Mwenye nacho huongezewa wadada tunatabia ya kuchagua wanaume wazuri huyu dada kumpenda tu huyu kaka ni baraka kubwa Sana katika maisha mwenyezi Mungu awatangulie ktk safari yao walioianzisha 🙏
Hii family ipo high-powered profile kwenye serikali ya nchi hii toka uhuru Mbona ni aibu kusimama hapo kuchanga vilaki laki? Watu wenye akili kama hizi ndio wanaongoza nchi ndio maana hatusogei, Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye akili
Dah high profile?? Kuna Wazee ndio waliomuita nyerere dar akitokea Pugu shuleni , Mzee Sykes,Mzee Tambaza,Mzee Dossa ulishawahi wasikia??? Hao ndio walikuwa wadhamini wa kila kitu ,na show zote na wazee wengi , Baba wa Taifa aliposhika nchi historia ikaanzia kwake
MUNGU MKUBWA... Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye AKILI labda 🤔 na yeye ndiye hakuishi...mwenye akili...Mungu amlipe mazuri yake....alofanya DUNIANI.
Mnatukata tozo za mihamala. Kodi kupitia mita za umeme kisha mnatumia kwenye harusi kwa nini msitumie hizo kujenga nchi? Hamtutendei hki kabisa aliyaona MAGU haya
Tanzania inawasaidia wanojuana masikn gani umuone anasaidiwa hiyo sahau ndug yangu watatangazwa mitandaoni lakin hakuna wakumsaidia matajiri wote duniani kuiona pepo ya.mungu ni wachache sana
Hongera bi harusi ,mungu akubariki kwa moyo wa kumukubali Magotti bila kujali ulemavu wake,wewe ni mke mwema ,kamtunze mmeo usiadaike na mambo ya dunia wewe uko sehemu salaama .
Yule mjamaa kaharibu kweli... ilikuwaje tena CCM OYEEE.😂😂😂..Daa alijisahau alifikiri yuko kwenye mkutano labda..Vichekesho maana pale watu walivaliya rasmi Mashaallah yeye kaingia tuu...basi hata angepiga (vigelegele) kama anajuwa😅 Lakini mchango mzuri katoa..
Kuna watu wanaumwa wengine wanapoteza maisha wanakosa hata mchango wa kuwasaidia mazishi hamutoi na bado wakifa wanadaiwa na hospitali na maiti kuzuiliwa. Ama kweli dunia ni duara ila Mungu tu ndiye asiye na upendeleo lakini binaadam ndivyo walivyo.
@@hassanpazi7216 Wewe unaeunadhani kila anaesaidia wenye dhiki anajisifia kama hao unaowatetea wewe? Sadaka yangu anaijua Mungu sina haja ya kutangaza kwa majivuno. Jifunze dini zote zinasemaje kuhusu sadaka acha kurukia usiyayajua.
Mwenye nacho huongezewa wadada tunatabia ya kuchagua wanaume wazuri huyu dada kumpenda tu huyu kaka ni baraka kubwa Sana katika maisha mwenyezi Mungu awatangulie ktk safari yao walioianzisha 🙏
Kweli aliye nacho huongezewa naasiuekua nacho hunyanganyww ata kile kidogo alichonacho aki🤣 love is beautiful thing created by God
😂😂😂😂😂aloooo yaniii me maskio yanauma
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Dah umewaza nini mpaka ukasema hivyo😂🤣😂Kwa wengine ni bajeti ya arusi na send of
@@noellema5291 😂😂 si unaona wa napesa nawanamwagiwa mapesa maskini na maskini mwenzie😅
Maji hufuata mkondo we km unadhani yanapanda mlima utasubiri sana 🤣
mngekua mnasaidia na watu wenye maradhi.makubwa ambayo kutwa wanaomba misaada mitandaoni
Kila moja ala sawa na mkono wake,
Mwenzangu na mie usiwe hivyo
Hata vidole havilingani,
Kwa rahazenu
Wanasaidia lakin wahitaji ni wengi
@@wisperfect5320 kweli kabisa,
Kwani unauhakika awasaidii au ulitaka watangaze
Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! MASHA ALLAH ALLAH awape penzi la dhati Amin Amin
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Eehee Mwenyez Mungu nipatie Mume mcha Mungu na mnyenyekevu kama familia ya Magoti. Ameen
Vipi
Daah ,,,hii harusi Ina watu wazito kwelikweli💸💸💰💰💰💰💰💰
Harusi hii ni ya kibabe sana duuh hatarii
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Kwa kweli Joyce Umeupiga Mwingiii
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Nyieeee hii dunia usisem htun hela sema sinaaa helaaa 😂
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Wasenge wote mliotoa hizo pesa.kuna watoto wanateseka sana huku mtaani nyie mnagawana pesa hapo.
Hamza ndiyo alikuwa Mwamba
Fitina hiyo lnakuhuma nn we w
Acheni wivu jamani kaka mwenyewe mnamuona bora nahuyo Dada akainjoy😍
Tafuta zako ukawape 🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤣🤣🤣🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Acha wivu wa kisenge bwabwa wewe unaliwa ww siyo bure
imenikuza sana, pia mimi nafanya mwaka kesho mwezi wa nne,
Ccm oyeee!!! Kwenye arusi ,umeniharbia siku
HAPO KUNA HARUFU YA KIFISADI KABISA.
SHENZI SANA NYINYI
Wivu uo Yusuf acha wivu acha unafk nafitina za kishetan
Wivu unamsumbua 🤣🤣
😂😂
Maskin bwana😂😂😂
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Ukweli harusi za kitaa znabamba jmn acheni tu vigelegele izo harus za pesa zmepoa ni vile hela znawabebaa
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Gara b nakubali Kaz yako Sana, wewe ndo role model wangu bro , I follow your steps bro
enzi za baba mcingefanya hayo yote kuna watanzania hata cha kukila hawakijui
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Kwanza akikuona mzee upo ktk harusi hiyo atakupigia simu uende lindi kuna kazi zakufanya muda huo huo
Hivi mngechangia masiki si mnge barikiwa wapendwa.
Tanzania Bara hakuna MASKINI wote wana pesa zao....
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mayatima wanateseka mtaaani daah
Nikweliiiii tuwakumbukesan
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Hii family ipo high-powered profile kwenye serikali ya nchi hii toka uhuru Mbona ni aibu kusimama hapo kuchanga vilaki laki? Watu wenye akili kama hizi ndio wanaongoza nchi ndio maana hatusogei, Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye akili
Dah high profile?? Kuna Wazee ndio waliomuita nyerere dar akitokea Pugu shuleni , Mzee Sykes,Mzee Tambaza,Mzee Dossa ulishawahi wasikia??? Hao ndio walikuwa wadhamini wa kila kitu ,na show zote na wazee wengi , Baba wa Taifa aliposhika nchi historia ikaanzia kwake
Umekosa point
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
MUNGU MKUBWA... Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye AKILI labda 🤔 na yeye ndiye hakuishi...mwenye akili...Mungu amlipe mazuri yake....alofanya DUNIANI.
Kweli pesa inaenda kwenye pesa🙆♀️
Hongelenii sanaa
Mnatukata tozo za mihamala. Kodi kupitia mita za umeme kisha mnatumia kwenye harusi kwa nini msitumie hizo kujenga nchi? Hamtutendei hki kabisa aliyaona MAGU haya
Tozo yahusiana na Nini huku,
Tuacheni roho mbaya Wabongo,,
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Huyo dada kafwata pesa
Huyo dada kafwata pesa na umaarufu
Wow!
Amin usiamin saiv niufikit pesa inaenda kwenye pesa ndugu zangu
kodi zetu hizi jamani wanazifania haki ipasavyo😂😂😂
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Kazi ipo,ila muwakumbuke Na wahitaji jamami
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Bw harusi mwenyewe ni mhitaji
Hizo peas mungewachangia maskin na watoto yatima mungu angewabariki sana.
Wanastahili hiyo michango humuoni mwanaume
Mashaallah...Wamepeneza
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Hongeren sana jmn kwanz mmependeza na zawad ni nyingi mpka raha mungu awatunze vyema
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Tanzania inawasaidia wanojuana masikn gani umuone anasaidiwa hiyo sahau ndug yangu watatangazwa mitandaoni lakin hakuna wakumsaidia matajiri wote duniani kuiona pepo ya.mungu ni wachache sana
Hongereni
Wanazitoa kwa masilahi ya Dunia tu akhera hawana chochote hao
Daaa tz
Sisi tunawacheki tu mnavyo tutochora kwa kura Hera zetu
Hahahahaaaaa
mungu awabariki katika ndoa yenu
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Hongereni jmn kwa kumtanguliza Mungu kwenye maisha ya ndoa
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
🔥🔥🔥
Mpo kidunia zaid mbona hamuwasaidii yatima, wajane, wagonjwa, na wenye maitaji, mashetan wakubwa nyie
Kwel ndugu
Mhhh wivu huo mmesikia hatoi kwa hao wahitaji?? Hata wao wahitaji pia wanaenda Anza maisha
@@joycemwambe3494 🤣🤣🤣🤣
Hapa ni kwenye sherehe lazima wakae kisherehe.., tuwe na kiasi katika ndimi zetu
Hongera bi harusi ,mungu akubariki kwa moyo wa kumukubali Magotti bila kujali ulemavu wake,wewe ni mke mwema ,kamtunze mmeo usiadaike na mambo ya dunia wewe uko sehemu salaama .
Aisee Joyce umeupiga mwingi
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Tz sihami mamae
Kwa hali hii..... Akatae??? Wewe usifanye mchezo na pesa
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
❤️🦋🙏👨👩👧👦🌏Love Rom Kempten
Utakataaje kwa mfano kuolewa na magoti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mfatilie dada kwao pia
acha magoti vidole asa unavikubali
😁😁
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Naanzaje
Hongereni Sana,
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Harusi imekua kama mnada
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Mzee alivyonakiherehere sasa duuuh😅
Washenzi nyie mnaachakusaidia vipofu yatima mnahangaika kutoa pesa harusini
Acha roho mbaya. Una uhakika vipofu na yatima hawasaidiwi? Uongo ni dhambi kwa Mungu
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mungu awabariki.
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Jamani walisema love is blind sijui Kama niukweli
Daaaah
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Nice
Hongera zenu,Mungu awatunze mzae na watoto
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
HONGERA SANA
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Kwa kweli wengine tuliigiza harusi iz pesa zote dhuu
Du hongera zao
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Weweeee
Pesaaa hak. Ya. Mungu
Hongera sherehe imefana
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Kuna watu wanapesa bwan nipeni. Ata milion1 daah
Hivi magoti ni mtoto au nani kwa Mangula
Anaweza kukataa kwa Hali hio😂😂😂
Na mm nashangaa😁
Fedha fedheha na penye udhia tia rupia.
@@ashaali7154 Haa haa wewe unayajuwa mambo yote... maneno ya kweli...
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Jaman maisha haya tuungen mikono na cici
Jaman mungu awazidishie aman na upendo
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Nani kasikia ccm hoyeee.
Mia tisa itapendeza😂
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Sasa kwa Hali hio unawezaje kukataa kuolewa😂😂😂
😂😂😂
🤣🤣🤣
Umeona eee!
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mmmmmh ndugu wa bb harusi sijui wanajisikiaje
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Maisha hayana usawa kabisa kweli keki ya taifa inaliwa na wenyewe
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Alafuu mnaulizaa et huyu dada kampendea nn Kaka wawatu
😄😄😄
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Safi
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Dunian atukuja kufanana barikiwen mlionacho ila njia ni moja ya kwenda pepon
Magot umetisha bro
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Whoever you know the more successful you can be . Just look at this .
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
.Mzee Mangula oyeeeeeeeeeeeee! CCM Oyeeeeeeeeeeeee!
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mungu nisamehe ila mbona bi harusi haendani na bwana harusi heee jaman wanaume tafuteni pesa kaaa
bibi harusi haendani kivipi, wewe wenyewe ukute hujaolewa unaona wivu
Masikini mnao Kila siku mbona hamjawahi kuwasaidia nyini mnaopiga kelele Acheni wivu wa kimaskini Aliepewa kapewa tu Hongera Sana Bwana na Biharusi
Tazama pia harusi ya Ester.
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mungu awazidishie upendo
Amin
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Ukisema hela SEMA Sina usiseme hatuna
Huyo mama hatamkimbia?
Pesa zinaenda kwenye pesa good
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mmmmmh
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
MUNGU AWAPE FURAHAA YA MIRERE KWENYE MAIXHA YENU YA NDOAA
Mungu ni Mkubwa
Hakuna kitu hapo kufurahishana ti
Wakitoka hapo wakajenge sio kwa mihela yote iyoo😊
Ndio pesa zetu tutafanyaje,ndo hvo....
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Mungu awajaalie watoto wenye busara na hekima Insha Allah 🇴🇲
Mkudesimba
Mkudesimba
@@mtumwasoud1754 rf,
@@mtumwasoud1754 , ,
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Hongera sana binti kalenga
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Duh kongole kwao
Hongera.....
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Simuoni pole pole wala bashiru jamani
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Dada umeramba dume
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html
Ccm tena kwenye harus ya mwenzio
😆😆😆
Yule mjamaa kaharibu kweli... ilikuwaje tena CCM OYEEE.😂😂😂..Daa alijisahau alifikiri yuko kwenye mkutano labda..Vichekesho maana pale watu walivaliya rasmi Mashaallah yeye kaingia tuu...basi hata angepiga (vigelegele) kama anajuwa😅 Lakini mchango mzuri katoa..
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Aise Pesa ni jawabu la mambo yote
Umewaza kama mm ,mm nilivoiona hii arusi nilijuwa tu kumbe ela ndokila kitu
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
NAJUA MTASEMA DEMU ANAMPENDA JAMAA SEMA UKWELI NI KWAMBA HAKUNA DEMU YOYOTE DUNIANI ATAACHA FUKO LA PESA LIPITE HIVI HIVI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mh mangula miezi6 umefikia hapo?
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Wengine pesa hatuna kula yetu shda Ila pesa zinatolewa hiv kwel
umaskini wako dear,,,,watu wana pesa na mirad yao binafsi hawaibi...ni zawad kama zawad nyingine
@@drvidah7030 Miradi imefufuka baada ya kifo cha Mh. Magufuli. Hongera.
Pumbaavu zeni
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
@@ashaali7154 p
Kuna watu wanaumwa wengine wanapoteza maisha wanakosa hata mchango wa kuwasaidia mazishi hamutoi na bado wakifa wanadaiwa na hospitali na maiti kuzuiliwa. Ama kweli dunia ni duara ila Mungu tu ndiye asiye na upendeleo lakini binaadam ndivyo walivyo.
Ww umetoa kias gan so far kuwasaidia
@@hassanpazi7216 Wewe unaeunadhani kila anaesaidia wenye dhiki anajisifia kama hao unaowatetea wewe? Sadaka yangu anaijua Mungu sina haja ya kutangaza kwa majivuno. Jifunze dini zote zinasemaje kuhusu sadaka acha kurukia usiyayajua.
Tazama pia harusi ya Ester
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
🤕
Yan hawa jamaa pesa zetu za tozo ndio wanatunzana hivi daaaah🤣🤣🤣🤣
Ukichangiwa kwenye harusi au kufanikiwa kwenye sherehe yoyote na ndugu, rafiki,na jamaa huo ni ufisadi?punguzene matusi kwa jamii.
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Ivi makambako unaweza kuja? Natamani uwe MC kwenye harusi yangu
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Kumbe Kuna mafuta uko kwa mume
Tazama pia harusi ya Ester,
czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.
Nadaiwa vikoba milioni moja tu apa sipati usingizi kweli maji hufata mkondo
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli yan angekuja kwangu Petro ningemkubali sio kwa hela hizo
Haahahaha siyakucheka
@@zuwenasaleh9613 mumy acha kabisa deni vikoba linapumua
Hongera sana mdogo wangu..mungu akusimamie katika ndowa yako