 lety

    Huyo mzee yuko sawa baadhi ya wanna wake mnapend kuvaa uchi mkiambia mnasema mnadhalilishwa wacheni kuvaa uchi

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 Před 3 lety +2

    Pasipo maono taifa huangamia

  • @fidelludemwa2943
    @fidelludemwa2943 Před 3 lety

    Sawasawa

  • @mohamediazizi3658
    @mohamediazizi3658 Před 3 lety

    Na kwann mruhusu mavazi hayo ikiwa nyie ndio kioo cha jamii!!!!? Inashangaza sn kwa mtanzania kufanya vitu vya kuiga ninaimani hiyo sio asiliyetu jamani yani sipendi mwanamke anaevaa suruali yaaani mtihani sn nampenda kwa kujiridhishatu kwa tamanio lake lakini nikizungumkuti tumcheni mungu tuepukane na mitihani ya mungu ogopeni sn

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před rokem

    Tulikuwaga na lispika la ajabu sana miaka hiyo, na majitu mashamba sana

  • @mayrfrimi4759
    @mayrfrimi4759 Před 3 lety +9

    Nyie waislam msitulazimishe tuvae kama nyie, hamtutendei haki, sisi wakristo, watu milioni zote tuvae utakavyo wewe haitawezekana ,

    • @suleimaniamadi1441
      @suleimaniamadi1441 Před 3 lety +5

      Sasa Dada yangu ukristo umewaambia mvae nusu uchi mbona mnajitoa ufaham hata kristo atawashagaa

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 3 lety

      Kwahiyo Wakristo ndio wakaa uchi

    • @rmaryp6269
      @rmaryp6269 Před 3 lety +5

      Walio wa Kristo org. Wanaliangalia Neno la Mungu na kulifuata. Neno la Mungu ktt Kumbukumbu la Torati 22:5 limeandikwa:- "Mwanamke asivae mavazi yampasayo mwanamume, wala mwanamume asivae mavazi ya mwanamke; kwa maana kila afanyae mambo hayo ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 3 lety +5

      @@rmaryp6269 afadhali umetukumbusha maana mambumbumbu na mazwazwa mengi yanahisi ukristo ndio kimbilio Za uchenzi

    • @shabanimohamedi3680
      @shabanimohamedi3680 Před 3 lety +1

      hatupo KANISANI apa BUNGENI kanuni na Shelia kuzingatiwe. asubili akienda KANISANI akaonyeshe DUDE.

  • @shebizo4769
    @shebizo4769 Před 3 lety +1

    Hii iwe muendelezo Adi mtaan uku

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi Před 3 lety

    Kwa nini msianze na utaratibu wa Wabunge wote kuvaa majoho wakati wakiwa kwenye vikao?

  • @floranyambominja5797
    @floranyambominja5797 Před 3 lety

    Bungee liwekwe bango la dress code nje linaloonyesha mivao isiyokubalika. Kwani huko ndani si kuna wengi na wanaume waliovaa suruali mninginizo!

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 Před 3 lety

      Nadhani kimtindo umekasirika kiambiwa ukweli ! Wewe ushawahi kuona mbunge wa kiume kavaa matako nje acha unazi kichwani mmezidi kutuonesha makalio na mishepu yenu ! Nawewe katoe mfano bunguni .

  • @dr.djshigongo4927
    @dr.djshigongo4927 Před 3 lety

    Kwa nini wasingemuita kwene kamati ya maadili ya bunge?

  • @magrethmtengie5133
    @magrethmtengie5133 Před 3 lety

    Mm sijaona kama kavaa vibaya labda muwawekee majoho wakifika hapo muwavishe

  • @jumaramadhani5214
    @jumaramadhani5214 Před 3 lety

    Naaam

  • @rogatianmtenga7265
    @rogatianmtenga7265 Před 3 lety +1

    Huu ulikua ushamba wa spika. Shame on him.

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool5223 Před 3 lety

    Stara iheshimiwe mpk aib

  • @solomonsamson1907
    @solomonsamson1907 Před 3 lety +2

    Yeye huyo Mbunge mbona amevaa kofia ya Msikitini kwani mule Msikitini, Mule Bungeni siyo msikitini Dada yupo vizuri..

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om Před 3 lety

      Mbona wakristo wanaingia na misalaba, kwan kanisani?

    • @solomonsamson1907
      @solomonsamson1907 Před 3 lety

      Nimesema huyo Mbunge amevaa kofia, Sijasema waislam soma vizuri .

    • @Muhammad-wu1om
      @Muhammad-wu1om Před 3 lety

      kwan wanaoingia misiktin nan ww?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 Před 3 lety

      Wapi ime andikwa kofia ya msikitini? Kwani kofia kama hizo wazee mikoani wanavaa tena nyekundu au chuki zako binasfi ? We zuzu mbuzi we tumia akili usitumie matako kufikiria! Kofia haina jina ni ya wapi.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 Před 3 lety

      Kofia hiyo unavaa popote wee zuzu, ttzo lako hata sheria za nchi huzijui

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 Před 3 lety

    Na hk mtaani je ?

  • @verostaherman4952
    @verostaherman4952 Před 3 lety +2

    Duuu sawa lakini udhalilishaji huo angepewa onyo kipekee

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 Před 3 lety +2

    Wanaonyesha matako yao.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 3 lety +1

    Hao ndio wabeba maono napeleka kelo za wananchi jamani

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 Před 3 lety

      Baada ya wapeleke shida za watu , ,ushamba Tu unawasumbua kavaa uchi ,hapo sasa ,ni ushamba ,mmezoa mavitenge.

  • @hamadiseleman3677
    @hamadiseleman3677 Před 3 lety

    Ila alipendeza huyu mbunge

  • @benedictmhina6741
    @benedictmhina6741 Před 3 lety

    Zee limeomba mzigo limekataliwa

  • @jmk7b947
    @jmk7b947 Před 3 lety

    Shameful for those women why are they still sitting with colonizers

  • @faridaltamimi7454
    @faridaltamimi7454 Před 3 lety

    Wengine ni watu wazima kidogo sijui wanatafuta nini nadhani hata mtoto anaelewa

  • @mwanajumamohammed6327
    @mwanajumamohammed6327 Před 3 lety

    😅😅😅😅kazi kwelikweli

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 Před 3 lety

    Getini hukohuko..

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 Před 3 lety +4

    Hao wanawake wanaovaa hivyo, wanatangaza biashara yao.

    • @mayrfrimi4759
      @mayrfrimi4759 Před 3 lety

      Hakuna kitu, acheni raia wawe huru na mavazi yao, kwani hakuna aliezaliwa na nguo, na hakuna cha biashara yoyote ni fikra zenu duni.

    • @seifnassor3729
      @seifnassor3729 Před 3 lety +1

      @@mayrfrimi4759 Kama hoja ni kuzaliwa uchi kwanini unavaa nguo.

    • @saidichilyenga2847
      @saidichilyenga2847 Před 3 lety

      @@mayrfrimi4759 Uhuru gani wa kuvaa vibaya? Kama ni hivyo ubakaji uruhusiwe

  • @mashaallhmkonokwakwamkonog4845

    Uzalilishaji wangemuita pembeni

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Před 3 lety

      Wewe ndio mzalilishaji aitwe pembeni vipi kwamba hajui kua yupo uchi?

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 Před 3 lety

      Ni kweli ilipaswa wamstiri badae wamwambie ingekuwa bora zaidi

  • @albertremmy3479
    @albertremmy3479 Před 3 lety +2

    hivi unawezaje kujua kwamba huyu mtu hajavaa nguo za heshima kama hukuchukua hatua ya kumtazama.hebu tuwe makini na macho yetu sio lazima kumtazama mtu.

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 Před 3 lety

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @frankkaduganyatindo784
      @frankkaduganyatindo784 Před 3 lety

      🤣🤣sasa tutazame wapi?

    • @albertremmy3479
      @albertremmy3479 Před 3 lety

      Ninamaana hv yani usimtazame mwanamke kwa kumtamani. sio una mtazama kwa kumtamani mambo yanakushinda unakuja kutusumbua ndani ya bunge.

    • @coyancodavao6891
      @coyancodavao6891 Před 3 lety

      Wee ndo mjinga wa mwisho kwani macho yana pazia? Acha kutetea upumbavu

    • @willymwaipaja6783
      @willymwaipaja6783 Před 3 lety

      YAANI NAONA HUJAFIKIRI, HIVI UNAMJUAJE NDUGU NA ASIYE NDUGU, MWENYE AKILI TIMAMU NA KICHAA? INA MAANA WEWE HUJAWAHI KUMWONA ALIYEVAA OVYO AU ALIYEVAA KWA HESHIMA. NA KAMA UMEWAHI KUWAONA, ULITUMIA NINI KAMA SI MACHO. KWANI KUNA SHERIA YA KUKATAZA KUONA? MIE NAJUA TUNAKATAZWA KUCHUNGULIA MTU KWENYE FARAGHA YAKE AU KUKITAZAMA KITU BILA RIDHAA YA MHUSIKA. KAMA WEWE HUTAZAMI YALIYO WAZI, BASI WEWE UNACHUNGULIA MAANA MACHO UNAYO.

  • @nishasalim2880
    @nishasalim2880 Před 3 lety

    Duh! Aibu🤭

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před 3 lety +1

    Wana jiuza wengine humo

  • @skeetermasoi3068
    @skeetermasoi3068 Před 3 lety +1

    Angekuwa amevaa vibaya angerudishwa getini. Huyu Baba alikuwa na lake

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před 3 lety

      Getini anarudishwaje wakati yupo na gari yke 😂😂😂

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 Před 3 lety

      @@donjb3178 Wabunge huwa wanakaguliwa na usalama wa taifa kabla ya kuingia kwenye ukumbi

    • @donjb3178
      @donjb3178 Před 3 lety

      @@skeetermasoi3068 Sasa huyo kaingiaje humo ina maana hawakumkagua? Au hawakumuona?

    • @skeetermasoi3068
      @skeetermasoi3068 Před 3 lety

      @@donjb3178 Hata mimi hicho ndo nilichosema, kama walimkagua wakaona yuko sawa inakuwaje wamemtoa. Mi nahisi ameonewa

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Před 3 lety

      Wewe ndio una lako

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 Před 3 lety +1

    Huyu mzee akakiherehere hatar

  • @charlesmwisera7175
    @charlesmwisera7175 Před 3 lety

    Wanawake mbona wanatembea uchi kila mahali.

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 Před 3 lety

    Wengine wakuja kuuza k tu kudanga kama huyu arusha magige

  • @aishadubat8028
    @aishadubat8028 Před 3 lety

    Anakiherehere