Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua (Kwa mtu yeyote)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 08. 2023
  • Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/...
    Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
    Follow Platforms Zetu Nyingine:
    ✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/channel/0029VaFO...
    ✅ Instagram: / tanzanitedigital
    ✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
    Enjoy!
    #fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean
  • Jak na to + styl

Komentáře • 65

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  Před 10 dny

    Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

    • @aloisngulo436
      @aloisngulo436 Před 10 dny

      Mbn hakuna sehemu yakupakua nakulipia

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před 10 dny

      @@aloisngulo436 tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/

  • @yassersalim965
    @yassersalim965 Před 7 měsíci

    Asante sana brother🙏

  • @user-lv4xk2io6h
    @user-lv4xk2io6h Před 5 měsíci +1

    thank you

  • @Abuuhafswi
    @Abuuhafswi Před 6 měsíci

    Asante brother

  • @yussuphahmady3976
    @yussuphahmady3976 Před 4 měsíci

    Ipo vizur

  • @Samworldnews
    @Samworldnews Před 6 měsíci

    Umeeleza vizuri nilikua nachanganyimiwa na hiyo cbm

  • @glorypowers6608
    @glorypowers6608 Před 7 měsíci +6

    Bro tuelekeze kuhusu ma kampuni hy if u don’t mind Naomb no yako ya simu nimfnyabiashra but natak kuagiza China so nahitaj kujua kiundani zaid

  • @universallytv3761
    @universallytv3761 Před 3 měsíci

    Good

  • @eishychoicy7696
    @eishychoicy7696 Před 22 dny +1

    Well done!!! Good job brother,,, extremely helpful

  • @augustmushi5743
    @augustmushi5743 Před 8 měsíci

    Ahsante sana Brother

  • @sarahleonard9167
    @sarahleonard9167 Před měsícem

    Umenisaidia sana.ubarikiwe

  • @swizzmayor9912
    @swizzmayor9912 Před 10 měsíci

    detailed information nzuri sana ungetuonyesha na quality mzigo kukufikia ungetisha zaidi

  • @noviceligate2950
    @noviceligate2950 Před 7 měsíci

    Good job

  • @dericktz
    @dericktz Před 11 měsíci

    Nice my friend

  • @ranayuhase1405
    @ranayuhase1405 Před 10 měsíci +1

    Hao suplay nnawapataje mimi

  • @user-nq4yi9qe6u
    @user-nq4yi9qe6u Před 11 měsíci

    bro asa kwa ma agent ni mziki

  • @amanikisumo4048
    @amanikisumo4048 Před 10 měsíci +1

    Na ukitumiwa zawadi?

  • @Hajash-on2pj
    @Hajash-on2pj Před 2 měsíci

    Hbr
    Kun supplier wengin Wana point 5
    N quality ya products zao nzur
    Ila hawako verified naruhusiw kununua kitu kwao

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 Před 2 měsíci

    Hello Broo, nimekuwa interested na nataka kuagiza mzigo Huko Chaina, kwa maelekezo yako nimefanya vyote ila sijaelewa namna ya kusafirisha. Naomba namba yako ya whatsp tuongee

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 10 dny

    Kila nikitaka kupakua pdf haiji Wala haionesh sehemu yakulipia

  • @Hajash-on2pj
    @Hajash-on2pj Před 2 měsíci

    naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao

  • @johntaino6411
    @johntaino6411 Před 8 měsíci

    Asante sana kaka ,kazi nzuri.

  • @Hajash-on2pj
    @Hajash-on2pj Před 2 měsíci

    Kun supplier wengin wana point 5.0
    Na quality ya products zao nzur
    Ila hwang verified
    N kun wengin point zao ndog ila wapo verified naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao

  • @ChristopherStephen-ih9yp
    @ChristopherStephen-ih9yp Před 6 měsíci

    Nisaidie namba yako simu kaka kwa maelezo zaidi

  • @Mohammed-sp8eb
    @Mohammed-sp8eb Před 4 měsíci

    Ama hawa Kikuu ni supplier

  • @user-wn3ck8bu9o
    @user-wn3ck8bu9o Před 8 měsíci +1

    Mbona kwenye sim siiyoni hiyo usd English kwaajili ya kubadilisha bei nione kwa tanzania sh

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před 8 měsíci

      Chagua option ya "My Alibaba" then utaona bendera 》Click bendera utaona option ya kubadilisha aina ya currency

  • @user-zj8ul2tp4t
    @user-zj8ul2tp4t Před měsícem

    Naitaji kuagiza nipo tz

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 10 dny

    We nipe namba wasap naomba

  • @Mohammed-sp8eb
    @Mohammed-sp8eb Před 4 měsíci

    weka namba yako

  • @user-ko2zd8fx5d
    @user-ko2zd8fx5d Před 4 měsíci

    Nisaidie namba yako kaka

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb Před 10 měsíci +2

    Unaweza kuagiza kitu Cha 50 elf ukapata kweli?

  • @olivianisospeter2916
    @olivianisospeter2916 Před 8 měsíci

    Cost ya usafiri inaweza kuwa asilimia ngap ya bei ya mzigo ukitumia makampuni

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před 8 měsíci

      Havitegemeani, check video tume-upload kuhusiana na bei za usafirishaji kutoka china

  • @user-mz1lv3cj4t
    @user-mz1lv3cj4t Před 2 měsíci +1

    Herufi n ndogo n Bora ungetumia sim😢

  • @Abdalakangile1
    @Abdalakangile1 Před 10 měsíci

    Ina maana hizo pic 180 ndo 27,982 au ni kwa pic moja?

    • @gweahshoo5120
      @gweahshoo5120 Před 4 měsíci

      Kuanzia PC 180 atakuuzia kwa kila moja bei hiyo

  • @magonjwanatiba1426
    @magonjwanatiba1426 Před 6 měsíci +1

    Je bila agent huwez kupata mzigo wako?

  • @neemamoses291
    @neemamoses291 Před 4 měsíci

    Habar,
    Naomba mawasiliano yako please

  • @VeerKothar-fx6hu
    @VeerKothar-fx6hu Před 10 měsíci +1

    Ayo makampuni ya kuagiza tunayapataje

    • @swizzmayor9912
      @swizzmayor9912 Před 10 měsíci

      silent ocean na Target ndo wapo vizuri kwenye kudeliver haraka sku izi

  • @user-oq9ie2eu3p
    @user-oq9ie2eu3p Před 10 měsíci +1

    Ivi mzigo una lipia kabla au baadae ya kufika

  • @Mohammed-sp8eb
    @Mohammed-sp8eb Před 4 měsíci

    Broo haiwezekani kufanya kama hawa Kikuu unaona bei za vitu kwa hela ya Tanza

    • @tanzanitedigital
      @tanzanitedigital  Před měsícem

      Inawezekana, unachotakiwa ni kwenda kwenye setting ya App ya Alibaba na kubadilisha currency kutoka USD kwenda TZS

  • @tanzanitedigital
    @tanzanitedigital  Před 8 měsíci +1

    Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼czcams.com/video/V-9AbEURPZA/video.html
    Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 czcams.com/video/DrYVhHdqtnc/video.html

  • @aloisngulo436
    @aloisngulo436 Před 10 dny

    Ivi namba yako ni mwiko kuitoa au inakuaje?

  • @Hajash-on2pj
    @Hajash-on2pj Před 2 měsíci

    Kun supplier wengin wana point 5.0
    Na quality ya products zao nzur
    Ila hwang verified
    N kun wengin point zao ndog ila wapo verified naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao