TUMEONYESHWA KILA HATUA, WANAVYOTUMA MIZIGO CHINA- TANZANIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2019
  • Silent Ocen ni Kampuni ya Kitanzania inayofanya kazi ya kusafirisha mizigo kutoka China kwenda Afrika ikiwemo Tanzania.

Komentáře • 199

  • @deniskaijage1857
    @deniskaijage1857 Před 5 lety +21

    Kitu kimoja kinawafamya muwe bora zaidi ni kutoa habari za ukweli wala siyo uzushi uzushi

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Před 5 lety +38

    Millard Ayo mko vizuri sana kwenye kupromote wabongo waishio nje.. Hongereni sana 👏👏👏

  • @muniradaudi440
    @muniradaudi440 Před 4 lety +3

    Mungu nijalie niende china n mm

  • @michaelmathew8309
    @michaelmathew8309 Před 5 lety +1

    Safi sna Millard Ayo

  • @kriegerfrieden
    @kriegerfrieden Před 5 lety +5

    Nice sanaaa milad
    Endelea kutufunza vitu vizur

  • @dronemiguel2230
    @dronemiguel2230 Před 5 lety +5

    Kweli mnakiu ya habr hongereni sanaaaaa Kwa investment yenu

  • @sendeesupriydewoochiagaliy7474

    great a lot research wa tanzania Tuige kwa wenzetu

  • @zanzibaronetv988
    @zanzibaronetv988 Před 5 lety +2

    Licha yakua mnafanya kazi kujipatia Riski lkn pia hongereni na Ahsante kwa juhudi mnazozifanya Ahsante sanaaaa

  • @josephinekimenye2192
    @josephinekimenye2192 Před 4 lety +1

    kwa kweli mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
    kwa mfano akitaka kuagiza mzigo toka china na hajui aanzie wapi mnamsaidiaje

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 5 lety +20

    Huwa naitumia saana hii kampuni ys Silent Ocean kunisafirishia mizigo yangu
    Big Up saaana S,Ocean👏🏼

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 Před 5 lety +2

      Khalid naona comment yko hapa !! But plzz naomba tuwasiliane nitafute kwa hii nomber plzz +974 30170668 plzz

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 Před 5 lety

      Haji Khatib sawa mkuu

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 Před 5 lety +1

      Khalid huwa wanachaji kiasi gani kwa cbm moja ? Au kwa kg ? Garama yote mpaka Tz inacost vp?

    • @khalidballeth5957
      @khalidballeth5957 Před 5 lety +2

      Ghalib Mansour huwa wanachaj 380 na kitu Usd kwa CBM moja
      Yaani almost 400$usd kwa cbm moja

    • @ghalibmansour7857
      @ghalibmansour7857 Před 5 lety +1

      @@khalidballeth5957 Khalid mm cbm siifahamu ukubwa wake ... unaweza nifahamisha ukubwa labda au ni mfano wa kg ngapi tuseme

  • @beijoozessence1048
    @beijoozessence1048 Před 5 lety +3

    Dahhh haah ukweli nimefuraishwa sana kwa kweli silent.oceAn mkombozi wa Mtanzania akiwa china ivi mbona muna moyo mzuri ivooioooo""live longggg

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 Před 9 měsíci

    Hongereni saana kwakuturaisishia usafirishaji

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 Před 5 lety +8

    Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 Před 5 lety

    Mashaa Allah yani

  • @djmossikahayodjmossikahayo8537

    Good News millard tv

  • @ahmadiakili261
    @ahmadiakili261 Před 5 lety +9

    MillardAyo itabaki kuwa juu

  • @taanimedia6489
    @taanimedia6489 Před 5 lety

    good work ayo

  • @adelynemizengo1514
    @adelynemizengo1514 Před 5 lety

    Safi sana aisee

  • @sellah4603
    @sellah4603 Před 5 lety +5

    Millard Ayo kama uko nayee chin mwambie anifanyie mpango w canon uko nibei chee awake kwenye begi nitakuja mpoke 🤝

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz Před 5 lety +5

    Silent Ocean itabaki Kuwa Juu Kama Kamaida Tunakimbizaaaaa Mgaddam Mgaddam Nakuona Generally ukitoa Survey Unatishaaaaa

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania Před 5 lety +2

    Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.

  • @anoldamarini9788
    @anoldamarini9788 Před 5 lety +1

    Yupo vizur sana ok

  • @secilialyimo6070
    @secilialyimo6070 Před 4 lety

    Nicee Ayo

  • @renatusdeogratias2108
    @renatusdeogratias2108 Před 5 lety +3

    Hakuna kama silent ocean na ijumaaa wananipakilia mzigo wangu thanks we support you

  • @husseinheri4363
    @husseinheri4363 Před 5 lety

    Nimekubali

  • @DumperClassic
    @DumperClassic Před 11 dny

    Safi sanaa

  • @heshimabigete3735
    @heshimabigete3735 Před 4 lety

    Content

  • @MavaziClothing
    @MavaziClothing Před 5 lety +2

    Wageuzieni kibao hao Jamaa ndiyo mtakuwa juu bongonians.
    Mkifuata maneno yangu mtakuja kunishukuru baadae.

  • @michaelngadi8178
    @michaelngadi8178 Před 5 lety +2

    Jaribu kumuuliza kama wanahusika na bidhaa katika sector ya kilimo na mifugo pleaz

  • @elizabethkayinga1149
    @elizabethkayinga1149 Před 5 lety +1

    Duh hamjauliza hata bei labda tungepata ujasiri wa kwenda kuchukua mzigo China waandishi wengine bhana

  • @lordrichreuben1446
    @lordrichreuben1446 Před 3 lety

    Safiiii mnatupatia vitu vizur

  • @salumsalum2901
    @salumsalum2901 Před 5 lety

    Hongereni sana silent Je kama niko zanzibar upo uwezekano wakunifikisha mzigo wangu hadi zanzibar

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 Před 5 lety

      Salum Salum upo uwezekano mm mwenyewe naishi zanzibar naletea

    • @salumsalum2901
      @salumsalum2901 Před 5 lety

      @@ringotv4918 hapa zanzibar office ya Silent iko wapi?

    • @ringotv4918
      @ringotv4918 Před 5 lety

      Unafuata bandarini

  • @kingjafu7759
    @kingjafu7759 Před 5 lety +5

    We jamaa Umekula shrimp 🍤

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 3 lety

    Hakika mmetusaidia sana kwenye hili safi sana. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @shabansalum9283
    @shabansalum9283 Před 5 lety +1

    ooohnimefurahisana

  • @EphraimJoseph-zp1yi
    @EphraimJoseph-zp1yi Před 2 měsíci

    Naulizia kwa kontena Moja LA mzigo wanasafirisha kwa shingapi please nisaidie

  • @user-oq3dd5xj9m
    @user-oq3dd5xj9m Před 4 lety

    Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job

  • @emyemy2229
    @emyemy2229 Před 3 lety

    Duu naipenda hivi bila kwenda inawezekana

  • @jennykwayu7880
    @jennykwayu7880 Před 4 lety +1

    One day yes RIP my mother

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 5 lety

    Ujawauliza bhana kuhusu gharama za malipo ya usafirishaji mzigo kutoka China to Tanzania

  • @gadafigadafi4464
    @gadafigadafi4464 Před 4 lety +1

    Broo tembelea Dubai kujuwa soko lale na urahisi wakazi zake asant

  • @zuuothman9170
    @zuuothman9170 Před 4 lety +1

    Tuleteen na huku oman tunapata tabu sana tunaibiwa mizigo yetu haifik salama

    • @romzget1892
      @romzget1892 Před 4 lety

      mdada nakutafuta vepe whatsap ckupati ume change whatsap number me n jackson umenipata?

  • @nyangipatrick5665
    @nyangipatrick5665 Před 5 lety

    Naomba kupata namba zako ww mtangazaji mana nahitaj nikuulize vitu kadhaa plz naomba sana

  • @saidimgawe6548
    @saidimgawe6548 Před 2 lety

    👍

  • @samirasleiman3508
    @samirasleiman3508 Před rokem

    Silent ocean mbona sim zenu hazipatikani?

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 Před 5 lety

    Millard Ayo
    tutafutie contact za kuwasiliana na Ahmed Tamim

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 4 lety

    Nimejifunza. iposiku

  • @deking96
    @deking96 Před 5 lety +14

    Je? Naweza kuagiza mzgo bila kwenda uko na nikaupata mzgo

    • @romzget1892
      @romzget1892 Před 5 lety +1

      yes you can do without to go china

    • @pastorjacobgasper4645
      @pastorjacobgasper4645 Před 5 lety +1

      Romzget how?

    • @romzget1892
      @romzget1892 Před 5 lety

      @@pastorjacobgasper4645 0713089612 call or tsap for more bro

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 Před 5 lety +1

      @@romzget1892 wewe unahusika silent ocean? ..nahitaji kuagiza mzigo

    • @romzget1892
      @romzget1892 Před 5 lety +1

      @@hamzamussa8727 No siusiki silent ocean sema uwaga nanunuaga vitu online mala kwa mala

  • @umtweve4501
    @umtweve4501 Před 5 lety

    Laaa! Mchizi Wa kichina anabonga lugha nimependa hyo

  • @samueldavid5208
    @samueldavid5208 Před 4 lety

    Mbona me sielewi yaan gharama. Zao zipo vipi?

  • @zainabusaidi9500
    @zainabusaidi9500 Před 4 lety

    Kwa dubai mpo sehem gani na gharama zenu ni kiasi gani

  • @massawejacob
    @massawejacob Před 4 lety +1

    Naomba contact za huyu op manager hapo

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 5 lety

    WHAT ABOUT SENDING TO KENYA

  • @allymohd4884
    @allymohd4884 Před 5 lety +8

    Mtangazaji sauti inafanan na millard mwenyew au mdog wako

  • @mohamedsheealom8745
    @mohamedsheealom8745 Před 4 lety +1

    Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 3 lety

    Jee kwawale waliopo Zanzibar wanafaidika vipi nahuduma hizi

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 5 lety +2

    Huyu anaongea kam ayo

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 Před 5 lety

    Nakbal san AyO tv

  • @lawrencejohnson5537
    @lawrencejohnson5537 Před 5 lety

    Mko vzr kaka

  • @muharamkigogo2955
    @muharamkigogo2955 Před 5 lety

    Hivi miladi ayo tulizie kiasibganinkusafirisha mzigo au garama zao

  • @mywater6796
    @mywater6796 Před 5 lety +1

    wanatuma na accessories kama simu na laptops tusaidie na address yake au wechat

  • @nalyismail9915
    @nalyismail9915 Před 3 lety +3

    Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah

  • @barakahchogo5533
    @barakahchogo5533 Před 4 lety

    Je ,wanaweza kumsaidia mtu kumnunulia mzgo

  • @burudani9901
    @burudani9901 Před 4 lety

    Wanatumia app gan

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 Před 3 lety

    Naomba no za simu zenu pls nataka kuanza biashara

  • @rajabuhassani4504
    @rajabuhassani4504 Před 4 lety

    Ayo bwana we acha 2

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 Před 5 lety

    Daah so sad tumeshindwa kushona nguo

  • @anethjoseph4542
    @anethjoseph4542 Před rokem

    Tunaomba namba

  • @ranger_2134
    @ranger_2134 Před 5 lety

    Mnipe ata kitengo kam iko Ayo

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 Před 3 lety

    Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar

  • @stellahmatondwa7168
    @stellahmatondwa7168 Před 4 lety

    Ifikie mda na ss tuexport na sio kuemport tu Ni hasara kubwa Kwa Tanzania

  • @OmarBaabdeTz
    @OmarBaabdeTz Před 5 lety +2

    Ndivyow Karibuni Sanaaa Silent Ocean

  • @isackcharles3310
    @isackcharles3310 Před 3 lety

    Nitumie no ya mmoja mtz

  • @augustinopanga9622
    @augustinopanga9622 Před 3 lety

    Ago ni TABIA GANI HIYO KUTUWEKEA CLIP YAO BILA MAWASILIANO YAO?

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 Před 5 lety

    Ahmedi Tamim niapatie contact yako

  • @lidialameck5590
    @lidialameck5590 Před 5 lety

    Milard Ayo, hao silent ocean hatupati mawasiliano yao, maana hata ukiingia google haipati useful info, please tupe mawasiliano, tunawahitaji sana. Nice job

    • @jumachabai2874
      @jumachabai2874 Před 5 lety

      Lidia Lameck weka email yako nitakupatia mawasiliano ya wahusika

    • @hajikhatib8840
      @hajikhatib8840 Před 5 lety

      @@jumachabai2874 plzz me naomba hayo mawasiliano ya wahusika !!! Email.yng ni amour.turbo@gmail.com

    • @lidialameck5590
      @lidialameck5590 Před 5 lety

      @@jumachabai2874 pklameck@yahoo.com
      Ahsante

    • @hamzamussa8727
      @hamzamussa8727 Před 5 lety

      @@jumachabai2874 nitumie namba zao kazibureh@gmail.com

    • @fridafungo948
      @fridafungo948 Před 4 lety

      Lidia Lameck ingia Instagram silent ocean

  • @ukweliunauma4570
    @ukweliunauma4570 Před 3 lety

    Niko senegal vipi wanatuma mzigo west africa au east africa tu

  • @walterswai6829
    @walterswai6829 Před 5 lety

    Kama nilivyokwambia

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 Před 3 lety

    no zao

  • @davisamark8515
    @davisamark8515 Před 5 lety +1

    Tunapataje mawasliano ya cm ili tuweze kuwatafuta hiyo kampuni

  • @mwananchipress3569
    @mwananchipress3569 Před 3 lety

    Kumbe Tabia za makuli zinafanana tuu ahha matumbo wazi

  • @rukiyahussan4190
    @rukiyahussan4190 Před 5 lety +3

    Naomba unisaidie namba ya uyo meneja

  • @user-rq2vc7uf7s
    @user-rq2vc7uf7s Před rokem

    Watukumbuke na watu wa Egypt hata mara 1 kwa mwaka

  • @nuhurajai1992
    @nuhurajai1992 Před 5 lety

    Miladi acha ubaili ongeza bum kule ili Mambo yaende sawa bin sawiya

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 Před 3 lety

    Sasa mmnatamani kufanyahio biashara nahitaji niwenakiasi gani kwaajili hakutuma hela bilayamm kufika namba ya cimu yahuko naomba jamani

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 Před 11 měsíci

      Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean

  • @kingaweys
    @kingaweys Před 3 lety

    Kumbe kuna wacheina wabeba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @islamubakarpba9561
    @islamubakarpba9561 Před 5 lety +2

    Huyo meneja ni wawapi mbn anaongea kipemba

  • @christianalex341
    @christianalex341 Před 5 lety

    Itabidi nije huko nitafute kibarua hata cha kusafisha godauni

  • @wizydeko1496
    @wizydeko1496 Před 5 lety +3

    Makuli adi China waapo sio poa

  • @frankebella6762
    @frankebella6762 Před 5 lety +1

    Safi lkn mbona muna muiga sauti ya milard hayo

  • @eligiuselias4469
    @eligiuselias4469 Před 5 lety

    Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa

  • @yasinhamis7060
    @yasinhamis7060 Před 3 lety

    Nivizuli

  • @fatwimamakungu5456
    @fatwimamakungu5456 Před 5 lety +2

    Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani

  • @nelsonkaaya4172
    @nelsonkaaya4172 Před 5 lety

    ayo noma

  • @stevngota1038
    @stevngota1038 Před 5 lety +2

    Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup

  • @hassanpyallah8750
    @hassanpyallah8750 Před 4 lety

    Kwann weng walio uko ni waislam

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 Před 4 lety

    Galama za usafirikwenda na kurudi pesa NGAPI za madafu nataman kufika

    • @user-dx6dm6lh1i
      @user-dx6dm6lh1i Před 4 měsíci

      Weka milion tano kwenda juu mbali ya mzg maana tiket huwa inafika mpk milion tatu kupanda na ikate tiketi mapema huwa bei inashuka

  • @hamadndege9016
    @hamadndege9016 Před 4 lety

    Hoyamirad badojapan

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 Před 5 lety

    Asnte kwa elimu hii Millard Ayo

  • @dickaugustino2214
    @dickaugustino2214 Před 5 lety

    Nitafutie Nazi ya forklift operator, China