Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • Nao Vijana wa Gen Z wamepokea kwa bashasha na furaha hatua ya Rais kulivunja baraza lake la mawaziri. Vijana kutoka kaunti mbali mbali wakimtaka rais William Ruto kuendeleza marekebisho haya katika idara na taasisi mbali mbali za umma ili kuimarisha uongozi bora

Komentáře • 62

  • @MaroaStephanie
    @MaroaStephanie Před 20 dny +8

    Big up baba Charlene,,,,👊👊👊👊,,,;lakini ambia kipchumba mulkomen arudishe pesa za wakenya,,,

  • @charlessiguna859
    @charlessiguna859 Před 20 dny +13

    Wamesalimiwa indirectly😂

  • @kaytwok2345
    @kaytwok2345 Před 20 dny +11

    We want matiang'i apewe kiti kilichokuwa cha kidiki then kidiki achukue ya duale coz kidiki amejaribu kidogo

  • @mueniSteve-ov4yr
    @mueniSteve-ov4yr Před 20 dny +7

    Tuko waangalifu sana afanye makosa tena , mukromen aende kabisa

  • @user-nl9ss4jl9z
    @user-nl9ss4jl9z Před 20 dny +2

    tunashukru Sana rais wetu kwa kusikia wito wa vijana wetu gen z mana Leo watu wamerambwa,

  • @timothyonyango9
    @timothyonyango9 Před 20 dny +2

    Ukiona Baba mahali kuna moto jua kuna jambo !!!!. Otherwise i said the Gen G wave was from God and nobody can stop it and im happy its bearing fruits. Kudos Gen Zs.

  • @derrickmacharia7969
    @derrickmacharia7969 Před 19 dny +2

    Karen nyamu atolewe kabisa

  • @christinenjeri2575
    @christinenjeri2575 Před 20 dny +3

    New faces mr.president allow kenyans to drop cvs

  • @mulicharlesmuli
    @mulicharlesmuli Před 19 dny +1

    Sasa ni kuchagua baraza ya mawaziri wapya

  • @johnmuthee3175
    @johnmuthee3175 Před 19 dny +1

    He should fix the CEOs list as well

  • @williammutiso4340
    @williammutiso4340 Před 20 dny +6

    We don't want them all

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah9676 Před 19 dny

    Wao. Hio. Ni. Better. Juu ya Nation. Wizard ya Power,na Security,Agriculture, na Ya Ujenzi wa ya barabara. ,Education,hio yote. Ilikua na Shida Hope. OUR President amesikia ukweli. Uko Mungu ampe Hekima.

  • @annenjuguna6778
    @annenjuguna6778 Před 20 dny +2

    The bigggest thing prezooo angekua anapingana nalo n korrruption kenya hiii mnyonge hana haki tena

  • @jamesmwongera5334
    @jamesmwongera5334 Před 19 dny +2

    Buri kapisa wote waende period 😂😂

  • @Mieye788
    @Mieye788 Před 20 dny +2

    Kwanza murkomen aende kabisa na arudishe pesa za wakenya zenye ameimba

  • @christinenjeri2575
    @christinenjeri2575 Před 20 dny +1

    Na Mr.president angalia pande ya mishahara ya mp's ifike 200,000/

  • @ahmedsuleiman2949
    @ahmedsuleiman2949 Před 20 dny +2

    Nice step 👍

  • @user-nl9ss4jl9z
    @user-nl9ss4jl9z Před 20 dny +1

    kindiki hukuna Yale yametufanyia mzuri,hio nafazi ya kindiki hawezi apewe katoo

  • @johnichangai3216
    @johnichangai3216 Před 19 dny +1

    Waende wote hakuna mtu mzuri hapo

  • @AfricansInGulf
    @AfricansInGulf Před 20 dny +1

    Next we will deal with Nyayo House

  • @dugulemuse4458
    @dugulemuse4458 Před 19 dny

    KINDIKI, DUALE,OWALO irudishwe

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c Před 20 dny +1

    Kindiki/Murkomen/still my heroes

  • @steuerveronicah9676
    @steuerveronicah9676 Před 19 dny

    Sheria,.Police kuua watoto onions bure

  • @dee-lz7rk
    @dee-lz7rk Před 19 dny

    Musalia amebaki akifagia huko😂

  • @user-ch9ei7hp4c
    @user-ch9ei7hp4c Před 20 dny +1

    Azimio goons and conmen calling themselves Gen Z

  • @LukaOsiemo
    @LukaOsiemo Před 20 dny +1

    Great our president

  • @gee2638
    @gee2638 Před 20 dny +1

    Musalia mudavadi sasa ni yeye next

  • @Agro_nomad
    @Agro_nomad Před 18 dny

    Just selected few ....

  • @MohamedNoormohamed-lc4rg

    U mean these minister wil never be apointed some of them again,,,,, ooooh my god brother aden duale

  • @noelatsole5552
    @noelatsole5552 Před 19 dny

    Yaaa,but kunawale waliofanya kazi bora wapewe kazi

  • @philemonkorio9867
    @philemonkorio9867 Před 20 dny +1

    Tunashukuru rais kwa kufuta baraza la mawaziri ila tunaomba wale wenye hawana shida kama Ababu Namwamba michezo na Kindiki warudishwe kazi juu hii imewapata tu ila walikuwa wanawajibika nakazi please prezo.

  • @user-ju5jz3rj9y
    @user-ju5jz3rj9y Před 19 dny

    Joseph itaaba more inforce profile picture update,

  • @salimbilali5174
    @salimbilali5174 Před 18 dny

    Kindiki n nani

  • @carolineawinja8044
    @carolineawinja8044 Před 20 dny

    Kazi bado

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 Před 20 dny

    Only kindiki Duale & Owalo warudushwe penye walikua apo too

  • @janepherkhamali1057
    @janepherkhamali1057 Před 19 dny

    Bado madivid

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 20 dny +1

    😂😂😂Duale Murkome kindiki and etc,

  • @jumak.ismail2504
    @jumak.ismail2504 Před 19 dny

    Musalia amebaki hata yeye toa yeye

  • @animusanomaly
    @animusanomaly Před 20 dny

    Kama mudavadi bado hatujashiba

  • @susanrobinson8622
    @susanrobinson8622 Před 20 dny +1

    What people, bloody joke.

  • @mimimusembi3669
    @mimimusembi3669 Před 20 dny +2

    Akimaliza kuwafuta,pia aende home

  • @fadhililuttah1631
    @fadhililuttah1631 Před 20 dny +1

    Duale pia amefutwa ama 😊

  • @uniqueuniformsunique9107

    Since kindiki is performing let him stay then matiangi apewe education

  • @Msemaukwelikweli
    @Msemaukwelikweli Před 19 dny

    Am very disappointed by Ruto to say the least and here is why, how can a leader surely be shaken by a passing cloud (Gen Z) to do unthinkable? I Mean Duale for instance won his parliamentary seat then resigned so that he can help Ruto deliver then he was fired? Come on bro, that's the greatest betrayal I have ever seen, unastuliwa na watoto then you do as they say? Uwoga ni mbaya aki to say the truth! I might not vote for Ruto next time, I mean I thought he was a warrior a no nonsense leader but how wrong I was, a president should be a leader who mean business a leader who never cower so that should the country be faced by uncertainty pioneered by some fellas that leader will have the the thrust, the fist to crush them but cowardice? That's a pretty worse way of leadership, am completely convinced Ruto will fail terrible going forward because hawa watoto wameona huyu we can twist him to do or say what we want him to do or say! Will Ruto be able to do anything substantive be it out parliament passing motions to help him? No! Will he go borrowing to help Kenya No because the same kids who made him cower will be on his case! Expect Kenya to be worse from today hence forth,.2027 I will not vote for Ruto naaa uwoga naaa I need a law and order president si mwoga.....

  • @en.onyangooloo4252
    @en.onyangooloo4252 Před 20 dny

    Heee! Sasa wamebaki watatu pekee.

  • @user-gp5wx1ev9f
    @user-gp5wx1ev9f Před 20 dny

    Hapo amefanya vizuri, lakini zaidi tunataka apige vita corruption kwa kuleta Sheria ya kila atakaye patikana na ufisadi lazima auwawe hapo wataogopa kupora Mali za umma. Na atimize matakwa yote tuliyoyaomba akifanya hivyo tutamuacha aendelee hadi 2027. La sivyo ataenda. We are waiting the IEBC commissioners to be in place tuwapeleke nyumbani wabunge wote waliotusaliti wakenya kwa mswada wa fedha 2024

  • @williammutiso4340
    @williammutiso4340 Před 20 dny

    Duale kwenda uko wewe,jeshi hata Sio ya mtu Wa mdomo kama wewe

  • @Cwa254
    @Cwa254 Před 20 dny

    Wrong news

  • @estheranneclea4064
    @estheranneclea4064 Před 20 dny

    🙈🙈🙈🙈🙈🙈🐒🐒🐒🙊

  • @babueric5768
    @babueric5768 Před 20 dny

    Joho apewe kakitu naye😂 kakangu

  • @user-Hillaa77
    @user-Hillaa77 Před 20 dny

    Kindiki arudishwe kazini please