Jinsi ya kuagiza kutoka Aliexpress hadi Tanzania / How to order from Aliexpress and ship to Tanzania
Vložit
- čas přidán 26. 11. 2023
- Karibu,
Nasisituza zaidi kuhusu
- SHIPPING ADRESS
- KUSOMA REVIEWS ZA WANUNUZI
- KUWA NA HELA YA ZIADA KWENYE CARD YAKO
- CHAT NA MUUZAJI KABLA HAJATUMA MZIGO WAKO
IKIWA UTAHITAJI NIAGIZE KWA NIABA YAKO, NITAFANYA HIVYO
WHATSAPP TU
+255 747 096 655
3:11
Good
Asante dadangu uko vizuri Sana
Asante Masoud, tafadhali subscribe, Like na Share hii video 🎊
Asante Kwa kushare maarifa👍👍
Shukran sana
Good content Joy 😍
Thank you! 🤗
Naomba nama yako ya whatsapp
Asante nimeelewa ila ninaswali
Karibu, uliza tu
Silas wigos um here ❤
Sawa😁asante ila subscribe basi
Morning deare, naomba yako ya whattsapp mimi nipo zambia ,
Njoo instagram @joycejoes_ ina profile picture kama hii🥰
Dada naweza pata mawasiliano yko unipe darasa juu ya hilo
Ndio, nitumie message instagram @joycejoes_
Could you do for shein love
Hello, Thank you. Ndo nilikua kwenye hatua za mwisho mwisho nafikiri nitaweka video mwezi huu huu
Also love, you used your physical address on where you stay or? Did alibaba provide you with a courier 🚚 guy or you had yo organize one for yourself
Aliexpress provides courier services. For Alibaba, you have to chat with your supplier about what courier company you would want to use
Currently does it work the same?
Yes it does. Just write your proper adress, and the delivery guy will call you when he is in your area.
Sista nisaidie namba yako maana huwa napata kigugumiz san katika hayo masoko
Sawa
Naomba kama kuna uwezekano dear naomba unisaidie namba ako
Njoo instagram @joycejoes_
Hongera sana my dear sisi wengine tunataka kuagiza lakin hatujui ata jinsi ya kufanya
Good
Karibu sana