SALIM KIKEKE USO KWA USO NA N/WAZIRI MKUU DOTTO BITEKO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • Follow us on Social Media Platforms
    Instagram:
    Crown FM - / crownfmtz
    Crown TV - / crowntvtz
    Twitter (X):
    CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
    CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
    Facebook:
    CROWN MEDIA: profile.php?...
    TIKTOK:
    - www.tiktok.com/@crownmedialiv...
    SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
  • Sport

Komentáře • 159

  • @user-vz4xv7lg3x
    @user-vz4xv7lg3x Před 7 dny +11

    Very humble Man...Biteko ww ni hazina kama ukiendelea hv lakin Kikeke bado uko juu sanaa!! Big up to both of you

  • @vayeen
    @vayeen Před 5 dny +7

    Now it make sense why he was crowned Deputy PM. Dotto is way ahead our local politicians, he is intelligent, humble, visionary, highly integrity and a man of people.

    • @SofiaSaidi-m9f
      @SofiaSaidi-m9f Před 2 dny

      hajawahi kutokea kiongozi mwenye sifa hizo zote hapa tz😂

  • @user-uh9xg1pn6i
    @user-uh9xg1pn6i Před 9 dny +14

    Dr biteko...uko smart sana kichwani...mungu akutunze i wish siku moja uwe President wa nchi yetu

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 6 dny

      Sio kwa sababu anajibu vizuri ndo Rais, tunataka kweny cheo chake hiki je umeme upo? na kama upo unakatika katika? watu wengi wanaweza kuongea sana lakini sio kwamba ndo kigezo pekee cha kuwa President. mbona RUTO wa Kenya ana akili nzuri..lakini kwa ss vijana wake wanamgomea kila kona...

  • @salumjuma5642
    @salumjuma5642 Před 3 dny +1

    Sincerely I see Biteko in presidential post some years to come. I once met him at terminal two before even he was appointed, I said to myself this man deserve to be the president one day. The action of being appointed and his presentation cement what exactly I observed. Wishing him all the best..!

  • @e.e5698
    @e.e5698 Před 8 dny +7

    Crown media wanaweza iovertake hii industry kwa spidi kali sana...vipindi kama hivi na viongozi wakiulizwa maswali ya maana na sio ya kichwa ni muhimu sana...Pia kudos to Dr Biteko...he seems to be a very smart man...

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Před 9 dny +11

    Jamani hiki kitu ndio Tanzania tulisubiri sana kikeke hongera sana crown media big up

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 Před 9 dny +12

    Mwandishi makini jasili mwenye experience ya Hali ya juu umetisha san ❤❤❤❤❤

  • @emmanuelmoses5881
    @emmanuelmoses5881 Před 5 dny +3

    I real love this Man of fearing GOD , yaan ana kila kitu chema kwa watanzania . Bigup DOTTO .

  • @jamesmethusela1148
    @jamesmethusela1148 Před 2 dny

    This man deserve even Presidential 👑 better than a half, than most of political leaders🇹🇿 we have with too much blaa..blaas! he's So logical, analytical and detailed as he speak it's real makes senses, I bet one day yes @Dotto Biteko

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 6 dny +3

    he is very good..great mind and ideas! kuddo deputy

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 Před 8 dny +4

    So humble Dr. Biteko God bless you.

  • @user-qp2mc4gq2q
    @user-qp2mc4gq2q Před 2 dny

    Hongera sana crown media watanzania tunaitaji media kama hii na wanahabali Kama salim kikeke umenyooka sana kikeke

  • @yohannatoroka-ie5ym
    @yohannatoroka-ie5ym Před 9 dny +8

    Saf sana crown 👑👑

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 Před 6 dny +2

    Yaani hiki kipindi, kitaelimisha sana watanzania na kuanza kuwa wazalendo na kuwa na wivu na nchi yetu, maana haya maswali tunajiuliza wenyewe na hatupati majibu na kipinsi hiki ni zaidi ya kusikiliza bunge maswali na majibu. Hongera bro kikeke uko juu ya muda safi safi sana.

  • @eliapendakileo
    @eliapendakileo Před 8 dny +6

    Mheshimiwa biteko Tanzania ya baadae inakutegemea sana.
    Mko watatu lakini mmoja ni Kama nimemuondoa kwenye malengo yangu yaani kwenye serikali ya mama mawaziri vijana na makini ni wewe Bashe na bashungwa lakini Bashe ni Kama maji yamezidiwa na sumu. Chapa kazi mkuu nakuamini tupeleke kesho ilivyo bora

  • @user-ss6jm6jt3h
    @user-ss6jm6jt3h Před 7 dny +3

    Mashaallah mmetisha sana crown mpo vizur sanaa

  • @samwellaurence7035
    @samwellaurence7035 Před 6 dny +1

    Brother Kikeke wewe ni mfano wa kuigwa kwa wana habari wengine, hongera Crown kwa hiki kitu lkn mheshimiwa Biteko ni mtu makini sana... Watanzania tujivunie hiki kichwa, hajawahi kutuangusha hata alipokuwa wizara ya madini awamu ya tano.

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 9 dny +7

    Dr Biteko anajua kujibu hana mihemko ,serikali inabdi ijipange sana maana ndio watu wanazd kuzaliwa

  • @abdulazizmputeni5416
    @abdulazizmputeni5416 Před 5 dny +2

    Maswali na majibu yote yamenyooka! Legendary interview

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před 5 dny +2

    Hakika wewe ni Waziri wa pekee unae ongea ukweli mtupu kuhusu kazi yako asante sana mh

  • @hassanihamidu8546
    @hassanihamidu8546 Před 7 dny +5

    Nilikuwa sijawahi kumsikiliza huyu jamaa anaonekana mzalendo sana huyu mwamba, afu siomnafiki

  • @NurdinZuberi
    @NurdinZuberi Před 3 dny

    Hongera sana waziri pia hongereni sana crown media salim kikeke tunakuamini piga kazi kaka.

  • @omzedstationary932
    @omzedstationary932 Před 9 dny +4

    VIVAA..TZ..VIVAA

  • @kidsontemba1641
    @kidsontemba1641 Před 5 dny +1

    MH:umeeleweka vizuri sanaa hongera

  • @faksa9607
    @faksa9607 Před 4 dny +2

    Mh Nakuelewa Sana

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před 8 dny +3

    Hizi camera 🎉🎉🎉🎉❤❤😂

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 Před 5 dny +2

    Biteko anafanana na Uchebe wa Shishi😂...Crown🔥🎉

  • @ELITE779
    @ELITE779 Před 9 dny +11

    Salim wewe ni hazina ya taifa kwenye ubobevu wa habari," mimi unanipa fahari sana.

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 9 dny +1

    Ilove crown fm

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 6 dny +4

    Hivi doto huwezi kuchukua fomu au unamuogopa boss waka 😂😂😂

  • @tumainimayala8187
    @tumainimayala8187 Před 7 dny +4

    Habari zako za uhakika na maswali yako ndiyo yetu ..Kikeke mzalendo wetu🙏🏾🙏🏾Unafanya kazi njema siku zote kaka yangu…👏🏾🫡

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 Před 9 dny +4

    Kikeke 👍👍👍👍👍🙏

  • @RamadhanShwaibu
    @RamadhanShwaibu Před 9 dny +1

    Crown muko vizuri sana maashaallaah

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Před 9 dny +2

    Big up oll fan's on crown media

  • @EtieniRama
    @EtieniRama Před 9 dny +2

    Crown mme tisha sn❤❤❤

  • @Abdul-azizSaidNassor
    @Abdul-azizSaidNassor Před 9 dny +2

    noma sn crown❤❤

  • @salamSalehhhhh
    @salamSalehhhhh Před 9 dny +2

    Am here 👋👋👋

  • @user-bb4hy7xq9y
    @user-bb4hy7xq9y Před 9 dny +1

    Big up kwa kazi mzuri crown

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Před 7 dny +2

    Moja ya suala alilokwepa ni kwamba wakati wa JPM umeme ulikuwa haukatiki. Hivyo sababu ni hujuma hukohuko serikalini na wizarani. Walimwogopa jpm hawakuthubutu kukata umeme. Hizo rushwa alizozisema Biteko ndio chanzo cha kukatika umeme

    • @iskiji1240
      @iskiji1240 Před 3 dny

      Inategemea na sehemu, Mbeya mjini umeme ulikua ni changamoto sana hata kipindi cha Magufuli. Kila kona ilikua majenereta tuu.
      Toka mradi wa rufiji uwashe mtambo wa kwanza angalau tunamaliza wiki umeme haujakatika.

  • @mamoniniyoyishura3289
    @mamoniniyoyishura3289 Před 9 dny +1

    Ahsante sana crown 👑

  • @erickkinyamagoha5618
    @erickkinyamagoha5618 Před 2 dny

    Kikeke upo vizuli crown inakuwa kwa kas sanaa

  • @emmanuelmathiasmpesa9396

    Uyu jamaa anaweza kuielezea hii sekta🙏

  • @ErnestMmeta-xu5gh
    @ErnestMmeta-xu5gh Před 8 dny +3

    Natamani ck moja mh Dotto Biteko aje kuwa Rais yuko tofauti na watawala yeye ana simama cku zote kama kiongozi

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 4 dny

    😂😂😂😂😂😂Kikeke ukitaka majibu nenda kwa Mweshimiwa Doto kifaa cha uhakika hicho😂😂😂😂

  • @Bama959
    @Bama959 Před 9 dny +2

    Sio jambo rahisi sana kwa sababu linahitaji kwa kasi mwingi sana na kila mtu lazima awe makini kwa kutaka kupata chochote kile kutokana na mradi huo tuwape hongera umefanya jambo la msingi sana lakini tusubiri tuone matokeo ni yapi kwa wananchi wote

  • @mussakayenze2276
    @mussakayenze2276 Před 9 dny +3

    Very nice

  • @mosesmdindile332
    @mosesmdindile332 Před 9 dny +2

    Big up kikeke

  • @assanisass6641
    @assanisass6641 Před 9 dny +3

    Waziri iko vizuri

  • @jacobsimkoko3096
    @jacobsimkoko3096 Před 9 dny +1

    Kuna sehemu nimecheka, na nimejifunza mengi nikafurahi. Thanks

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 9 dny

    Hongera Mh kwa kazi iliotukuka

  • @user-qz8gn6bn6r
    @user-qz8gn6bn6r Před 9 dny +1

    Noma

  • @shabaniswedi8333
    @shabaniswedi8333 Před 9 dny

    Best interview ever

  • @ShortyShorty-mr3jb
    @ShortyShorty-mr3jb Před 9 dny +1

    Safi sana mhe waziri

  • @chiefnyanda3260
    @chiefnyanda3260 Před 5 dny

    Good sir

  • @aoloathumani10
    @aoloathumani10 Před 7 dny +1

    Yaan upembuzi ni miaka 2!! Mmh sidhan kama kipind cha mzee ilikuwa inafanyika hivyo🙆🙆

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 6 dny +2

    Ukenda pale wasafi unamkuta lokole na baba levo

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 8 dny +2

    Alikiba unatakiwa kumpa salim kikeke zawadi ya v8 mana ndie bora kwetu na crownmedia sikama hana garii hapana ila apewe zawadi ya gari v8 naapewe na dereva wakumuensesha mana bado tunatakiwa kujifunza kwake naujuzi atuachie crownmedia

  • @user-cu9mj3xj8x
    @user-cu9mj3xj8x Před 9 dny +3

    mora akunze, usipungukiwe uwezo huu ,wakusema nakutenda,wewe nisimutank ya kizazihiki,hongera sana mh.biteko

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 Před 4 dny

    Asante Biteko😂😂😂😂

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 Před 9 dny +2

    🎉🎉

  • @MauBonde
    @MauBonde Před 3 dny

    Kikeke kuna maswali hujamuliza na ushaiona system ya wakoloni,,,,,,,,kwanini kampuni za simu ziko nyingi kuliko za umeme na maji tangu Uhuru ,tuache kujiweka nyuma ,ndio mana hela yetu haina thamani mpaka Leo ,,,ni hayo tuuu.

  • @user-dt9iz2gq3s
    @user-dt9iz2gq3s Před 9 dny +2

    Hii inapatikana kwenye ving'amuzi gani

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam9565 Před 8 dny

    sawa kiongozi🎉🎉

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 Před 6 dny +1

    Kikeke uyo

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 8 dny

    Baba wataifa katika habari hongera kwakua bora sikuzote salim kikeke

  • @mbembelatv
    @mbembelatv Před 7 dny

    Here

  • @KapscomAfricaLtd
    @KapscomAfricaLtd Před dnem

    Hakuna selection niliyomuunga mkono Bi mkubwa kama hii, sio hao wengine wamekaa kidili dili tu!

  • @richardsule4454
    @richardsule4454 Před 8 dny +2

    Kwa nchi yenye uchu na maendeleo Nishati ni uti wa mgongo wa maendeleo,,,Uthubutu wa serikali bado ni mdogo kwenye vyanzo vingine vya nishati, hususani upepo, jua na joto ardhi, kwani vyanzo hivi vimekua vikizungumzwa tu na tafiti zisizo kua na ukomo

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před 8 dny +1

      Kwani hichi chanzo cha bwawa la umeme la nyerere unaona kitakuwa hakina tija?

    • @richardsule4454
      @richardsule4454 Před 8 dny

      ​kituo cha nyerere kina uwezo wa kuzalisha MW 2000+ na ukiweka vyanzo vingine vya nishati vilivyopo yaani vilivyokamilika ni kama MW 4000+, malengo ya serikali ilikuwa ni kuzalisha MW 10000 ifikapo 2025 yaani mwaka kesho ili kukidhi ongezeko la mahitaji na kuchochea maendeleo ya viwanda,,,Je, huoni kwamba tunaishi nyuma ya malengo na mipango?, Je, huoni kua kuna uitaji wa kua na vyanzo vya uhakika zaidi kama vile jua na upepo?

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před 8 dny

      @@richardsule4454 unajua kwa sasa tunahitaji MW ngapi ili kukidhi mahitaji ambayo tunayo sasa ivi kwenye umeme? Hiyo MW ni malengo ya serikali kubaki na umeme mwingi wa ziada kwa miaka ya mbele lakini kama ulikuwa haujui sisi kwa sasa tunahitaji MW 400 bwawa litazalisha MW 2200 ,hivyo basi kwa miaka ya sasa utaweza kukidhi na ni hatua kubwa mnoo na ndio maana wanasema hawataishia hapo wataendelea kuangalia njia nyingine mpaka kufikia hizo MW 10000 , kwa maana ichi bado ipo na itaendelea kwa vizazi vijavyo hata kama sisi hatutakuwepo kwahiyo wako sawa kuendelea kuongeza

    • @tazrywiser5126
      @tazrywiser5126 Před 8 dny

      Lakini sio kwamba umeme utakaotoka bwawa la mwl nyerere hautatosha kwa mahitaji ya sasa na ziada kubwa itabakia ndio maana walisema tutautumia na hata kama kuna inchi itahitaji inaweza kufanya nao biashara maana ziada itakayobakia ni kubwa labda sasa huko mbeleni kasi ya maendeleo na viwanda iongezeke basi huo wa ziada utakuwa unaoungua kutokana na matumizi

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo Před 6 dny

    👏👏

  • @jamesmbaraka634
    @jamesmbaraka634 Před 5 dny

    Biteku uko vizuri sana waswasi wangu watu ulio nao je watakusaport ufike mbali maana ndio maadui wakubwa wanaoturudisha nyuma.

  • @danielshauri6390
    @danielshauri6390 Před 5 dny

    Biteko ni kichwa sana “ salute 🫡

  • @abukhadija1993
    @abukhadija1993 Před 9 dny

    ❤❤❤

  • @abatinkalango4571
    @abatinkalango4571 Před 5 dny

    🙏🙏

  • @saiddgsmg
    @saiddgsmg Před 9 dny +1

    Salm kikeke upo vizuri

  • @chuseboy6325
    @chuseboy6325 Před 6 dny

    Camera kali sana

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 Před 9 dny +1

    Crown media, shikamooni, yaan inapofka sehemu mnazungumzia jambo Fulani, linaoneshwa, mfano mlipozungumzia Mambo ya mashine, mkaonyesha video ya mashine, HONGERENI SAAANA, HII NI KIWANGO CHA JUU SANA

  • @asnalimtv7690
    @asnalimtv7690 Před 5 dny

    Hatari Sana

  • @user-uq6uv7mb4o
    @user-uq6uv7mb4o Před 5 dny

    Biketo nimekuelewa sana Maheshimiwa unajibu vuzur sana sana unastahiki kuwa hapo asant

  • @user-uq6uv7mb4o
    @user-uq6uv7mb4o Před 5 dny

    Kikeke tutazid kukufatili adi mwisho wa maisha yako wanainchi wanataka kujua vitu kama ivo sasa watajuaje kama tusipo pata watu kama hawa mfano kikeke

  • @user-xn3ju5gp5p
    @user-xn3ju5gp5p Před 6 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FIFO28
    @FIFO28 Před 6 dny +1

    Hahhaha "mabadiliko ya tabia ya nchi si tu ukame" Mheshimiwa kwa hii punchline imenifanya nitambue wewe n mtu na nusu... una akili sana no wonder hiyo wizara umeimudu sana... hopefully utakuja kuwa Rais wa nchi yetu.

  • @user-qp2mc4gq2q
    @user-qp2mc4gq2q Před 2 dny

    Hongera sana crown media kwa hichi kipindi big up kikeke upo vizuri sana kaka kwa taaruma yako unetufanya tuipokee crown kwa nguvu zote

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 8 dny

    ✌️👊👍.

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Před 5 dny

    Samia team kama nikocha mama kikombe utachukua maana unavyojua kupanga inatisha kama gadioler

  • @greysonmatogo4662
    @greysonmatogo4662 Před 7 dny

    Kikeke na Biteko wote smart upstairs

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před 7 dny

    Salim Kikeke mwambie waziri Dubai umeme hauzimwiii na huwezi kuwa na maendeleo ktk nchi bila ya energy by the way interview kama hii ungeeka hot line number wananchi wakamuuliza live

  • @MauBonde
    @MauBonde Před 3 dny

    Nishati zote zipo zote hapo,........kunani,,,,,............

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb Před 9 dny +2

    Safisana Kikeke

  • @hassanfidelity3028
    @hassanfidelity3028 Před 2 dny

    Succession plan hii ya Rais miaka ijayo

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Před 5 dny

    Kijana mdogo hekma kubwa na busara mungu akuongoze

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah8321 Před 4 dny

    Huyu mheshimiwa biteko namkubali sana yaaan anaongea ukweli mtupu

  • @MichaelKilinga
    @MichaelKilinga Před 5 dny

    AYO TV Ajipange

  • @SAMA-jw4fr
    @SAMA-jw4fr Před 7 dny

    Salim Kikete Umefanya jambo la muhimu sana Huwezi kuwa na maendelea au kupata maendeleo ni energy solution ni kujenga Umeme wa nuclear huo ni ujinga mambo ya miti sijui gari aache ujinga huyo wwziri Dubai umeme hauzimwiii

  • @sadile1057
    @sadile1057 Před 9 dny

    Kikeke

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 9 dny +1

    Kikeke yunusi wazarendo

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 Před 7 dny

    Mheshimiwa Naibu Waziri Mkuu. Unatoa majibu sahihi as ante.

  • @ShortyShorty-mr3jb
    @ShortyShorty-mr3jb Před 9 dny +1

    Mhe dotto yupo vizuri sana tena sana

  • @pidibegashe768
    @pidibegashe768 Před 7 dny

    Kipindi hiki mngekiweka kwenye kingamuzi Azam tv ilikiwe juu zaidi

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 8 dny

    YAN TOKA UMEINGIA ANGALAU TUMEONA CHANGE KUBWA SAIZ HATUNA BAYA NA TANESKO