Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Tunakukumbuka rais wetu JPM SAIZI HUKU MFUMKO .WA BEI TUNATESEKA MAJI HAKUNA UMEME SHIDA,
mhhhh dodoma jangwa bana duh
Wapande miti basi au hapo mbele wageuze uwe uwanja wa ndege. Utazania tuko jangwani huko yemeni.
Majengo yenyewe yamekaa kama magofu yakale kule kilwa yaani ukiondoa langi sjaipenda
Wewe nimuongo tangu 73 mpaka leo nimiaka 43 au 49?
magogoni chamwino copy and paste
Raman ya kama dar tu. So ni Raman ya mkoloni
Ikulu mbayaaa...! Mlikosa majengo ya kisasa !!! Na wewe acha kupotosha hizi ni juhudi za JPM...sio awamu ya sita
Tunakukumbuka rais wetu JPM SAIZI HUKU MFUMKO .WA BEI TUNATESEKA MAJI HAKUNA UMEME SHIDA,
mhhhh dodoma jangwa bana duh
Wapande miti basi au hapo mbele wageuze uwe uwanja wa ndege. Utazania tuko jangwani huko yemeni.
Majengo yenyewe yamekaa kama magofu yakale kule kilwa yaani ukiondoa langi sjaipenda
Wewe nimuongo tangu 73 mpaka leo nimiaka 43 au 49?
magogoni chamwino copy and paste
Raman ya kama dar tu. So ni Raman ya mkoloni
Ikulu mbayaaa...! Mlikosa majengo ya kisasa !!! Na wewe acha kupotosha hizi ni juhudi za JPM...sio awamu ya sita