Video není dostupné.
Omlouváme se.
Mbunge MUSUKUMA acharuka Bungeni "Hii Nchi sio ya Matajiri, Fukuza wote, Waziri hatutaki Uongo"
Vložit
- čas přidán 8. 11. 2023
- Mbunge wa Geita Vijijini (CCM) Joseph Msukuma ameshauri kuwa watanzania wapelekwe wakasome nje ya Nchi ili waje na uelewa Mkubwa kuhusu magari kubadilishiwa mfumo wa mafuta na kuwekewa mfumo wa gesi.
Mbunge huyo pia amesema Serikali ianze na magari ya mawaziri kwanza kuweka mfumo huo wa gesi.
.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot
Hii inchi .....mungu asikie kilio chetu wànyonge wakulima,wafugaji wajasilia mali ewa mungu wetu ututazame ichi hii inaheshimu matajili,na waajiliwa tu,
Safi sana msukuma pambana❤😂❤❤😢❤🎉
Jamaaa anaropoka vitu bila kuwa na data
umetowa hoja sana na serikalii ya tz ila niwa mbumbafu sana
Acha unafiki
Msukuma rudi shule