Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo
Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.
Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job
Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara
Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah
Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar
Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean
Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa
Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani
Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup
Kitu kimoja kinawafamya muwe bora zaidi ni kutoa habari za ukweli wala siyo uzushi uzushi
Millard Ayo mko vizuri sana kwenye kupromote wabongo waishio nje.. Hongereni sana 👏👏👏
asante
@@rehemahramadhani3428 mdada umebadilisha namb whatsap maan sikupati jack ap
Mungu nijalie niende china n mm
Safi sna Millard Ayo
Nice sanaaa milad
Endelea kutufunza vitu vizur
Kweli mnakiu ya habr hongereni sanaaaaa Kwa investment yenu
great a lot research wa tanzania Tuige kwa wenzetu
Licha yakua mnafanya kazi kujipatia Riski lkn pia hongereni na Ahsante kwa juhudi mnazozifanya Ahsante sanaaaa
kwa kweli mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
kwa mfano akitaka kuagiza mzigo toka china na hajui aanzie wapi mnamsaidiaje
Huwa naitumia saana hii kampuni ys Silent Ocean kunisafirishia mizigo yangu
Big Up saaana S,Ocean👏🏼
Khalid naona comment yko hapa !! But plzz naomba tuwasiliane nitafute kwa hii nomber plzz +974 30170668 plzz
Haji Khatib sawa mkuu
Khalid huwa wanachaji kiasi gani kwa cbm moja ? Au kwa kg ? Garama yote mpaka Tz inacost vp?
Ghalib Mansour huwa wanachaj 380 na kitu Usd kwa CBM moja
Yaani almost 400$usd kwa cbm moja
@@khalidballeth5957 Khalid mm cbm siifahamu ukubwa wake ... unaweza nifahamisha ukubwa labda au ni mfano wa kg ngapi tuseme
Dahhh haah ukweli nimefuraishwa sana kwa kweli silent.oceAn mkombozi wa Mtanzania akiwa china ivi mbona muna moyo mzuri ivooioooo""live longggg
moyo mzur wakat wanapga pesa???
Hongereni saana kwakuturaisishia usafirishaji
Habar kaka nimeipenda xana kazi na huduma ya Silent ocean na huwa nafatilia, naomba kujua kama wanahusika na kutuma bidhaa zingne kama Poultry cages coz hapo naona tu ni nguo
Cheki video ya kwanza kuna phone number zao na web site yao
Mashaa Allah yani
Good News millard tv
MillardAyo itabaki kuwa juu
good work ayo
Safi sana aisee
Millard Ayo kama uko nayee chin mwambie anifanyie mpango w canon uko nibei chee awake kwenye begi nitakuja mpoke 🤝
+8615571693022 to order
Silent Ocean itabaki Kuwa Juu Kama Kamaida Tunakimbizaaaaa Mgaddam Mgaddam Nakuona Generally ukitoa Survey Unatishaaaaa
Hongereni sana vijana mliopo pande za China nimejikuta nikivutiwa sana na kuingia katika Biashara hii kwani nitaweza kununua biashara yangu China, kuisafisha kwa kutumia agent wa uhakika mpaka unafika Tanzania kisha naenda kuufuata kwenye Godown lao kwa mara ya mwisho.
Yupo vizur sana ok
Nicee Ayo
Hakuna kama silent ocean na ijumaaa wananipakilia mzigo wangu thanks we support you
Your contact Jenny
Nawapataje
@@sabinaluyego4408 kwa whatsApp wanapatikana
Namba zao
Nimekubali
Safi sanaa
Content
Wageuzieni kibao hao Jamaa ndiyo mtakuwa juu bongonians.
Mkifuata maneno yangu mtakuja kunishukuru baadae.
Jaribu kumuuliza kama wanahusika na bidhaa katika sector ya kilimo na mifugo pleaz
Duh hamjauliza hata bei labda tungepata ujasiri wa kwenda kuchukua mzigo China waandishi wengine bhana
Safiiii mnatupatia vitu vizur
Hongereni sana silent Je kama niko zanzibar upo uwezekano wakunifikisha mzigo wangu hadi zanzibar
Salum Salum upo uwezekano mm mwenyewe naishi zanzibar naletea
@@ringotv4918 hapa zanzibar office ya Silent iko wapi?
Unafuata bandarini
We jamaa Umekula shrimp 🍤
Hakika mmetusaidia sana kwenye hili safi sana. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
ooohnimefurahisana
Naulizia kwa kontena Moja LA mzigo wanasafirisha kwa shingapi please nisaidie
Okay from China to Dar. But we've only see one part. China. How about the rest. From Ocean to the Port to DAR warehouse to the customer... Needs to follow up not let it hanging on air. That what they call it about that job
Duu naipenda hivi bila kwenda inawezekana
One day yes RIP my mother
Ujawauliza bhana kuhusu gharama za malipo ya usafirishaji mzigo kutoka China to Tanzania
Broo tembelea Dubai kujuwa soko lale na urahisi wakazi zake asant
Tuleteen na huku oman tunapata tabu sana tunaibiwa mizigo yetu haifik salama
mdada nakutafuta vepe whatsap ckupati ume change whatsap number me n jackson umenipata?
Naomba kupata namba zako ww mtangazaji mana nahitaj nikuulize vitu kadhaa plz naomba sana
👍
Silent ocean mbona sim zenu hazipatikani?
Millard Ayo
tutafutie contact za kuwasiliana na Ahmed Tamim
Nimejifunza. iposiku
Je? Naweza kuagiza mzgo bila kwenda uko na nikaupata mzgo
yes you can do without to go china
Romzget how?
@@pastorjacobgasper4645 0713089612 call or tsap for more bro
@@romzget1892 wewe unahusika silent ocean? ..nahitaji kuagiza mzigo
@@hamzamussa8727 No siusiki silent ocean sema uwaga nanunuaga vitu online mala kwa mala
Laaa! Mchizi Wa kichina anabonga lugha nimependa hyo
Ni Mtanzania huyo
Mbona me sielewi yaan gharama. Zao zipo vipi?
Kwa dubai mpo sehem gani na gharama zenu ni kiasi gani
Naomba contact za huyu op manager hapo
WHAT ABOUT SENDING TO KENYA
+8615571693022
Mtangazaji sauti inafanan na millard mwenyew au mdog wako
Wah hij millard ayo naikubali vile wanavyosafiri nchi mbali mbali kwa ajili ya habari kupromote nchi yao kenya kwetu kazi zao ni corruption tu kuongelea serekali badala ya biashara
Jee kwawale waliopo Zanzibar wanafaidika vipi nahuduma hizi
Huyu anaongea kam ayo
Nakbal san AyO tv
Mko vzr kaka
Hivi miladi ayo tulizie kiasibganinkusafirisha mzigo au garama zao
wanatuma na accessories kama simu na laptops tusaidie na address yake au wechat
+8615571693022
Nipo kwenye groups za kuagiza mizigo China na huwa tunatumia silent ocean kiukwel wapoo vzr Ila natamani Sana Mungu anipe uwezo siku moja na mm niwe mfanyabiashara mkubwa hata niende mwenyewe kufuata mizigo inshallah
Group lipi ?
Naomba kuona bidhaa zenu
InshaaAllah allah atujaalie sote tunufaike na Silent ocean
Wapo vzr na bei ni nzr na mzigo inachelewa.
Je ,wanaweza kumsaidia mtu kumnunulia mzgo
Wanatumia app gan
Naomba no za simu zenu pls nataka kuanza biashara
Ayo bwana we acha 2
Daah so sad tumeshindwa kushona nguo
Huwezi fanya vyote,material hatuna
Tunaomba namba
Mnipe ata kitengo kam iko Ayo
Air ticket from tz to China Ni dollars ngapi....na jee huduma hii from China to Mombasa Kenya mzigo utafika port ya Mombasa ama itabidili kuupokea mzigo wako nimpaka uufuate dar
Ifikie mda na ss tuexport na sio kuemport tu Ni hasara kubwa Kwa Tanzania
Ndivyow Karibuni Sanaaa Silent Ocean
Tupatie nambq kaka
Tamim: +8615975300400
@@ramadhannasibu7753 asante
@@ramadhannasibu7753 viipi kuusu uagizajyi wa mzigo adi Burundi Bro ?!
Wengne mataleli humu
Nitumie no ya mmoja mtz
Ago ni TABIA GANI HIYO KUTUWEKEA CLIP YAO BILA MAWASILIANO YAO?
Ahmedi Tamim niapatie contact yako
Milard Ayo, hao silent ocean hatupati mawasiliano yao, maana hata ukiingia google haipati useful info, please tupe mawasiliano, tunawahitaji sana. Nice job
Lidia Lameck weka email yako nitakupatia mawasiliano ya wahusika
@@jumachabai2874 plzz me naomba hayo mawasiliano ya wahusika !!! Email.yng ni amour.turbo@gmail.com
@@jumachabai2874 pklameck@yahoo.com
Ahsante
@@jumachabai2874 nitumie namba zao kazibureh@gmail.com
Lidia Lameck ingia Instagram silent ocean
Niko senegal vipi wanatuma mzigo west africa au east africa tu
Kama nilivyokwambia
no zao
Tunapataje mawasliano ya cm ili tuweze kuwatafuta hiyo kampuni
Tamim: +8615975300400
Kumbe Tabia za makuli zinafanana tuu ahha matumbo wazi
Naomba unisaidie namba ya uyo meneja
Tamim: +8615975300400
safi
Watukumbuke na watu wa Egypt hata mara 1 kwa mwaka
Miladi acha ubaili ongeza bum kule ili Mambo yaende sawa bin sawiya
Sasa mmnatamani kufanyahio biashara nahitaji niwenakiasi gani kwaajili hakutuma hela bilayamm kufika namba ya cimu yahuko naomba jamani
Inategemeana na biashara unayo taka kuanza kuiuza na suala la kutuma hela wao silent ocean hawausiki mpka uwasiliane na muuzaji wako kisha ndio atakupa link ya malipo na ww ndio utafanya malipo kisha akutumie mzigo wako Katika ghala za silent ocean
Kumbe kuna wacheina wabeba mzigo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyo meneja ni wawapi mbn anaongea kipemba
Pemba sio ktk Tanzania ????
Mtu wa songea huyo
Itabidi nije huko nitafute kibarua hata cha kusafisha godauni
Makuli adi China waapo sio poa
😁😁😁
@@petermarco9559 awee acha tu
Njaa iko kila sehemu duniani
We Unajua China Ndio Yenye Population Nyingi Duniani Asa Hao wote wawe Matajiri Mhhh! 😂
😂😂😂😂😂😂😂 Wizy Deko
Safi lkn mbona muna muiga sauti ya milard hayo
Jamani nimefurahi sana na ninampango wa kuanza bihashara je nafanyaje ili niweze kuagiza na kupata mzigo bila kuja China?,nisaidie maana nimefurahishwa
Na mawasiliano yangu ni eligiuselias1212@gmail.com
@@eligiuselias4469 hlw
Ah usiamini mzigo bila sehemu kwenda mwenyeo.
Nivizuli
Yani huduma nzuri sana wallah mm uku Dubai nasumbuka na mizigo mpaka basi Kwanzaa mizigo unafunga mwenyewe usafiri wa kupeleka bandali mwenyewe uandike majina na no yasimu mwenyewe yani
Silent Ocean na huko Dubai wapo kwa jina la KILIMANJARO CARGO
Ramadhan Nasibu naomba no zao
+971543478776/+971589399892
Ramadhan Nasibu shukran
Fatwima Makungu ndugu yangu niko Tanzania songea nafanya biashara naomba nisaidie natamani kuja huko
ayo noma
Mm nauliza kama bei gan hadi ufanye biashara china
Ujinga tu badala upromote walete viwanda wenyewe uku au hata mzigo walete wenyewe ninyi mnapromote madalali hao Cc uchumi wetu utakuaje yan pesa ya masikin Tanzania tunawapa wenye pesa ujinga mtup
Kwann weng walio uko ni waislam
Galama za usafirikwenda na kurudi pesa NGAPI za madafu nataman kufika
Weka milion tano kwenda juu mbali ya mzg maana tiket huwa inafika mpk milion tatu kupanda na ikate tiketi mapema huwa bei inashuka
Hoyamirad badojapan
Asnte kwa elimu hii Millard Ayo
Nitafutie Nazi ya forklift operator, China