Bonswa bontravay nan non jezi amen ensemble anfanmi se pou bondye kontinye beni nanm ou e mèsi jezi pou santé a souffle de vie pour diriger wap diriger la vie famille et L'église adore et louranje amen mèsi jezi bon lundi soir
Bonge la nyimbo Mungu awabariki sana wote waliofanikisha kazi hii. Singers 🗣️ sound engineer 🔊 Organist 🎹 composer 🎼 studio 🎙️e.t.c wote kwa pamoja kwa upendo mmeifanya kazi hii kua bora. Hongereni 👏 kwa hilo.
Hakika Mungu ndiye ajuaye Hongereni sana. Hongera Shimanyi.....niwambie kitu wakati wa Mungu ndio sahihi...watawaelewa tu...msichoke kutenda haya mazuri lkn Mungu kwanza na katika roho na kweli....wana Karoli Lwanga big up.
Well and good
❤❤
Yesterday is gone ,today is mine what Almighty has gifted me with ,tomorrow belongs to Him!
❤❤😊
Wimbo mtamu sana ..na mubarikiweni wanachoir..Kenya twawapenda sana 🙏
my passion
Bonswa bontravay nan non jezi amen ensemble anfanmi se pou bondye kontinye beni nanm ou e mèsi jezi pou santé a souffle de vie pour diriger wap diriger la vie famille et L'église adore et louranje amen mèsi jezi bon lundi soir
moto kama pasi ya makaa. TZ big up. u never dissapoint. nice piece Karoli lwanga
Bonge la nyimbo Mungu awabariki sana wote waliofanikisha kazi hii. Singers 🗣️ sound engineer 🔊 Organist 🎹 composer 🎼 studio 🎙️e.t.c wote kwa pamoja kwa upendo mmeifanya kazi hii kua bora. Hongereni 👏 kwa hilo.
Asee nabarikiwa sana na nyimbo zenu mko vzr sana
Nimewapenda mnoo jmn mnoo, kumbe sio kizito tu
Hongereni sana wapendwa Mungu awabariki
Nabarikiwa sana na nyimbo zenu asanten ila karibuni mwanza jimbon
Mwenyezi Mungu awabariki kwa uimbaji mzuri.
Nilichelewa wapi mm, nimeupenda sanaaaa huu wimbo hongereni Sanaa mbarikiwe kaz nzuri
Gostei
Nyeye wanakwaya mnanikosha balaa
Tommorrow belongs to Him the Mighty God.
Wimbo mtamu Sana hongerenii na mung awasimamiee ktika utumishi wenu
Ujumbe mzuri waimbaji Safi ♥️kikubwa wanadamu tumgeukie Mungu kesho ni fumbo👏💕
Yaaaani this song ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤...hakuna kweli aijuae kesho yake....
One of the best hekima ya Mungu
Nice song congratulations may God strengthen your faith to countiue priseing.
Likeee
Hongereni mmechangamka jmn
Tusifu sana, tusali sana kila wakati ......... hongereni sana wimbo mzuri mno.
Sichoki kuwasiliza, hakika mko juu. Ujumbe nao ni murua. Mungu awabariki na kuwatia nguvu.
sweet one
Nawapenda na nimewamiss
Hawa ni mafundi aisee
Beautiful song...Much Love from Kenya.
Wimbo umetukuka
Love from india
Kazi nzuri sana Mungu awabariki 🙏🥰
Amina
Safi sana organist, umenikosha, excellent vocals
Kazi nzur sana Mungu awabariki
Mbarikiwe sana kwa uimbaji wenye mzuri
Songs of the year, your songs are a great inspiration and a blessing to me
💚💞💐
Hakuna aijua kesho yake. Mbarikiwe sana wanakwaya. Mungu ni mwema.
Hongera Mwl. Fortune Shimanyi, waimbaji na wote waliosaidia kuifanikisha hii kazi. Mungu awabariki kwa kazi yenu nzuri.
Nimewakubari
Hongereni kwa mashairi mazuri na sauti tamu.Jina la yesu litukuzwe Daima Amina
Hongereni wapendwa ktk kristo
Tujaliwe hekima ya Mungu
God is great this song is very nice i keep in my mind
Good one
Hekima Kweli....
Saifi sana nimewapenda sana
Jesus is Lord 🙏
Asanteni kwa kutukumbusha kesho yetu ipo mikononi mwake..Nice message over there
Mungu no mwema
Great very nice🌺🌺🌺🌺🌺🌻🌻🤼🤼🤼
I love it 👍👍👍👍👍👍
Hakika Mungu ndiye ajuaye Hongereni sana. Hongera Shimanyi.....niwambie kitu wakati wa Mungu ndio sahihi...watawaelewa tu...msichoke kutenda haya mazuri lkn Mungu kwanza na katika roho na kweli....wana Karoli Lwanga big up.
Amina kakalucas shirima mungu akubarik. Sana
@@telesiaidani2778Roho yangu Ina jaaimani kwa wimbo huu hogela sana kwa wibaji Munzuri wa mafuzo amen
Nipo Mbeya.. Album yenu naipataje?
Yupo Mungu
Sasa tunaomb mziweke audio mark kwa urahisi zaidi
Hamjawahi niangusha kwakwel yaan nyie nitakuja kuimba na nyie 😂
Please translate to English
Mko safi siku 11 tu 2,700 views naomba tusaidiane kusub naona mna account yenu
Hakika mnasitahili pongezi kazi nzuri sana .....kama ni Album hii ni yamwaka