Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 12. 2023
  • Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/...
    Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
    Follow Platforms Zetu Nyingine:
    ✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/channel/0029VaFO...
    ✅ Instagram: / tanzanitedigital
    ✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
    Enjoy!
    #fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean
  • Jak na to + styl

Komentáře • 65

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  Před 10 dny

    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

  • @musictz1805
    @musictz1805 Před 7 měsíci +1

    Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y Před 3 měsíci

    Makini sana, hongeren san

  • @UGE.9i
    @UGE.9i Před 7 měsíci +1

    To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯

  • @francelwehela4059
    @francelwehela4059 Před 5 měsíci +1

    Ubarikiwe kaka

  • @laurenttibursius2661
    @laurenttibursius2661 Před 2 měsíci +1

    Boss 💯 nmekuelewa

  • @salehekisebengo8554
    @salehekisebengo8554 Před 2 měsíci +2

    Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm

  • @Evarestglobal_explore
    @Evarestglobal_explore Před 5 měsíci

    Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo

  • @user-pt6qr3ig2i
    @user-pt6qr3ig2i Před 3 měsíci +1

    Big up sana Bro ❤..

  • @veronicakawimbe3817
    @veronicakawimbe3817 Před 5 měsíci

    Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤

  • @andrewmbwana6336
    @andrewmbwana6336 Před 7 měsíci

    Namba yako Kaka

  • @NicksonKihombo
    @NicksonKihombo Před 2 měsíci +2

    naomba namba yk

  • @veronicavenance5842
    @veronicavenance5842 Před 6 měsíci

    youre the best

  • @CarolinaRobert-mx6nw
    @CarolinaRobert-mx6nw Před 6 měsíci

    I really appreciate it ❤❤

  • @AdamAyoub-wq7ku
    @AdamAyoub-wq7ku Před 6 měsíci

    Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️

  • @Mgutehekima.
    @Mgutehekima. Před 6 měsíci

    Vipi quality ya computer ukiagiza china?

  • @user-gs5ov9qx7t
    @user-gs5ov9qx7t Před 4 měsíci

    Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa

  • @jovingeniuss1711
    @jovingeniuss1711 Před 5 měsíci

    🧠🙏🏼

  • @boniphacejeremiah5682
    @boniphacejeremiah5682 Před 5 měsíci

    Asante Bro
    But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏

  • @christasyliviajosephat2003
    @christasyliviajosephat2003 Před 5 měsíci

    Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo

  • @angelmangi6138
    @angelmangi6138 Před měsícem

    Chukua maua yako🤝

  • @aggiebarton8315
    @aggiebarton8315 Před 7 měsíci

    Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana.
    ✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 11 dny

    Naomba namba

  • @qamalimisanya39
    @qamalimisanya39 Před měsícem

    Kaka Naomba hiyo address ya kampuni

  • @gsmtz5808
    @gsmtz5808 Před 4 měsíci

    Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address

  • @user-sh8nr3gw1c
    @user-sh8nr3gw1c Před měsícem

    Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 Před 5 měsíci

    Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal

  • @majidsalum1141
    @majidsalum1141 Před 29 dny

    Kaka naomb namba yako ya whsp

  • @njalamayala2211
    @njalamayala2211 Před 6 měsíci

    Asante Kwa SoMo zuri

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 11 dny

    Naomba namba mkuu

  • @user-gq5wt1dk8u
    @user-gq5wt1dk8u Před 6 měsíci

    Kaka naomba namba yako

  • @yustakipenya6231
    @yustakipenya6231 Před 7 měsíci

    Kwanini nimechelewa kuifaham hii

  • @NzengoPeter
    @NzengoPeter Před 4 měsíci

    Bdo ujafafanua vzr anza step by step

  • @user-wo4xi9qr9p
    @user-wo4xi9qr9p Před 5 měsíci

    Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare

  • @hunchotv2011
    @hunchotv2011 Před 4 měsíci

    naweza pata namba yako bro

  • @user-ld6bq4sb6b
    @user-ld6bq4sb6b Před 6 měsíci

    swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar

  • @user-gn4yb2dh4j
    @user-gn4yb2dh4j Před 4 měsíci

    Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao

  • @irenejerome111
    @irenejerome111 Před 5 měsíci +1

    Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před 5 měsíci

      swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss

  • @user-bl3un9gt2v
    @user-bl3un9gt2v Před 7 měsíci

    Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada

  • @MtumwaHassan-tb7wr
    @MtumwaHassan-tb7wr Před měsícem +1

    Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před měsícem

      confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr Před měsícem

      Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie

    • @MtumwaHassan-tb7wr
      @MtumwaHassan-tb7wr Před měsícem

      Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před měsícem

      Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 10 dny +1

    Naomba namba bwana mkubwa

  • @gasanatv4077
    @gasanatv4077 Před 3 měsíci

    Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi

  • @motivationinlife345
    @motivationinlife345 Před 7 měsíci +1

    🫡🫡🫡

  • @AhmedKhalid-vr2bh
    @AhmedKhalid-vr2bh Před 3 měsíci +1

    brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika

  • @ndamo2653
    @ndamo2653 Před 7 dny +1

    Braza tuachie namba yako ya simu

  • @mazikumathew8873
    @mazikumathew8873 Před 3 měsíci

    Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie

    • @LindaSalumu-yw9hq
      @LindaSalumu-yw9hq Před 2 měsíci

      Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha

  • @StephanoShambogo
    @StephanoShambogo Před měsícem

    Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  Před 7 měsíci +2

    Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼czcams.com/video/V-9AbEURPZA/video.html
    Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 czcams.com/video/DrYVhHdqtnc/video.html