Mwanamke Bomba | Phanice Achieng ni mwalimu mkuu wa shule ya Kadzodzo
Vložit
- čas přidán 8. 01. 2024
- Akiwa na umri wa miaka 11 tayari alikuwa amekata tamaa ya kuendelea kuishi kufutia unyanyapaa kutokana na kasoro ya maumbile aliyozaliwa nayo. Hata hivyo wazazi wake walisimama naye katika kila hatua na kuhakikisha anafanikiwa na kuishi kama watoto wengine. Namzumgumzia Phanice Achieng ambaye hivi sasa ni mwalimu mkuu WA shule ya wasichana ya kadzondzo huko mariakani kaunti ya kilifi. Nilipata fursa ya kutangamana naye kujua undani wa safari yake, na hii Leo ndiye aliyetufungulia makala yetu ya Mwanamke Bomba mwaka huu.
Such a motivation from the humble teacher, principal Acheing. Happy to hear and see your achievements. May God keep elevating you. Thank you also for hosting us during the Mariakani mission in August, 2023. Appreciations.
That's my daughter..am proud of you phanice nyalego
That's my sister in christ, highly favored by God
Congratulations ma'
My Deputy and English teacher at Kombeni Girls 💃
A very humble and loving Boss
Congratulations my elder sis favor
My Deputy at Kombeni Girls 🎉🎉
My Blessed High School DeputyPrincipal KBQ
My English teacher 😊
We grew up together in Western webuye . Both our parents worked in webuye panpaper Mills
Waaaah so amazing keep going jaber big up ❤❤❤❤
Highly favoured by God
Keep it burning
❤❤
My classmates at Webuye ACK primary