Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi. Asante sana kwa clip nzuri!!
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
Best president in world
RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.
Safi sana rais wetu
Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40
Kabisa kabisa, umenena vyema.
Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.
Ahsante sana Ikulu kwa hii.
Rais wa Africa.
Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC
Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana
We are proud with our President...
Rais bora kabisa afrika...
Ahsante sana Rais wetu
Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu
Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi.
Asante sana kwa clip nzuri!!
Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania
Safii magu upo vyema mkuu
Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele
Mashaalah
Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!
🤝
Magufuli Oyeeeeee
1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha
😢😢Endelea kupumzika kwa amani
Ok
😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???
Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !
Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.
@@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE
my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥
Kabisa kabisa mkuu.
Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli
The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee
@@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?
@@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.