Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua Kwa Simu (App)
Vložit
- čas přidán 16. 12. 2023
- Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/...
Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
Follow Platforms Zetu Nyingine:
✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/channel/0029VaFO...
✅ Instagram: / tanzanitedigital
✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
Enjoy!
#fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean - Jak na to + styl
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/
Aiii nimependa kaka maelezo yako Kila sku nilikuwa najiuliza nitawezje ila umenisanuwa chukuwa maua yako kiroh safi 🌹🌹🌹🌹
Makini sana, hongeren san
To be honest nimekuelewa vzr sana Boss, 💯
Ubarikiwe kaka
Boss 💯 nmekuelewa
Nmeshiba maelezo yako kiongozi,but nikipata shida nitakutafta,samahani naomba mawasiliano ya direct ,i means no za cm
Ahsante kwa video zenu kiukweli zinasaidia wengi nikiwa mmoja naomba niulize kama mtu anaweza kutumia wakala kwenye malipo
Big up sana Bro ❤..
Nimependa mafundisho yako unaeleweka❤
Namba yako Kaka
naomba namba yk
youre the best
Asante 💯
I really appreciate it ❤❤
Karibu ♥️
Kaka uko vizuri sana maelezo yame nyooka Umetuzindua maan watu tuna pigwa bei balaa kumbe kuagiza ni bei chee2 sante sana mung aku bariki kaka❣️💯✔️
shukrani chief 💯
Vipi quality ya computer ukiagiza china?
Mungu akubariki na akuzidishie ulipotoa
Shukran 🙏🏾
🧠🙏🏼
Asante Bro
But nilizani naweza tumia hata simu card kufanya malipo mfano Mpesa and so on. But thanks for time and appreciate👏
Naomba process za malipo au unatakiwa kuwa na visa au uwe na nn haswa ili kukamilisha malipo
Chukua maua yako🤝
Katika tutorial zote nilizo angalia. Aloo hii nimeelewa vizuri sana.
✡️✡️✡️✡️✡️ Nimekupa
Naomba namba
Kaka Naomba hiyo address ya kampuni
Kaka habar vipi utaweza kupata agent. address
Mkuu me nahitaj msaada zaidi jinsi ya kupokea mzigo ukifika dar kwa wale tulioko mikoan
Hello my frnd.. nafanyaje kuweka card yangu kuweza kupay paypal
Kaka naomb namba yako ya whsp
Asante Kwa SoMo zuri
karibu
Naomba namba mkuu
Kaka naomba namba yako
Kwanini nimechelewa kuifaham hii
Bdo ujafafanua vzr anza step by step
Hauko serious my friend
Vipi kuhusu ukitaka kuchagua company ya kitu unacho kitaka sana san mwenye spare
naweza pata namba yako bro
swal lang n ,agent akshafika inchin mzgo anakufkishia mahal unapokua(mf.mkoa nje ya dar)!?au mteja ndo inabd afate kwa ofs zao may be!. maelekezo tafadhar
Kwasisi wa mikoani vp mzigo unafika Hadi nilipo au ndo nitafuata katika office zao
Ahsante Kwa SoMo zuri.. naomba kujua kunawwza kuwa na account fake yaan matapeli Alibaba?... Maana Kuna account za supplier nyingne zimeandikwa verified na zingne hazijaandikwa verified.. naomba maelezo kidogo
swali zuri, nakuandalia video wiki hii kwa uelewa zaidi boss
Samahan tuelekeze jinsi ya kupata makampuni ya usafirishaj hasa ya ndege apo ndo pagumu sana msaada
Asnt san nimepend ulivyoelekeza but mm nipo n shida moj.all processure nafanikiwa lkn shida inakuj kunako payment malipo hayakamilik afu ela ipo y kutosh kwrny account.hii inakuaje
confirm na bank yako, kama kadi/account yako ina uwezo wa kulipia online.
Naomb usaidiz zaid tafadhali coz mm kil kit kinakua saw ila kitend cha kulip tuuu ndio haifanikiwi.really sielee shiada .naomb unisaidie
Ingekua kun uwez wa kutum pich ningekutumia uwo wap nakwama.if utojal naomb no yak y whatpp nikutumie
Wasiliana na bank yako tafadhari. Eidha wamekublock kununua Alibaba. Watakusaidia. Ni changamoto ya kawaida. Itakaa sawa.
Naomba namba bwana mkubwa
tanzanitedigital.com/hire-us/
Mimi bado wananitatiza unakuta amount iliyoamdikwa chini ya bidhaa inakuwa tofauti when you start to make ordw inaweza hata kuwa mara mbili ya Ile ya mwanzo harafu wanakupgia total with shipping cost inakuwa kuubwa shida ni nini hapo au nakosea wapi
Mimi pia nimeshtuka
🫡🫡🫡
brother umeagiza pikipiki kupitia njia ya meli umetumia ajent kuna ushuru labda utatoa mzigo ukifika
Kupitia ndege huwez ukaagiza pik pik😂😂
Braza tuachie namba yako ya simu
Serious enquiries only: 0747 177 677
Huo mzigo ulishaulipia unauchukulia daressalam au hata mikoano unafikishwa maana Mimi Niko mkoani shinyanga nisaidie
Ukiagia unalipia cargo yako uliotumia then utatumiwa mkoani then unalipia kwa gar ulotumia kusafirisha
Vp natak nifany manunuz na sina agent ntapataj agent
Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼czcams.com/video/V-9AbEURPZA/video.html
Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 czcams.com/video/DrYVhHdqtnc/video.html
🎉🎉