Amina Khalid atoa mafunzo kwa vijana katika kaunti ya Mombasa kuhusu kuoka keki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Akiwa na umri wa miaka miaka 17, tayari alikuwa amejua analenga kufanya nini maishani na pindi baada ya kupata kitambulisho alijitosa kikamilifu kwenye biashara ya kuoka keki. Biashara ambayo ameikuza kwa hali na mali hadi kufikia kiwango cha kuanza kutoa mafunzo Kwa wanafunzi ambao wanafuzu na kubobea kwenye taaluma hiyo huko Mombasa. Namzungumzia Amina Khalid ambaye hii Leo ndiye anayetupambia makala ya mwanamke bomba

Komentáře • 8