Rais Magufuli alivyokutana na bilionea namba 1 Afrika Ikulu Dar es Salaam
Vložit
- čas přidán 9. 12. 2016
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 10 Desemba 2016, amekutana na kufanya mazungumzo na Mmiliki wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kilichopo Mtwara, Alhaji Aliko Dangote.
aiseh am very happy...thanks Mr President...thanks Mr Dangote...thanks ol ministers...God bless Tz
Dah kwaiyo imebak kuwa story kwamba ilikuwa na haitokuwa kwel dunian ss ni km majan ya mti mda wowote linadondoka pumzika kwa aman shujaa wa Africa 🌍 💔😭🤲
Kazi aliifanya kikwete hii.. Magufuli kaja kukazia Mara 7 zaid.. We love u Anko Magu
Naomba unioneshe kazi ya kikwete
Nakukubali rais wangu. Mungu akutunze na kukulinda
thanks ayo TV kwa taarifa
Dah this man is beyond the success of the country and a real good man
safi sana JPM,huo ndio uongozi
Dah kwel serikali inafanya kazi systematic
President Magufuli is a very good man. Dangote come make money!
18:18 Best words in African economic analysis!
it was a GOOD job Mr. present
Mungu amesha bariki tanzania
hahahaaa! hongera sana mh. ukweli unafanyakazi beyond our expectation.
Asante sana rais magufuri huyu rais tuamtaka haendere kura ya ndio mpaka miaka 40
Huyu jamaa hapuuzii kitu chochote hata akisikia watu wananong'ong'ona, Yupo kila mahali. Eti jana alikuwa kwenye sherehe za uhuru leo anapiga kazi, Wangekuwa wengine wangeenda mapumziko
God bless you Mr President Magufuli....
Rais wangu John Pombe Magufuli,,,ni kweli wewe ni masikini,,,lakini u tajiri wa heshima Duniani,,,na pia tajiri katika ufalme wa mbinguni,,,Biblia inasema hivii ni heli ajengaye kwenye ufalme wa mbinguni,kuliko Duniani,,,haya ni maneno ya mmiriki wa Roho za watu woote ulimwenguni..🙍🙍🙍🙏🙏🙏🙍🙍.
Hawa ni miongoni mwa kundi la wapinzani wachache walitaka kukwamisha maendeleo ya Tanzania. Wanajaribu kuwakatisha
tamaa wawekezaji toka nje.Wakashindwe na kulegea kama mlenda. Walijaribu sukari wakashindwa,sasa wanamkwamisha Dangote. Wana laana hao. Ktk Awamu ya 5 hamwoni ndani.
baba yetu , si mtu wa mchezo mchezo, mungu akusimamie baba yetu, mpigania wananchi wake chaguo langu hapa kz 2
Welcome Mr.DANGOTE Tanzania now is your Home,invest in Versatile Industries like Fertilizer ,farmer suffers much Sir
Well done, wish u all the best god bless u.
Hongera sana JPM tuko pamoja awe Ukawa ziij
shujaa shupavu barani AFRICA
Thks ma presd
kiongozi lazima utatue tatizo kwa wakati tunahitaji maendeleo hongeraa jpm
Ningekuwa na uwezo usingetoka madarakani maana sina cha kusema juu yako baba very nice magufuli.
kweli hapa kazi tu.hakuna kulala nimeipenda sana
Amani Jolan
Mwambieni magufuli akuje atuongoze na sisi Kenya
uyu mzee co MTU wa spoti spoti kipindi kile wangesema tuunde tume saivi ni moja kwa moja maamuzi ni papo kwa papo
Kuwepo utaratibu wa watoto wetu kwenda kutembelea ikulu wajue na Ikulu za nyumbani sio za nje tu.tutashukuru sana watoto wetu wakija huko watembelee ikulu.please 🙏
kweli kabisa
kaka mirr mungu akulinde unajua mimi huwa nikiingia CZcams yaani nisipo ona nembo yako siifungui hiyo habari
raic wangu unapambana vilivyo saluti kwako
safi
Nyc work mavoko
Miladi ayo mama yangu mzazi anakufa njaa anaugojwa mkubwa unamtesa amedhumiwa kinuwamungo chake anakufa njaa nateseka naomba namba ya Samia niombe musada alipwe pesa zake
Mungu akulaze mahali pema peponi
Safi saana my president mAgu
huyo ndio binadamu tajiri kuliko wote Africa
HAYO YATAKUWA MAFISADI KAMA AKINA LOWASSA AMBAYO YANATAKA KUKWAMISHA JUHUDI ZA JPM KUWASAIDIA WANANCHI KUPATA KAZI!!!!!
godfrey mbwambo ndo umecomment n ww akil yko apa😂😂😂
Someone ran away from the podium to avoid the possibility of commenting in a foreign language...the very someone was exuberant to be flanked with the richest man in Africa.
Someone, as you continue to oversee the implementation of free education in Bongo kindly encourage others to become familiar with engrisi za intanasional langueji
You are still mentally colonised!!
Love this guy,Magu safi rais wangu
nimeipenda
Thx my président
Nivizur san mkiwa mnahaid wana inchi nakutimiza i see kzi kzi kzi👍 Asant sn millard Ayo kw tarifa hii.
A true panafricanist he was.Rest in peace
Mashallah nice Maguful wewe jembe, Mtangazaji sauti kama Jafar Haniu
Tanzania Daima
So who's the number 1 of niliona
lpm
Rais magufuri ametupa jina Tanzania
Karibuni mtembelee channel yangu nimewawekea story nzury sana love story kwa kiswahili.
inaitwaje?
Mambo vipi? Lawrence M, Channel yangu inaitwa Maisha ya Ughaibuni karibu sana .Asante sana.
VICTORIA DAVID
CHANNEL
daah our jpm
Aise noumaaaa cn
Ko dangote sio m/Tanzania
mh mm yangu macho tu
uhhuhuhuuu
R.I.p magufuri
Maneno meng watu bongo wanakunya povu kwa njaa
Wee dangote ulitoa wapi hiyo hela kwa umri wako mdogo hivyo?
Duu
Mwamba
Hahahahahahha
Dangote? anahusiana na Diamond
Ommy Azzy uyo ndo mwenye jina Diamond amekopi jina kulingana na kipato chake incredible
Mh miwa we nakupendaga unaamua apo apo recpect sana jpm
Tofaut yake na mimi yeye tajir mimi maskin jpm nakuelewaga toka ujawa rais nakufatiria sana maamuzi yako yakiume sana ubarikiwe
Ubaki miaka 40 uongoze I nchi jpm bi up!
Tanzania Daima
Safi raisi wetu safi rais msitafu kwakumuanda dangoti kuja kuwekeza