Mnaongea Tu, Njooni Kwenye Uhalisia Mfano Shule X Mkuu wa Shule Ana Masomo 9 walimu Wapo 5 Mwalimu 1 anafundisha Std 1&2 na Hao 4 waliobakia ndo Wanafundisha Kuanzia Std 3 had 7. Siasa ndo imekuwa ikiharibu Kada ya Ualimu
Hakika Tanzania Bado Tunafikira Finyu Licha ya Kuwa na wasomi lakini Bado wamekuwa na Ujinga Sasa Vyuo Vinafanya Kazi Gani? Kwann Vyuo Vinatoa Mitihani? Hakika Bado Tunahitaji Watu Wasome Watoke kwenye Ulimbukeni.
Uongo et kazi ya Elimu ni ufunguo wa maisha.
Wekeni somo sasa la Ufunguo wa maisha
Mitihani ya chuoni haina maana Tena hahahahhahahhaa
Tupeni hizo module na vituo vya kupigia pepa hadi kufuzu ualimu hatujabahatisha leteni hizo pepa
Mmmh! Tanzania yangu! Kila mtu akipata pipi anataka aonekane jinc anavyoiramba, tutafka tu
Toeni ajira mtupe hiyo mitihani watu tupige msitutishe hahahahaha
Very sure
Mmmh Tz yangu
😂😂😂😂😂 aise paper tena?
Tunawasomi wengi saana lakini bado niwavivu wakufikiri.sasa hapo nini maana ya vyuo vya ualimu.Siasa ndiyo inaharibu sector ya elimu
Dah😢
Mnaongea Tu, Njooni Kwenye Uhalisia Mfano Shule X Mkuu wa Shule Ana Masomo 9 walimu Wapo 5 Mwalimu 1 anafundisha Std 1&2 na Hao 4 waliobakia ndo Wanafundisha Kuanzia Std 3 had 7.
Siasa ndo imekuwa ikiharibu Kada ya Ualimu
Sasa si mfute vyuo vya ualimu, mwalimu toka 2015 Hadi Leo 2024 hajaajiriwa, Sasa huo mtihani si ungeletwa mwalimu akiwa chuo?
😂
Hakika Tanzania Bado Tunafikira Finyu Licha ya Kuwa na wasomi lakini Bado wamekuwa na Ujinga
Sasa Vyuo Vinafanya Kazi Gani?
Kwann Vyuo Vinatoa Mitihani?
Hakika Bado Tunahitaji Watu Wasome Watoke kwenye Ulimbukeni.