Mnaosema kujitolea ni uzalilishaji mnakosea mimi ni mwaka wa 4,najitolea sijaona kuzalilika na nafundisha kwa moyo nafaulisha watoto sioni shida hata kama napewa nauli tu bora nimejitoa mungu anaangalia kazi nayo ifanya na mungu wa mbinguni atanilipa kwa wakati wake; 🙏🙏🙏🙏
😂😂 vipi kuhusu vijna waliojiajir na wanalipa Kodi serikalin je wao wasipewe kipaumbele? Kujitolea ni udhalilishaji unaohalalishwa lakini kimsingi kabisa wtu wote wapewe ajir maana Kam mtu hajitolei maana yake Yuko sehem anafanya shughuli ambayo nchi pia inafaidika
Wew unasema kujitolea ni udhalilishaji unakosea tumia hekima inategeme na wew labda Kam unajizalilisha mwenyewe,nimejitolea miaka 4 Sasa sijawahi kuhisi kuzalilika zaidi walimu wananipenda na nafanya kazi kwa amani Kama nimeajiriwa,walimu wa msumi primary mungu awape maisha marefu nawapenda sana❤❤❤
Mnaosema kujitolea ni uzalilishaji mnakosea mimi ni mwaka wa 4,najitolea sijaona kuzalilika na nafundisha kwa moyo nafaulisha watoto sioni shida hata kama napewa nauli tu bora nimejitoa mungu anaangalia kazi nayo ifanya na mungu wa mbinguni atanilipa kwa wakati wake; 🙏🙏🙏🙏
Msomi umelipiwa ada na wazaz wako,umepoteza mda wa kutosha unajitoleaje bwana
Zimetangazwa au zitatangazwa sijaelewa hapa
Kujitolea ni kuwadhalilisha vijana na kuwafanya cheap labor 😢😢😢
yaani mmeruhusu wageni wanafanya kazi za kawaida kabisa na wazawa hawapati wakati ni kazi ambazo wanazijua vizuri
Walimu wakujitolea waangaliwe
😂😂 vipi kuhusu vijna waliojiajir na wanalipa Kodi serikalin je wao wasipewe kipaumbele? Kujitolea ni udhalilishaji unaohalalishwa lakini kimsingi kabisa wtu wote wapewe ajir maana Kam mtu hajitolei maana yake Yuko sehem anafanya shughuli ambayo nchi pia inafaidika
Wew unasema kujitolea ni udhalilishaji unakosea tumia hekima inategeme na wew labda Kam unajizalilisha mwenyewe,nimejitolea miaka 4 Sasa sijawahi kuhisi kuzalilika zaidi walimu wananipenda na nafanya kazi kwa amani Kama nimeajiriwa,walimu wa msumi primary mungu awape maisha marefu nawapenda sana❤❤❤