Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri
Vložit
- čas přidán 10. 07. 2024
- Nao Vijana wa Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri. Vijana kutoka kaunti mbali mbali wakimtaka rais William Ruto kuendeleza marekebisho haya katika idara na taasisi mbali mbali za umma ili kuimarisha uongozi bora
Big up baba Charlene,,,,👊👊👊👊,,,;lakini ambia kipchumba mulkomen arudishe pesa za wakenya,,,
Wamesalimiwa indirectly😂
We want matiang'i apewe kiti kilichokuwa cha kidiki then kidiki achukue ya duale coz kidiki amejaribu kidogo
Who are you?
Akwede na uko akileta majeshi mtaani,all are rotten ata ruto,mashetani
Tuko waangalifu sana afanye makosa tena , mukromen aende kabisa
tunashukru Sana rais wetu kwa kusikia wito wa vijana wetu gen z mana Leo watu wamerambwa,
Ukiona Baba mahali kuna moto jua kuna jambo !!!!. Otherwise i said the Gen G wave was from God and nobody can stop it and im happy its bearing fruits. Kudos Gen Zs.
Karen nyamu atolewe kabisa
New faces mr.president allow kenyans to drop cvs
Sasa ni kuchagua baraza ya mawaziri wapya
He should fix the CEOs list as well
We don't want them all
Wao. Hio. Ni. Better. Juu ya Nation. Wizard ya Power,na Security,Agriculture, na Ya Ujenzi wa ya barabara. ,Education,hio yote. Ilikua na Shida Hope. OUR President amesikia ukweli. Uko Mungu ampe Hekima.
The bigggest thing prezooo angekua anapingana nalo n korrruption kenya hiii mnyonge hana haki tena
Buri kapisa wote waende period 😂😂
Kwanza murkomen aende kabisa na arudishe pesa za wakenya zenye ameimba
Na Mr.president angalia pande ya mishahara ya mp's ifike 200,000/
Nice step 👍
kindiki hukuna Yale yametufanyia mzuri,hio nafazi ya kindiki hawezi apewe katoo
Waende wote hakuna mtu mzuri hapo
Next we will deal with Nyayo House
The comment i was looking for....
KINDIKI, DUALE,OWALO irudishwe
Kindiki/Murkomen/still my heroes
Sheria,.Police kuua watoto onions bure
Musalia amebaki akifagia huko😂
Azimio goons and conmen calling themselves Gen Z
Great our president
Musalia mudavadi sasa ni yeye next
Just selected few ....
U mean these minister wil never be apointed some of them again,,,,, ooooh my god brother aden duale
Yaaa,but kunawale waliofanya kazi bora wapewe kazi
Kumupotosha rais ndio ilikua kazi bora?
Tunashukuru rais kwa kufuta baraza la mawaziri ila tunaomba wale wenye hawana shida kama Ababu Namwamba michezo na Kindiki warudishwe kazi juu hii imewapata tu ila walikuwa wanawajibika nakazi please prezo.
They can work somewhere else, we want everything fresh
Joseph itaaba more inforce profile picture update,
Kindiki n nani
Kazi bado
Only kindiki Duale & Owalo warudushwe penye walikua apo too
Pia Ababu na Mwamba usimsahau amengangana
Bado madivid
😂😂😂Duale Murkome kindiki and etc,
Musalia amebaki hata yeye toa yeye
Kama mudavadi bado hatujashiba
What people, bloody joke.
Akimaliza kuwafuta,pia aende home
Duale pia amefutwa ama 😊
wote
Wacha aendeleza biashara ya ngamia samburu
Since kindiki is performing let him stay then matiangi apewe education
Who’s is matiangi shenzi weee
Am very disappointed by Ruto to say the least and here is why, how can a leader surely be shaken by a passing cloud (Gen Z) to do unthinkable? I Mean Duale for instance won his parliamentary seat then resigned so that he can help Ruto deliver then he was fired? Come on bro, that's the greatest betrayal I have ever seen, unastuliwa na watoto then you do as they say? Uwoga ni mbaya aki to say the truth! I might not vote for Ruto next time, I mean I thought he was a warrior a no nonsense leader but how wrong I was, a president should be a leader who mean business a leader who never cower so that should the country be faced by uncertainty pioneered by some fellas that leader will have the the thrust, the fist to crush them but cowardice? That's a pretty worse way of leadership, am completely convinced Ruto will fail terrible going forward because hawa watoto wameona huyu we can twist him to do or say what we want him to do or say! Will Ruto be able to do anything substantive be it out parliament passing motions to help him? No! Will he go borrowing to help Kenya No because the same kids who made him cower will be on his case! Expect Kenya to be worse from today hence forth,.2027 I will not vote for Ruto naaa uwoga naaa I need a law and order president si mwoga.....
Heee! Sasa wamebaki watatu pekee.
Hapo amefanya vizuri, lakini zaidi tunataka apige vita corruption kwa kuleta Sheria ya kila atakaye patikana na ufisadi lazima auwawe hapo wataogopa kupora Mali za umma. Na atimize matakwa yote tuliyoyaomba akifanya hivyo tutamuacha aendelee hadi 2027. La sivyo ataenda. We are waiting the IEBC commissioners to be in place tuwapeleke nyumbani wabunge wote waliotusaliti wakenya kwa mswada wa fedha 2024
Owen Baya😢
Duale kwenda uko wewe,jeshi hata Sio ya mtu Wa mdomo kama wewe
Wrong news
🙈🙈🙈🙈🙈🙈🐒🐒🐒🙊
Joho apewe kakitu naye😂 kakangu
Kindiki arudishwe kazini please