WALIMU KUFANYA MTIHANI KABLA YA AJIRA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2024
  • WALIMU KUFANYA MTIHANI KABLA YA AJIRA

Komentáře • 14

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 26 dny

    Uongo et kazi ya Elimu ni ufunguo wa maisha.
    Wekeni somo sasa la Ufunguo wa maisha

  • @user-pk5cp6fx4d
    @user-pk5cp6fx4d Před 22 dny

    Mitihani ya chuoni haina maana Tena hahahahhahahhaa

  • @ruvyagilachunya2593
    @ruvyagilachunya2593 Před měsícem +1

    Tupeni hizo module na vituo vya kupigia pepa hadi kufuzu ualimu hatujabahatisha leteni hizo pepa

  • @ABDULLAOALI
    @ABDULLAOALI Před 23 dny

    Mmmh! Tanzania yangu! Kila mtu akipata pipi anataka aonekane jinc anavyoiramba, tutafka tu

  • @shomaryselemani3982
    @shomaryselemani3982 Před měsícem

    Toeni ajira mtupe hiyo mitihani watu tupige msitutishe hahahahaha

  • @alexmgeni9592
    @alexmgeni9592 Před měsícem

    Very sure

  • @leahlewis6406
    @leahlewis6406 Před měsícem

    Mmmh Tz yangu

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 Před 19 dny

    😂😂😂😂😂 aise paper tena?

  • @SeljusMamboleo
    @SeljusMamboleo Před měsícem

    Tunawasomi wengi saana lakini bado niwavivu wakufikiri.sasa hapo nini maana ya vyuo vya ualimu.Siasa ndiyo inaharibu sector ya elimu

  • @michaelyusuph9143
    @michaelyusuph9143 Před měsícem

    Dah😢

  • @hemeditoroka7181
    @hemeditoroka7181 Před měsícem

    Mnaongea Tu, Njooni Kwenye Uhalisia Mfano Shule X Mkuu wa Shule Ana Masomo 9 walimu Wapo 5 Mwalimu 1 anafundisha Std 1&2 na Hao 4 waliobakia ndo Wanafundisha Kuanzia Std 3 had 7.
    Siasa ndo imekuwa ikiharibu Kada ya Ualimu

  • @masikomakori6995
    @masikomakori6995 Před měsícem

    Sasa si mfute vyuo vya ualimu, mwalimu toka 2015 Hadi Leo 2024 hajaajiriwa, Sasa huo mtihani si ungeletwa mwalimu akiwa chuo?

  • @bensonmahenge8396
    @bensonmahenge8396 Před měsícem

    😂

  • @AbasGodfrey-pw1br
    @AbasGodfrey-pw1br Před měsícem

    Hakika Tanzania Bado Tunafikira Finyu Licha ya Kuwa na wasomi lakini Bado wamekuwa na Ujinga
    Sasa Vyuo Vinafanya Kazi Gani?
    Kwann Vyuo Vinatoa Mitihani?
    Hakika Bado Tunahitaji Watu Wasome Watoke kwenye Ulimbukeni.