Jinsi Ya Kuagiza Bidhaa Alibaba (China) Hatua Kwa Hatua (Kwa mtu yeyote)
Vložit
- čas přidán 11. 08. 2023
- Jiunge nasi katika kuchunguza hatua muhimu katika ununuzi wa bidhaa China kiusahihi hadi kukufikia nchini kwako.
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/...
Karibu Tanzanite Digital ambapo, tujifunze namna tofauti tofauti za jinsi ya kujiingizia kipato mtandaoni kwa biashara mbalimbali. Ikiwa ungependa kujifunza zaidi. Subscribe na usikae mbali na channel yetu!
Follow Platforms Zetu Nyingine:
✅ WhatsApp Channel: whatsapp.com/channel/0029VaFO...
✅ Instagram: / tanzanitedigital
✅ LinkedIn: / tanzanite-agency
Enjoy!
#fursa #mtandaoni #biashara #matangazo #jinsiyakufanikiwa #kazizamtandaoni freelancing #tipsforfreelancing #startfreelancing #howtobecomeafreelancerforbeginnersin2023 #howtobecomeafreelance #howtobecomeafreelancerforbeginners #alibaba #china #entreprenuer #aliexpress #jinsiyakununuachina #jinsiyakununuaalibaba #biasharachina #biasharayanguo #biasharayavyombo #silentocean - Jak na to + styl
Gundua kila kitu unachohitaji kujua kuhusu kununua bidhaa kutoka China na kusafirisha kuja Tanzania. PDF yetu imeorodhesha makampuni, address zao, namba za simu, bei za usafiri na mengine mengi. Jipatie nakala yako hapa: tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/
Mbn hakuna sehemu yakupakua nakulipia
@@aloisngulo436 tanzanitedigital.com/product/china-tanzania-complete-pdf/
Asante sana brother🙏
thank you
Asante brother
Ipo vizur
Umeeleza vizuri nilikua nachanganyimiwa na hiyo cbm
Bro tuelekeze kuhusu ma kampuni hy if u don’t mind Naomb no yako ya simu nimfnyabiashra but natak kuagiza China so nahitaj kujua kiundani zaid
Good
Well done!!! Good job brother,,, extremely helpful
Glad it helped, karibu sana!
Ahsante sana Brother
Karibu sana 🙏
Umenisaidia sana.ubarikiwe
Karibu ♥️
detailed information nzuri sana ungetuonyesha na quality mzigo kukufikia ungetisha zaidi
Thanks bro, tutafanya hivo 🙏🏾
Good job
Thanks
Nice my friend
Thank you! Cheers!
Hao suplay nnawapataje mimi
bro asa kwa ma agent ni mziki
Na ukitumiwa zawadi?
Hbr
Kun supplier wengin Wana point 5
N quality ya products zao nzur
Ila hawako verified naruhusiw kununua kitu kwao
Hello Broo, nimekuwa interested na nataka kuagiza mzigo Huko Chaina, kwa maelekezo yako nimefanya vyote ila sijaelewa namna ya kusafirisha. Naomba namba yako ya whatsp tuongee
Kila nikitaka kupakua pdf haiji Wala haionesh sehemu yakulipia
naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao
Asante sana kaka ,kazi nzuri.
karibu sana!
Kun supplier wengin wana point 5.0
Na quality ya products zao nzur
Ila hwang verified
N kun wengin point zao ndog ila wapo verified naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao
Nisaidie namba yako simu kaka kwa maelezo zaidi
Ama hawa Kikuu ni supplier
Mbona kwenye sim siiyoni hiyo usd English kwaajili ya kubadilisha bei nione kwa tanzania sh
Chagua option ya "My Alibaba" then utaona bendera 》Click bendera utaona option ya kubadilisha aina ya currency
Naitaji kuagiza nipo tz
We nipe namba wasap naomba
weka namba yako
Nisaidie namba yako kaka
Unaweza kuagiza kitu Cha 50 elf ukapata kweli?
Ndio, hata cha mia tano. Unapata
Cost ya usafiri inaweza kuwa asilimia ngap ya bei ya mzigo ukitumia makampuni
Havitegemeani, check video tume-upload kuhusiana na bei za usafirishaji kutoka china
Herufi n ndogo n Bora ungetumia sim😢
check hii: czcams.com/video/HWafX22YjFE/video.html
Ina maana hizo pic 180 ndo 27,982 au ni kwa pic moja?
Kuanzia PC 180 atakuuzia kwa kila moja bei hiyo
Je bila agent huwez kupata mzigo wako?
Unapata, angalia video vizuri
Habar,
Naomba mawasiliano yako please
Tuma meseji WhatsApp: +255766 478 104
Ayo makampuni ya kuagiza tunayapataje
silent ocean na Target ndo wapo vizuri kwenye kudeliver haraka sku izi
Ivi mzigo una lipia kabla au baadae ya kufika
Baada kwa makampuni mengi, si yote lkn
Broo haiwezekani kufanya kama hawa Kikuu unaona bei za vitu kwa hela ya Tanza
Inawezekana, unachotakiwa ni kwenda kwenye setting ya App ya Alibaba na kubadilisha currency kutoka USD kwenda TZS
Bei Za Kusafirisha Bidhaa Kutoka China Hadi Tanzania 👉🏼👉🏼czcams.com/video/V-9AbEURPZA/video.html
Siku Ngapi Mzigo Unakufikia Kutoka Alibaba (China) 👉🏼👉🏼 czcams.com/video/DrYVhHdqtnc/video.html
Ivi namba yako ni mwiko kuitoa au inakuaje?
Serious enquiries only: 0747 177 677
Kun supplier wengin wana point 5.0
Na quality ya products zao nzur
Ila hwang verified
N kun wengin point zao ndog ila wapo verified naweza kuruhusiw kuagiz kit kwao
cha muhimu haswa ni reviews, ndio unaweza nunua kwao