SHK OTHMAN MICHAEL "FREEMASON, HIZI ZOTE NI KAFARA ANATOA" ATOBOA SIRI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #riyadhTvZnz #zanzibar

Komentáře • 108

  • @Kaoneka-bt3nj
    @Kaoneka-bt3nj Před rokem +1

    Mashallah Allah akupe Dunia na ahela shekh

  • @nyc5595
    @nyc5595 Před rokem +6

    Asalam alaikum sheikh wetu kipenzi ca maneno ya Allah na suna za Mtume wetu Muhammad (s.a.w) na nina maswali mawili naomba utusaidie utengenez darsa kuhusu yanayokua huko Saudia arebia majanga na mafuriko na panazunguuka ma videos ya kuzungmza alama za kiama Na lingine kuhusu ma sheikh na walimu wanasema ukiwapa pesa wanakuombea Dua kwa Allah mlezi wetu je si kosa au na tunaambiwa hakuna mtu anaombea Dua mwenzie inakutia ku kufuru mungu na kumshirikisha tusaidie kwa hayo Asanteni sana na tunawapenda sana na Tv zote unazotumia kutuelimisha Allah akupe umri mrefu na akupe mwisho mwema akup pepo ya firdawusi na familia yako yote

  • @nasserabdallah5750
    @nasserabdallah5750 Před rokem +1

    اللهـم صّـل وسِـلم وبارڪ ؏ نبينا مُحمدﷺ❤

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 Před rokem +19

    Nimemuona mtume Muhammad Mara saba pamoja na sayidina abubakar na sayidina Othman wakiwa kwenye vita ya uhudi nikawa na mie najisemea sijui nijitose sijui nijitose..!!! Allah atusamehe wanawazuoni wakubwa na wacha mungu wameondoka asilimia 98, hawa wengine ni waganga na si masheikh.Waislam tuwe macho na hawa watu si wa kuwafuata.

    • @abubakarmpole4000
      @abubakarmpole4000 Před rokem +4

      Ata mtume s.a.w alikuwa na maadui ambao wanaompinga, sasa sishangai ukimpinga huyu sheikh aliyepewa uongofu na Allah

    • @ramadhanimbulu4941
      @ramadhanimbulu4941 Před rokem +1

      @@abubakarmpole4000 pole sana!!Allah akujaalie uongofu ukasome dini yako uijue vizuri ili ujue haki na batili.

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Před rokem +4

      Acha chuki aliepewa kapewa Shekhe wetu Allah akulipe kwa kutufumbua nakutuelekeza palipo pema nakupenda kwa ajir ya Allah

    • @adamapollo9859
      @adamapollo9859 Před rokem +1

      @@ramadhanimbulu4941 kwan kakoseya nini

    • @othmanmulendelwa9622
      @othmanmulendelwa9622 Před rokem

      Wewe acha kutudanganya wana fana vipi

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 7 měsíci +3

    Kwaiyo waislam wengine hawaswali 😅😅 Kuna Siri kubwa sana kwenye Utajiri 😊

  • @mohammedmbaruk2034
    @mohammedmbaruk2034 Před rokem +3

    mashaallah acha waseme shekhe wangu ndio mwanadamu huyo

  • @issakhamis6817
    @issakhamis6817 Před 7 měsíci

    Asalam walekum sheik this khuthba Is very good jazakallah keri am ISSA HASAN from south Sudan juba capital.

  • @aishaz1
    @aishaz1 Před rokem +1

    Amin sheikh wetu

  • @KobaAbbas-v5c
    @KobaAbbas-v5c Před měsícem

    Ostadh samahani naomba msaada biidhin llah, me nikjana maskin naomba niwe mwanafunzi wako

  • @KhizryKwekajr-jw4ze
    @KhizryKwekajr-jw4ze Před 9 měsíci

    MashaALLAH shekhe

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před rokem +3

    Amiin inshallah

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum5974 Před rokem +2

    Shukrani sn

  • @user-rx5jx5wt3t
    @user-rx5jx5wt3t Před rokem +1

    Alllahu masali Wa salaam alehaa

  • @SindayigayaAhamad
    @SindayigayaAhamad Před 3 měsíci

    Ni kweli kabisa sheikh kumuswalia mtume kuna siri kubwa sana nami mambo yangu kafunguka tangu nianze kumuswalia mtume

  • @aishaabdi2059
    @aishaabdi2059 Před rokem +2

    Mashaallah ❤❤☝️

  • @KhadijaShee
    @KhadijaShee Před 2 měsíci

    Mashallah

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 Před rokem +4

    WAJABAH WAJABAH WAJABAH

    • @allyshaban4288
      @allyshaban4288 Před rokem

      Subhana Allah MashaAllah MashaAllah MashaAllah

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před rokem +3

    Shukraan 🙏

  • @nasradada7050
    @nasradada7050 Před rokem

    Subhanallah Allah akuifadhi pamoja na ummat

  • @DjanatiOrnella-ox2jm
    @DjanatiOrnella-ox2jm Před rokem

    Mansha Allah

  • @rehemamohammed1914
    @rehemamohammed1914 Před 9 měsíci

    Allah akbar❤❤

  • @aishahamis1248
    @aishahamis1248 Před 7 měsíci

    mashaahllah

  • @shabansumaiya4770
    @shabansumaiya4770 Před 11 měsíci +1

    Mimi namkubari wallah anaesema nifrimasoni wacha asema

  • @KasminaCreation
    @KasminaCreation Před rokem +2

    Jamani kuna watu wana bahati ?kumuota Mtume (s.a.w)ni bahati kubwa

  • @yusramwadini
    @yusramwadini Před měsícem

    🥰🥰🥰🥰

  • @AishaKashora-ud3xg
    @AishaKashora-ud3xg Před 7 měsíci

    Shekhe kasema baridi,,mama ana pagawa

  • @amrykhamis4482
    @amrykhamis4482 Před 10 měsíci +1

    Na uislamu hauruhusu kusemana vibaya

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 Před rokem +2

    Jamni amesema kweli tumswali lieni mtume hayo mengine tumuachia

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 Před 22 dny

    Naomba hiyo ya nnariya niandikie

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 Před 5 měsíci

    Kama kwer free meson moton moja Kwa moja

  • @suleimanbakari9762
    @suleimanbakari9762 Před 3 měsíci

    Tupe dalili ya chenye unaongea Wacha kutufumba macho

  • @edhaomar2853
    @edhaomar2853 Před rokem +3

    Allah kasingiziwa ana mtoto mtume kasingiziwa ni kuhani vipi sisi tuokoke na ndimi za watu

  • @user-jh6uu1td1i
    @user-jh6uu1td1i Před 6 měsíci +1

    Mimi niliwahi kuota nakwenda kumuona mtume muhammad makka ile nafika tu maka nakuta mtume amefaliki

  • @animamichael3968
    @animamichael3968 Před rokem

    nakubali sn nimekushuhudia mara nyingi

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp Před 7 měsíci

    Wamekua ni wamiliki wa makamera ili wachukuliwe mavideo. Munasema haya lakini ujumbe si unakwendaa

  • @SAIDNYUNGU
    @SAIDNYUNGU Před 2 měsíci

    Asthaghfirullah

  • @user-sh7id8of5m
    @user-sh7id8of5m Před 11 měsíci

    Asalam aleykum shekhe naomba namba yako

  • @Halima-zx4pg
    @Halima-zx4pg Před rokem +2

    Kweli unayoyasema

  • @user-lh4dp7if6w
    @user-lh4dp7if6w Před 7 měsíci +1

    Tusidanganyane bwans

  • @ziadaskitchen5060
    @ziadaskitchen5060 Před rokem

    Wajaa mtihani

  • @sfiaalanazi5479
    @sfiaalanazi5479 Před rokem +1

    Hiyo mada haiyendani na kichwa cha habari

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 Před 11 měsíci +2

    Huyu shekh ndio mara ya kwanza namsikiliza na nimefuatilia mikasa mingi ya watu huyu shekh anaonekana anajihusisha na free mason wazi wazi

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 Před 10 měsíci

      Uctuhumu watu Kwa hisia zako ndugu, Allah atuongoze sote

  • @SajeedaBilal-hg2ph
    @SajeedaBilal-hg2ph Před 3 měsíci

    Wacha uongo,mnajiwa na majini, we ulijuaje kama n mtume.wacha uongo

    • @omaar5693
      @omaar5693 Před 2 měsíci

      tatizo wewe hufanyi kitu ndio maana huoni kitu...hebu kaa na mungu mchana mmoja

  • @ashahassan1877
    @ashahassan1877 Před rokem

    Mm Nina mata tizo mengi nitaswali nakuomba msamaha naduwa nikimaliza nitaomba duwa km yeye haombiduwa mm nitaomba shida ikowapi zipo faida hapa hata km yapo makosa

  • @geitagewoma7112
    @geitagewoma7112 Před 7 měsíci

    Doktasule unataka kufeli mbona ulikuwa kiongozi wetu mzuri elezeni imani zaid kulko mali utajiri ni mali.yaduniya. dini ya allah ina poromoka.hamjaliona hilo.ombilangu mkishindwana rudini kwenye corowan nasuna.

  • @ZubeirTahir-ep1tp
    @ZubeirTahir-ep1tp Před 7 měsíci

    Wallahi ni biashara tuuuuuuu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 8 měsíci

    Sheikh nampenda kukusikiliza lakini nakuuliaa kitu kwanini unapenda kuapa? Kwani ukisema neno tu bila kusema "Wa Llahi" utakua je? Mbona tunakuamini bila ya kuapa apa. Halafu una sema hiii dhikri bora kuliko kubeba matufali kwa hiyo mafundi na vibarua wasema kubeba matufali wataacha kwani hizi kazi hazifai Au la Nani kafaradhiwa kubeba matufali?

  • @ummulkulsum6124
    @ummulkulsum6124 Před rokem +1

    Shekh kweli karne hizi unaweza ota anakujia mtume nikweli

  • @angle3600
    @angle3600 Před rokem +3

    Mimi sheik nilimuona mtume issa,nika muadithia mama mmoja akaniambia umeona shetani,lakini la kushangaza mbona niliona baraka ambazo sikutarajia Nae ni shetani?

    • @emmanuellabani5510
      @emmanuellabani5510 Před rokem +1

      Huyo ni mtume kweli maana shetani hawezi kujifananisha na mtume.

    • @angle3600
      @angle3600 Před rokem +2

      Niliambiwa hivyo sijamuona mtume issa bin mariam nimeona shetani,but baraka nilizozipata baada ya kumuona ajuae ni mungu,hadi natamani nimuote tena

    • @rachaeletoot3577
      @rachaeletoot3577 Před rokem

      Shekh kwel mimi sizani utajiri ninema kwangu ukubwa musaliye mutume ishallah,,,,,..Allah Akujariye

  • @nassor6333
    @nassor6333 Před rokem +2

    Hamna kitu hapa ,usufi ni ujinga.

  • @user-ml7jz5rf3n
    @user-ml7jz5rf3n Před 3 měsíci

    story za abunuasi

  • @mohamedjamaly5246
    @mohamedjamaly5246 Před 11 měsíci

    Umemuona mtume singida? Usitudanganye

  • @Alakhyasirabuammar
    @Alakhyasirabuammar Před rokem

    subhanallah. mrongo sana wewe

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před rokem

      Uongo wake nini ss

    • @rahurselektor9850
      @rahurselektor9850 Před rokem

      Mrongo ni wewe

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 Před 10 měsíci

      Uctaje mashekhe Kwa sifa hizo, Allah atuongoze sote

    • @Alakhyasirabuammar
      @Alakhyasirabuammar Před 10 měsíci

      @@amrykhamis4482 kujuwa kuzungumza kiarabu hakimfanyi mtu kuwa mlinganizi wa daawatu salafiyya . Dini Hino ilitimia haifai kuipaka tope kwa upuuzi wa mashehela na bid'aah zao. Jee arrasul صلى الله عليه وسلم alilingania hivo? Tumche Mola Mlezi wetu

    • @AminaAhmed999
      @AminaAhmed999 Před 4 měsíci

      umeona ee. usufi huu

  • @imammohamedmramadhan5837

    Wacha uongo bwana

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před rokem

      Uongo wake nini ss

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem

      Kma huna imani yakumswalia mtume kweli utasema watu waongo

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 Před rokem +2

    Daah wale wanaoambiwaga usufi hawaelewi hawa ndo masufi sasa... Afu eti anasimuliaaa km vile amefika karama fln,,,, muongo san huyuuu, afu eti swala ya mtume ndo duaaa, daah, ila tusishangae huyu alisilimu kutoka ukristi zile tabia anazo tuuuu

    • @idrissahamis5412
      @idrissahamis5412 Před rokem

      Acha husda ndugu

    • @jasminyabdully499
      @jasminyabdully499 Před rokem

      Mola akusameh

    • @JumaMtolilo
      @JumaMtolilo Před rokem +1

      Tatizo letu wengi hatuna imani thabiti pindi tunapomuomba Allah,maranyingi tunakuwa tunajaribu tunapoomba na kutaka tujibiwe kwa haraka Allah akikucheleweshea kukujibu unakata tamaa.
      Inapokuja mtu amefanikiwa akisema ukweli wake tunamuona muongo.

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem +2

      ​@@JumaMtolilowallah watu hawna imani mm mwenyewe nikimswalia mtume mara 50 tu nahis nafsi yng ina utulivu au una wahka wasiwas bs inakupa furaha tatizo watu hawna imani.

  • @aswabikimaro3033
    @aswabikimaro3033 Před rokem

    Hzo mara elf1 anazosema naamin hata yeye huwa hafanyi anadanganya tuu watu, tunaomba siku ukae darasan ututajie hzo riwaya km zina usahh wote

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx Před rokem

      Kwaio ww umeona nyingi hzo labda kma uko mbali na mungu wko na hyo kumswalia mtume nilisomeshwa na mwalimu wng bibi mzee anafika miaka 90 nadhan alikua anatufundisha lkn ilikua sijui maaan yke maana miaka 8

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 Před 10 měsíci

      Watu wanafanya zaidi ya mara alfu kumi unashangaa alfu 1?

  • @jubail73
    @jubail73 Před rokem

    Lisemwalo lipo tuna masaka na wewe Michael Jackson

    • @amrykhamis4482
      @amrykhamis4482 Před 10 měsíci

      Ushajiandaa kuliona Hilo jina ulilomuita shekhe ktk daftari lako cku ya kiama?

    • @jubail73
      @jubail73 Před 9 měsíci

      Wewe soma jina lako kwanza kabla hujasoma la mwenzako

    • @user-ku7ny5id5z
      @user-ku7ny5id5z Před 7 měsíci

      Weye acha kufananisha sheikh na wasani