Niseme nini kwenu?mmetia fora kwa uzuri,shukrani za pekee kwa mama kijacho ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaosingizia hali kama hiyo wanashindwa kumwimbia mungu,mamakijacho ubarikiwe na atakayekuja awe mwimbaji zaidi yako
Deo Nkoko has always encouraged especially the younger generation, that despite the crisis, bado kuna kesho ambayo itaangaza kuliko leo kwani Mungu yupo. He has always encouraged the souls loosing hope in life, #Mtazame Mungu usitazame shida zako tu. I wish in such songs we could be having a sign interpretor kwa wale walio na shida ya kusikia ndio pia wapate ujumbe huu muhimu wa kutia moyo. Mungu akubariki pamoja na waimbaji wako🙏
This song I used to listen on daily some days back and I encouraged me when I had some challenges sooo and today hakika I say mtazame mungu usitazame shida zako
Daaa wimbo mtamu, ujumbe mtamu, stepu tamu yaani naamini sijaondokea patupu kutazama na kusikiliza wimbo huu..Mungu awabariki kwa kazi hii... msalimuni huyu dada yangu anayerusha mikono kwa bashasha....Kaka unayeshusha kiatu kwa madaha..Mungu akuinue...🤣🤣🤣🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Anyway, labda uzuri wa melody na mpangilio mzima wa muziki, lakini hakuna ambaye ameiona kesho so unaposema kuwa "Kesho ipo tu" sijui ilimaanisha nini. Binafsi nipo kinyume.
@@paulhermany7948 anayeijua kesho ya kila mmoja wetu ni Mwenyezi Mungu hivyo yeye anajua kesho kutakucha vipi. Kunaweza kucha ukiwa hai ama usiwe hai,kunaweza kucha shida zako za leo zimekwisha au bado zikaendelea. Watu wengi tunateseka kwa kuiwaza kesho kutokana na magumu tunayopitia tunasahau kuwa Mungu ndiye anayejua hatma yetu. Hivyo waimbaji wanatukumbusha kumtegemea Mungu kwa kila jambo maana ndiye anayejua hatma yetu.
Niseme nini kwenu?mmetia fora kwa uzuri,shukrani za pekee kwa mama kijacho ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaosingizia hali kama hiyo wanashindwa kumwimbia mungu,mamakijacho ubarikiwe na atakayekuja awe mwimbaji zaidi yako
Kazi nzuri Sana 🙏🏼 Mwenyezi MUNGU awabariki na hongereni Sana kwa utume 🙏🏼🙏🏼🙏🏼❤️ I'm very proud to be Catholic 🙏🏼🙏🏼❤️
Mbarikiwe sana kwa kunifariji kwa wimbo huo nimtazame Mungu so shida nilizonazo amina
Amina,,Waimbaji kweli kesho ipo hata mimi nina Imani kuwa kesho ipo
Mwenyezi Mungu akubariki utume wenu. Nimeipenda sana
kazi nzuri mno, step nimezielewa i love catholic songs st karoli you have made it
Deo Nkoko has always encouraged especially the younger generation, that despite the crisis, bado kuna kesho ambayo itaangaza kuliko leo kwani Mungu yupo.
He has always encouraged the souls loosing hope in life, #Mtazame Mungu usitazame shida zako tu.
I wish in such songs we could be having a sign interpretor kwa wale walio na shida ya kusikia ndio pia wapate ujumbe huu muhimu wa kutia moyo.
Mungu akubariki pamoja na waimbaji wako🙏
Hili goma Lina upekee wake waimbaji safi, utunzi ndo usipime Balikiwa sanaa
Mungu awabariki sana na awazidishie nimeupenda sana wimbo huu kiukweli nimzur sana na umegusa watu weng sana
Mapazuko yapo karibu,ona kuna kucha na Kesho hiyo
Mbarikiwe sana hakika napata Amani sana, proudly to be Catholic
Nyimbo Zina tubariki hapa kenya,kazi nzuri
Kazi nzuri sana kaka Deo Mungu awabariki sana sana ninaipenda
Hongeren Kwa utume nimebarikiwa sana na huu wimbo bigp sana
Kweli hii inanijenga kiroho keep up
Utunzi safi..uimbaji safi zaidi..
Masterpiece 👏🙏
Asante morrioh m
Ni kweli kabisa MUNGU yupo tu! Asanteni sana Wanakwaya mnatufariji kweli.❤❤❤😅😅😅❤❤
Hongereni sanaaa kwa uwimbaji mzuri
This song I used to listen on daily some days back and I encouraged me when I had some challenges sooo and today hakika I say mtazame mungu usitazame shida zako
Naupenda sana huu wimbo barikiwa sana wapendwa
Duuh!! My lovely song always. God bless all who make this hit song.
Shikamoo Deo nkoko! Shikamoo wanakaroli Lwanga Tandale... Mmenibariki vya kutosha.. hongereni sana.
Hongereni sana Waimbaji. Wimbo huu umenifariji sana. Mungu awabariki sana katika Utume wenu wa uimbaji.
Amina
Kazi tamu St Karol 🔥🔥🔥
Daaa wimbo mtamu, ujumbe mtamu, stepu tamu yaani naamini sijaondokea patupu kutazama na kusikiliza wimbo huu..Mungu awabariki kwa kazi hii... msalimuni huyu dada yangu anayerusha mikono kwa bashasha....Kaka unayeshusha kiatu kwa madaha..Mungu akuinue...🤣🤣🤣🙏🏻🙏🏻🙏🏻
😮
Asanteni sana waimbaji wenzangu kwa kunijulisha kwamba kesho hipo let's keep evangelising
Good Catholic l wish I was there
You're so talented by by letting people know through singing, who God is and what is capable of doing during times of crisis. Hongera !
Mungu,awabariki🙋🙋🙋
Hii nyimbo inanibariki saana
The beautt of being a catholic is jus but awesome love you soo much guys
Hongereni sana kwa kazi mzuri
Excellent
Usilie mungu yupo
Hongereni sana kwa uinjilishaji Mungu awabariki sana
This song has really changed my way of thinking about tomorrow and daily problems
Amina mtumishi hakika kesho yetu ipo tu
kinanda na baraka mashibe 🍀
I love this song,it has really changed my life for it's really encouraging ❤
May God bless you
2024 ni baraka kupitia huu wimbo mbarikiwe sana St karoli lwanga
Asante Mungu Kwa kuniweka mkatorki. Mbarkiwe watt wa Mungu kazi mmeifanya, Mungu atukuzwe.
Ni kweli Mungu ni kila kitu. Hongereni sana. Mmeimba vizuri sana, na ujumbe nzuri. Hatupaswi kukata tamaa.
Kweli kesho ipo,,,,be blessed my dear brother and sisters.
Very encouraging song. Be blessed 🙏
Mambo matamu yanazidi kuja yaan chuma juu chuma🥰hongeren sana kwa vocal nzuri tuzidi kufundisha jamii kupitia uinjilishaji
Na kesho hiyo!
🙏🙏🙏 Asnte kwa wimbo mzuri!!
Hiii ndo ilikua ya kubeba albam Bt zote kali sanaaaaaa hongeren wana KLC na wote wslioshirik
Very encouraging songs may God have mercy on us this year 2023
Kama mm ndo ningekuwa muamuzi wa wimbo wa kubeba Album yenu..Basi huu ungepita.aahah..anyway hongereni sana ndg zangu
Huu wimbo unanibariki sana
See the moves ❤️
🧘♀️😘Proud with catholic song❤️❤️❤️❤️blessed☂️ 🔥🔥🔥🔥
Kazi nzur jaman hongereni Sana
Mko vizuri hamchoshi kuwasikiliza
Kwa sasa hii ndio albam bora kwangu wananifanya namaliza bando
Jamaniubarikiwe dada angu
Nitumienooyako
Yaan nyimbo zeo zote za album ninazo isipokuwa mbili zimebak nasubir kwa hamu sanaaa 🥰
Mmenitia moyo saaana asante kwa utume
Kazi nzuri sana barikiweni
wimbo mzuri na ujumbe wa faraja. Hongereni sana
Great work
Niliusubiri huu kwa Hamu sana.kesho ipo ipo tuuuu
Nimewapenda bureeee
Amazing I just love your music very informative and touching transforming lived ❤
Hongeren sana kwa kulitangaza injiri kwa njia ya wimbo huu ubarikiwe sana.
Wonderful, blessings
Kesho yaja kweli
Kweli kesho ipo.
The beauty of Catholic church . I love this song.
Jamani hongerenii sana wimbo mzuriii sanaa🔥🔥
Very very nice
Wimbo mzuri sana nafarijika
Nimebarikiwa na nyimbo zenu katika nchi ugenini najua faraja ni Yesu tu
Wow naisubria
🔥🔥🔥🔥
Pamoja timu yangu
Very jice
Nimedanload audio nimeshindwa mnisaidie kuipata aundio
Hii Ni nzuri Sana hongereni Sana♥️
Amina mkapa
Anyway, labda uzuri wa melody na mpangilio mzima wa muziki, lakini hakuna ambaye ameiona kesho so unaposema kuwa "Kesho ipo tu" sijui ilimaanisha nini. Binafsi nipo kinyume.
@@paulhermany7948 wanamanisha kesho Ni ya natumaini. Na usikate tamaa kwa kile kitu kibaya kilichokukuta Leo
@@paulhermany7948 Asante p
@@paulhermany7948 anayeijua kesho ya kila mmoja wetu ni Mwenyezi Mungu hivyo yeye anajua kesho kutakucha vipi.
Kunaweza kucha ukiwa hai ama usiwe hai,kunaweza kucha shida zako za leo zimekwisha au bado zikaendelea.
Watu wengi tunateseka kwa kuiwaza kesho kutokana na magumu tunayopitia tunasahau kuwa Mungu ndiye anayejua hatma yetu.
Hivyo waimbaji wanatukumbusha kumtegemea Mungu kwa kila jambo maana ndiye anayejua hatma yetu.
Saf
Nimeipenda kweli mtazame Mungu tuhongereni sanaaaàa
Nilikuwa naisubilia hiyo