AKILI ITAKAYOKUFIKISHA KWENYE MAFANIKIO MAKUBWA | PART 2
Vložit
- čas přidán 19. 02. 2023
- Jinsi ya kuwa mwenye akili zaidi (Smarter):
Endeleza Akili Yako: Njia Bora za Kuwa Mwenye Akili Zaidi na Kufikia Mafanikio Makubwa"
Huu ni mwendelezo wa somo hili (sehemu ya pili) ambayo ni sehemu ya mwisho. Ili kuona sehemu ya kwanza ya somo hili tafadhali bonyeza hapa:
PART 01: • AKILI ITAKAYOKUFIKISHA...
Karibu utazame...
.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
.
NUNUA KOZI YA SPEAKING SKILLS:
Tuma neno KOZI au COURSE kwenye whatsapp
WhatsApp: wa.me/255759191076
Bei ya punguzo: 20,000 TZS tu.
.
OUR SPONSOR’S DETAILS:
Al-Rahmah Schools
Location: Mkuranga
Phone: 0673-52-66-44
IG: / alrahmahschools
.
JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
.
WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
Voice-over Talent | Content Entreprenuer | Speaker
Instagram: / ezdenjumanne
Twitter: / ezdenjumanne
Facebook: / ezdenjumanne
WhatsApp: wa.me/255759191076
.
SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
.
HAMASA YA LEO👇🏽
/ hamasayaleo
.
JE WAJUA?👇🏽
/ @jewajua5506
.
VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
/ voiceovertanzania
.
KWA MATANGAZO KWA BIASHARA:
- Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
- Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
- Kutengenezewa tangazo zuri
Tuwasiliane kwa taarifa hizi hapa chini:
CALLS: (+255) 759 191 076
WHATSAPP: wa.me/255759191076
EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
.
.
#smart #akili #kubwa
Mungu akuongezee maarifa zaidi umebadili sana mfumo wa maisha yangu bro
Asalaam Aleykhum thanks brother Allah blees you
Kaka nimejifunza kitu kizuri Sanaa ,kupunza mda kwenye screen time ,hiii inafanya vijanaa weng tunakuwa na ulevi wa mitandao ,matokeo yake tunaangalia Vitu visivyo na Maana ,Ahsante sana kaka Ezden kwa Somo zuri !!!
Brothr umeongelewa vitu muhimu sana na mim leo nimekuwa ni kitu ambacho naomba tukijalizie ili mtu awe smart zaidi. " Impart knowledge to others" ni kitu Muhimu sana kinatupa usmart na kutujengea heshima pia.
To eat fruit
Jumanne,
Each one, teach one every day ❤️❤️🥂
ngoja nijaribu hii..... unaweza kuongeza hii ingawa inasahaulika sana
Umenitoa mbali kaka Ezden Allah akuongezee maarifa,clip zako zinanifanya niwe mwenye kupiga zaidi na zaidi
Thank you for translating from English to Swahili
Vijana wa sasa tunapoteza mda mwingi kwenye simu, Tv, kuzungumzia maisha ya watu wengine na vingine vinavyo fanana na hivyo.
Mungu akusimamie bro unatupa Madini
Asante sana 🙏🏽 bro
Hii Hali ya kuwa na bando na kufanya mambo sio muhimu mpaka bando linapo Isha ndo unakumbuka vitu muhimu Ni tatizo la watu wengi Sana.
Safii kaka
Asante sana Mwalimu naendelea Kujifunza
You look good
Sawa
Kuwa awere kwenye kila jambo na kila kitu tunachosikiliza,kuangalia na kusoma faida zake nn kwenye our daily life.
Brother napenda sn kazizako zinanijegasn