MAGOTI ASIMULIA RAIS SAMIA ANAVYOKESHA NA MAFAILI IKULU, ALA KIAPO "RAIS HALALI SISI TUNALALAJE?"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 79

  • @user-ey1yp6jk7g
    @user-ey1yp6jk7g Před 2 měsíci +5

    School met wangu Mh Magoti kwa sasa Mungu akusimamie katika kazi zako na hakika atabariki kazi ya mikono yako.School met wenzio wa Secondary wanakuombea. Twende kazi.

  • @kimchi-91
    @kimchi-91 Před 2 měsíci +3

    Mh.Magoti yuko smart sana ,2035 tempe urais wa Tanzania 🇹🇿

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 2 měsíci +2

    Safi sana Speech imetulia sana. Simfahamu ila nimemkubali hapa hapa tu. Ila ipo siku nitakutana naye Mimi niko Kigoma Mjini.

  • @JumaMatiko-zp5nm
    @JumaMatiko-zp5nm Před 2 měsíci

    Good speech.Hakika Mh.rais wetu amefanya vizuri kukuteua kaka wasaidie wananchi wetu hiyo ni imaani tosha kwetu wananchi na Mhe.@Samia Suluhu Hasani Rais.

  • @user-fj5qu1qy4u
    @user-fj5qu1qy4u Před 2 měsíci +4

    DC magoti HONGERA sana mwenyezi mungu akuongezee hekma na busara akutangulie katika majukum Yako Amina

  • @user-dy8ss4ly8z
    @user-dy8ss4ly8z Před 2 měsíci

    Hongera kwa speech nzur

  • @jifunzehapa8643
    @jifunzehapa8643 Před 2 měsíci

    Ukisikiliza speech ya magoti na maneno yake utamkumbuka Magufuri

  • @FelisterNdoghwe
    @FelisterNdoghwe Před 2 měsíci

    Ni sawa Rais akifanya kazi Kwa bidii.

  • @hassanngayaga3202
    @hassanngayaga3202 Před 2 měsíci +2

    Big up

  • @RenatusSylivester
    @RenatusSylivester Před 2 měsíci

    Mungu akusaidie ndg

  • @mgulusaidkiyanga
    @mgulusaidkiyanga Před 2 měsíci

    Mungu akuongoze kaka nimeanza kukujua kipindi cha magufuli hongela sanaaaa mama samia

  • @darweshk7342
    @darweshk7342 Před 2 měsíci +1

    Mate km mate big up sn😊

  • @jifunzehapa8643
    @jifunzehapa8643 Před 2 měsíci

    Huyu jamaa anaongea kama magufuri

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 Před 2 měsíci +2

    Magoti ni kiongozi Nawaombea sana

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 2 měsíci +1

    Kaka big up umenigusa sana.maneno yk yaliflec

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před 2 měsíci +1

    Mmh!!!

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 2 měsíci

    Mungu akamtangulie katika kaz yake

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci +4

    Wewe ni mchwa mkubwa sana wala hutafika katika mauchawa kama haya. Masindikiza kunyanyasa wamasai na kumaluza ardhi ya Tanganyika kwa warabu.

  • @user-gh2xf6st6q
    @user-gh2xf6st6q Před 2 měsíci +1

    Mtu wamanaa kabisaa

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Před 2 měsíci +1

    Uwe kama Makonda au kama Jerry Slaa hapo hapo tutakufahamu mchapa kazi sio maneno mengi vitendo hamna

  • @claveryrwego7550
    @claveryrwego7550 Před 2 měsíci

    NChi yetu chini MAMA SAMIA RAIS WETU MPENDWA ITAFANIKIWA SANA KIMAENDELEO TUMUAMINI NA MITAMO TENA NI MAMA YEYE NI CHAGUO LA MWENYEZI MUNGU IKIBIDI TUBADILI KATIBA AONGOZE MIAKA ISHIRINI MWENYEZI MUNGU MLINDE RAIS WETU MAMA SAMIA.

  • @user-mq4yq6rw1w
    @user-mq4yq6rw1w Před 2 měsíci

    Hongera sana Kaka magoti mwanayanga mwenzetu.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 2 měsíci

      Sasa utopolo inaingiaje hapo?
      Punguza kuwehuk kiakili.

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w Před 2 měsíci

      @@MilloWamilonga-ft8ir acha kutukana huu ukweli nitakutrack changia cio matusi

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 2 měsíci

      @@user-mq4yq6rw1w kwenda zako wewe shoga uliyepuvuka, kuma ya kibuyu zwazwa wewe

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Před 2 měsíci

      @@user-mq4yq6rw1w halafu wewe shoga la kikenya unachangia kitu gani humu wewe pimbi

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 2 měsíci +3

    Kutuuza ndiyo kunamfanya kukosa usingizi siku moja the story will be retold

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 2 měsíci +2

      Ukimnyooshea Samia kidole kimoja Vincent vinakuelekea wewe mwenyewe! Mind me! Kila mchimba shimo hutumbukia mwenyewe! TUNASIMAMA NA MAMA!❤❤❤

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 2 měsíci

      Violence vinne! Sorry!

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před 2 měsíci +1

      Acha umalaya

    • @abuushakiraddausiy8666
      @abuushakiraddausiy8666 Před 2 měsíci +1

      Umeuzwaaaa nani kakununuaaa !???? Kichaaa kweli mpka uuzwe ulikua wapiii!??

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 Před 2 měsíci

      ​@@dorothmsuya1686Huyo ni mama yako been getting kweli

  • @WinifridaMaduga-su1jt
    @WinifridaMaduga-su1jt Před 2 měsíci

    Mmmh

  • @kajugaa4537
    @kajugaa4537 Před 2 měsíci

    Huyu alikuwa Ikulu ndo alikuwa anamwandikia Rais speach kwa hiyo razima awe na hotuba nzuri

  • @apollokwilabya7682
    @apollokwilabya7682 Před 2 měsíci

    Sina uhakika na comment ya kuwa anakesha akisoma mafile, that need to be confirmed 😮

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 Před 2 měsíci

    Mmh

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 2 měsíci +2

    Mhmmm kuamini ni ngumu kwa sababu unayoyatamka ni tofauti na yanayoonekana kwa wananchi yamkini Rais yupo sawa je nyie mnaomzunguka mnamsaidia? Mbona mnaiba sana? Report ya CAG kuna upotevu wa mabilion wamepiga lakini hawachukuliwi hatua

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Před 2 měsíci

      Mbona mkateua marehemu sasa kama mnakesha

  • @matthewmichaelsylvester5612
    @matthewmichaelsylvester5612 Před 2 měsíci

    mtu makin

  • @gregory6165
    @gregory6165 Před 2 měsíci +2

    yuko online kama anachat je? we uliasume yupo online anafanya kazi?

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 Před 2 měsíci +1

    magoti muongo sana Anakeshaje na mafaili huyo mke wa mtu Ana mme wake Aache uongo wake ni muongo

  • @AminaKova-ig3mi
    @AminaKova-ig3mi Před 2 měsíci +1

    Mkuu wa mkoa vipi ameruhusu pwani kubomolewa kote so sad🤨

    • @sskondopoleani9616
      @sskondopoleani9616 Před 2 měsíci

      Usilo lijua litakusumbua. RC hana UWEZO wa KURUHUSU Pwani KUBOMOLEWA

    • @AminaKova-ig3mi
      @AminaKova-ig3mi Před 2 měsíci

      @@sskondopoleani9616 acha kabisa kusema iivo mimi nimiongoni mwa nyumba yangu niloimlza january hii na imebolewa mwezi huu ni majonzi mengi ninayo nalia sanaaa

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 Před 2 měsíci

    Inaleta maana sana kama unacho ongea umekifanyia utafiti.Wewe unayesema Rais kauza nchi kwa Waarabu, unaudhibitisho? Kama huoni maendeleo uanayofanyika inawezekana hauko sawa kichwani. Mashule,barabara,hospital,madaraja,ndege,meli sgr na mengine mengi. Tunajivunia uongozi wa rais wetu na waliomtangulia

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 Před 2 měsíci +1

    Magoti piga kazi.

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 Před 2 měsíci +1

    Unakusudia nn unaposema kiongozi wa chama, hii nchi ni ya vyama vingi vipo kisheria, nao wanastahiki pia

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 měsíci

      Hakuna vyama ni CCM tu wengine ni takataka tu

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 2 měsíci

    Magoti piga KAZI

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 2 měsíci

    Hivi hii mitaara yetu ya elimu ina tija katika taifa retu kwanini tusi ige nchi zinazo enderea zenye mitaara bora za kujiari na kuajiriwa hio ndio itakua nzuri rakini mitaara yetu ni A kuajiriwa sio A kujiari bado sana

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 2 měsíci

      Inaanzia mbali hii nchi ilikuaga ya kijamaa kwa miaka mingi sana na hata ilipotoka kwenye ujamaa ni kama ililazimishwa ndo maana mtu huamini kuajiriwa tena serikalini ni heshma na jambo la ushindi bila kuangalia atalipwa mshahara bei gani na akistaafu angojee mafao ya kikotoo ambayo miaka the thelasini ya utumishi unapewa milioni sabini ulijiriwa ukiwa kijana unatoka mzee unakuta hukubaliani na kustaafu unaishia kupata kiharusi na kisukari kwa mawazo maana unabaini muda ulienda hela ndogo unajiingiza kwenye biashara Mara uibiwe ndo mana tz hakuna mstaafu mwenye furaha ni wachache mnoo ustaafu ni umaskini ndo mana mizee kama mkuchika hadi Leo inapambana kukaa kazini ivyo ni kubadili mitazamo kwanza ili vitu viwe tofauti

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 2 měsíci

      And ikawe basi vizuri! Mitaara ndio nini!??

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 2 měsíci +1

      Andika vizuri ueleweke! Mitaala sio mitaara bwana!

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Před 2 měsíci

      @@dorothmsuya1686 SI umerewa ukiandika vzr chawa

  • @kainimlowe9646
    @kainimlowe9646 Před 2 měsíci

    Haya bwana magoti

  • @malickmgongolwa6978
    @malickmgongolwa6978 Před 2 měsíci

    😅

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 2 měsíci +1

    hayo hayatuusu raisi halali sababu anawaza kupiga dili

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 měsíci +1

      Anapiga dili na mama yako msenge wewe

    • @user-mq4yq6rw1w
      @user-mq4yq6rw1w Před 2 měsíci

      @@halimamasai2234 kweli kabisa kwani lazima achangie?anapiga dili kivipi ?umejua kumjibu hy.

    • @matukutajuma156
      @matukutajuma156 Před 2 měsíci

      HIVI NI KWELI MH RAIS HAJAFANYA JEMA HATA MOJA?? TUWE WAKWELI JAMANI,!

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e Před 2 měsíci

    Mafaili yanajaa kwasababu raisi
    anasafiri Sana njee.

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Před 2 měsíci

      Ulitaka usafiri wewe punguza chuki za kisenge fala wewe

    • @dorothmsuya1686
      @dorothmsuya1686 Před 2 měsíci

      Milimlaumu Magu kua hasafiri anajitenga kimataifa! Leo mama anajichanganya duniani mshaanza ooo! anasfiri sana! Watanzania kwa maneno! SHIKAMOONI

    • @user-dy8ss4ly8z
      @user-dy8ss4ly8z Před 2 měsíci

      Hujapata nafasi tu ht ungekuw wewe ungesafiri tu nani hapendi raha

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 2 měsíci

    'Itifaki na protocols', nielewesheni