Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAWAZO NINAYOWAWAZIA NINYI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • Marafiki wanapokutana na kujikuta wanapenda kufanya jambo fulani huleta furaha zaidi. Ilikuwa furaha sana kukutana sisi wanne (Ray Ufunguo wa RAJO Productions), (Tumaini Swai wa RAJO Productions), (Fabian Mushobozi wa Holy Trinity Studios) na rafiki yetu mpendwa Lawrence Kameja.Kwa pamoja tukagundua yafaa kumwimbia Mungu kwa wasaa tuliokuwa nao. Nasi tukafanya hivyo kama marafiki. Hili sio kundi au kikundi rasmi cha waimbaji, bali ni marafiki tunaopenda kumwimbia Mungu. Tunawakaribisha kusikiliza na kutazama wimbo huu uliotungwa naye John Mgandu+ mnamo mwaka 1995. Wimbo wenye maneno matamu ya kumtukuza Mungu.Tunaposikiliza na kutazama,
    Tunamshukuru rafiki yetu Kelvin Boniface Bongole kwa kufanya sting music arrangement. Mungu aendelee ku mimina neema katika maisha yetu, neema za Mungu zikawe katika maisha yetu.#miminaneema #bwanaunibadili #kwayakatoliki #manenomatamu #rajoproductions #holytrinitystudios

Komentáře • 508

  • @josephlugembe2930
    @josephlugembe2930 Před 3 lety +66

    Umri wa nyimbo ilipotungwa (1995) ni umri wa mtu mkubwa kabisa kwa sasa lakini wameutendea haki kama unakubaliana na mimi like hii comment

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 3 lety +4

    Huu wimbo sichoki kuuskiliza,kaka zangu mmeimba powa kweli ujumbe ndousiseme.mngekuwa hamjaowa ningeomba Mungu mpk aniskilize mojawapo anioe

  • @vorstermatengumuzebe7795
    @vorstermatengumuzebe7795 Před 2 lety +2

    Rajo productions

  • @user-xl2px6mh6d
    @user-xl2px6mh6d Před 4 měsíci

    Natamani niwe Africa namimi nijiunge Nanyi sababu nyimbo zenu ni nzuri sana zinatia mtu moyo

  • @MariaYusuf1
    @MariaYusuf1 Před 3 lety +5

    Good voices kaka zangu ongera

  • @user-tv8ts3lt8c
    @user-tv8ts3lt8c Před 9 měsíci +2

    I like how ray ufunguo anavyoimba mungu ambariki kwa kweli❤❤❤❤❤

    • @rajopro
      @rajopro  Před 9 měsíci

      Be blessed.

    • @user-tv8ts3lt8c
      @user-tv8ts3lt8c Před 9 měsíci

      Naipenda katoriki zaid kupitia ray ufunguo imbaaa jamooon mpaka uzeekee I wish nkuoneee .

  • @consolatandinda8887
    @consolatandinda8887 Před rokem +4

    For I know the plans I have for you,” declares the Lord, “plans to prosper you and not to harm you, plans to give you hope and a future." This verse comes from Jeremiah 29:11
    awww ❤🎉 this song is sooo nice 👍 I just find myself here almost all the time

  • @dennisharry-tx8ig
    @dennisharry-tx8ig Před rokem +9

    This is the song that got me in touch with gospel music from Kenya. Melodious voices from all the four guys.Keep it up brothers in Christ

  • @brysonnyembele5481
    @brysonnyembele5481 Před 3 lety +1

    Kazi nzur sana , lakn tujiulize ss vp nyimbo zetu tunazozitunga baada ya miaka 20 au 30 zitakuwa na ubora kama za hawa wazee wetu wa enzi ,nimpongeze bwana mmoja abaitwa shaneri komba ,nyimbo zake zitadumu kama za mzee mgandu , pia R I P mwalimu sasita naye alikuwa bora sana

  • @neemalyakurwa9844
    @neemalyakurwa9844 Před 4 lety +3

    Bwana asema mawazo ninayowawazia nyinyi ni mawazo ya Amanii Wala co ya mabaya.....❣️ Akiiii sichokii kusikilaliza hii nyimbo munguh awabariki vijana wa yesu

  • @veronicamakoye4102
    @veronicamakoye4102 Před 3 lety +2

    Kazi nzuri sana,kila siku nausikiliza. Big up,kazi iendelee.

  • @jamesfesto1178
    @jamesfesto1178 Před 3 lety +3

    Kweli nmeipenda hii mmbarikiwe Sana ndugu

  • @simonsebastian9477
    @simonsebastian9477 Před 3 lety +3

    Hongereni sana walimu

  • @anesiasalvatory7327
    @anesiasalvatory7327 Před 3 lety +3

    Mungu awabariki

  • @fransisoroni9903
    @fransisoroni9903 Před 3 lety +3

    Safi sana dah yaaaaani mmenikosha sana

  • @franciscambatha9353
    @franciscambatha9353 Před rokem +3

    Wherever you are John Mgandu Mungu akupumzishe kwa amani..your songs still hit since 1995 up-to-date

  • @merryngowi6607
    @merryngowi6607 Před 3 lety

    Kweli bwana anatuwazia mawazo mema hivyo tumkimbilie yeye Amina

  • @aviaarchard5856
    @aviaarchard5856 Před 3 lety +4

    Wimbo wenye kuniweka katika tafakari ya upendo wa Mungu kwa kwetu. Mbarikiwe sana

  • @tibetswai104
    @tibetswai104 Před 4 lety +2

    Mungu azidi kuwainua rajoprodaction naitwa aleluya kutoka kibosho umbwe parokia ya umbwe naomba mtoe albam mpo vizuri. Izosauti kama mapdre au mafrater hivi au mashemasi

    • @tibetswai104
      @tibetswai104 Před 4 lety +2

      Rajoproduction nawafutiliaga sana ni Mimi Tibeti au Aleluya kutoka kibosho umbwe kombo sokoni ( parokia ya utukufu wamsalaba ubwe ) 0652528673 napenda sana kwaya mungu awabariki

  • @catherineshayo656
    @catherineshayo656 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki sana, yani nashindwa niandike nini niache nini,
    Huu naupenda mno na unafariji sana, na unatuonya , naomba msiishie hapa tu mtuletee na nyingine .

  • @elizabethemmanuel4167

    Wimbo niupendao unao nitia faraja amani pindi ninapokuwa na huzuni mbarikiwe sana

  • @siscosamson3960
    @siscosamson3960 Před 3 lety +4

    Tunashukulu sana warim wetu kwa kutuijilisha kwa wimbo huo( bwana asema uliotungwa na baba waimani John mgandu, mungu ailaze loho yake mahari pema/ na mwanga wa milele amuangazie apumzike kwa Amani/ Amina.

  • @SirJames065
    @SirJames065 Před 4 lety +1

    Huu wimbo hainotoki kwa kichwa. .

  • @eliseindakidemi7159
    @eliseindakidemi7159 Před 3 lety +1

    Maorganist ...safi sana

  • @consolattagabriel255
    @consolattagabriel255 Před 4 lety +1

    Naomba tubarikini kwa wimbo mwingine tafadhali

  • @manassehjoseph3438
    @manassehjoseph3438 Před 3 lety

    Mawazo ndio mawazo yangu ni ya aman wala.si ya manaba MUNGU nipe nguvu Mimi nitambue mawazo yako

  • @panyamadaniel9064
    @panyamadaniel9064 Před 11 měsíci

    Wimbo mzuri Sana kwa sisi wakatoliki

  • @remnantkikiwa3488
    @remnantkikiwa3488 Před 4 lety +1

    Tam sana.
    Mbarikiwe wapendwa

  • @wakykundy6016
    @wakykundy6016 Před 3 lety +2

    Big up sanaaaa

  • @solomonmenda6848
    @solomonmenda6848 Před 3 lety +2

    Napenda kweli mungu anatuwazia mema

  • @sr.donathanyiramanagerard9782

    Nafarijika sana kila nisikilizapo huu wimbo. Asanteni sana sana ndugu katika Kristu kwa kutuinjilisha. Mungu awabariki.

    • @naomibenjamini2088
      @naomibenjamini2088 Před 3 lety

      Miss u sr Donatha miaka 11 tangu nikuone. Nakutakia kila jema ktk utume wako. Milima haikutani binadamu hukutana ipo siku tutaonana our Champika

    • @sr.donathanyiramanagerard9782
      @sr.donathanyiramanagerard9782 Před 3 lety

      @@naomibenjamini2088 Asante sana.

  • @delvineondari9204
    @delvineondari9204 Před 2 lety

    Kazi nzuri mnayoifanya kueneza injili may God bless you abundantly.

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 Před rokem

    Walimu wetu hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @hildaqorro2225
    @hildaqorro2225 Před 4 lety +10

    Sauti ya kwanza na ya pili zimenikosha ... kiitikio na mashairi ni balaaaaa ...mko vizuri ...
    ****nami nitawarudisha.....👌👌
    Ila mtu ukishapenda wimbo utapenda kila kitu aiseee ...

    • @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60
      @kwayayamtaloisgonzaga-kiga60 Před 4 lety

      Karibuni kutazama Wimbo: NEEMA YATOSHA kupitia link hii kutoka KWAYA YA MT ALOIS GONZAGA -KIGAMBONI bila kusahau kusubscribe czcams.com/video/UWbuppK_p78/video.html

  • @josphatnzioki1789
    @josphatnzioki1789 Před 3 lety +1

    Tunarekodi.......hahaha ....akhi napenda kazi yenu

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před 3 lety +3

    Wimbo wa katikati misa ya kumuaga ya Mazishi Magufuli

  • @gabrielchelehani5119
    @gabrielchelehani5119 Před 4 lety +1

    Hogeleni sana kwa kuzingatia maadili babu j

  • @mercykagichu
    @mercykagichu Před 3 lety +3

    Angelic voices!!!! Sichoki kamwe kuuskiza wimbo huu mzuri sana,,,,, twapenda uimbaji wenu kwa sana na siku moja yaani mimi hutamani niwaskize mkiimba kwa karibu👏👏hongera nduguzanguni watanzania

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 Před 3 lety +1

      Usijal soon tutaku invite

    • @mercykagichu
      @mercykagichu Před 3 lety

      @@lawrencesilas3050 Mwaliko huo naungoja kwa sana......Lakini itabidi kwanza nijifunze kiswahili sanifu 😅 Mwendelee kumshukuru Mungu kwa nyimbo na sauti nzuri......Mungu awazidishie baraka zake

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 Před 3 lety +1

      Usijal shall teach you proper swahil

  • @basilmponzi291
    @basilmponzi291 Před 4 lety

    Laurence Kameja hongera Sana kwa Sauti nzuri ya kwanza ubarikiwe Sana wote

  • @beatusidama6233
    @beatusidama6233 Před 4 lety +11

    Binafsi ninashangazwa na hizo thumbs down 2. Loh! Wimbo sio tu umewasilishwa vizuri bali uimbaji uko bora sana na roho ya uinjilishaji inatia uhai kwa wote waitazamao hii video.
    Msikate tamaa RAJO!

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety +3

      Neno kama hili la nguvu kutoka kwa mtu kama wewe linatia moyo sana kaka. Tunamshukuru Mungu.

    • @csato9415
      @csato9415 Před 4 lety +2

      Hao watu wa 👎 huwa wapo tu.
      Hongereni kwa wimbo mzuri.

    • @mwalimujerrymathew9403
      @mwalimujerrymathew9403 Před 4 lety

      Kuna wale hawaelewi 👍na ile nyingine.. Wimbo mtamu, kazi safi

    • @beatricemalisa6984
      @beatricemalisa6984 Před 4 lety +1

      @@rajopro jitahudini muweke translation ya kiingereza itapendeza kwa wale hawajui kiswahili kuelewa na kuinjilishwa...na hao ndio wanaodislike video maana hawaelewi kinachoongelewa

    • @theresiakaruhanga1169
      @theresiakaruhanga1169 Před 4 lety

      @@csato9415 na hupaswi kuwalaumu maana uwezo wao wa kufikiri uko hivyo, la muhim ni kuwaombea

  • @hellenthadeo9526
    @hellenthadeo9526 Před 4 lety +1

    Mbona mnafanana kwani Ni ndugu

  • @graphphoto705
    @graphphoto705 Před 3 lety +4

    Nawapenda sana tumtukuze mungu daima amiinaa

  • @rahabumkama8954
    @rahabumkama8954 Před 4 lety +1

    Hongeren sana watumishi

  • @josephinegravasiano8614
    @josephinegravasiano8614 Před 3 lety +4

    Proud to be a Catholic

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 3 lety +1

    Asnteni sana,nimebarikiwa mno

  • @angelistashayo8925
    @angelistashayo8925 Před 3 lety +2

    Mko vizuri hongereni kwa mziki mzuri

  • @amosgerald7763
    @amosgerald7763 Před 4 lety +1

    Mbalikiwe

  • @angelmalavanu9723
    @angelmalavanu9723 Před 3 lety +2

    Safi Sana kaka zangu

  • @phillipmbuligwe7946
    @phillipmbuligwe7946 Před rokem

    Hongera sana Mwl Tumaini Swai, Lawrence, na rafiki zenu. Mungu Amewajalia talanta kubwa. Endelea kuitumia kumwimbia Yeye.

  • @donnyhhary2223
    @donnyhhary2223 Před 3 lety

    Jamani sichoki kuusikiliza huu wimbo.... Mbarikiwe watu wa Mungu

  • @bundesco
    @bundesco Před 4 lety +1

    Hongereni sana

  • @jonhsonmsofe9904
    @jonhsonmsofe9904 Před 2 lety

    Nimependa hio tokarajo

  • @marthanjeri9227
    @marthanjeri9227 Před 4 lety +1

    I like the song hongera wanachoir

  • @chrispinesamwel2660
    @chrispinesamwel2660 Před 3 lety +2

    SALUTE!!!!!

  • @janeakailokopu9829
    @janeakailokopu9829 Před 3 lety +4

    nawapenda na sauti zenu kweli mnanipa motisha ya kuishi maisha kikatoliki.mungu awe pamoja nanyi ndugu zangu

  • @angiegathoni1620
    @angiegathoni1620 Před 2 lety +8

    A year later and am still in love with this song.
    It reminds me that a year ago, i was battling mental health/depression, but Jesus made my story beautiful.
    Thank you for always reminding me how Jesus has better plans for me everyday despite being a sinner. I still love you guys.

  • @floraelias6458
    @floraelias6458 Před 3 lety +1

    Wooh mungu awabariki sana uinjilishaji mwema

  • @bujunebusanya3966
    @bujunebusanya3966 Před 4 lety +1

    Mungu azidi kuwatumia tupate kazi zingine nzurii zaidi. Kuimba ni raha sana. Hongereni sanaa

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 Před rokem

    Huu wimbo haichoshi kuutazama

  • @arnoldlaurentfuraha7301
    @arnoldlaurentfuraha7301 Před 4 lety +3

    Kazi nzuri sana... Hongera sana Rajo Production kwa ubunifu katika kueneza neno la Mungu kwa njia ya uimbaji... Talanta tulizopewa zinapotumika Mungu anahimidiwa na wanadamu tunapata baraka... Keep it up Mwl. Ray Ufunguo👏🏿👏🏿👏🏿

  • @brendamoraa6400
    @brendamoraa6400 Před rokem

    Indeed atatuzikiliza may good loybless you people yaani mnanibariki Wacha tu

  • @adrianjohn1994
    @adrianjohn1994 Před 4 lety +1

    Haya ndio madhara ya kukaa nje ya arusha sasa maana ningekuepo isingenipitaa hii

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety

      Hahahahaaaa. Bro, there is always "next time"

  • @godisonindunguru6090
    @godisonindunguru6090 Před 3 lety

    Godisoni toka nyasa kingerikiti litindo .mko vizur

  • @queenblancambena9048
    @queenblancambena9048 Před 4 lety +1

    Wimbo unaoniliza kila siku huu,,wimbo uliopendwa sana na mamaangu wakati wa uhai wake..na ndio alioimbiwa na wanakwaya wenzake wakati wa kumuaga

    • @rajopro
      @rajopro  Před 4 lety +1

      Pole sana Queenblanca. Mungu amlaze pema mama...

  • @victoriasiay4218
    @victoriasiay4218 Před rokem

    Jamani huu wimbo hauchoshi kuutazama na kuusikiliza mliutendea Haki endeleeni kubarikiwa

  • @rachelsimon4275
    @rachelsimon4275 Před 3 lety +3

    Wow, wow, wow, wow
    Mapendo,,,,,,, sichoki kuskiliza huu wimbo,,, mbarikiwe sana, ongezen na zingine na nawashaur muwe na Albam yenu kabisaaa,, keeep it guy's
    Kristo,,,,,,,

  • @charlesmartine3467
    @charlesmartine3467 Před 4 lety +1

    Very attractive

  • @guygerardmaindo6678
    @guygerardmaindo6678 Před 2 lety +5

    Depuis Kinshasa que j'ai écouté cette belle mélodie. Que Dieu vous bénisse abondamment.

  • @meresinantibakakazi1722

    Asaenteni sana kwa kuimba vizuri.kibondo tumewakubari

  • @sharonsimon2861
    @sharonsimon2861 Před 2 lety +2

    good job guys may GOD CONTINUE blessing ur talents

  • @ramadhanmahongole5663
    @ramadhanmahongole5663 Před 3 lety +1

    very very song

  • @ponsianonyangachi6805
    @ponsianonyangachi6805 Před 4 lety +1

    hizi ni karama adimu

  • @anatoriacronery3487
    @anatoriacronery3487 Před 4 lety +1

    Hakika sichoki kusikiliza huu wimbo barikiwa sana

  • @michaelmuimi9811
    @michaelmuimi9811 Před 4 lety +1

    Nami nitawapa moyo wanijue ya kuwa Mimi ni bwana nao watakuwa watu wangu nami nitakuwa mungu wao,Kwa maana watanirudia Kwa moyo wao wote!.....
    ...

  • @Rafaeljay76.
    @Rafaeljay76. Před 3 lety +2

    Mabogo in action congrats,injili isonge mbele...fid vibes 👌🔥

  • @noeliacharles7123
    @noeliacharles7123 Před 4 lety +23

    This song makes me feel like I have no worry in Jesus since his plans for us are those of peace... 🙏🙏🙏

  • @joymo2799
    @joymo2799 Před 3 lety +2

    Nice song still here on July 13 2021
    Nabarikiwa sanaa

  • @mgalami
    @mgalami Před 9 měsíci

    Leo 19.11.2023 ni Dominica ya 33 ya mwaka A wa kanisa.nami nashukuru sana kwani jana nilijifunza kupitia hawa marafiki wa nne ili nikaianzishe kwenye misa yetu nzuri isiyokua na kwaya.na kanisa zima limeikia.🙏

  • @belindananjala8844
    @belindananjala8844 Před 3 lety +6

    This is my best bible verse Jeremiah 29;11 ever,God bless you all
    I like it, it always rings in my mind like an alarm
    Mob love ❤❤❤❤❤❤❤❤❤🥰🥰🥰🥰

  • @justineamanyisye7675
    @justineamanyisye7675 Před 4 lety +2

    Hakika Mungu awatumie ktk viwango na viwango,nimetafakar maneno mazito

  • @speciozaathanas9894
    @speciozaathanas9894 Před 3 lety +1

    MUNGU AWATANGULIE KWA KAZI YENU NZURI

  • @nelsonkyaruzi1482
    @nelsonkyaruzi1482 Před 4 lety +2

    Aliye imba shairi kamtendea haki mtunzi. Itz very fantastic

  • @dominamsonge3088
    @dominamsonge3088 Před 4 lety +8

    Ameen. Huu wimbo nimerudia maradufu💥💯🔥🔥. Huyu sauti ya mashauri umetishaaa. Pumzi ya kutosha. Bass hatarii.
    Mpo vizuri. Mungu awariki kwa utume kwani nimebarikiwa.🙏

    • @lawrencesilas3050
      @lawrencesilas3050 Před 4 lety +1

      Amina Dada yetu

    • @rahabumkama8954
      @rahabumkama8954 Před 4 lety

      Yaan huyu kaka ana pumzi hatari na bado anadai ha ha haaa wakati mwenzangu na mm hadi jasho limenitoka kwa kweli glory to God hakika Mungu ana vyombo vya sifa

  • @noelinasaru1496
    @noelinasaru1496 Před rokem

    Walimu wetu hongereni sana

  • @StpaulDispensary
    @StpaulDispensary Před 9 měsíci

    Jamani kk tTumain Swai upooo

  • @magrethmosha9626
    @magrethmosha9626 Před 3 lety +4

    Nice song guys 🙏🙏

  • @hermansowo3527
    @hermansowo3527 Před 4 lety +2

    Hakika Mungu amewapa utume mzuri, mwimbieni Bwana maana ametukuka, jina lake lihimidiwe

  • @brendablessed1223
    @brendablessed1223 Před 2 lety

    Jeremiah 29:11 🙏🇰🇪

  • @josegideon4298
    @josegideon4298 Před 4 lety +27

    I don't know which language.... But it is very peace to hearing this song...God bless you all.... Wonderful job which you did....

    • @michellemuyama9144
      @michellemuyama9144 Před 4 lety +4

      I will translate for you.Lord says the thought I have for you are thoughts of peace and not of bad plans.You will call me and I will listen to you and I will restore all that is lost...

    • @josegideon4298
      @josegideon4298 Před 4 lety

      @@michellemuyama9144 Thank you brother..... God Bless you.....

    • @josegideon4298
      @josegideon4298 Před 4 lety

      Let me know this song which language....?

    • @benedictojanuary5222
      @benedictojanuary5222 Před 4 lety +3

      @@josegideon4298 this is Swahili language mostly used in Eastern part of Africa mostly in Tanzania and Kenya.

    • @patriqjingu9418
      @patriqjingu9418 Před 4 lety

      It is swahili Language, a national language for the country named Republic Union of Tanzania in East Africa.

  • @lauramushi3299
    @lauramushi3299 Před rokem +1

    Bravo RAJO'S PRODUCTION👏

  • @stephenmathenge9723
    @stephenmathenge9723 Před měsícem

    Hongera sana choir🎉🎉

  • @monicahmutuku5829
    @monicahmutuku5829 Před 3 lety +4

    Wow. Sauti zuri. Mungu awabariki na awalinde. Mawazo Bwana awatuwazia ni ya Amani. Swahi nakumbuka ukitufunza huku Kenya miaka Mingi. Barikiweni Sana.

  • @julianamanimo7850
    @julianamanimo7850 Před 4 lety +7

    Mawazo ninayowawazia ni mawazo ya amani, asante Muumbaji wetu kwa vipaji vya vijana hawa

  • @calvinjohn929
    @calvinjohn929 Před 4 lety +6

    kwakweli mumenigusa sana pia nimejifunza jambo kuwa umoja ni nguvu mwenyezi mungu awajazie hazina zenu mbinguni na hapa mbinguni kaka swai pambana nilijua ni kinanda tu uko vizuri sana kaka mkubwa

    • @festonayingo2135
      @festonayingo2135 Před 4 lety

      Dominika ya kuimba huu wimbo inapokaribia moyo wangu hutamani kuendelea kuuimba hata baada ya Dominika hiyo kupita. Sasa mmenipatia mahala pa kuupata kila nitapohitaji. Ahsanteni sana wimbo mzuri mmeuimba kwa sauti za unyenyekevu kabisa zenye kubariki..

    • @festonayingo2135
      @festonayingo2135 Před 4 lety

      Barikiweni sana kwa Kazi nzuri, bila shaka mlifanya kama marafiki tuu, lakini tambueni neno la Mungu haliludi bure. Mmewabariki wengi mimi ni mmojawao, endeleeni kutumia karama zenu vyema kila msikiapo Sauti yenye kuwatuma kutenda hayo bila ubishi.

  • @josephndimi6135
    @josephndimi6135 Před 4 lety +1

    Wao

  • @mgalami
    @mgalami Před dnem

    Wonderful

  • @fatmakizimba744
    @fatmakizimba744 Před 4 lety +1

    Ee Mwenyezi Mungu asante sana kwa ajiri ya watu wako watumishi wako hawa.walinde,wape maisha marefu yenye afya njema ili wazidi kulihubiri neno lako kwa njia ya uimbaji.
    WIMBO UMENIBARIKI Sana.

  • @eliasdilandasafisananapend9427

    Nawafurahia sana na uimbaji wenu

  • @antoniaproty6808
    @antoniaproty6808 Před 4 lety +1

    Ooooow nimeipenda sana jamani. Mungu awabariki kaka zangu.

  • @happytairo5143
    @happytairo5143 Před 4 lety +1

    Miaka mingi kwenu ili mzidi kufanya kazi yake zaidi na zaidi Mungu awabariki sana