Nafarijika sana nikisikiliza wimbo huu..mwaka jana mwezi wa 5 nilipitia magumu sana sitokuja kusahau huu wimbo ulinifanya niwe na amani nisijisikie nipo peke yangu hakika mmeniokoa na mengi kupitia wimbo huu 😢😢mbarikiwe mpaka mshangae na Mungu azidi kuwalinda na kuwajaalia afya njema siku zote Amina🙏
Mungu awabariki myaishi ninyi mafundisho hayo kwani mnapoimba mnasali mara 2 Kwa hiyo nawaombea sana muwe mfano Kwa Imani mkiyaishi mafundisho hayo yaliyogusa moyo wangu
Those who love running notes with me will get such a treat to this amazing masterpiece expertly delivered by these youngsters. Explains why this song is on my replay mode
kazi nzuri sana, hongereni Sana waimbaji mmetenda haki Sana kwa huu wimbo was Docta Bongole .... namuona hapo mwl. Kihiyo ... gooof sanaaaa...... hongera pia kwa organist Mr. Mashibe.... video tu ndio wakati ujao iboreshwe zaidi ila mko vizuri sanaaaa
Nafarijika sana nikisikiliza wimbo huu..mwaka jana mwezi wa 5 nilipitia magumu sana sitokuja kusahau huu wimbo ulinifanya niwe na amani nisijisikie nipo peke yangu hakika mmeniokoa na mengi kupitia wimbo huu 😢😢mbarikiwe mpaka mshangae na Mungu azidi kuwalinda na kuwajaalia afya njema siku zote Amina🙏
Mungu awabariki myaishi ninyi mafundisho hayo kwani mnapoimba mnasali mara 2 Kwa hiyo nawaombea sana muwe mfano Kwa Imani mkiyaishi mafundisho hayo yaliyogusa moyo wangu
Mt Karoli, such a great encouragement and motivation, with blessed and great vocals❤
Mungu mfalme asiye shindwa....congratulations for the good job..christu awabariki watumishi wa mungu
Those who love running notes with me will get such a treat to this amazing masterpiece expertly delivered by these youngsters. Explains why this song is on my replay mode
Asanteni sana kwa uimbaji mzuri. Huu wimbo naweza kurudia kuusikiliza kutwa nzima usiku kucha! Barikiweni sana.
Wimbo Mzuri 🤗
Mungu ni mwema... anatubariki
kazi nzuri sana, hongereni Sana waimbaji mmetenda haki Sana kwa huu wimbo was Docta Bongole .... namuona hapo mwl. Kihiyo ... gooof sanaaaa...... hongera pia kwa organist Mr. Mashibe.... video tu ndio wakati ujao iboreshwe zaidi ila mko vizuri sanaaaa
Kweli Bwana Amenibariki. Nafurahia sana ujumbe huu. Mwenyezi Mungu awabariki sana wanakwaya wote. Amina.
Amina sanaa
Nyimbo nzuri sana mmeitendea Vema
Wimbo mzuri sana na Kwaya inaimba kwa kweli. Mi ni shabiki wenu wa dhati. TYK
Hongereni sana wimbo huu hauchoshi kusikiliza. mbarikiwe sana sana
Ni mziki wa Injili kweli! Umenigusa Sana. Mmeruhusu maneno yasikike vizuri kuliko vyombo kuumeza. Ahsanteni Sana na mbarikiwe
Swadacta kazi nzuri wimbo mzury Hongeren woteee kazi ya mikono yenu ibarikiwe
Hongereni sana watumishi wa Mungu. Kazi nzuri sana
Mmeimba vizuri Sana. Barikiweni sana
Wow , wonderful voices, great message, continue with same spirit.
🎉🎉🎉❤
Nice song congratulations 🙏🙏🙏🙏
🤝🤝
Well done,, keep it up continue praising God
Hapo penye moyo wangu
Great song👌..Hongera...Kind request for the lyrics.
Amen, amen 🙏🙏🙏
🔥🔥🔥🔥
Umefika na huku.
Amina
ASANTE SANA WAIMBAJI
👏👏👏
❤️❤️❤️❤️❤️❤️🎵🎵🎵🎼🎼💕💕💕