KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI, NAMIBIA NA ZIMBABWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 06. 2019
  • KIPINDI MAALUM CHA RAIS DKT. MAGUFULI NCHINI AFRIKA KUSINI ,NAMIBIA NA ZIMBABWE MEI 2019

Komentáře • 34

  • @henrickchambilo4806
    @henrickchambilo4806 Před 5 lety +6

    Best president in world

  • @josephsureeliajosephmion9997

    RIP comred JPM itatuchukua miaka mingine kumpata kiongozi ainayake maana alisema ipo siku tutamkumbuka nasasa tunamkumbuka tukiwa mayatima pumzika kwaamani Kaka dunia badoinasikitika.

  • @wailesdeus3764
    @wailesdeus3764 Před 5 lety +3

    Safi sana rais wetu

  • @ababuumwana5102
    @ababuumwana5102 Před 5 lety +3

    Love u My President Tanzania yetu Taifa letu Amani yetu Maendeleo mbeleee JPM Unatosha miaka 40

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana Před 5 lety +1

    Asante sana kwa juhudi zenu za kutuhabarisha. Mungu ibariki Tanzania na Viongozi wake, Mungu ibariki Afrika.

  • @emmanuelmasito
    @emmanuelmasito Před 5 lety +3

    Ahsante sana Ikulu kwa hii.

  • @masagapaul5039
    @masagapaul5039 Před 5 lety +1

    Rais wa Africa.
    Hongera sana Rais wetu mpendwa, Asante SADC

  • @thamu3133
    @thamu3133 Před 5 lety +1

    Kumbe tanzania tulikuwa hatuna urafki na majiran zetu,Magu Mungu akupe uzma baba kwa kutuunganisha had marais wanafurah sana

  • @peterniboye3462
    @peterniboye3462 Před 5 lety +2

    We are proud with our President...

  • @abcswahilii3322
    @abcswahilii3322 Před 5 lety +3

    Rais bora kabisa afrika...

  • @grediuce7039
    @grediuce7039 Před 5 lety +1

    Ahsante sana Rais wetu

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety +1

    Asante san mwenyez MUNGU kwa upendo wako mkubwa kwa viongozi wetu ewe mwenyez MUNGU mkuu

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 Před 5 lety

    Uwanja umelipuka kwa ndelemo na vifijo jinsi wanavyomkubali Simba wa Tanzania!!!nimepapenda hapo alipoingia uwanjani tuu.imenisaidia kuhakiki mawazo yangu kuwa J.P.M ndiye raisi bora barani Africa na anakubalika ndani na nje ya nchi.
    Asante sana kwa clip nzuri!!

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 Před 5 lety +1

    Mmefanya vzr kutupatia ufupisho huu wa ziara za mkuu wa nchi yetu tukufu ya Tanzania

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 Před 5 lety +1

    Safii magu upo vyema mkuu

  • @lomnyakijohn8672
    @lomnyakijohn8672 Před 5 lety +1

    Kweli huyu mzee wetu mungu ampe afya na nguvu na miaka tele

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před 3 měsíci

    Mashaalah

  • @romeoromeo4125
    @romeoromeo4125 Před 5 lety +1

    Ahsanteni, ila mjitahidi kutuwekea mapema, mda unakuwa mkubwa. Au mpaka tulalamike kwa JPM atumbue kitengo cha mawasiliano!!!

  • @tituskidava2169
    @tituskidava2169 Před 5 lety

    🤝

  • @henricokanogu2223
    @henricokanogu2223 Před 5 lety

    Magufuli Oyeeeeee

  • @mokhimji
    @mokhimji Před 5 lety

    1:21 - JMK nudged JPM "Oya Chuma, Waage basi na Ishara wakuone mpole kidogo" hahaha

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar7820 Před 9 měsíci

    😢😢Endelea kupumzika kwa amani

  • @geneouscravery3428
    @geneouscravery3428 Před rokem

    Ok

  • @flowinkilangira1545
    @flowinkilangira1545 Před 5 lety

    😂😂 naona wazee zilipigwa mpka za akina Less wanyika hukohuko kwa mnangangwa???

  • @erickpascal2249
    @erickpascal2249 Před 5 lety +1

    Rais ambae natamani akae madarakani mpaka mwisho wa uhai wake ni DR Joseph John Pombe Magufuri ! Kwa sababu kadha wa kadha !

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 Před 5 lety +1

      Kabisa kabisa, maneno matupu hayashibishi, mpendwa sana rais wetu amelitambua hilo kwake Ni VITENDO zaidi, wazo lako ni zuri sana.

    • @erickpascal2249
      @erickpascal2249 Před 5 lety +1

      @@audifasmassera1289 sawa ndugu yangu ! Tumuombee Rais wetu anafanya Kazi kubwa sana sana ! Mimi namuunga mkono kwa jitihada zake kwa 100% kabsa , mifumo mingi na uendeshaji wa taifa letu umerudi kuwa katika muundo wenye kuleta maendeleo ya Nchi yetu na sisi wana Nchi ! CCM HOYEEEEE

  • @davidelliot3267
    @davidelliot3267 Před 5 lety +1

    my president mbaka 2035 JPM 🔥🔥🔥🔥

  • @samuelndalahwa3423
    @samuelndalahwa3423 Před 5 lety +1

    Misheni maalum ya kutangaza soko LA ajira ya Ualimu wa Kiswahili hongera Mwl Magufuli

    • @anthonymaganjo1646
      @anthonymaganjo1646 Před 5 lety

      The guy doesn't know English.Poor Magufuli.Lowassa oiyee

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 Před 5 lety +1

      @@anthonymaganjo1646 hao wanaojua English wamefanya nini cha mfano?

    • @audifasmassera1289
      @audifasmassera1289 Před 5 lety +1

      @@anthonymaganjo1646 kwa nionavyo mimi, kinachotakiwa ni uwezo wa KUONGOZA si lugha.