Huu ni moto mwingine kwa mara ya kwanza nausikia na kuuona live,, Duuu utadhani St. Kizito,, ila nn mnajua hadi mnakera 😂 Mungu awatunze mkaitoe album nyingine kali
This choir is no doubt the next big thing in East Africa. Keep praying together and evergilizing through such songs.Kwa Walimu, maintain the standard. And this producer....wah...anakaa wale wanafunzi darasani duh wanakaa wakupata safuri kwenye mtihani ...wacha irudi anagonga mia kwa mia....wa pili akiwa Arubani.....Very creative
Mungu azidi kuwatunza na kukuza uimbaji wenu,I saw the joy in you guys mkiwa mnafanya hii kazi,too visious and high spirited,keep up Gods work. Team Holy Trinity kazi nzuri sana,wimbo uko na rythm yani adi raha..Ps.Am blessed to know My hubby shot it(mi proud akii).Great work kwenu nyote.
Jamaa anayesoma gazeti kwenye hii kwaya amewafunika wote katisha sanaaaaaaa.........
Jamaa wa gazeti ametisha kinyama. Kama umemkubali gonga like chap
hahhahahhha nashindwa hata ku comment maana hawa jamaa hawawezekani duh amazing wote wakasome kwa K L C
🙏🙏🙏 karibu
Deo hatari sana
Nyie watu mmejua kuja kwa kasi saaanaa...tunawaendea kwa mzee mpili.ahahah
Huu ni moto mwingine kwa mara ya kwanza nausikia na kuuona live,,
Duuu utadhani St. Kizito,, ila nn mnajua hadi mnakera 😂
Mungu awatunze mkaitoe album nyingine kali
Wa LOCATION HATARII HONGERA YAKEEEE
Safiiiii.................
Wakati wa MUNGU.....
Hakika nimebarikiwa sana na nyimbo zenu mbarikiwe sana
Hongereni Sana nyimbo ni mzur sana
jamaniiii wapendwaa kazi nzuriii sanaaa
Jamn mwatukosha mungu awape nguvu zaid mwaupga mwing karbuni hocas morogoro
Kazi nzuri
Kazi nzury sanaaa
This choir is no doubt the next big thing in East Africa. Keep praying together and evergilizing through such songs.Kwa Walimu, maintain the standard. And this producer....wah...anakaa wale wanafunzi darasani duh wanakaa wakupata safuri kwenye mtihani ...wacha irudi anagonga mia kwa mia....wa pili akiwa Arubani.....Very creative
Hongereni sana Mungu awabariki kwa uinjilishaji
Another one! Moto sana! Nawapenda sana Mt. Karoli
Good song congratulation st.karol
Jamani mbarikiwe wote
Kazi ni nzuri saaanaaa hongereni sana, wimbo unabariki haswaaa.
Baraka Barakaaa Mashibe...naita mara tatu..we mtu una hatari
Mm nawapenda sanaaaa. Karibuni mwanza jamani
Mungu azidi kuwatunza na kukuza uimbaji wenu,I saw the joy in you guys mkiwa mnafanya hii kazi,too visious and high spirited,keep up Gods work.
Team Holy Trinity kazi nzuri sana,wimbo uko na rythm yani adi raha..Ps.Am blessed to know My hubby shot it(mi proud akii).Great work kwenu nyote.
Wow good
Mungu awabariki sana
Mbarikiwe sana! Big up kwa Mtunzi, production team na kwaya! Kazi nzuri👏👏
Kazi nzuuurii sana,mbarikiweni sana
My favourite song! God bless you all
Nice song congratulations,
Hongera sanaaa 🎊🎊🎊🎊
Wow. What a song, what wonderful voices what a choir. Well done
Brilliant
Good job
Wimbo bora kabisa wa kusherehekea ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo. mbarikiwe
wonderful voices
Nice songs for real...Feeling blessed from Kenya🙏🙏🙏
Congratulations kak kihiyoo
Pamoja sana ndugu
Fantastic song.. congratulations, u always never disappoint me..keep it up guys na mungu atawabariki
UnLimiTed bLeSsinGs......
Hongereni sana vijana, mmeimba very na mmecheza vizuri
Amina🙏
Very beautiful song. Melodious voices... God bless you.
Kazi nzuri wapendwa mbarikiwe sana kisha naomba nota za wimbo huu
🔥🔥🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🙏
Such a great song
Wanaimba vizuri lakini uchezaji wa kinanda sio kikatoriki jameni.
Muziki hubadilika wamefanya kazi nzuri na kubwa sana
Kwann wasema hivyo..?
🙄
Tukuamshe saa ngapi?
Mbona wako vizuri ndgu yetu