Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.
@zaidiissa3714 Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.
Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.
Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo
@@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu
Enyi wakristo hamujielewi au ni upendo kwa Yesu umezid, unapokutwa na msiba matatizo majanga huzuni hata furaha wa kutajwa) ima kwa furaha au huzuni na wakuombwa msaada ni M. Mungu peke yake sio yesu lbrahim wala Daud wacheni mihemko isiyo na tija
Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.
Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…
Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona
Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂
Hes 23:23 SUV Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.
Pole sana yesu anakula anakunya mtu kama wewe t pekeyake mwenye nguvu Allah tu
AMINA🙏
Jina la YESU ni Kila kitu Duniani
Kwanini mnamtanguliza Yesu badala ya Mungu?hivi hamjui mnamuudhi Mwenyezi Mungu kiasi gani nyie wagalatia?
Mleteten Raboni ministry ipo Zanzibar..case imeisha hio kwa Jina la yesu.
Hizi ni nyakati za kukaa na Mungu Kwa ukaribu sana kuliko maelezo,.Mungu atamfungua lakini
Subhannah Allah....maajabu hayaeshi duniani kwa kweli....bado tutaona mengi kabla ya kufa.
Allah atunusuru, na madhila ya dunia' we Amina Issa kimolo au?
Sema Damu ya Yesu!! Atapona. Kama ni nguvu za giza bac ni mwisho tu kwa jina la Yesu Kristo. Mathayo8:5-13.
Damu ya kazi gani mtu asha kufa miaka na miaka acheni kudanganya watu
@@mussamgonola3983 Yesu hajafa wala hawezi kufa. Hahahahahaha we ni mjinga kwelikweli
Wewe siwaende useme km inainmani sn😂
MMM MUNGU TUSAIDIE watu hakika ni wabaya waleteni watu wa Mungu limetushinda sisi hakika Mungu halijamshinda
Chukueni simu yake tafuteni jina la mariam aje amalize iyo mambo ndio kamloga uyo mshenzi sana.
kama vile yesu alivyo hai nakuombea rehema mungu akusamehe akurudishie ufaham kwa jina la yesu uwe mzima uwe mzima
Je mungu unamuweka upandegani kama yesu anaweza kutenda kilakitu je mungu anaweza kutendanini??
@zaidiissa3714
Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.
Ameeeeeeeeeeen Ameen@@andrewmhagama9816
Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga
Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.
Amina
Hakika dunia imeisha mungu msaidie baba huyo aludi kwenye haliyake yamwazo
Waite watumishi wa Mungu wamwombee Yesu atamponya kabisa
hapo hawezi vinginevyo wamtafute huyo mtu aliyetajwa
Watumishi wenyewe wababaishaji tu wapiga pesa
Sasa kama yesu anaweza kumponya je mungu anaweza kufanya Nini au mungu niwakazigani???
@@zaidiissa3714 wewe umejazwa ujinga wa muddy.
Kabisa
Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo
Jamani acheni utani mana ukisema ni dogo sema halija kukuta
Kuna mganga atakuja kumtoa
I'm the first.... Kapigwa kitu Kizitooo.. Allah amjalie mpambnaji mwenzet arejee katak hali yake na kuendeleza mapambno
Jamani ,hii barabara kiboko ndo na gambushi njia hiyohiyo ushirikina huko duh
Marium popote ulipo mungu anakuona
😂😂
Mtuache tu ukizingua tunagandisha😂. Utani laki jaman
😂😂😂😂
Kweli bwana so utani ukizingua tunagandishaaa huu ni mwaka wa kugandaa tyuuu@@mariamsemwaiko8169
😅😅😅😅
Mariam ww! Fanya kufungua chapu, hawa viumbe hatuwalogi tunawasemehe t Mungu anajibu
Wewe mariam wewe mungu anakuona mwache mwenzako . Akutaje wewe tu .unatisha mariamu
Inawezekana asiwe yy labda hyo mkewe alikuwa hamuhudumii kisa mariam ndo maana mwenzie kamfanyia hvo ili amtaje hyo mariam anaemuona wa maana
Waislam wanamakasiriko na wakristo sijui kwanini??? Hivi akilizenu zipo timamu kweli??? Nyie aminini mnacho amini acheni wakristo tuamini tunachoamini punguzeni makasiriko😊
Wewe za kwako zilizo timia unabishana nini
Wew mwenye akili ungekua nazo ungejitahd uwape ata watoto wako mwehu ww
@@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu
udini umeingiaje hapo ?
We toa ujinga wako apa
Mungu amwepushe na Hilo
Mariam atafutwe popote alipo aje atwambie amemfanyaje ndugu yetu
😂😂😂jamani sijamfanya lolote😂😂😂ah jina Mariam ndio mnalolijua
@@MaryanDavid-jo2fs😅😅😅😅😅😅😅 tunatisha 😅😅😅😅
Wanaume wote tuungane kumsaka mariam amempa nin kijana mwenzetu!
😂😂😂😂😂
@@gadyetheboss8738 mtafanikiwa kweli? Kashawashika ndevu 😅😅😅😅😅😅
Mariamu popote ulipo mtengue mwenzako hiko kitu ulicho mfanyia
😂😂😂Uwez elewaa
Staki
Anajulikana mbona huku kwetu Katesh.
Mariam anayetajwa anafahamika sana huku Katesh.
Mariyam ni mamayake Issa
Dam ya yesu inanena mema atakaa sawa
🤣Haongei wala kutikisika kamtaja vipi tena mariam. Millard imekaeje hii mkuu.......wew mtu muhimu bhana habari zako....iweke sawa hiyo
Amekata kauli asubuhi ya siku yapili
Mmh hii Kali ya mwezi jomon 😂😂😂😂 Mariam jamn, sameh mana ujui nawe mungu amekupangia hukumu gani na Kwa njia gani ples letdwn 4hm
Lailah illah allah muhammad rasurullah,allah mwema atamxaidia
Damu ya Yesu kila eneo la maisha yngu
Huyo meneja wa kampuni ya ulinzi...anavyotaja Maria nmekumbuka JUAKALI wazee hawa kina maria mkae nao mbali mtakuja kunishukuru😢
Hahahaaaaaaaaaa jmn Mariam
Enyi wakristo hamujielewi au ni upendo kwa Yesu umezid, unapokutwa na msiba matatizo majanga huzuni hata furaha wa kutajwa) ima kwa furaha au huzuni na wakuombwa msaada ni M. Mungu peke yake sio yesu lbrahim wala Daud wacheni mihemko isiyo na tija
Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.
Jamm mungu atusaidie jmn
Mariamu huyo anafahamu alilolifanya
Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…
Et kapigwa na kituy kizitoo duuh
😂😂😂😂 mariam peponi haendi
@@Mina.15 tutawatangulia wote , tuachwe tuko busy 😂😂😂😂😂
Dunia imefika mwisho mungu tusaidie
😢😢😢khaaaa isimame tuchukeee😢😢
Koma wewe Dunia haiwezi fika mwisho kwa vitu vya kijinga wewe
Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona
imeniuma sana😢
Labda yawezekana kafanya makosa kwa marium au kutembea nae half kamuacha bila bila
Kama muna maji ya mwamposa mnywesheni na mpakeni mafuta
Mwenyezi mungu nimwingi walmaa atapona inshallah
Anahitaji kupelekwa maombi sio tatzo la hospital hilo.
Yupo Mungu afanyaye mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya
ODEMBA 😢😢😢😢MARIAM
Mariam odemba aje😂😂😂
@@Officialshontz jamani tuacheni tuko kazini 😂😂😂😂😂😂😘
Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂
😂😂😂
Apelekwe hospitali kwanza jamani labda celebral malaria
Apelekwe maombi hasa Ngurumo y upako atapona
Umejuaje Yuko kateshi Yale Yale MUNGU anawaona
Kwahiyo we Mariam ni kipi hasa alichokufanya mwenzako mpaka ukaamua kufanya hivyo!
akianani sikuizi akuna wanawake daa
Huyu jamaa nnaomba huyo ndugu yake amlete Kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya kwa Askofu Elibariki Sumbe, atapona kabisa nakuendelea na shughuli zake
😂😂😂😂😂😂😂 Siyo kwamba wamuombee tu kwa JINA LA YESU KRISTO apone Lazima aje huko yordan
@@Revelation1412.Tangazo la biashara 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂mwaka ushaanza kuchanganya ata kabla june😂😂😂tutaona mengi
Mleteni Dar es salaam kanisani .Ngomeni Kwa Kuhani Mussa Kila kitu kitajulikana hapo
Pengine Maryam amefanyiwa jambo na huyo mkaka ndio akaona afanye hvoo
Maryam msamehe tenaaa
Wajina pole sana mungu akunasue kwenye mitego mibaya 😢😢
Tanzania kuna vituko
Amtaja Mariamu kimoyomoyo ama ...umesema haongei😂😂
Mungu amponye
Jamani pengine ni husda mpelekeni akasomewe kisomo cha husda😢ishaallah atapoa😮🎉
Umesema haongei, amemtajaje Mariam sasa
Mariamu Tuoneshane Machaka Hayo😅😅😅
😂😂😂😂😂
@@Biharmbeauty 😅😅
😂😂😂😂😂
Duh😢 hatari sana😢
Life is spiritual
Liwalo na liwe pesa Kwanza mengine NI mengineyo. Uwoga wako ndo unaskini wako. Maria Yuko kazini
Mh manyara tena. Uchawi huo
Kwa jina la Yesu naaribu uchawi
HAONGEI MARIAM KAMTAJA VIPI?
😂😂😂 ndio nashangaa jamni
Haongei na watu ila akiwa mweyewe ndio anamtaja huyo mariamu
😂@@user-cy8el2pg6t
😂😂😂Umenichekesha sana
muonee uruma huyo kaka mariam kama Amekukosea msamehe tu mkabidhi mungu kipenzi changu.
Jina la Yesu limponye
Hes 23:23 SUV
Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
wakina mariamu nao huwa wanashida jamani
Maryam jamanii imekuwaje tenaa baba wa watu 😂😂😂
Wewe dada mwogope mungu
Niuchawi jamani ila liko Jina la Yesu linaponya
ya ulimwengu mengi😊
Kabisa 😂
Sasa kama haongei kamtaja vp mariam
Mariam nae asingempa mwamvuli wanaume wanazd sana
😂😂😂😂
Jaman MARIAMU nn umemfanyia huyu kijana
❤
Jamni ndugu zangu tusisahau kama hizi ninyakati za mwisho ko chamuhimu ni kumuomba mungu peke yake
Mwogope mungu ww dada
Ila mganga wa mamu aiseeee😅😅
Wale manabii wakowapi?! Waende huko
Si ndo hapo...au tuwatag hapa wote😂😂
Mariamu akamatwe jamani
huyo huenda alitembea na mke wa mtu au alimtapeli mwanamke
Wenye uwezo wa kimazingara bado wapo hadi leo wanaoweza kumtoa mtu ndani na kulaza nje bila kujijfahamu,
Waganga wameshafanya kazi ya boss wao babaa wa uongo
Mpelekeni Kwa pastor Tony kapola......ataombewa hio ni mapepo hayana uwezo
Siku tano😢Subhannallah
Mariamu popote ulipo,chonde chonde.mwache huyu kijana
huyo mariam ni jini kwa iyo warikuwa wapenzi jamaa akachepuka hasira ya jini mariam ndo kumpa mateso hayo ndo shida ya kuwa na mpenzi jini.
Inaweza ikawa kabsaa maama. Mhuu
Lipa pesaa za watu , mariam ata kutegua , kheeee kazii kweli kweli
mpigieni nabii dominik kiboko wawachawi nahuyo mariamu namganga wake wanakufaa
Nitumie namba yake
Mchapeni bakora muone kama hatonyanyua iyo miguu😂😂😂
Nilijua ni paul makonda
Kuna watu mna chuki makonda Kaingiaje hapo
Sub-hannallah!!!!
Wa kwanza mimi leo ❤
Wakwanza kufanywaje
Binadamu waleo wamekoswa huluma Mungu anawaona
Duuh kwao tabora mm nliskia tabora ni noma uchawi inje inje
Amina
Ila Tanzania raha sana jmn😅
He has been initiated to the dark world .aombewe
Wamlaze jamani damu itaganda
Daaah Mungu amponye
Amepata mental health anahitaji doctor wakumfanyia cancelling na kumpa dawa
Hilo ndilo SULUHISHO, Mental health na Uchawi wapi na wapi😢😢
Okoka leo, Yesu ni Mungu
Yesu Kristo si Mungu bali n mwana wa Mungu. Kasome Agano jipya zote
@@trecygohy7847 upende usipende Yesu ni Mungu. Hata usome vitabu vyote, atabaki kuwa Mungu tu
Eti ana kitambi kizuri
Uyo Mariam ni mchawi. Ata kwangu arikuja kuniroga
😅😅
😂😂
🤗🤗Tabora ....
😄dah mariamu weee
Mh.watu wanajua kuloga duh!!