UTUKUFU KWA MUNGU - Mtunzi: Boniface A. Manditi: Pro studios choir
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2024
- MISA YA DAMU TAKATIFU YA YESU
UTUKUFU KWA MUNGU
WAIMBAJI: PRO STUDIOS CHOIR
MTUNZI: BONIFACE A. MANDITI
SOUND ENG: AGRIPINUS MUTONGORE
ASSISTANT SOUND ENG: MWITA ISACK
ORGANIST: MWITA ISACK
KWA MAWASILIANO
+255 783481918
+255 717 414661 - Hudba
Nawapenda mno najisikia kupaa Mungu AWABARIKI SANA KWA kuendelea kumsifu natamani KUIMBA NANYI hakika Jina la Bwana linatukuzwa.
Unakaribishwa. Karibu sana uimbe nasi na karibu sana
Tunaomba mwanakondoo na Mtakatifu jamani daaaaa❤❤❤
Hongera Sana. Tunaombautume copyya Misa yako Swahili misic
Mungu Awa bariki sana n'a kuwaongezea vipaji vyake kwa huduma ya kazi yake
Kazi imetukuka
Hongereni sana. Misa nzuri sana
waooooooo
Tuhurumie kweli tuakozaji
Nice nice👏👏👏👏👏👏
Kazi inapendeza hongereni sana
Good job , good voices❤
Nota za huu wimbo please. Tamu zaidi❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I just love how the singers do justice to the song...and the studio ..just awesome
Thanks so much. Be blessee
Very amazing
Thanks a lot
Nikisubilia sana ii kitu munafanya vizur sana kazi mzuri mubalikiwe sana🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amina sana. Ubarikiwe pia
Asanteni sana kwa Sala hii, na Mwenyezi Mungu azidi kuwakirimia neema zote mhitajizo.
Mmeirejeshea Ibada ya Misa Takatifu heshima yake kwa namna mlivyoisali Sala hii ya Utukufu. Baraka tele!
Hongera sana Dr Manditi kwa utunzi bora
Asante sana Mpendwa. Atukuzwe Yeye Mungu anayenipa kibali Cha kuntukuza.
Hamjawai kosea, hongera waimbaji wa Pro Studio
Shukrani saana
very nice
😀
Thanks a lot 😊
Very well and beautiful
Thanks a lot 😊
Great one❤❤❤
Hongereni sana kwa wimbo mzuri sana
Karibu Daktari
Hakika najivunia kuwa Mkristo Mkatoliki daima na milele. Kazi nzuri sana
Wooooow misa nzuri sana, hongereni sana
Waoooooooo kazi ni nzuri sana sana
Tamu sana
Asante sana
Congrats for the good work
Thanks so much
Is there a way to like ten times. Kazi nzuri.....hongera kwenu. Na mungu atukuzwe kila wakati...
Tamu sana ❤❤❤❤❤.
Feel blessed 🙌
Njema sana
Kazi nzuri sana, Hongereni sana!
Utukufu Kwa Mungu MILELE...
Congratulations Kwa wimbo mzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Tunakushukuru sana.. Ubarikiwe wew na familia yako❤❤
Hongera sana 🎉❤❤
Waoooh..KAZI nzuri..nawapendaga saaana watu Hawa..hakuna kufeli..Mungu awalinde..🎉🎉👏👏👏🌹🌹🍇🌹🌹
Tunashukuru sana. Ubarikiwe sana
Mungu aibaliki roho yako
Hongera nyingi kwenuu
Misa tamu sana❤
Waooooooooooooooooooo...... ahsante Mungu hongera kwa kazi nzuri bado mi nasubiri mtakatifu na mwanakondoo
Mbaikiwe sana
Amina barikiwaa
Sichoki kuwasikiliza nyimbo zenu
Ubarikiwe sana ndugu
Hongereni sana watumishi. Misa hii imenibariki sana
Asante sana🙏
Ni muendelezo wa kazi nzuri. Mbarikiwe sana
amina sana🙏
O God, in love with all your productions. Help with the notes pliz
Your contacts
Nzuri mno. Nota plz
Nota za hizi nyimbo zenu hupatikana Vipi for choirs I can't wait to see my choir sing your songs.
Get me on whatsapp +255 744558606
Naombeni nota za Misa hii🙏🙏🙏
Ingia swahili music notes
Are the scores to your music available ?
Can i get the lyrics please
Tayari nishafika hapa..❤ 0:58
Karibuuu