Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Dada hongera,naomba unahitaji mdada wakitanzania nahitaji napenda kupika chakula
Sawa Bwashee mpaka Marekan flag inapepea Gud job 🤙🤙🤙
Kiteeee, thanks a lot kwa kituhabarisha kutoka USA. Mola akulinde urejee salama. Amin
Dada apo safi sana maana wanawake wenginee nikupamba kucha tuu na nyweleee,jifunzeni kwa dada hapa
Allah ayibarika kaziyako dada 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nimemfulaia uyo dada ajivungi❤❤
Big up my sister prisila mkenda
Ubunifu sqfisaana 💕💕💕
Dada shujaa mpambanaji wabongo hatujawahi kushindwa labda enzi za mababu sio dunia ya leo.big up sister
Kaka kitenge please naomba namba za uyo Dada ili nipate kujua thamani ya iyo gar ili na mm nifanye hapa home
Ndugu biashara inaenda sambamba na ubunifu huhitaji mpaka uwe na gari hiyo hiyo ndio uweze kufanya hiyo biashara......... Unaweza nunua gari aina nyingine ukapeleka gereji na kuiunda kama unavyotaka wewe mwenyewe
Mmh agiza hayo ni maono yako anayeona kuliunda kwa fundi aunde,ila kuagiza ndio safi
Noma sanaaa
Mama ntilie wa kishua, pilau elfu 40.
Fantastic 💯💯💯💯
Congratulations 👏🏽
Love this.
Priscilla big up 👍
Safi mama wape na ugali wa muhogo
Xenks Bro
Kitumbua dollar 2..Elf 4
Ungetuonesha au kutest chakula kidogo ingependeza
Good on you dada!
Asante sana
Hii nimeikubali. Video zako nzuri sana na zina mchango mkubwa sana
Naweza pata number ya dada huyu tafadhali.
Dada na mm naomba kazi
kitenge nimeona mama nterie uko marekan mm ni mpishi nakuomba uniunganishie nifanye nayo kazi nitapata ?
Tupe namba Tuje kufanfa kz
Kitumbua Gani hi ho Cha 8000 au ndo like walichokua wanaimba wasanii
Mwee jamani kitumbua elfu 8000🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Posipti tunazoTupe michongo dada
Sawa
Dada mchaga
kipindi kizuri,,, natamani kufanya naye kipindi
Duuh dolla 17 pilau kitumbua dolla 2 aisee kina pesa km kibongo bongo
anauza hvyo kutokana na thamani ya hela mzee
Niumbey kazi kwa maman nitilie
Kumbe anaongea kiswaili
Dada mchaga wa rombo kweli
Ukisikia mama anaupiga mwingi ndo huyu sasa
Pilau moja shilingi arobaini🤣
Sasa wateja wanapotaka kula wanakaa ndani? Au?
Take away only mzee
Foodtrack huitaji kula hapo hapo Just take away .Ghana wenzetu wanafanya hii huko accra
Duuuh kitumbua kimoja 4000
Sio elf 4 ni elfu 11ww hujui dola
@@baiaaa2809 siamesema dola 2 au
Brother unajua Michele dola ngapi? Hapa hapa bongo kahawa 2000 kikombe
@@baiaaa2809 we ndo hujui sasa
Dollar 1=2332×2=?
Dada hongera,naomba unahitaji mdada wakitanzania nahitaji napenda kupika chakula
Sawa Bwashee mpaka Marekan flag inapepea Gud job 🤙🤙🤙
Kiteeee, thanks a lot kwa kituhabarisha kutoka USA. Mola akulinde urejee salama. Amin
Dada apo safi sana maana wanawake wenginee nikupamba kucha tuu na nyweleee,jifunzeni kwa dada hapa
Allah ayibarika kaziyako dada 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Nimemfulaia uyo dada ajivungi❤❤
Big up my sister prisila mkenda
Ubunifu sqfisaana 💕💕💕
Dada shujaa mpambanaji wabongo hatujawahi kushindwa labda enzi za mababu sio dunia ya leo.big up sister
Kaka kitenge please naomba namba za uyo Dada ili nipate kujua thamani ya iyo gar ili na mm nifanye hapa home
Ndugu biashara inaenda sambamba na ubunifu huhitaji mpaka uwe na gari hiyo hiyo ndio uweze kufanya hiyo biashara......... Unaweza nunua gari aina nyingine ukapeleka gereji na kuiunda kama unavyotaka wewe mwenyewe
Mmh agiza hayo ni maono yako anayeona kuliunda kwa fundi aunde,ila kuagiza ndio safi
Noma sanaaa
Mama ntilie wa kishua, pilau elfu 40.
Fantastic 💯💯💯💯
Congratulations 👏🏽
Love this.
Priscilla big up 👍
Safi mama wape na ugali wa muhogo
Xenks Bro
Kitumbua dollar 2..
Elf 4
Ungetuonesha au kutest chakula kidogo ingependeza
Good on you dada!
Asante sana
Hii nimeikubali. Video zako nzuri sana na zina mchango mkubwa sana
Naweza pata number ya dada huyu tafadhali.
Dada na mm naomba kazi
kitenge nimeona mama nterie uko marekan mm ni mpishi nakuomba uniunganishie nifanye nayo kazi nitapata ?
Tupe namba
Tuje kufanfa kz
Kitumbua Gani hi ho Cha 8000 au ndo like walichokua wanaimba wasanii
Mwee jamani kitumbua elfu 8000🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Posipti tunazo
Tupe michongo dada
Sawa
Dada mchaga
kipindi kizuri,,, natamani kufanya naye kipindi
Duuh dolla 17 pilau kitumbua dolla 2 aisee kina pesa km kibongo bongo
anauza hvyo kutokana na thamani ya hela mzee
Niumbey kazi kwa maman nitilie
Kumbe anaongea kiswaili
Dada mchaga wa rombo kweli
Ukisikia mama anaupiga mwingi ndo huyu sasa
Pilau moja shilingi arobaini🤣
Sasa wateja wanapotaka kula wanakaa ndani? Au?
Take away only mzee
Foodtrack huitaji kula hapo hapo Just take away .Ghana wenzetu wanafanya hii huko accra
Duuuh kitumbua kimoja 4000
Sio elf 4 ni elfu 11ww hujui dola
@@baiaaa2809 siamesema dola 2 au
Brother unajua Michele dola ngapi? Hapa hapa bongo kahawa 2000 kikombe
@@baiaaa2809 we ndo hujui sasa
Dollar 1=2332×2=?