TUKIO LA AJABU JAMAA AGANDA BARABARANI NA MWAMVULI HAONGEI WALA KUTIKISIKA "AMTAJA MARIAMU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 04. 2024

Komentáře • 700

  • @coj7920
    @coj7920 Před 26 dny +134

    Liitieni jina la Yesu , jina lipitalo majina yote, hakuna nguvu zozote za giza zitakazobaki hapo. Haijalishi kama kuna uliyemkosea au la, Mungu ni mwenye rehema, utafunguliwa kwa Jina la Yesu.

    • @jumaenzi4760
      @jumaenzi4760 Před 26 dny +17

      Pole sana yesu anakula anakunya mtu kama wewe t pekeyake mwenye nguvu Allah tu

    • @shamiramsoke1365
      @shamiramsoke1365 Před 26 dny +4

      AMINA🙏

    • @denisrukangula2227
      @denisrukangula2227 Před 26 dny +27

      Jina la YESU ni Kila kitu Duniani

    • @binseif2216
      @binseif2216 Před 26 dny +15

      Kwanini mnamtanguliza Yesu badala ya Mungu?hivi hamjui mnamuudhi Mwenyezi Mungu kiasi gani nyie wagalatia?

    • @pillykinabo8722
      @pillykinabo8722 Před 26 dny +5

      Mleteten Raboni ministry ipo Zanzibar..case imeisha hio kwa Jina la yesu.

  • @rosemarymapango3747
    @rosemarymapango3747 Před 25 dny +22

    Hizi ni nyakati za kukaa na Mungu Kwa ukaribu sana kuliko maelezo,.Mungu atamfungua lakini

  • @AminaIssa-ee6kl
    @AminaIssa-ee6kl Před 25 dny +8

    Subhannah Allah....maajabu hayaeshi duniani kwa kweli....bado tutaona mengi kabla ya kufa.

    • @IsmailMjesh
      @IsmailMjesh Před 25 dny +2

      Allah atunusuru, na madhila ya dunia' we Amina Issa kimolo au?

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m Před 26 dny +17

    Sema Damu ya Yesu!! Atapona. Kama ni nguvu za giza bac ni mwisho tu kwa jina la Yesu Kristo. Mathayo8:5-13.

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 Před 25 dny

      Damu ya kazi gani mtu asha kufa miaka na miaka acheni kudanganya watu

    • @user-cw8zn2dn6m
      @user-cw8zn2dn6m Před 25 dny

      @@mussamgonola3983 Yesu hajafa wala hawezi kufa. Hahahahahaha we ni mjinga kwelikweli

    • @user-jv1ch4tr8q
      @user-jv1ch4tr8q Před 25 dny

      Wewe siwaende useme km inainmani sn😂

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 26 dny +8

    MMM MUNGU TUSAIDIE watu hakika ni wabaya waleteni watu wa Mungu limetushinda sisi hakika Mungu halijamshinda

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před 26 dny +21

    Chukueni simu yake tafuteni jina la mariam aje amalize iyo mambo ndio kamloga uyo mshenzi sana.

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n Před 26 dny +26

    kama vile yesu alivyo hai nakuombea rehema mungu akusamehe akurudishie ufaham kwa jina la yesu uwe mzima uwe mzima

    • @zaidiissa3714
      @zaidiissa3714 Před 26 dny

      Je mungu unamuweka upandegani kama yesu anaweza kutenda kilakitu je mungu anaweza kutendanini??

    • @andrewmhagama9816
      @andrewmhagama9816 Před 26 dny +4

      ​@zaidiissa3714
      Mamlaka ya mbinguni na duniani amepewa yeye..kama ukisema mungu ni mungu yupi kuna watu wanaabudu mpaka ng'ombe,miti mashetani. Na ata tembo na wanasema mungu, sasa ili upokee uponyaji wa aina yoyote unatakiwa uliite jina la Yesu Kristo pekee ndilo lenye Mamlaka.

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk Před 26 dny

      Ameeeeeeeeeeen Ameen​@@andrewmhagama9816

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Před 26 dny

      Tuwe tunatoa vifungu vya neno la Mungu la bible, watu wengi wamelishwa ujinga
      Unakuta hatujui vitabu vyetu vya dini Zetu. Tumekariri kama kasuku hatari imani ikiwa kwenye lugha za kigeni. Umungu wa Yesu ni tatizo kuelewa. Hata hivyo huyo ndiyo mpinga kristo mwenyewe.

    • @julianamwamgogwa
      @julianamwamgogwa Před 10 dny

      Amina

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y Před 26 dny +12

    Hakika dunia imeisha mungu msaidie baba huyo aludi kwenye haliyake yamwazo

  • @lizekajigil3243
    @lizekajigil3243 Před 26 dny +28

    Waite watumishi wa Mungu wamwombee Yesu atamponya kabisa

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 26 dny +13

    Haha.. kwa nini agande na mwanvuri... Yani amejiandaa asinyeshewe wala asipigwe na jua. Mambo ya ajabu anampigia kampeni mganga atakaekuja kutumtoa ...huo ni mchungo

  • @mussaadamtheMiXologist1996

    I'm the first.... Kapigwa kitu Kizitooo.. Allah amjalie mpambnaji mwenzet arejee katak hali yake na kuendeleza mapambno

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 Před 26 dny

      Jamani ,hii barabara kiboko ndo na gambushi njia hiyohiyo ushirikina huko duh

  • @rhodacharles8857
    @rhodacharles8857 Před 26 dny +37

    Marium popote ulipo mungu anakuona

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q Před 26 dny +4

    Mariam ww! Fanya kufungua chapu, hawa viumbe hatuwalogi tunawasemehe t Mungu anajibu

  • @user-hv6qw2zw2y
    @user-hv6qw2zw2y Před 26 dny +4

    Wewe mariam wewe mungu anakuona mwache mwenzako . Akutaje wewe tu .unatisha mariamu

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 Před 23 dny

      Inawezekana asiwe yy labda hyo mkewe alikuwa hamuhudumii kisa mariam ndo maana mwenzie kamfanyia hvo ili amtaje hyo mariam anaemuona wa maana

  • @elinapetro7136
    @elinapetro7136 Před 25 dny +9

    Waislam wanamakasiriko na wakristo sijui kwanini??? Hivi akilizenu zipo timamu kweli??? Nyie aminini mnacho amini acheni wakristo tuamini tunachoamini punguzeni makasiriko😊

    • @TuyizereHusna
      @TuyizereHusna Před 21 dnem

      Wewe za kwako zilizo timia unabishana nini

    • @neemakungule8633
      @neemakungule8633 Před 21 dnem

      Wew mwenye akili ungekua nazo ungejitahd uwape ata watoto wako mwehu ww

    • @elinapetro7136
      @elinapetro7136 Před 21 dnem

      @@neemakungule8633 mnatufatilia sana mmbwa nyie utafikiri tunashea msikiti fyuuuuu shetani wenu anawapeleka puta sana mwambieni kabisa hakuna kitakachobadilika yesu ataabudiwa siku zote za Maisha ya mskristo kwaiyo tulizeni vijambio vyenu

    • @Mariam-ke4og
      @Mariam-ke4og Před 20 dny

      udini umeingiaje hapo ?

    • @East_Africa_120
      @East_Africa_120 Před 16 dny

      We toa ujinga wako apa

  • @MohamediAthumani-ub8nn
    @MohamediAthumani-ub8nn Před 26 dny +4

    Mungu amwepushe na Hilo

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 Před 26 dny +21

    Mariam atafutwe popote alipo aje atwambie amemfanyaje ndugu yetu

    • @MaryanDavid-jo2fs
      @MaryanDavid-jo2fs Před 26 dny +2

      😂😂😂jamani sijamfanya lolote😂😂😂ah jina Mariam ndio mnalolijua

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 26 dny +3

      ​@@MaryanDavid-jo2fs😅😅😅😅😅😅😅 tunatisha 😅😅😅😅

    • @gadyetheboss8738
      @gadyetheboss8738 Před 26 dny +5

      Wanaume wote tuungane kumsaka mariam amempa nin kijana mwenzetu!

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. Před 25 dny +1

      😂😂😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 24 dny +1

      @@gadyetheboss8738 mtafanikiwa kweli? Kashawashika ndevu 😅😅😅😅😅😅

  • @khadejarajab8007
    @khadejarajab8007 Před 26 dny +19

    Mariamu popote ulipo mtengue mwenzako hiko kitu ulicho mfanyia

  • @IbrahimJoji
    @IbrahimJoji Před 3 dny

    Dam ya yesu inanena mema atakaa sawa

  • @MCBTv-el3kh
    @MCBTv-el3kh Před 26 dny +5

    🤣Haongei wala kutikisika kamtaja vipi tena mariam. Millard imekaeje hii mkuu.......wew mtu muhimu bhana habari zako....iweke sawa hiyo

  • @NeemaSamweli-zo7zi
    @NeemaSamweli-zo7zi Před 25 dny

    Mmh hii Kali ya mwezi jomon 😂😂😂😂 Mariam jamn, sameh mana ujui nawe mungu amekupangia hukumu gani na Kwa njia gani ples letdwn 4hm

  • @FatmahPwatati
    @FatmahPwatati Před 21 dnem +1

    Lailah illah allah muhammad rasurullah,allah mwema atamxaidia

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 Před 25 dny +1

    Damu ya Yesu kila eneo la maisha yngu

  • @moseschrislumole2496
    @moseschrislumole2496 Před 26 dny +2

    Huyo meneja wa kampuni ya ulinzi...anavyotaja Maria nmekumbuka JUAKALI wazee hawa kina maria mkae nao mbali mtakuja kunishukuru😢

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Před 6 dny

    Enyi wakristo hamujielewi au ni upendo kwa Yesu umezid, unapokutwa na msiba matatizo majanga huzuni hata furaha wa kutajwa) ima kwa furaha au huzuni na wakuombwa msaada ni M. Mungu peke yake sio yesu lbrahim wala Daud wacheni mihemko isiyo na tija

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 Před 26 dny +10

    Daaaa jamani walimwengu wabaya sana.Aliyemfanyia hivi yupo amekaa ametulia tu anafurahi.Kumb la torati 28:7 inasema Bwana atawafanya adui zako wainukao juu yako kupigwa mbele yako watakutokea kwa njia moja nao watakimbia mbele yako kwa njia Saba.Bwana Mungu akashughulike na aliye fanya Jambo hili kwa huyu kaka.

  • @bonifacejohn9373
    @bonifacejohn9373 Před 26 dny +2

    Serekali itasaidia nini hapo… kila kitu serekali serekali… hii ujinga wetu utatutoka lini… huyo mtu mpelekeni kwenye maombi tu atapona hayo ni mapepo tu.. wala hajachanganyikiwa.. bali amechanganyiwa madawa tu…

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před 26 dny +12

    Et kapigwa na kituy kizitoo duuh

    • @Mina.15
      @Mina.15 Před 25 dny +1

      😂😂😂😂 mariam peponi haendi

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 25 dny +1

      @@Mina.15 tutawatangulia wote , tuachwe tuko busy 😂😂😂😂😂

  • @user-yq5uh1fr2p
    @user-yq5uh1fr2p Před 26 dny +20

    Dunia imefika mwisho mungu tusaidie

    • @michelinemapendo6652
      @michelinemapendo6652 Před 26 dny

      😢😢😢khaaaa isimame tuchukeee😢😢

    • @jassontv5366
      @jassontv5366 Před 26 dny +1

      Koma wewe Dunia haiwezi fika mwisho kwa vitu vya kijinga wewe

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Před 26 dny

      Wala.aijafika.mwisho watu ndio tunafika..wisho.matukio haya yalikuwepo yapo tangu zamanj ila.tu zamani watu walikuwa wachache Sasa huvi watu tupo wengiii.. si ushirikina wala nn anaumwa huyo aikili zimemruka uenda Mahalia tu wampeke hospital na wamuimbee au uenda anatafuta kiki tu😂 Mungu atamsahidia wampeleke hospital Imani za kishirikia ndio zinatufanya kumchelewesha mtu hospital matokeo yke anazidi kuumia angepqta tiba mapema anapona

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Před 25 dny +1

      imeniuma sana😢

  • @JosephSteven-pf1kf
    @JosephSteven-pf1kf Před 5 dny

    Labda yawezekana kafanya makosa kwa marium au kutembea nae half kamuacha bila bila

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o Před 20 dny +2

    Kama muna maji ya mwamposa mnywesheni na mpakeni mafuta

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před 25 dny

    Mwenyezi mungu nimwingi walmaa atapona inshallah

  • @StimaOfficial
    @StimaOfficial Před 25 dny +1

    Anahitaji kupelekwa maombi sio tatzo la hospital hilo.
    Yupo Mungu afanyaye mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya

  • @michelinemapendo6652
    @michelinemapendo6652 Před 26 dny +6

    ODEMBA 😢😢😢😢MARIAM

    • @Officialshontz
      @Officialshontz Před 25 dny +1

      Mariam odemba aje😂😂😂

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před 25 dny +2

      @@Officialshontz jamani tuacheni tuko kazini 😂😂😂😂😂😂😘

  • @victorianganyagwa2467
    @victorianganyagwa2467 Před 24 dny +1

    Wanaume mmezd jmn kutumia wtt wa wt n kuwaacha cyo buree kbx Mariamu wwww Tunyoooshee Mtu iwe fundisho n kwa wanaume wengne mmezd me xjaon ht hrma akome tu Mariamu ppt ulipo chukuwa mauwa yako😂

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 20 dny +2

    Apelekwe hospitali kwanza jamani labda celebral malaria

  • @agnessmalyeek9387
    @agnessmalyeek9387 Před 11 dny

    Apelekwe maombi hasa Ngurumo y upako atapona

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo Před 26 dny +2

    Umejuaje Yuko kateshi Yale Yale MUNGU anawaona

  • @user-hj8rl8cn5u
    @user-hj8rl8cn5u Před 9 dny

    Kwahiyo we Mariam ni kipi hasa alichokufanya mwenzako mpaka ukaamua kufanya hivyo!

  • @user-nt4ov4gl2o
    @user-nt4ov4gl2o Před 25 dny +2

    akianani sikuizi akuna wanawake daa

  • @justice607
    @justice607 Před 25 dny +3

    Huyu jamaa nnaomba huyo ndugu yake amlete Kanisa la Vuka Yordani Kisongo waya kwa Askofu Elibariki Sumbe, atapona kabisa nakuendelea na shughuli zake

    • @Revelation1412.
      @Revelation1412. Před 25 dny +1

      😂😂😂😂😂😂😂 Siyo kwamba wamuombee tu kwa JINA LA YESU KRISTO apone Lazima aje huko yordan

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 22 dny

      ​@@Revelation1412.Tangazo la biashara 😂😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 26 dny

    😂😂😂😂😂😂mwaka ushaanza kuchanganya ata kabla june😂😂😂tutaona mengi

  • @DianaMaseke
    @DianaMaseke Před 19 dny

    Mleteni Dar es salaam kanisani .Ngomeni Kwa Kuhani Mussa Kila kitu kitajulikana hapo

  • @ashuumuhammad8269
    @ashuumuhammad8269 Před 14 dny

    Pengine Maryam amefanyiwa jambo na huyo mkaka ndio akaona afanye hvoo
    Maryam msamehe tenaaa

  • @timopanga5286
    @timopanga5286 Před 26 dny

    Wajina pole sana mungu akunasue kwenye mitego mibaya 😢😢

  • @mercykariithi7919
    @mercykariithi7919 Před 10 dny

    Tanzania kuna vituko

  • @eddynaingasian2813
    @eddynaingasian2813 Před 10 dny

    Amtaja Mariamu kimoyomoyo ama ...umesema haongei😂😂

  • @PetronilaRaymond
    @PetronilaRaymond Před 26 dny

    Mungu amponye

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před 8 dny

    Jamani pengine ni husda mpelekeni akasomewe kisomo cha husda😢ishaallah atapoa😮🎉

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 26 dny +1

    Umesema haongei, amemtajaje Mariam sasa

  • @pascalgasper403
    @pascalgasper403 Před 26 dny +2

    Mariamu Tuoneshane Machaka Hayo😅😅😅

  • @mikaelchazi4616
    @mikaelchazi4616 Před 26 dny

    Duh😢 hatari sana😢

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke Před 19 dny

    Life is spiritual

  • @EmmanuelNyinyigwa
    @EmmanuelNyinyigwa Před 25 dny

    Liwalo na liwe pesa Kwanza mengine NI mengineyo. Uwoga wako ndo unaskini wako. Maria Yuko kazini

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 26 dny +3

    Mh manyara tena. Uchawi huo

  • @stevendavid8054
    @stevendavid8054 Před 18 dny

    Kwa jina la Yesu naaribu uchawi

  • @farajiajali3030
    @farajiajali3030 Před 26 dny +6

    HAONGEI MARIAM KAMTAJA VIPI?

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng Před 26 dny +1

    muonee uruma huyo kaka mariam kama Amekukosea msamehe tu mkabidhi mungu kipenzi changu.

  • @hucky-lh5mr
    @hucky-lh5mr Před 15 dny

    Jina la Yesu limponye

  • @PATRICKMICHAEL-pp5vo
    @PATRICKMICHAEL-pp5vo Před 26 dny +3

    Hes 23:23 SUV
    Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Před 25 dny +1

    wakina mariamu nao huwa wanashida jamani

  • @salmanassor8732
    @salmanassor8732 Před 26 dny

    Maryam jamanii imekuwaje tenaa baba wa watu 😂😂😂

  • @user-iz3sl6ul7f
    @user-iz3sl6ul7f Před 19 dny

    Wewe dada mwogope mungu

  • @HappyNanotechnology-bz4cn

    Niuchawi jamani ila liko Jina la Yesu linaponya

  • @shabanimshanga8863
    @shabanimshanga8863 Před 26 dny +3

    ya ulimwengu mengi😊

  • @producercharlz2549
    @producercharlz2549 Před 26 dny +1

    Sasa kama haongei kamtaja vp mariam

  • @chimamilion
    @chimamilion Před 26 dny +1

    Mariam nae asingempa mwamvuli wanaume wanazd sana

  • @user-jr3mo3je3k
    @user-jr3mo3je3k Před 22 dny +1

    Jaman MARIAMU nn umemfanyia huyu kijana

  • @user-gs1xl8nu1s
    @user-gs1xl8nu1s Před 23 dny

    Jamni ndugu zangu tusisahau kama hizi ninyakati za mwisho ko chamuhimu ni kumuomba mungu peke yake

  • @user-iz3sl6ul7f
    @user-iz3sl6ul7f Před 19 dny

    Mwogope mungu ww dada

  • @mithlaabdulrahim8566
    @mithlaabdulrahim8566 Před 26 dny +1

    Ila mganga wa mamu aiseeee😅😅

  • @SV_astro
    @SV_astro Před 26 dny +6

    Wale manabii wakowapi?! Waende huko

    • @CairoJames9
      @CairoJames9 Před 26 dny

      Si ndo hapo...au tuwatag hapa wote😂😂

  • @user-ub3er7zf9j
    @user-ub3er7zf9j Před 9 dny

    Mariamu akamatwe jamani

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 Před 26 dny +1

    huyo huenda alitembea na mke wa mtu au alimtapeli mwanamke

  • @user-jb8bo2qw6r
    @user-jb8bo2qw6r Před 25 dny

    Wenye uwezo wa kimazingara bado wapo hadi leo wanaoweza kumtoa mtu ndani na kulaza nje bila kujijfahamu,

  • @upendomtui6544
    @upendomtui6544 Před 26 dny

    Waganga wameshafanya kazi ya boss wao babaa wa uongo

  • @user-mu7ge1ky7u
    @user-mu7ge1ky7u Před 26 dny

    Mpelekeni Kwa pastor Tony kapola......ataombewa hio ni mapepo hayana uwezo

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i Před 25 dny

    Siku tano😢Subhannallah

  • @JohariMagoha
    @JohariMagoha Před 16 dny

    Mariamu popote ulipo,chonde chonde.mwache huyu kijana

  • @user-zt1te9ir8t
    @user-zt1te9ir8t Před 22 dny +1

    huyo mariam ni jini kwa iyo warikuwa wapenzi jamaa akachepuka hasira ya jini mariam ndo kumpa mateso hayo ndo shida ya kuwa na mpenzi jini.

  • @vero57
    @vero57 Před 26 dny

    Lipa pesaa za watu , mariam ata kutegua , kheeee kazii kweli kweli

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 Před 26 dny +2

    mpigieni nabii dominik kiboko wawachawi nahuyo mariamu namganga wake wanakufaa

  • @vesitinarevocatus7333
    @vesitinarevocatus7333 Před 26 dny +6

    Mchapeni bakora muone kama hatonyanyua iyo miguu😂😂😂

  • @user-py9eo6zw6d
    @user-py9eo6zw6d Před 25 dny +1

    Nilijua ni paul makonda

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 26 dny

    Sub-hannallah!!!!

  • @SingoMedia
    @SingoMedia Před 26 dny

    Wa kwanza mimi leo ❤

  • @JosiaJakson
    @JosiaJakson Před 25 dny

    Binadamu waleo wamekoswa huluma Mungu anawaona

  • @EmJesho
    @EmJesho Před 17 dny

    Duuh kwao tabora mm nliskia tabora ni noma uchawi inje inje

  • @PeterMwamtobe
    @PeterMwamtobe Před 25 dny

    Amina

  • @saidomary7930
    @saidomary7930 Před 26 dny +1

    Ila Tanzania raha sana jmn😅

  • @MiriamSamuelke
    @MiriamSamuelke Před 19 dny

    He has been initiated to the dark world .aombewe

  • @Mineshrey
    @Mineshrey Před 9 dny

    Wamlaze jamani damu itaganda

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 26 dny +3

    Daaah Mungu amponye

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 Před 26 dny +1

    Amepata mental health anahitaji doctor wakumfanyia cancelling na kumpa dawa

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl Před 26 dny

      Hilo ndilo SULUHISHO, Mental health na Uchawi wapi na wapi😢😢

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 Před 25 dny

    Okoka leo, Yesu ni Mungu

    • @trecygohy7847
      @trecygohy7847 Před 25 dny

      Yesu Kristo si Mungu bali n mwana wa Mungu. Kasome Agano jipya zote

    • @Bilioneabichwa331
      @Bilioneabichwa331 Před 12 dny

      @@trecygohy7847 upende usipende Yesu ni Mungu. Hata usome vitabu vyote, atabaki kuwa Mungu tu

  • @robertflorian9462
    @robertflorian9462 Před 26 dny

    Eti ana kitambi kizuri

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před 25 dny +1

    Uyo Mariam ni mchawi. Ata kwangu arikuja kuniroga

  • @siamnyone8403
    @siamnyone8403 Před 26 dny

    🤗🤗Tabora ....

  • @anethcharles5443
    @anethcharles5443 Před 26 dny

    😄dah mariamu weee

  • @Blessing_uk
    @Blessing_uk Před 24 dny

    Mh.watu wanajua kuloga duh!!