SPIKA APIGILIA KATI SAKATA LA AJIRA "WANAOJITOLEA WAPEWE KIPAUMBELE KWENYE AJIRA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 04. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 8

  • @SophiaMahala
    @SophiaMahala Před 13 hodinami

    Mnaosema kujitolea ni uzalilishaji mnakosea mimi ni mwaka wa 4,najitolea sijaona kuzalilika na nafundisha kwa moyo nafaulisha watoto sioni shida hata kama napewa nauli tu bora nimejitoa mungu anaangalia kazi nayo ifanya na mungu wa mbinguni atanilipa kwa wakati wake; 🙏🙏🙏🙏

  • @francismsafiri1106
    @francismsafiri1106 Před 3 měsíci +2

    Msomi umelipiwa ada na wazaz wako,umepoteza mda wa kutosha unajitoleaje bwana

  • @Namwena
    @Namwena Před 2 měsíci

    Zimetangazwa au zitatangazwa sijaelewa hapa

  • @ahmedhamis
    @ahmedhamis Před 3 měsíci +1

    Kujitolea ni kuwadhalilisha vijana na kuwafanya cheap labor 😢😢😢

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 Před 3 měsíci

    yaani mmeruhusu wageni wanafanya kazi za kawaida kabisa na wazawa hawapati wakati ni kazi ambazo wanazijua vizuri

  • @respiciusdeodatus953
    @respiciusdeodatus953 Před 3 měsíci

    Walimu wakujitolea waangaliwe

  • @user-fm8pk4vd1w
    @user-fm8pk4vd1w Před 3 měsíci +2

    😂😂 vipi kuhusu vijna waliojiajir na wanalipa Kodi serikalin je wao wasipewe kipaumbele? Kujitolea ni udhalilishaji unaohalalishwa lakini kimsingi kabisa wtu wote wapewe ajir maana Kam mtu hajitolei maana yake Yuko sehem anafanya shughuli ambayo nchi pia inafaidika

    • @SophiaMahala
      @SophiaMahala Před 13 hodinami

      Wew unasema kujitolea ni udhalilishaji unakosea tumia hekima inategeme na wew labda Kam unajizalilisha mwenyewe,nimejitolea miaka 4 Sasa sijawahi kuhisi kuzalilika zaidi walimu wananipenda na nafanya kazi kwa amani Kama nimeajiriwa,walimu wa msumi primary mungu awape maisha marefu nawapenda sana❤❤❤