Nyayo za Mwai Kibaki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • Na katika kile kinachoonekana kama histori kujirudia, tunalinganisha hatua ya kufutilia mbali baraza la mawaziri aliyochukua Rais William Ruto hii leo na mkondo aliochukua hayati Rais Mwai Kibaki ambaye pia aliwafuta mawaziri na mawaziri wasaidizi mwaka wa 2005. Sawia na mtangulizi wake ambaye kushindwa kwake kwenye kura ya maamuzi kuhusu katiba mwaka 2005 kulionekana kama kura ya kutokuwa na imani na serikali yake, Rais Ruto amekuwa akipata shinikizo kubwa kuhusu utendakazi wa serikali yake huku wananchi wakionyesha kutoridhishwa kwao na serikali

Komentáře • 67

  • @djkool5991
    @djkool5991 Před 20 dny +21

    To be honest if he continues with the same consistency he may atleast reach 2027 as president.

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Před 20 dny +8

    We may not forget what you have done to us 😭but ruto you are still our president,, so do your best to deliver the best but first release those protestors you are holding in the cells and without charges.

  • @DamarisWangui-xq5wd
    @DamarisWangui-xq5wd Před 20 dny +5

    I wish ni mpigs wamenda hope aky anyway our president you have to do more mbn mudavadi amebaki

  • @YunisVanisa
    @YunisVanisa Před 20 dny +11

    rais amefanya vizuli sana kuafutilia mbali hao watu

  • @charlessiguna859
    @charlessiguna859 Před 20 dny +8

    Nyayo gani za kibaki, labda kisigino tu😂
    We want new cabinet condensed to 14 and comprising of professional expertise not sycophant politicians who don't comprehend their mandate. Sasa Nakhumincha surely,

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Před 20 dny +7

    Amejaribu sana...sasa police,boss dci boss resign aje mandungu zetu wanapotezwa kila kukicha????halafu bado vunja bunge sasa

  • @mohamedmustafa2656
    @mohamedmustafa2656 Před 20 dny +2

    Kweli kabisa raisi amejaribu sana

  • @The_sultans
    @The_sultans Před 20 dny +10

    😂😂😂😂Alhamdulillah🎉

  • @davidkamau8317
    @davidkamau8317 Před 20 dny +3

    😮 lakini hakuafuta wasaidizi kama kibaki

  • @mutiojunior
    @mutiojunior Před 19 dny +1

    Kidiki hiyo sauti yako sasa pelekea bibi yako💪💪

  • @josphatmogaka8668
    @josphatmogaka8668 Před 19 dny +1

    Mwai Kibaki did it from his heart, Ruto was forced.

  • @peardselrvssian6292
    @peardselrvssian6292 Před 20 dny +2

    You see kibaki didn't read his speech at first unlike these other ones

  • @shukrishuu9672
    @shukrishuu9672 Před 19 dny +1

    Nilikua deep state ya obako niwasaidie aje in shaa Allah??

  • @paulwambugu-pk2eu
    @paulwambugu-pk2eu Před 19 dny +1

    mudavadi pia must go

  • @elishatotolela3843
    @elishatotolela3843 Před 20 dny +2

    Now I support you my president for listening to your people. The remaining part give directions to constitutional bodies to investigate and prosecute people who have stolen public money

  • @daviessimiyu7259
    @daviessimiyu7259 Před 11 dny

    Ruto mast go go go

  • @dominickrono4937
    @dominickrono4937 Před 19 dny

    Remember what he said when he was at Nyeri funeral"My government is like for the late Rais Mwai Kibaki" now that it's confirmed

  • @abdullahiomar1687
    @abdullahiomar1687 Před 19 dny

    Obako was legend,he didn't from papers 😂😂😂

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    Joseph itaaba more inforce profile picture update,😢😮😢😢😢😢😢

  • @SEMSE-FELIX
    @SEMSE-FELIX Před 19 dny +1

    He is on denial that nothing is working

  • @NancyNjoki-w4o
    @NancyNjoki-w4o Před 20 dny +6

    Inaoekana zakayo ameanza kuwa musa😂😂😂😂

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Před 20 dny +1

      Na bado

    • @winstonokoth965
      @winstonokoth965 Před 20 dny +1

      Wamekuwa wakigawa Kenya kwa makabila,makabila wamejua adui yake Sasa nahawatatugawa tena

    • @jjclara668
      @jjclara668 Před 20 dny +1

      Wakenya waongee swahili in public functions slowly tribalism go end

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Před 20 dny

      @@winstonokoth965 wamejua kikulacho kinguoni mwao 😂 😂

    • @NancyNjoki-w4o
      @NancyNjoki-w4o Před 20 dny

      @@jjclara668 ndio kieleweke ama pia yy aanguke nayo 😂

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    See more about Joseph,

  • @pattiz4876
    @pattiz4876 Před 19 dny

    Ruto must go

    • @eunicesang1704
      @eunicesang1704 Před 19 dny

      Nonsense unapenda kuongea matope ata ujui kitu unacommet

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    Joseph see more about,😮😮😮😮😮😮😮

  • @DentalCity-bf7ke
    @DentalCity-bf7ke Před 19 dny

    I hope he put no politicians there

  • @JacksonMwirigifanta-ow5gu

    Usikubali kuanguka peke yako 😮😮angukuka na watu kama Ruto

  • @alphyzqrw7222
    @alphyzqrw7222 Před 20 dny

    Ata pia hii Machungwa afutwe kazi

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Před 20 dny +1

    Neema

  • @user-mb8jj1qq9c
    @user-mb8jj1qq9c Před 20 dny +1

    Too late iyo sio suluisyo

  • @MoraaRichard
    @MoraaRichard Před 19 dny

    🙏🙏🙏🙏

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 20 dny

    Hahaha nyao gani hizi 😂

  • @jairuscr7310
    @jairuscr7310 Před 20 dny +3

    Ruto usifikirie unabaki hapi pia wewe unaenda ,verysoon ,

  • @EdwinKiprotich805
    @EdwinKiprotich805 Před 20 dny +10

    No, no NOOO ruto must go ...

  • @Cuel_01
    @Cuel_01 Před 18 dny

    ruto is annoying and unprofessional

  • @susanjepkoch3359
    @susanjepkoch3359 Před 20 dny

    😂😂😂😂

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    Hon Joseph itaaba, more inforce profile y,

  • @joshuawambua378
    @joshuawambua378 Před 20 dny +6

    Ruto must go

  • @ceciliacodawa
    @ceciliacodawa Před 20 dny +1

    Neema