MAMILIONI YALIVYOKUSANYWA AKIWEMO RAISI MAMA SAMIA, HARUSI YA MAGOTI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 09. 2021
  • #MamaSamia #WeddingTz #McGaraB
  • Zábava

Komentáře • 288

  • @dainessjosephat-ii5xe
    @dainessjosephat-ii5xe Před rokem +2

    Mwenye nacho huongezewa wadada tunatabia ya kuchagua wanaume wazuri huyu dada kumpenda tu huyu kaka ni baraka kubwa Sana katika maisha mwenyezi Mungu awatangulie ktk safari yao walioianzisha 🙏

  • @alleoo273
    @alleoo273 Před 2 lety +15

    Kweli aliye nacho huongezewa naasiuekua nacho hunyanganyww ata kile kidogo alichonacho aki🤣 love is beautiful thing created by God

    • @marthamarck3609
      @marthamarck3609 Před 2 lety +1

      😂😂😂😂😂aloooo yaniii me maskio yanauma

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

    • @noellema5291
      @noellema5291 Před 2 lety

      Dah umewaza nini mpaka ukasema hivyo😂🤣😂Kwa wengine ni bajeti ya arusi na send of

    • @alleoo273
      @alleoo273 Před 2 lety

      @@noellema5291 😂😂 si unaona wa napesa nawanamwagiwa mapesa maskini na maskini mwenzie😅

    • @bsmonline8482
      @bsmonline8482 Před 2 lety

      Maji hufuata mkondo we km unadhani yanapanda mlima utasubiri sana 🤣

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 Před 2 lety +30

    mngekua mnasaidia na watu wenye maradhi.makubwa ambayo kutwa wanaomba misaada mitandaoni

  • @wamugimohammed3848
    @wamugimohammed3848 Před 2 lety +7

    Asalam Alaykum warahamatulilh wabarakatuh! MASHA ALLAH ALLAH awape penzi la dhati Amin Amin

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @antyevaristi1062
    @antyevaristi1062 Před 2 lety +3

    Eehee Mwenyez Mungu nipatie Mume mcha Mungu na mnyenyekevu kama familia ya Magoti. Ameen

  • @tinamwasekaga9571
    @tinamwasekaga9571 Před 2 lety +14

    Daah ,,,hii harusi Ina watu wazito kwelikweli💸💸💰💰💰💰💰💰

  • @heriethjoram3298
    @heriethjoram3298 Před 2 lety +11

    Kwa kweli Joyce Umeupiga Mwingiii

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @marthamarck3609
    @marthamarck3609 Před 2 lety +5

    Nyieeee hii dunia usisem htun hela sema sinaaa helaaa 😂

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 Před 2 lety +23

    Wasenge wote mliotoa hizo pesa.kuna watoto wanateseka sana huku mtaani nyie mnagawana pesa hapo.
    Hamza ndiyo alikuwa Mwamba

    • @emanuelmajele7237
      @emanuelmajele7237 Před 2 lety +2

      Fitina hiyo lnakuhuma nn we w

    • @kudratkadawi6881
      @kudratkadawi6881 Před 2 lety +1

      Acheni wivu jamani kaka mwenyewe mnamuona bora nahuyo Dada akainjoy😍

    • @mdzainb3722
      @mdzainb3722 Před 2 lety +2

      Tafuta zako ukawape 🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤣🤣🤣🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

    • @salhamrisho8138
      @salhamrisho8138 Před 2 lety

      Acha wivu wa kisenge bwabwa wewe unaliwa ww siyo bure

  • @jeremiahsolomon284
    @jeremiahsolomon284 Před 2 lety +4

    imenikuza sana, pia mimi nafanya mwaka kesho mwezi wa nne,

  • @misakasylivester2471
    @misakasylivester2471 Před 2 lety +3

    Ccm oyeee!!! Kwenye arusi ,umeniharbia siku

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Před 2 lety +18

    HAPO KUNA HARUFU YA KIFISADI KABISA.
    SHENZI SANA NYINYI

  • @zubedarichard2311
    @zubedarichard2311 Před 2 lety +5

    Ukweli harusi za kitaa znabamba jmn acheni tu vigelegele izo harus za pesa zmepoa ni vile hela znawabebaa

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @mobilemc1937
    @mobilemc1937 Před rokem

    Gara b nakubali Kaz yako Sana, wewe ndo role model wangu bro , I follow your steps bro

  • @zibedaalliy3581
    @zibedaalliy3581 Před 2 lety +9

    enzi za baba mcingefanya hayo yote kuna watanzania hata cha kukila hawakijui

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

    • @pasquallungwa3517
      @pasquallungwa3517 Před 2 lety

      Kwanza akikuona mzee upo ktk harusi hiyo atakupigia simu uende lindi kuna kazi zakufanya muda huo huo

  • @mwamvitaibrahim8594
    @mwamvitaibrahim8594 Před 2 lety +5

    Hivi mngechangia masiki si mnge barikiwa wapendwa.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 lety +1

      Tanzania Bara hakuna MASKINI wote wana pesa zao....

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @shedy_marie
    @shedy_marie Před 2 lety +9

    Mayatima wanateseka mtaaani daah

    • @missrukia9661
      @missrukia9661 Před 2 lety

      Nikweliiiii tuwakumbukesan

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 Před 2 lety +14

    Hii family ipo high-powered profile kwenye serikali ya nchi hii toka uhuru Mbona ni aibu kusimama hapo kuchanga vilaki laki? Watu wenye akili kama hizi ndio wanaongoza nchi ndio maana hatusogei, Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye akili

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 2 lety +1

      Dah high profile?? Kuna Wazee ndio waliomuita nyerere dar akitokea Pugu shuleni , Mzee Sykes,Mzee Tambaza,Mzee Dossa ulishawahi wasikia??? Hao ndio walikuwa wadhamini wa kila kitu ,na show zote na wazee wengi , Baba wa Taifa aliposhika nchi historia ikaanzia kwake

    • @christinammassy1550
      @christinammassy1550 Před 2 lety

      Umekosa point

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 lety

      MUNGU MKUBWA... Magufuli peke yake ndio alibaki mwenye AKILI labda 🤔 na yeye ndiye hakuishi...mwenye akili...Mungu amlipe mazuri yake....alofanya DUNIANI.

  • @Linda-lr1lu
    @Linda-lr1lu Před 5 měsíci +1

    Kweli pesa inaenda kwenye pesa🙆‍♀️

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Před 2 lety

    Hongelenii sanaa

  • @fabianmrope2463
    @fabianmrope2463 Před 2 lety +10

    Mnatukata tozo za mihamala. Kodi kupitia mita za umeme kisha mnatumia kwenye harusi kwa nini msitumie hizo kujenga nchi? Hamtutendei hki kabisa aliyaona MAGU haya

  • @efgeniaosinga7125
    @efgeniaosinga7125 Před 2 lety +1

    Wow!

  • @user-dt7qd7eg5c
    @user-dt7qd7eg5c Před 5 měsíci

    Amin usiamin saiv niufikit pesa inaenda kwenye pesa ndugu zangu

  • @salumkarim69
    @salumkarim69 Před 2 lety +8

    kodi zetu hizi jamani wanazifania haki ipasavyo😂😂😂

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @AliMohamed-kd1uc
    @AliMohamed-kd1uc Před 2 lety +6

    Kazi ipo,ila muwakumbuke Na wahitaji jamami

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 2 lety +1

    Hizo peas mungewachangia maskin na watoto yatima mungu angewabariki sana.

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 2 lety

    Mashaallah...Wamepeneza

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @christinalusiji4926
    @christinalusiji4926 Před 2 lety

    Hongeren sana jmn kwanz mmependeza na zawad ni nyingi mpka raha mungu awatunze vyema

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq Před 9 měsíci

    Tanzania inawasaidia wanojuana masikn gani umuone anasaidiwa hiyo sahau ndug yangu watatangazwa mitandaoni lakin hakuna wakumsaidia matajiri wote duniani kuiona pepo ya.mungu ni wachache sana

  • @naomimmbaga9484
    @naomimmbaga9484 Před 2 lety +4

    Hongereni

    • @Aida-qh3jq
      @Aida-qh3jq Před rokem

      Wanazitoa kwa masilahi ya Dunia tu akhera hawana chochote hao

  • @reubenismail3672
    @reubenismail3672 Před 2 lety

    Daaa tz

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Před 2 lety +4

    Sisi tunawacheki tu mnavyo tutochora kwa kura Hera zetu

  • @joycematonya1241
    @joycematonya1241 Před 2 lety +4

    mungu awabariki katika ndoa yenu

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 Před 2 lety +2

    Hongereni jmn kwa kumtanguliza Mungu kwenye maisha ya ndoa

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @astamboi8098
    @astamboi8098 Před 2 lety

    🔥🔥🔥

  • @jasminmustapha4586
    @jasminmustapha4586 Před 2 lety +13

    Mpo kidunia zaid mbona hamuwasaidii yatima, wajane, wagonjwa, na wenye maitaji, mashetan wakubwa nyie

    • @edgarlinus2720
      @edgarlinus2720 Před 2 lety +1

      Kwel ndugu

    • @joycemwambe3494
      @joycemwambe3494 Před 2 lety +2

      Mhhh wivu huo mmesikia hatoi kwa hao wahitaji?? Hata wao wahitaji pia wanaenda Anza maisha

    • @edgarlinus2720
      @edgarlinus2720 Před 2 lety

      @@joycemwambe3494 🤣🤣🤣🤣

    • @beatricepallangyo2821
      @beatricepallangyo2821 Před 2 lety +2

      Hapa ni kwenye sherehe lazima wakae kisherehe.., tuwe na kiasi katika ndimi zetu

    • @ashampore6070
      @ashampore6070 Před 2 lety +2

      Hongera bi harusi ,mungu akubariki kwa moyo wa kumukubali Magotti bila kujali ulemavu wake,wewe ni mke mwema ,kamtunze mmeo usiadaike na mambo ya dunia wewe uko sehemu salaama .

  • @jacklinejastine1705
    @jacklinejastine1705 Před 2 lety +4

    Aisee Joyce umeupiga mwingi

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @anneytesha2419
    @anneytesha2419 Před 2 lety +1

    Tz sihami mamae

  • @marthahaule9112
    @marthahaule9112 Před 2 lety +5

    Kwa hali hii..... Akatae??? Wewe usifanye mchezo na pesa

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @andiweinbender50415
    @andiweinbender50415 Před 5 měsíci

    ❤️🦋🙏👨‍👩‍👧‍👦🌏Love Rom Kempten

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před 2 lety +10

    Utakataaje kwa mfano kuolewa na magoti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rahmarajab3688
    @rahmarajab3688 Před 2 lety

    Hongereni Sana,

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @jumakhalifa5843
    @jumakhalifa5843 Před 2 lety +6

    Harusi imekua kama mnada

  • @JoyceBrayton-hb5jv
    @JoyceBrayton-hb5jv Před rokem

    Mzee alivyonakiherehere sasa duuuh😅

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn Před 2 lety +4

    Washenzi nyie mnaachakusaidia vipofu yatima mnahangaika kutoa pesa harusini

    • @melkisedekkaijage2777
      @melkisedekkaijage2777 Před 2 lety +1

      Acha roho mbaya. Una uhakika vipofu na yatima hawasaidiwi? Uongo ni dhambi kwa Mungu

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @umojawawatanzania3813
    @umojawawatanzania3813 Před 2 lety +7

    Mungu awabariki.

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @annkim2690
    @annkim2690 Před 2 lety +1

    Jamani walisema love is blind sijui Kama niukweli

  • @majani9739
    @majani9739 Před 2 lety

    Daaaah

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @norberthmfilinge7975
    @norberthmfilinge7975 Před 2 lety

    Nice

  • @elizabethherman8393
    @elizabethherman8393 Před 2 lety +1

    Hongera zenu,Mungu awatunze mzae na watoto

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @afyatanzania4354
    @afyatanzania4354 Před 2 lety +3

    HONGERA SANA

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 Před rokem

    Kwa kweli wengine tuliigiza harusi iz pesa zote dhuu

  • @elischarles1615
    @elischarles1615 Před 2 lety +2

    Du hongera zao

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @rhodrickdemias947
    @rhodrickdemias947 Před rokem

    Weweeee

  • @mwanahamisbwanga1184
    @mwanahamisbwanga1184 Před 2 lety

    Pesaaa hak. Ya. Mungu

  • @husnarajabu4343
    @husnarajabu4343 Před 2 lety +2

    Hongera sherehe imefana

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @mmyshadyah5901
    @mmyshadyah5901 Před 5 měsíci

    Kuna watu wanapesa bwan nipeni. Ata milion1 daah

  • @jumanchimani1008
    @jumanchimani1008 Před 2 lety +1

    Hivi magoti ni mtoto au nani kwa Mangula

  • @ruwaydakhafidh9592
    @ruwaydakhafidh9592 Před 2 lety +2

    Anaweza kukataa kwa Hali hio😂😂😂

    • @ashirawaziri3195
      @ashirawaziri3195 Před 2 lety

      Na mm nashangaa😁

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 2 lety

      Fedha fedheha na penye udhia tia rupia.

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 lety

      @@ashaali7154 Haa haa wewe unayajuwa mambo yote... maneno ya kweli...

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @user-px8mr9ox5r
    @user-px8mr9ox5r Před rokem

    Jaman maisha haya tuungen mikono na cici

  • @lydiachembe9376
    @lydiachembe9376 Před 2 lety +4

    Jaman mungu awazidishie aman na upendo

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @upendomlaki1943
    @upendomlaki1943 Před 2 lety +2

    Nani kasikia ccm hoyeee.

  • @thebushguy5774
    @thebushguy5774 Před 2 lety +1

    Mia tisa itapendeza😂

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @ruwaydakhafidh9592
    @ruwaydakhafidh9592 Před 2 lety +7

    Sasa kwa Hali hio unawezaje kukataa kuolewa😂😂😂

  • @aishamtuli8926
    @aishamtuli8926 Před 2 lety

    Mmmmmh ndugu wa bb harusi sijui wanajisikiaje

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @josemartin5421
    @josemartin5421 Před 2 lety +2

    Maisha hayana usawa kabisa kweli keki ya taifa inaliwa na wenyewe

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @dianamwanua9564
    @dianamwanua9564 Před 2 lety +5

    Alafuu mnaulizaa et huyu dada kampendea nn Kaka wawatu

  • @winifredbuseli3879
    @winifredbuseli3879 Před 2 lety

    Safi

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @priscaharuni5715
    @priscaharuni5715 Před rokem

    Dunian atukuja kufanana barikiwen mlionacho ila njia ni moja ya kwenda pepon

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM Před 2 lety +1

    Magot umetisha bro

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @jaberjohn7556
    @jaberjohn7556 Před 2 lety +3

    Whoever you know the more successful you can be . Just look at this .

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 2 lety +1

    .Mzee Mangula oyeeeeeeeeeeeee! CCM Oyeeeeeeeeeeeee!

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @rizikiabdalla3308
    @rizikiabdalla3308 Před 2 lety

    Mungu nisamehe ila mbona bi harusi haendani na bwana harusi heee jaman wanaume tafuteni pesa kaaa

    • @girshonmatha1037
      @girshonmatha1037 Před 5 měsíci

      bibi harusi haendani kivipi, wewe wenyewe ukute hujaolewa unaona wivu

  • @claudianyangasi206
    @claudianyangasi206 Před 2 lety +2

    Masikini mnao Kila siku mbona hamjawahi kuwasaidia nyini mnaopiga kelele Acheni wivu wa kimaskini Aliepewa kapewa tu Hongera Sana Bwana na Biharusi

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester.
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Před 2 lety +3

    Mungu awazidishie upendo

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Před 2 měsíci

    Ukisema hela SEMA Sina usiseme hatuna

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 Před rokem

    Huyo mama hatamkimbia?

  • @verombwambo3703
    @verombwambo3703 Před 2 lety +1

    Pesa zinaenda kwenye pesa good

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @vckybayyo6671
    @vckybayyo6671 Před 2 lety +1

    Mmmmmh

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @angelrichard899
    @angelrichard899 Před rokem

    MUNGU AWAPE FURAHAA YA MIRERE KWENYE MAIXHA YENU YA NDOAA

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 2 měsíci

    Mungu ni Mkubwa

  • @elianifaaluka4790
    @elianifaaluka4790 Před 2 lety

    Hakuna kitu hapo kufurahishana ti

  • @mimimoop2617
    @mimimoop2617 Před rokem +2

    Wakitoka hapo wakajenge sio kwa mihela yote iyoo😊

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 2 lety

    Ndio pesa zetu tutafanyaje,ndo hvo....

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @saudambinga3832
    @saudambinga3832 Před 2 lety +6

    Mungu awajaalie watoto wenye busara na hekima Insha Allah 🇴🇲

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Před 2 lety +1

    Hongera sana binti kalenga

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @philipkomba5525
    @philipkomba5525 Před 2 lety +1

    Duh kongole kwao

  • @atupokilengallah4882
    @atupokilengallah4882 Před 2 lety

    Simuoni pole pole wala bashiru jamani

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @shukurumgaya5950
    @shukurumgaya5950 Před 2 lety

    Dada umeramba dume

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega9770 Před 2 lety

    Ccm tena kwenye harus ya mwenzio

    • @neemaalex7640
      @neemaalex7640 Před 2 lety

      😆😆😆

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 2 lety

      Yule mjamaa kaharibu kweli... ilikuwaje tena CCM OYEEE.😂😂😂..Daa alijisahau alifikiri yuko kwenye mkutano labda..Vichekesho maana pale watu walivaliya rasmi Mashaallah yeye kaingia tuu...basi hata angepiga (vigelegele) kama anajuwa😅 Lakini mchango mzuri katoa..

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 2 lety

    Aise Pesa ni jawabu la mambo yote

    • @hasnahasna6009
      @hasnahasna6009 Před 2 lety

      Umewaza kama mm ,mm nilivoiona hii arusi nilijuwa tu kumbe ela ndokila kitu

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @activestudios.
    @activestudios. Před 2 lety +3

    NAJUA MTASEMA DEMU ANAMPENDA JAMAA SEMA UKWELI NI KWAMBA HAKUNA DEMU YOYOTE DUNIANI ATAACHA FUKO LA PESA LIPITE HIVI HIVI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety

    Mh mangula miezi6 umefikia hapo?

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @estherkimario7940
    @estherkimario7940 Před 2 lety +1

    Wengine pesa hatuna kula yetu shda Ila pesa zinatolewa hiv kwel

    • @drvidah7030
      @drvidah7030 Před 2 lety +1

      umaskini wako dear,,,,watu wana pesa na mirad yao binafsi hawaibi...ni zawad kama zawad nyingine

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 2 lety

      @@drvidah7030 Miradi imefufuka baada ya kifo cha Mh. Magufuli. Hongera.

    • @saidmbilinyi5955
      @saidmbilinyi5955 Před 2 lety

      Pumbaavu zeni

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

    • @damarischarles9657
      @damarischarles9657 Před rokem

      @@ashaali7154 p

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před 2 lety +1

    Kuna watu wanaumwa wengine wanapoteza maisha wanakosa hata mchango wa kuwasaidia mazishi hamutoi na bado wakifa wanadaiwa na hospitali na maiti kuzuiliwa. Ama kweli dunia ni duara ila Mungu tu ndiye asiye na upendeleo lakini binaadam ndivyo walivyo.

    • @hassanpazi7216
      @hassanpazi7216 Před 2 lety

      Ww umetoa kias gan so far kuwasaidia

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 2 lety

      @@hassanpazi7216 Wewe unaeunadhani kila anaesaidia wenye dhiki anajisifia kama hao unaowatetea wewe? Sadaka yangu anaijua Mungu sina haja ya kutangaza kwa majivuno. Jifunze dini zote zinasemaje kuhusu sadaka acha kurukia usiyayajua.

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @noureencharles7391
    @noureencharles7391 Před 2 lety

    🤕

  • @aminakihangala9462
    @aminakihangala9462 Před 2 lety +6

    Yan hawa jamaa pesa zetu za tozo ndio wanatunzana hivi daaaah🤣🤣🤣🤣

    • @salvatorymtunga2802
      @salvatorymtunga2802 Před 2 lety +2

      Ukichangiwa kwenye harusi au kufanikiwa kwenye sherehe yoyote na ndugu, rafiki,na jamaa huo ni ufisadi?punguzene matusi kwa jamii.

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @prettyerasto8733
    @prettyerasto8733 Před 2 lety +2

    Ivi makambako unaweza kuja? Natamani uwe MC kwenye harusi yangu

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Před 2 lety +1

    Kumbe Kuna mafuta uko kwa mume

    • @mc.charles9276
      @mc.charles9276 Před 2 lety

      Tazama pia harusi ya Ester,
      czcams.com/video/iT808IBbtr0/video.html.

  • @prettyerasto8733
    @prettyerasto8733 Před 2 lety +4

    Nadaiwa vikoba milioni moja tu apa sipati usingizi kweli maji hufata mkondo