Kimeumana! Varangati la Mpina Bungeni, amuibua MAKONDA; acharurana SAKATA la kuongeza Makalio
Vložit
- čas přidán 11. 02. 2024
- Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina ameibuka bungeni la suala la upasuaji wa kuongeza na makalio unaofanywa na Hospitali ya Mlongazila ya jijini Dar es Salaam, ambapo amesema ni kinyume na Sheria na Sera ya Afya nchini.
Kuanza kutolewa kwa huduma hiyo ilitangazwa Oktoba 10, mwaka jana na Mkuu wa Idara ya Upasuaji wa Hospitali ya Mlongazila Dk Eric Muhumba.
Akichangia taarifa ya Kamati ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi leo Jumatatu Februari 12, 2024, Mpina amesema operesheni ya kimapambo sio ya mtu anachangamoto yoyote ya kiafya.
Kwanza mpina kawapiku wote wabunge yeye ndie mbunge wa Tanzania
Safi sana makonda Mungu akulinde utimize kusudi ulilo itiwa asante mpina the Great
Afya ni kitu muhimu sana kwa nchi zilizoendelea ,matibabu kwa wananchi ni jambo muhimu sana 👍,hoja nzuri.
Mpina ni mwamba 💪
Mpina ni mbunge mzalendo ❤❤❤❤❤
Uhalisia ndio huo mbona nakuelewa makonda anawafunua wanaolala hakuna wanaosaidia wananchi kwa hoja zako Ni zahaki pazeni sauti
Sawa kabisa Mbunge Mpina.Ukweli kabisa tuna watu wengi wamejificha ndani ya Chama na serikali yetu pendwa wakitetea rushwa superficially but deeply ni suppotors wa Rushwa na ubathilifu wa mali za umma,hii haikubaliki kabisa.
Inasikitisha, taarifa za waziri na muh. Shabibi ni vurugu tupu.
Ziwe Bure ndio marehemu akifa hata matibabu iwe Bure ndio kwa watanzania wote
Wafanye hata robo,garama za matbab,wao hawana shida hio wako kwenye vx za m 500 wanaokufa n raia wao wanapiga mipira nje,
Mbunge makini sana siti ckani 370000 muroganzila niwizi tu
Hizo Garama wafanye hata robo, kwasbb,watu soko hakuna wekezaji wanafuata taifa lenye watu wengi hilo hawana habar wao wako kwenye vx za m 500 shidahio haipo kwao n raia ndoo tunakufa c tulidaiwa m 90 kwenda India tulikosa,tukafiwa,wa Tanganyika mjipange,hali n mbaya mtaani, MPINA ALLAH Akuhifadhi,uko saw,