Mwanamke Bomba | Amina Khalid anafanya biashara ya kuoka keki
Vložit
- čas přidán 21. 08. 2023
- Akiwa na umri wa miaka miaka 17, tayari alikuwa amejua analenga kufanya nini maishani na pindi baada ya kupata kitambulisho alijitosa kikamilifu kwenye biashara ya kuoka keki. Biashara ambayo ameikuza kwa Hali na Mali Hadi kufikia kiwango cha kuanza kutoa mafunzo Kwa wanafunzi ambao wanafuzu na kubobea kwenye taaluma hiyo huko mombasa.
- Zábava
MashaAllah minat ni dada mwenye bidii sana na mwenye roho safi sana❤❤❤❤❤
Ma sha allah,M’mungu akupe kila la kheri kwa kazi yako.
Maa Shaa Allah Tabaraka Allah...Allah aibariki kaz ya mikono yako.🤲🏼
Mashallah same to me
Our mother's do really support us..keep going
Maa shaa Allah tabaraka Allah
Keep it up
Hongera sana young lady..greater you n higher you go!
Mashaallah,,,, Allah akufungulie zaidii na zaidii ❤
Masha Allah Amina Khalid one of a kind May Allah bless you minat😍❤️
Congratulations Minat❤❤❤
Hallo madam am happy that my sister ni mwanamke Bomba wangu leo , amezalisha mfungwa leo masii station police
Mashalllah,dreams are valid...
Ma shaa Allah, Allah akutilie baraka katika kazi yako ya halali
Ameeen ya rabbii❤❤
Best teacher ever wlhy you deserve it
Thank you so much❤❤😊
Allahuma barik to you minat❤️❤️
How can I join the classes am interested
Amazing
Hi Amina how can i join your classes
How do i reach her