Je Unapitia Wakati Mgumu Katika Maisha Yako?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2019
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 259

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork Před 5 lety +50

    Somo kubwa sana na la muhimu kwenye maisha yetu. Shukrani sana brother.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety +3

      Success Path Thanks #SeeYouAtTheTop

    • @meshackpatrick6981
      @meshackpatrick6981 Před 5 lety

      Simon Zurich Sana nag linatia motorcycle ongera Sana kijana

    • @chaptech
      @chaptech Před 5 lety +2

      brother Ezden, nakuelewa sana ukweli, nafurahi kuona pia nawe unajifunza kupitia watu kama wewe, nyote mbarikiwe pamoja na brother Joel

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork Před 5 lety +2

      @@chaptech thanks Peter

    • @marthazakayo9787
      @marthazakayo9787 Před 4 lety +1

      @@successpathnetwork balikiwa Sana , Kwan mafundisho yako kiukwel yananijrnga sana

  • @issamkondoa7183
    @issamkondoa7183 Před 5 lety +22

    Kiongozi umenigusa zaidi ya 100%
    Nina zaidi ya miaka 7 sasa ninahangaika lakini nashindwa kusimama tena. Nimepoteza marafiki kama wote. Mara ya mwisho wiki iliyoisha nimejaribu biashara fulani nayo ikaanguka vibaya na shida kubwa nawaamini sana watu. Na hapa nilipo nina majonzi mpaka nalia na ninajiuliza nimemkosea nini mwenyezi mungu!

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 Před 5 lety +2

      Pole issa usivunjike moyo amin unaweza jaribu tena utasimama 💪💪

    • @aasiyaasia682
      @aasiyaasia682 Před 5 lety +2

      ISSA MKONDOA uckate tamaa bora yan hapo mafanikio yako yapo karibu sana hivyo weka juhud zaid ,usilie tafakar na uangalie wapi unakosea na ujipange upya,kuwa na subra Muombe Mwenyez Mungu afu pia usipende kumuamin kila mtu sababu tupo katika dunia ilojaa hasad,chuki....inuka bro na uendelee kupigania ndoto yako ..bahar tulivu haitengenez nahodha bora...USIKATE TAMAA

    • @alfaniabassi7091
      @alfaniabassi7091 Před 5 lety

      Usikate tamaaa

    • @umikram6755
      @umikram6755 Před 5 lety

      Akhui kabla yakuanza jambo sema na ALLAH S.W atakujbu

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 5 lety +17

    Bro ujumbe huu nimzuri sana umenigusa sana hakika wewe nimwalimu wa maisha wakweli nakumbuka wakati mgumu nilipitia rafiki wengi wakajitenga nami nilipokuja pata wakati mzuri wakataka kurudi nikafunga milango kwakujua kwamba hawakua watu sahihi. Ahsante kwa Ujumbe

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      Maneno Lugendo Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @allicemwassa2789
      @allicemwassa2789 Před 4 lety

      Asante sana kaka kwa mafundisho mazuri,

    • @rukiayasuleyman2900
      @rukiayasuleyman2900 Před 2 lety +1

      Hayo yote unayosema! Ndiyo maisha yangu napata taabu Sana kwenye ndoa yangu lkn nashindwa kufanya maamzi, nisaidie nipate ujasili😭😭😭

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 5 lety +8

    Thanks for the speech kila jambo baya linatokea kuna kitu tunaepushwa.....sante bro

  • @msleny6767
    @msleny6767 Před 5 lety +9

    Safi sana tena maelezo nzuri sana, ni ukweli kabisa mambo haya. Nina rafiki aliye kataliwa na mzazi wake hapo basi akawa hana pakuenda wala pakukalia, lakini baada ya kuzungumzia na kijitia moyo asikate tama kuna sababu yake , leo hii anasema amejifunza vitu vingi kupitia changamoto hilo na amejifunza kumtegemea Mungu badala ya wanadamu
    Thanks for the upload Brother Joel💪👏👏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety +1

      Hellen Ogego Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @msleny6767
      @msleny6767 Před 5 lety

      @@joelnanauka Thanks for your uploads too, am greatly humbled

  • @hilarygodfrey5862
    @hilarygodfrey5862 Před 5 lety +5

    Nimekisoma kitabu chako cha ongeza kipoto kwakweli kinafundisha sana good job my brother

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      Hilary Godfrey Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @richardvalson9868
    @richardvalson9868 Před 5 lety +6

    Thanks so much ßrother NANAUKA ulipo nipo👍👍👍

  • @seifzongo320
    @seifzongo320 Před 5 lety +6

    Yaani elimu unayoitoa n Zaid yA elimu dunia hayo n maarifa ya kiroho that's why ukiongea unaongea na roho mpaka nywele zinasisimka, nakupenda Sana Kaka ila nakuuliza unaandika vitabu?! Kama una vitabu vinapatikana kwa utaratibu upi maana hauzungumzii kabisa kuhusu vitabu kak

    • @martinemanuel9782
      @martinemanuel9782 Před 5 lety +1

      Yeah anaandika vitabu anavyo zaid ya vitano

    • @seifzongo320
      @seifzongo320 Před 5 lety

      @@martinemanuel9782 vinapatikana wapi Sasa mbna atangaz

    • @martinemanuel9782
      @martinemanuel9782 Před 5 lety

      Kama Uko arusha nikupe no za wakala wake boss

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety +1

      Andante snaa seif karibu sana unaweza kuwasiliana 0756-094875 kuvipata

  • @T1tanGamingCsgoMore
    @T1tanGamingCsgoMore Před 4 lety +1

    Lecture yako imenigusa na yote ulosema ni ukweli kabisa na yamenitokea kweli na hata wanangu na baadae yanakuwa ni kheri kwetu. You're the best and God bless you 🙏

  • @mammyali3424
    @mammyali3424 Před 5 lety +4

    Asanteee sana brother Joel..nikiwa Dubai nimejifunza kila siku Mimi ni mwanafunzi na leo umenifunza kumbe wakati mgumu...ni funzi katika maisha haufai kulikwepa

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      Mammy Ali Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @salmonmkanulasalmonmkanula807

    Hizo ndo changamoto nilizo nazo kaka nimejitahidi kujikwamua ngoma imezidi kuwa ngumu nilikuwa vizur kipindi cha nyuma nimekuwa mtu wakuangushwa tu na ndugu na mahusiano yangu ya mapenz nimepata mke lakin ambaye amekubali kuwa na mm lakin bado naona kabisa changamoto zimezidi nimekosa hata hela ya kodi na matibabu ya mke wangu, yupo hospital mjamzito muda si mrefu kuanzia sasa anajifungua wakwe zangu wananiona kama namtesa mtoto wao najisikia aibu sana kaka nakuomba unipe mbinu nyingine labda mungu atanibaliki na mm

  • @nathanielsteven539
    @nathanielsteven539 Před 5 lety +2

    Ubarikiwe sana brother Joel,amina!!umenena jambo muhimu sana limenionyosha jambo,
    Keep it up brother.

  • @robertemmanuel1685
    @robertemmanuel1685 Před 5 lety +4

    Thanks bro, kwa masomo unayoyatoa tunapata mengi mazuri sana.

  • @theresiadebeli9621
    @theresiadebeli9621 Před 4 lety +1

    Najifunza mengi Sana kwa kila kitu naona maisha yangu yanaenda Sasa tanks nakupenda bure kaka

  • @tynomwingira9904
    @tynomwingira9904 Před 5 lety +3

    Nashukur kwa somo zuriii Mungu akubariki..kitabu chako cha #timizamalengoyako naweza kukipata wap?,binafsi nipo iringa!

  • @hafsahcletty5968
    @hafsahcletty5968 Před 5 lety

    Alhamdulilah mashaallah.Shukran

  • @timamusportstelevision6599

    Shukrani you're my hero

  • @egonkasiano7822
    @egonkasiano7822 Před 5 lety

    Shukran

  • @helbertsoneka2008
    @helbertsoneka2008 Před 5 lety

    shukran brother J

  • @princeholy4777
    @princeholy4777 Před 4 lety +1

    Nakuona kama wewe ni Role model katika maisha yangu.

  • @giversteve6852
    @giversteve6852 Před 2 lety +1

    Asante sana brother ....maana Dah nilihisi kupasuka moyo ....angalau

  • @erickwilbard6457
    @erickwilbard6457 Před 8 měsíci

    Ubarikiwe sana 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻, Mungu aendelee kukuinua, pia najifunza mambo mengi sana kutok kwako.

  • @amonkomba7232
    @amonkomba7232 Před 5 lety +8

    Thank you in advance once more MR JOEL

  • @bina2557
    @bina2557 Před 18 dny

    Mimi wakati mgumu ulinilazmisha kufanya maamzi ambayo yamebadilisha sana maisha yangu kias kwamba nisingefanya maamzi saivi ingekuwa story nyingne asante sana kaka Joel Nanauka

  • @Lululemon55
    @Lululemon55 Před rokem +1

    Nateseka sana mpk nguvu zimeniisha depression imeharibu kila ktu katk maisha yangu hakuna ktu chochote cha kunipa hamasa, nishajidhuru si mara moja wala mbili, nimejaribu kujiua sijui mara ngapi nishalazwa mental hospital miezi miwili lkn hakuna ktu kilichobadilika wallah natamani mda wng wa kufa ufike kwa haraka

  • @mg.general7710
    @mg.general7710 Před 5 lety +1

    Shukran Sana broo

  • @samsonezekiel970
    @samsonezekiel970 Před 5 lety +1

    True

  • @neemamacha8806
    @neemamacha8806 Před 5 lety +2

    Asante kwa somo zuri kaka Joel.
    hili ni la kwangu kabisa!

  • @mwanadamtz1298
    @mwanadamtz1298 Před 5 lety

    Thanks my coach

  • @shabanihaji7391
    @shabanihaji7391 Před 5 lety

    thank you brother

  • @alfayoamani177
    @alfayoamani177 Před 4 lety

    Thanks for advice brother

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 Před 5 lety +1

    💯👏👏👏 Asante

  • @judithwambura9234
    @judithwambura9234 Před 5 lety +1

    Many thanks bro

  • @alexandermajula7268
    @alexandermajula7268 Před 5 měsíci

    Asante sana

  • @elibarikibayo4047
    @elibarikibayo4047 Před 5 lety

    Thank you so much

  • @benedictmasigo3802
    @benedictmasigo3802 Před 5 lety +3

    Thanks brother I appreciate

  • @gladyvictor9094
    @gladyvictor9094 Před 2 lety

    Asanteee

  • @emmanuelkitomary2274
    @emmanuelkitomary2274 Před 3 lety

    Asante kwa mafundisho yako nimejifunza Sana barikiwa

  • @yoramdogezah8000
    @yoramdogezah8000 Před 4 lety

    Brother,
    Kiukweli mfumo huu wa kufundisha uko vzr kuliko ile ukiwa ofifisini,
    Unafundisha vitu ambavyo ni halisi ya maisha ha watu,
    Brikiwa sana mtu wa Mungu..
    NAOMBA UONGEZE ZAIDI MASOMO MENGINE YA NAMNA YA KUPANGA BAJETI, NA NIDHAM YA PESA

  • @priscakalenga4055
    @priscakalenga4055 Před 3 lety

    Asante sana nashukuru kaka

  • @joyceisack5930
    @joyceisack5930 Před 5 lety

    Asante sana J

  • @joseefaidabutu7294
    @joseefaidabutu7294 Před 4 lety

    Asante sana mwalimu

  • @mohamedsigwa1712
    @mohamedsigwa1712 Před 4 lety

    Ni kweli kabisa somo nimelipokea vzr na nimeelewa Mungu akubariki

  • @clemencejohnson1072
    @clemencejohnson1072 Před 5 lety +3

    Shukran kaka ..MUNGU AKUBARIKI SANA..

  • @akidasalim3859
    @akidasalim3859 Před 3 lety

    Asante sana umenisaidia

  • @ovn-sportswear4983
    @ovn-sportswear4983 Před 4 lety

    Salute big broo somo hatar sana

  • @rashidkihombo6782
    @rashidkihombo6782 Před 4 lety

    Asante kwa elimu nzuri mi niko kwenye tatizo hilo kabisa nahitaj elimu zaid nirud tena kwenye mstar

  • @agathamichael8818
    @agathamichael8818 Před 5 lety

    Thanks bro

  • @meshackmakungu9792
    @meshackmakungu9792 Před 4 lety

    Asante

  • @johnluhwa8342
    @johnluhwa8342 Před 5 lety +3

    Kwel kaka joel Wengi huwa tunakimbia tukizani mambo magum yatajitengeneza yenyewe kumbe cvyo.

  • @kevinlonghe294
    @kevinlonghe294 Před 5 lety

    Wouw God bless you brother

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 Před 5 lety

    Asante sana.

  • @blessedman1163
    @blessedman1163 Před 5 lety +4

    Am proud of u bro najifunza sana kupitia wewe ubarikiwe sana na Mungu azidi kukuinua

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      elia leonard Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @aishaubalozi7088
    @aishaubalozi7088 Před 5 lety

    Asante sana kaka kwakutuelimisha

  • @fatmaali4794
    @fatmaali4794 Před 3 lety

    Asante my brother

  • @philomenajolam8516
    @philomenajolam8516 Před 3 lety +1

    Jamani Mungu anatoa somae kwa wkt , asante kwa somo zuri

  • @ramadhanalmashamza3458

    Asante sana kaka na mungu akubariki

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474 Před 4 lety

    Thanks again

  • @alimaalim9287
    @alimaalim9287 Před 5 lety +1

    Iko vizuri sana

  • @elizamuba6436
    @elizamuba6436 Před 5 lety

    Kaka somo hili linanihusu ,ninamiaka na hata sasa ninapita wkt mgumu,marafiki na watu wa karibu, ninaowaamin huniumiza sana yaani nimekuwa wa mtu wa kulia, kuhuzuni na kujutia tu kila wakati.nimejikuta nakosa imani na watu kabisa

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 11 měsíci

    Asante kwa somo kaka napitia wakati mgumu ila tangu nikujue wewe umekuwa mkombozi wngu!

  • @charlesatanas3270
    @charlesatanas3270 Před 4 lety

    ubarikiwe sana joel,nilipotea kazi yangu ya kwanza nikajua ndio mwisho wa maisha lakini nikaja kupata bora zaidi ya ile ya kwanza

  • @davierobert5563
    @davierobert5563 Před 5 lety +1

    Asante sana kaka jn kwa masomo yako mazuri nimejifunza mengi sana

  • @swahibmakumulo9329
    @swahibmakumulo9329 Před 5 lety +1

    Well Spoken Joel!!!!

  • @paulinastephano236
    @paulinastephano236 Před 2 lety

    Ubarikiwe sana Sana
    🙏🙏

  • @hamismkunda1452
    @hamismkunda1452 Před 5 lety +3

    ubarkiwe kwa somo nzurii

  • @dullahwago5360
    @dullahwago5360 Před 2 lety

    Ahsante Joel

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 Před 5 lety

    Naam kujifunza ni muhimu sana na Mungu anajua zaidi... Ahsante Mungu akubariki

  • @AbdulHalim-su7kl
    @AbdulHalim-su7kl Před 5 lety +4

    Mr.Nanauk yaan katik sik zot y 1 leo umenp kitu kubw sanaaaa ubarkiw mkuuuuu....

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 5 lety

      Abdul Halim Hongera Kwa Kujifunza #SeeYouAtTheTop

  • @homemarket1601
    @homemarket1601 Před 2 lety

    Shukran sana kaka nimepata funzo kubwa

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 Před 5 lety

    safi kaka Joel

  • @devotastambuli864
    @devotastambuli864 Před 4 lety

    Ni kweli kabisa

  • @dullahgutram7040
    @dullahgutram7040 Před 3 lety

    asante brother mungu akubariki

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Před 5 lety

    Amen Joel barikiwa kwa hekima iii

  • @fanuelmallongo1042
    @fanuelmallongo1042 Před 5 lety +2

    Ubarikiwe Sana kaka kwa ujumbe mzuri

  • @joseefaidabutu6467
    @joseefaidabutu6467 Před 5 lety

    Asante sana kwakuniongezea tena ujuzi

  • @elizabethmrema5556
    @elizabethmrema5556 Před 3 lety

    Kaka somo lako ni nzurii sanaa litatufundisha wengi

  • @hezronmangulamangula9718

    Daaaaaaa bradha nimeshinda nimetapeliwa sana Kuna wakati nilitapeliwa kazini hakika nimeyashinda mungu mkubwa sana leo ndo najuwa kumbe nilikuwa natengenezewa njia

  • @priscahrobert5481
    @priscahrobert5481 Před 4 měsíci

    Mungu akubarik sana❤

  • @wejja423
    @wejja423 Před 5 lety

    Ubarikiwe sana mkuu. Kuna vitu nimejifunza katika somo hili

  • @salimmuhamed7731
    @salimmuhamed7731 Před 2 měsíci

    Mwalimu mungu akubariki mm nafanyakazi na ndungu zangu lakini wananiharibia kazi kuwaondosha nilawama nifanye nini niepukane na huu mzigo

  • @shabansalum6014
    @shabansalum6014 Před 3 lety

    Shukran sana Mtaalam...
    Faida kubwa inapatikana kwa hakika katika Somo hili na mengine mengi unayo yaleta...

  • @rehemajuma4656
    @rehemajuma4656 Před 4 lety

    Somo zr sana kaka Joel shukraan

  • @shukuranirebecca4877
    @shukuranirebecca4877 Před rokem

    🙏🙏

  • @keflentito8052
    @keflentito8052 Před 5 lety

    Asante kaka

  • @jacksonmakasi8378
    @jacksonmakasi8378 Před 2 lety

    Asante Kaka umeleweka

  • @beatricmmpantaleo3420
    @beatricmmpantaleo3420 Před 3 lety

    Smart Kaka with smart brain🙏🙏🙏

  • @dinnamhepwa3547
    @dinnamhepwa3547 Před 5 lety

    Jaman, asante sana kaka

  • @jumannemohamed4526
    @jumannemohamed4526 Před 5 lety

    Ahsante sana kwa ushauri wako

  • @joycengonyani3529
    @joycengonyani3529 Před 4 lety

    Hongera kaka kwa somo zuri.

  • @mwanaharusialifakifaki8716

    “ kuna wakati mgumu mwengine inabidi ufanya maamuzi usipofanya wakati mgumu unajirejea ili kukulazima ufanye maamuzi”sahihi mno maamuzi wakati meengine yanauma unaweza kutoa maamuzi huku unalia ila inabidi ili utoke kwenye kifungo jpkua unapenda ilaukioonahupendwi br kutoa maamuzi na baadae vitu vyote hukaasawa ahsante dokta joel somo lako ninaonesha wAzi sikukokea pia nimejifunza

  • @maimunapelembo4284
    @maimunapelembo4284 Před 4 lety

    kweli umenigusa sana ktk maisha haya napitia magumu mengi mno mpaka Nakata

  • @josephngunda5120
    @josephngunda5120 Před 3 lety

    Mungu kamrudisha Dr. Myles Munrol duniani kupitia Wewe mwili wako na akili yako 👍👍👍.

  • @leatitiamirimba4546
    @leatitiamirimba4546 Před 5 lety

    Ubarikiwe

  • @herimailo8183
    @herimailo8183 Před rokem

    Brother asante

  • @trmwanga2822
    @trmwanga2822 Před 5 lety +2

    Mambo ambayo naitaji kuyaweka sawa namba 1 na 2 yananisumbuwa kwa nauna moja ama nyingine

  • @edwardsizya3515
    @edwardsizya3515 Před 3 lety

    Safi bro

  • @helmanmamai3709
    @helmanmamai3709 Před 5 lety

    Asant brother.

  • @naomiebieza8821
    @naomiebieza8821 Před 5 lety

    Sahihi

  • @luhanyamipawantobi6888

    Nilichongewa KAZIN nikaumiasana,,,ila nimepata kazi nzuri KULIKO ile