Hii nchi ngumu Sana mtihani na kazi ni vitu viwili tofauti kabisa tuanze na walioko kazini kwanza then wengine ndio wafuate ningewaona wa maana Kama mngetenga sehemu ya kuwapa mafunzo mbadala waajiriwa wapya japo kwa miez mitatu kuliko mitihani Kama mapolisi ingesaidia kidogo kuliko Hilo wazo la kitoto
Mwambie huyo mzee ajitafakari asione ameshiba akadharau ambaye hana yy hiyo kazi yake alifanya mtihani? Na mtu amekaa mtaani miaka kumi then uende kumpa mtihani ghafla
Mkenda anayesma ni mwanafunzi sio mwalimu .angalia mazingira ya kufundishia ,angalia mkenda,vitabu vyenu havina viwango kabisa.Mimi nilidhani vitabu vya mtaala mpya vitakuwa na umakini na usahihi WA kutosha ,yaani vimepoteza mwelekeo kabisa.Ebu fanyeni utafiti WA kina na ikibidi muwashirikishe walimu wenye uzofu wakutosha Kwa Kila ngazi ya elimu kama kweli man haja ya kuboresha mfumo WA elimu Tanzania
Huyu hafai kuwa waziri wa elimu,ivi Mama Samia uko wapi kuweka waziri mwenye mawazo mazuri.Huyu jamaa ndo maana Magufuli alimtoa mapema sana,tunakukumbuka Magufuli
Ina maana hamuamini hizo awarded certificate walizopewa? Kama ni hivyo why kuwepo na hivyo vyuo? Pia kwa nini hizo course za uwalimu wa hayo masomo yasiyo hitajika (in your views) zisifutwe tukabaki na sayansi pekee? It is a wastage of time, financial and human resource as well. Yaani hiyo mitihani mnayoileta ni sawa na abdalah kumwita abdul.
Kwa idadi ya waombaji, na nafasi zilizopo. Wewe unayeona Prof kakosea. Ungefanyaje???
Hii nchi ngumu Sana mtihani na kazi ni vitu viwili tofauti kabisa tuanze na walioko kazini kwanza then wengine ndio wafuate ningewaona wa maana Kama mngetenga sehemu ya kuwapa mafunzo mbadala waajiriwa wapya japo kwa miez mitatu kuliko mitihani Kama mapolisi ingesaidia kidogo kuliko Hilo wazo la kitoto
Mwambie huyo mzee ajitafakari asione ameshiba akadharau ambaye hana yy hiyo kazi yake alifanya mtihani?
Na mtu amekaa mtaani miaka kumi then uende kumpa mtihani ghafla
Tatizo huyu mkenda huwa anajiona yuko perfect sana.Waziri wa elimu walikuwa akina SIWALE bwana cio huyu.
Mkenda anayesma ni mwanafunzi sio mwalimu .angalia mazingira ya kufundishia ,angalia mkenda,vitabu vyenu havina viwango kabisa.Mimi nilidhani vitabu vya mtaala mpya vitakuwa na umakini na usahihi WA kutosha ,yaani vimepoteza mwelekeo kabisa.Ebu fanyeni utafiti WA kina na ikibidi muwashirikishe walimu wenye uzofu wakutosha Kwa Kila ngazi ya elimu kama kweli man haja ya kuboresha mfumo WA elimu Tanzania
Mtu amefaulu four six na chuoni bado tu hamtaki kuamini amefaulu basi ata ualimu uwe na professional certificate km sheria au udaktari
Ivi Kenya hatuioni pale mawazo mabaya kama haya yanapotaka kutumiwa kwenye jamii?yanatutesa wala hayamtesi yeye msemaji,Mungu tubariki.
Mbona mwaka 2020 mli lazimisha watu kusomea chuo hasa walimu tena watu wasio na uwezo wakaenda leo
Sio lazima kutuajiri,
Tatizo aloshika hatamu hataki wengine wafike hapo ukute anaesema yeye mwenyewe alipita kwakuungaunga lkn anakazia wengine
Angalia G.P.A ya chuon
Huyu hafai kuwa waziri wa elimu,ivi Mama Samia uko wapi kuweka waziri mwenye mawazo mazuri.Huyu jamaa ndo maana Magufuli alimtoa mapema sana,tunakukumbuka Magufuli
Ina maana hamuamini hizo awarded certificate walizopewa?
Kama ni hivyo why kuwepo na hivyo vyuo?
Pia kwa nini hizo course za uwalimu wa hayo masomo yasiyo hitajika (in your views) zisifutwe tukabaki na sayansi pekee?
It is a wastage of time, financial and human resource as well.
Yaani hiyo mitihani mnayoileta ni sawa na abdalah kumwita abdul.