Joel nanauka mwenyezi mungu akubariki unatufunza Mambo mengi mno ya kijamii.nina suali kwako ukimaliza madam zako unasema see you at the top Ina maana gani?.
Mungu wangu anisimamie kamwe nisiache maombi na kumshukuru hata kama bado hayajatimia lakini nina hakika yameshakuwa kwa jina la Yesu Kristo very soon yatadhihirika mwilini.
Joel nanauka mwenyezi mungu akubariki unatufunza Mambo mengi mno ya kijamii.nina suali kwako ukimaliza madam zako unasema see you at the top Ina maana gani?.
Asante.. Joel nimejifunza sitakata tamaa..mpka..nipate...matokeo kwa hili.🙏🙏
Majaribu ni mengi Ila sitakata tamaa...Mimi ni mshindi.❤
Joel nanauka mwenyezi mungu akubariki unatufunza Mambo mengi mno ya kijamii.nina suali kwako ukimaliza madam zako unasema see you at the top Ina maana gani?.
Mungu wangu anisimamie kamwe nisiache maombi na kumshukuru hata kama bado hayajatimia lakini nina hakika yameshakuwa kwa jina la Yesu Kristo very soon yatadhihirika mwilini.
I learn to focus and establish for a single carrier 🙏
Waiting to hear from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amina kaka🙏
Mimi sitokata tamaa ❤asante sana kaka mungu akutangulie kila hatua yako
You are always right 👍
Good job my mentor!
I will never give up until I win
Sitokata tamaaa 💪💪
Yeah brother ❤
Nashukuru Sana mentor wangu umenifanya nisimame kwenye kazi ninayofanya
Bos naitaji kuonana na wewe tafadhar🙏
kaka asantesana nimejifunza
Ahsante sana Sir, hii imekuja wakati muafaka
Wa kwanza Mimi Leo
Shukrani kaka ❤
Waiting to hear from 🇧🇭🇧🇭🇧🇭🇧🇭
Uko sahihi JN
umenifriji sana kaka salut sana
Big up sana Bro
joseph is waiting to hear from Washington
🎉🎉
Mafundisho yako yananijenga sana. Naomba namba yako kwa maelekezo zaidi
SITAKATA TAMAA
Kuna usemi usemao kwamba ukiona kizaa kinazidii ndivo kunapambambazuka ,ukiona matatizo yanazidi ndivyoo mwanga wa mafanikio unakujia
Uhakika
Joel nanauka mwenyezi mungu akubariki unatufunza Mambo mengi mno ya kijamii.nina suali kwako ukimaliza madam zako unasema see you at the top Ina maana gani?.
Anatamani kukuona juu sana🎉
Anatamani kukuona juu sana🎉