Prof Muhongo alisimamisha Bunge; Spika Tulia amuongeza Dakika 3 aendelee kudondosha MADINI
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2023
- Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Prof Sospeter Muhongo akichangia kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2023/24
Huyo ndiye The Master Prof Muhongo..
Natamani pia kumsikia Prof Kabudi
P
L
Hongera sana prof umenena mazoto
Tena kaongea Kwa kutulia sana bila hata papala Kaongea Kwa nidhamu sana tena natumai hapo tu kwenye kuongea kaonesha yeye ni Prof wa greed gani safi sana Prof Muhongo
Well done Sir!! Hivi ni hazina tunazoziitaji!!
Watu kama hawa wanatakiwa kuwa washauri..ila sio kumpa nchi..ukimpa nchi anaboronga..ni upeo wangu tu..samahani kama nimemkwaza mtu.
Hongera sana Prof.
A very good explanation Pro, and apricable
kweli kabisa s/msingi wanafunzi 45 kwa darasa,secondary 35 alevel 25.
well said prof
Hata yeye akipewa hayo madin yote anayasahau
Kweli kabisa na ndo maana ufaulu wa wanafunzi hasa kwenye shule za selikari ni dogo Kwa Sababu ya madarasa kuwa na wanafunzi wengi, chukulia mfano darasa Lina wanafunzi 120 au 200 Sasa hapo tunategemea nini kutoka Kwa madarasa ya namna hii, Prof . Muhongo umechambua vizuri sana hapo ni usikivu tu wa Prof Mkenda basi , na uliposema namna ya kuwa Prof na doctor iwe Kwa greed safi sana na ndo maana wapo watu ujisifu kuwa yeye ni mwana uchm lazima kuwe na madaraja ya uprof na udoctor na uchumi
Ok
Halafu watu wanasema watu wenye vipara hawana akili!!!!
Safi prf uko vzr kwl
Lieleze Bunge kwamba shule zetu za Serkali, hazisomeshi watoto ipasavyo kwa kuwa Viwango vya Elimu kimataifa vimekiukwa. Haifuatwi mitaala, Prof. Muongo kanena idadi rafiki ya wanafunzi kuwemo kilachumba Cha darasa.
Prof Mhongo ana akili sema ,, ndo wale wale matapeli wa nchi 🤣🤣
Safi prof
Naam hawa ndiyo wanatakiwa kutoa hoja maana hapa kuna jambo
Nikweli hata u-tube ukitafta lecture za universities/ vyuo vyetu huwezi kuzipata. Hata google huwezi kupata slides au maandishi juu ya mada mbalimbali yaliyo andaliliwa na maprofesa au madoctors wetu. Unaweza kupata nondo za Makerere, Moi, Abadan n.k.
Sawa, kuwa research inapigwa au kujibiwa na research hebu tusaidie hiyo yako ili itusaidie
5:04 5:06 5:07 5:10 tena km apo kwenye maktaba!! dah umenena Prof. ndo knachopelekea kukalili kulko kuelew sabab ktab kmoja mchoro uouo milele uelew ucelew ndo bac!!!
Kinachonisumbua siku zote ni humo Serikali kuna nini?? Huyu Prf. Alikuwa waziri hapo Nyuma bado tulipata shida tu...Na sasa anatoa ushauri mzuri akiwa mbunge wa kawaida. Najiuliza wanapokuwa kwenye serikaki kwa nini hawayatendi haya wanayo yahubiri????
well said. naomba nikupatie homework moja, jaribu kukusanya watu 20 wenye akili timamu then chagua mmjo mnong`omeze
" KUNYWA MAJI PULIZA JUU PRUUUU" alafu nayeye amuambie maneno hayo hayo mwenzie wa nyuma yake, chain iendelee hivyo mpaka mwisho. alafu yule wa mwisho mwambie atamke alicho kisikia. Ninauhakika majibu yatakushangaza. hiyo ndiyo kazi ya uwaziri, urais na vyeo vingine.
Jiulize kwanza unaposema alikuwa waziri je alikuwa wa elimu? Huyo alikuwa waziri wa nishati na madidi, nini usichokijua kuhusu alichofanya kuhusu umeme, ndiye waziri pekee aliyeweza kufanya vizuri sana kwenye wizara yake, kwahiyo hapo anazungumzia wizara ya elimu
Prof Muhongo nakupongeza sana.
Miaka yote mmepewa nchi bado mnalaumiana
Toa maoni SI kubeza. Elimu Yako imeisadia nini jamii ukianzia NyumbanI kwenu?
Ajabu
Mwika mwika....kuna watu yaani wao ni kulaumu tu...utafikiri wanajua saana, kumbe ni vilaza tu
Tatizo la elimu Tanzania Iko vyuo vikuu.
Mkendabanamchanganya Samia kupoteza muda na raslimaliza Taifa kwa kukoroga elimu ya msingi.
Hizi HAKILI mkiwa kwenye nyazifa mnazipelekaga wapi??????
Shida ni mfumo unalimit mtu kufanya hayo mabadiliko
TAMISEMI inajitwisha mambo mengi, kuanzia zahanati Mpaka national Hospital ziwe chini ya wizara ya afya, TAMISEMI ilidili na Halmashauri na mapato yake siyo TAMISEMI ndani Kuna afya na wizara afya Kuna waziri wake na waziri wa Tamisemi nae anazungumzia afya jaman
Prof. Muhongo umenena madini tupu.
Kigezo KUJUA kusoma na kuandika....🤐🤐🤐
Professor is just a head of department.
He either publish and perish or don't publish and perish.
Hakuna mahabala hata secondary schools.libry ni ndoto kabisa watu wako kula tu.
I echo his position.
Shida yetu Tanzania hatutumii watu kama hawa kinaprofesa muhongo kutusaidia katika mambo muhimu kama haya bali tunapenda wasaii ndo maana tunasua sua kimaendeleo nyanja zote
Ukiwa wabunge tu mnakuwa na mawazo mazuri Sana mkiteuliwa kuwa mawaziri mnakuwa mayumbu
Alipewa ila maono yake yalidharauliwa. Ukileta maono yenye manufaa wizaran wanakupiga vita sabab inahitaji uwekezaji na pesa nying watakosa pa kula
Ukweli mtu
Tanzania elimu ni yamatajiritu siwananchi ndiomaana shuleya serekali bure xa watu elimu juu pesa yako
Kanda ya ziwa hakunaga vilaza
Hii nchi yaajabu sana sina uhakika kama hiki kichwa kinatumiwa ipasavyo kwenye hii serikali
Kila akipewa nafasi anaharibu. Kichwa kimejaa madini. Moyo umejaa tamaaa. Hiyo ndo tatzo lake
Wakipata uwazir sijui wanakuwaje hawa watu ,wakitoa ndo wanakuwa na maon mazur.
Tale anaelewa kweli?
Ulikuwa wapi Prof wakati mwingine huwa napata shida kuwafikiria wasomi wetu mupo kwa masilani ya wazungu au kwa manufaa ya Mama Tanzania na watanzania Waafrika ni Nani aliyetuloga
Walimu wa musing hata hawafundishi wanafunzi hata kidogo kabisa.
akili nyingiiii
Huyu si alikwapuaga pesa kipindi cha Jk
Vitu vizito hvyo babu tale anaelewa kwel
Dr
😂😂😂
Mwache Dr Tale Tale hapa ni kizunguzungu
Huyu unatakiwa umpe siku NNE........
Jitu hili lipewe wiki nzima
Huyu prof alipewa wizara ya nishati hakufiti mm nilitamani apewe wizara ya Elimu na prof mkenda apewe wizara ya Tamisemi
Asante Prof, lakini hukusema chochote kuhusu aina mbili za elimu zinazotolewa nchini, zilivyo tofauti elimu ya shule za Serkali na za binafsi. Tunatokaje hapo? Pia hukusema chochote kuhusu lugha ya kufundishia, kiswahili ama kiingereza.
Hii hazina ya nchi tatizo ni matumizi tu. Aliyejua hayo alimtumia vzr kwa mafanikio nchini.
Nivigumu kimuelewa huyu ......ni wa daraja la juu sna
Ila ni yeye alisema umeme kukatika basi na haukukatika......alikuaga wapi huyu na Sasa anatumikaje nchini licha ya uwakilishi wa Jimbo?!
Hyu ndo aliazisha mradi wa Rea umeme vijijin
Wenye akili km hawa hawapewi nafasi, wanapewa wasiojielewa.
Apewe mara ngapi? Keshafika hadi uwaziri huyo kwenye nishati......siku zote ndugu yangu jua kua ada ya mja hunena ila muungwana ni vitendo..
Kuna watu wazuri kwa kusema tu ila sio kwa utekelezaji kwa vitendo..
Huyu si alikuwa wazr
Saitetion Index,,, Yaan chukua majilada yako husianisha na rejea za watu wa kimataifa kama zinatumika
*Citation
Big brein hiyo imeniingia vzr xn
Lakini wewe ulituibia pesa kule kwenye escrow account. Pumbavu kabisa
😂😂😂
1. Space Science and Technology
2. Seed Science
3. Nano Technology
4. Citation Index
5. Impacr Factor
Ukichangia kisomi sana hakuna "Taarifa Mheshimiwa!"
Vijana wa Mwl. nondo gauge 54 nzito na hoja zao nzito ilosheheni madini ya almasi