![KITENGE TV](/img/default-banner.jpg)
- 3 024
- 15 232 287
KITENGE TV
Tanzania
Registrace 26. 11. 2016
Maulid Kitenge ni mtangazaji mahiri wa habari za michezo kutoka Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Kitenge Media.
Mtumiaji mahiri wa mitandao ya kijamii, Instagram, Twitter na Facebook. Kaa Karibu uhabarike.
Mtumiaji mahiri wa mitandao ya kijamii, Instagram, Twitter na Facebook. Kaa Karibu uhabarike.
Video
WANANCHI HAWANA DOGO/WABANDIKA MABANGO YA CHHAMA/WAFANYA MAANDAMANO SIO MCHEZO
zhlédnutí 496Před dnem
MWENYEKITI WA CCM KIBITI/ATOA SOMO ZITO KWA WANACHAMA/NI KUELEKEA UCHAGUZI WA 2024
zhlédnutí 80Před 2 dny
DAR BOXING DERBY NI KUFURU/MABONDIA WAFANYA MAAJABU MAZITO/NI HATARI HATA KUANGALIA
zhlédnutí 78Před 4 dny
WACHIMBA MADINI WASHIKWA MKONO/WAMSHUKURU MKURUGENZI WA GEM AND ROCK
zhlédnutí 91Před 4 dny
MWANZO MWISHO RAIS WA YANGA ALIVYO MPATA HAKIMI/AELEZA UGUMU ALIO UPATA MPAKA KUJA TANZANIA
zhlédnutí 1,4KPřed 5 dny
TAZAMA ALLY KAMWE AWATANIA SIMBA HAKIMI AANGUA KICHEKO MBELE YA ENG.HERSI WKAIWA ARUSHA
zhlédnutí 1,9KPřed 5 dny
KISA WAVUVI MNEC CCM RUKWA AUWASHA MOTO AWATETE WAVUVI WAENDELEE KUVUA SAMAKI
zhlédnutí 77Před 5 dny
MANGUNGU/WANAOTAKA NITOKE MADARAKANI/MAJIBU HAYA HAPA/AELEZA MWANZO MWISHO SAKATA LA SIMBA
zhlédnutí 1,6KPřed 6 dny
SAKATA LA MGOMO WA WAFANYA BIASHARA/RC AENDA KUZUNGUMZA NAO/LAKINI BADO WAGOMA KUFUNGUA
zhlédnutí 369Před 8 dny
ANGALIA WAFANYABIASHARA WALIVYO KAA/NJEE YA MADUKA YAO/WATIA NENO WAGOMA KUFUNGUA KABISA
zhlédnutí 268Před 8 dny
😂😂😂😂😂
❤❤❤❤❤
Mwenyekiti wa wasemaji
Daaah! Wananchi hatunajambo dogo😂😂😂
Wewe mkundiu unatuita wajinga matako
Chukueni waliozeeeka,tukiwatupa ndo
Walitaka Chama asivae medali ya ligi kuu t na FA 😅😅
Sherehekeen,TU lakin mtalia badae
Nalia polee nalia pole sanaaa 😅😅😅
Kwani hakuna wachezaji wengine mnamgangania chama
Tatizo una maneno sana ole wenu msajili vibomu vya kutulipua msimu huu
This is called branding, wengine wanaweza chukulia ni dhihaka lakini kwa yanga wanatafuta attention ili wazidi kuwavutia sponsors zaidi na kuongeza thamani yao
😂😂😂
Duh 🙄😒🙄
Mwacheni aende huko kwa utopolo simba hana nafasi
Chama nanii mbona wapo zaidi ya Chama simba nguvu moja
Kwanza aende afike salama kwanza kwanini tunawao giloa viongoziiiii aendeeeeeee simba ni kubwa sana kuliko cha alenda morison yako wapiiiiiiiiii
Point
Wanasimba tuwe makini na hizo comment za hao utopolo,tuwaache viongozi wetu wafanye usajili nina imani tutakuja kufurahi sana msimu ujao.this is simba
Akili kubwa sana ndugu yangu
Point
Simba pesa awana mnajigomba gomba t apo
Toa Ela na wewe usiongee2 ata Cady utakuta auna au aulipii
chawa ni chawa Tu we Ahmed ally huna point;Chama ni evergreen ubahili mnamwachia mchezaji mzuri tena aende Yanga;so painful painful
Toa Ela wewe umbakishe
Chama akiondoka tutaandamana mbaka kwenye ofisiza simba
aende tuuu
Point
Acheni kuongopea wenye Akiri kawaongopee sifuri ninini au dunduka fc sisi tunajua hakuna mtoaji hela ya chama , luisi ndo maana mmeshindwa kuwabakiza. Ok endeleen tu kununua wachezaji wa mitumba safari hi hakuna mbeleko za marefal Niko paleee👉....💪💪
Kwhy
Msajili weww
Jemedali una wivu wa kijinga na yanga
Yani jobe abaki chama aondoke kitaumana kwakweli
Mbakishe chama wewe kwa pesa zako
Hakimi huko vizuri kwa kifaransa
🎉🎉🎉🎉🎉
Hili takataka mlilitoaga wapi wanasimba yaan nalichukia hatar😂
Achana nasimba yeti achakjikanyagakanyaga hunakwenu wewemzee tuachie simbayetu hunamaajabu
NAFASI YAKO KWENYE JAMII NI NDOGO SANA LAKINI KIBURI CHAKO NI KIKUBWA KWENYE JAMII NJAA ITAKUUWA MBWATA MBWATA WEWE.
UNA KIBURI HATA KUONGEA KWAKO NI KWA KIBURI UNGEKUWA TAJIRI SIJUWI UNGEKUWAJE PANGU PAKAVU TIA MCHUZI JEURI KAMA HIVYO SHENZISTAN WEWE
UNASEMA HUWEZI KUTOKA KWA AJILI YA WATU KIDOGO JITOKEZE HADHARANI HALAFU USEME WANAO KUTAKA WAINUWE MIKONO TUONE WANGAPI NA KISHA USEME WASIOKUTAKA WAINUWE MIKONO TUONE WANGAPI KAMA UNAJIAMINI KWELI MZEE UTA ADHIRIKA LIVE JINGA WEWE
KAMA WEWE UNAJUWA KUMHARIBIA MTU FURAHA NI MBAYA SANA KWA NI HUTOKI NA UNAJUWA UNATUHARIBIA FURAHA YETU??? UTATOKA TU.
Ruto la Simba iloooo
HUYU MWANA WA HARAMU BABA MMOJA NA RUTO MAMAKE KATOMBWA NA BABAKE RUTO NAIROBI 😂😂😂😂😂
Weww muongo ndo unaetuharibia timu yet ya simba www unatumwa na yanga kutuharibia timu yet lkn ishaaalll kwa uwez wa allah mungu atakuondow
AMIN THUM'MA AMIN
Ww utatoka tu wwngoja
Kaka unatisha sana
piga kazi mzee.
Ngungu boy
Huyu hakuna ktu ,tatizo ni wanachama kuweka mizee isiyojua mpira
Jiuzulu wewe hio Simba sioya babako kipara ww mkonde
Hakuna mgogoro wakat wale wajumbe walitoka wakamsema mo hadharan shenzi zako weee
Ww mzee hatukii acha kufoc bn kwn huna watu nyumban kwko mbn ivyo mzee km kupaa
wewe achia timu kwani si nyumba yako eti uliijenga wenyewe, wana simba hatukutaki just go, you have nothing to simba sc.
Ondoka kizee unanganagania nini kwendaaaaa
Ata mzazi ndania nyumba akiwa amejichokea kuongoza watoto wake wakubwa huongoza nyumban kwaiyo naww sepa waachie wengine nin kinakiweka
Mangungu mjuwaji sana hatufai huyo Mo ndio mwajiri wake
😂😂😂😂😂 unachekea chooni daah simba bana
Kwani unamaslai gani na simba au unakalibia kufa ili simba isimamie msiba wako,mbona hujitambui wewe mzee.pita hivi basi unatia kichefuchefu broo
Endelea kung'ang'ania Madaraka mashabiki hatukutaki ni vile hutaki kuelewa
Ondoka huwezi kuongoza watu wa mpira wewe