MAPYA YAIBUKA MAMA WA MTOTO ANAYEDAIWA KUKATWA KOROMEO NA DADA WA KAZI, AANGUA KILIO AKISEMA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.

Komentáře • 13

  • @CeciliaShauri-vc7up
    @CeciliaShauri-vc7up Před měsícem +2

    Yaani endelea kumshukuru Mungu na kuomba. Inavyoonekana hapa, mtu mbaya hawezi onyesha makucha yk kwa haraka. Alikuwa anaonyesha Upendo kwa kusudi maalumu. Na wkt ulikuwa umefika wa kutekeleza kusudi lake. Shetani ana njia nyingi ndugu yangu. Huyu binti hakuwa mzuri kwako. Na kumuamini kwako ndo kulimpa nafasi kubwa ya kufanya uovu. Kosa kubwa ulimuamini kutokana na Upendo wa unafiki aliokuwa anafanya. Mshukuru Mungu

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před měsícem

    Tunataka kujua kwanini alimfanyia kitendo hicho mtoto mbona hamtuambii. Mtoto ni mkubwa lazima atakuwa kasema sababu si mtuambie

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Kumbe yule kaka amebugi huyu mwanamke mkiristo yule mume muislam mnaishe nahuyu mwanamke ajiifadhi meanaume anaswali. Kwelihi kali munguatunusuru na zinaa

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 Před měsícem

    Ni pepo kamili

  • @jumakishipa6790
    @jumakishipa6790 Před měsícem

    Mbona hatusikii kitu kelele tu ndio zinadaka

  • @user-db2hi8jn3e
    @user-db2hi8jn3e Před měsícem

    Hatusikii chochote

    • @jumakishipa6790
      @jumakishipa6790 Před měsícem

      Anaongea nin sasa saut yenyewe hatusikii

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Před měsícem

      Acheni kulaza watoto wenu na wadada wa kazi je wewe waweza lala naye eti wanakumbataiana dunia hii jamani tujitafakari ! Ila pole sana

  • @selmesalim298
    @selmesalim298 Před měsícem

    Hatusikiikitu nizogo tu

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 Před měsícem

    Hizi kekele ni za nini

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 Před měsícem

    nenda kwa jois kiria utapata dada wa kaz mzur tuu

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      Bado mnamshauri aweke dada asubutu roho hiyo mie hapana naweza kwenda jela mie

    • @ShabanMainde
      @ShabanMainde Před měsícem

      😊😅😅😅​@@Official83640