HEKIMA Official Video | Thomas Joseph | Kwaya ya Mt. Mikael Malaika Mkuu - Mhandu.
Vložit
- čas přidán 9. 06. 2023
- Kwaya ya Mt. Mikael Malaika Mkuu kutoka Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mtume - Mhandu , Mwanza, Jimbo kuu katoliki la Mwanza wanakukaribisha kutazama na kusikiliza wimbo huu unaoitwa HEKIMA .
Song Description
Wimbo: HEKIMA
Mtunzi:Thomas Joseph
Audio:RAJO PRODUCTIONS
Video:MOZEN PRODUCTIONS
Soloist: Edwin Kamala
Mawasiliano
Kwaya: +255 686 131 305 | +255 766 656 631
kwayayamtakatifumikaelmalaika@gmail.com
Studios
MOZEN Productions:+255 746 775 116
RAJO Productions :+255 758 988 827
"Onyesha upendo kwa ku "subscribe, share, like and comment" nawe utakua umeshiriki katika utume huu na Mungu atakubariki maradufu"
#MOZEN Productions #Moyo Mtakatifu wa Yesu #Kwaya Katoliki #Kwaya Mikael Malaika Mkuu#Hekima #Mhandu - Hudba
Hongereni sana kwa wimbo mzuri
Hekima ya Mungu ndiyo kila mwanadamu anayotakiwa kuwa nayo asanteni sana kutukumbusha
Ndimligo mwenyewe. Hongereni sana
Hekima kutoka kwamungu nikilal kitu kwetu. Asanten kwakutupa neno kupita litrujia
Hongereni sana Atukuzwe MUNGU.
Ameen Amen Mungu atukuzwe nashukuru kwa kuniamini aisee ni motoooo injili isongee mbelee
Poapoa mwamba
asant kweli kuimba ni kusali mala mbili mungu awabariki sana
Mungu awape nguvu nimewapenda sn ujumbe mzur
Hekima itokayo juu ni safi🥰🥰🥰 hongereni sana Kwa ujumbe mzuri na rithim tamu
Naugana nanyi kwa uibaji wenu muzuli
thank you so much for this song, it has blessed me and i'm sure it will bless many..
Mubarikiwe zaidi kwa wimbo bora
🎉❤ so amazing god bless you 🙏🙏🎉❤❤❤
Creativity of the high order. Watunzi Na Waimbaji Mungu awabarini Hadi mshangae.
kazi nzuri sana.......hongea kwa utunzi mwanagenzi mwenzangu Thomas Joseph.
Asante sana
Nimependa sana
Ni kali 💥💥💥💥💥
Hongereni sana waimbaji. Kazi ya moto sana.
Barikiweni Sana
congrats Thomas joseph ,nice song God bless u all
Thank you so much madam
Woooow. Can't control myself towards this well scripted piece.
Hongereni Mno❤❤❤❤❤❤
Ni 🔥🔥🔥
Kwa kweli nimebarikiwa Sana mungu awatie nguv mzidi kubarikiwa Sana sana
God bless you guys
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki sana 💞💖
Wooooow
Nimebarikiwa sana na kazi yenu.
Hekima itokayo juu ni safi sana❤❤❤
Hongereni sana kwa KAZI nzuri
⛪🙏 am proud of Catholic choirs
Kazi nzuri 🥰
Kwaya tamu sana❤❤❤
My favorite song 🥰🥰
❤
🎉
Awooo❤❤❤ congratulations to this choir👏👏
Nice song
Wow👏👏
🔥
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki sana 💞💖