PRE-SEASON TUTAFANYIA WAPI?/TAREHE YA SIMBA DAY NI LINI?/SEMAJI AHMED ALLY AWEKA WAZI KILA KITU
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Bs hiyo Simba tuje Tukiwashe hapo, Muziki Mnene na Vipaji vikubwa zaidi from EGM🎉🎉🎉🎉 Simba tz changamkieni fursa hii
Can't wait Simba inapochukua ubingwa na kufika nusu fainali huyu mwamba akiwa msemaji naona atakuwa bonge kama msechu anaipenda Simba from the bottom of his heart
Na labda asichukue huyu mwamba , akih watakomab😂😂😂
Jee ni kweli imeondolwa mashindano ya klabu bingwa Afrika ? Na simba kupewa hiyo nafasi? Tujuze semaji letu asante
Yupo kazini broo maan Simba ndo inayomuweka mjini hata Manara alikuw hivyo
@@brunoh_bx ni kweli yupo kazini ila huyu mwamba tangu akiwa Azam TV kazini alikuwa anaonesha mapenzi yake kwa team
Naamini simba bora inakuja
Simba nguvu moja
We are going to be the hero of the next competition ❤❤ SIMBA NGUVU 1
All the best myteam❤🦁
Nilichukia simba yangu asilimia 💯 ila kwa Habari hizi njema MO +MAGORI +BARBRA GONZALEZ ❤ALHAMDULILLAH 🇹🇿🇦🇪
Go simba sports club
Kabisa kabisa. Ahamed Ally apewe na uongozi hasa kwenye usajiri. Awe Semaji na Kiongozi. Nakumbuka tulikuwa na kocha mchezaji Hassan Afifu na SSC ilifanya VEMA.
Msemaji tunae ila viongozi ndo ushuzi huyu angekuwa hata mjumbewa bodi basi naiona simba ya moto vibayabmnoo Kwan nini asiwe msemaji alafu akawa na mwenyekiti wa bodi
Mimi nashauri mbaki hapa hapa msimu huu
Nakukubali sana semaji
mkijisahu tuu huu mwaka tena watawafunga miguu tenawachezaji wote Upande wapili wameandaa kamati maalum kwaniaba ya kuwalibu wachezaji wote nawakumbusha kuweni makini Sana
Semaji la caf 👏👏👏👏
Nadhani morogoro bigwa pana faaa sana karibuni moro town
Fanyeni yote leteni wachezaji wazuri tu hao juma mwiko watanyamaza wenyewe
Pre season nje hauna tija zaidi ya hasara tu. Mlishakwenda sana na kutunia gharama kubwa ila mwisho ni hasara tu na pesa na matokeo ya timu. Fanyeni hapa hapa
Maneno hayo ungekuw unawashauli hata viongz huko kwenye mikutano yenu bs tungefika mbali
Pesa itumike kusajiria wachezaji jamani! Dah! Mbona wale wafuga vyula na Mbu huwa hawaendi na wanafanya VEMA?
Umesahau kutaja moja wanavuga hata simba wala majani pia usijzime data tabu iko pale pale
Bila ngungu kutoka hatununui jezi hata
wabak tz au waende Zanzibar ilikupunguza gharama zisizo za msingi
Zanzibar nisehemu sahihi sana kwa Simba kwanza watatengeza platform nzur ya wanachama na mashabiki pia nisehem nzur sana kwa kambi
🦁🦁
Bora Timu baking Tanzania kuliko kwenda nje kupoteza pesa nyingi bila tija
Nendeni lushoto hali ya hewa Safi pia mazingira mazuri sana
Simba nguvu moja, tushikamane
Unapaka siyagi,jam pilipili,chumvi,sukari,ndimu, washabiki hawataki porojo hizo wanataka foootball🔥
Tanga kuzuri sana kwa pre Season
Mbebwe zimeaza hiyo hela nibora mkafanyia usajiri
Kajifunze kusoma kwanza
Nakuandika maana badala ya kusema usajili unatuandikia usajiri😂😂
Nguvuu mojaa
Msiende pre season nje ya nchi,mi naona pigeni tizi kwenye vwanja vya mikoani mana ndo ua tunapoteza point mle
Waende Tu nje wakafanye pre season coz just like a tour
Pre-season na wachezaji gani sasa😂 *Simba yanguuuu*
Hiyo Lushoto ndio yenyewe, Mkishindwa kabisa Basi Arachuga full accommodation..😂😂😂😂
Mangungu atoke ahmed ally akae hiyo nafas na usemaj aendlee anaweza sana huyu mwmba
Huyu jamaa ahmed ally ningependekeza awe mwenyekiti wa simba sports club baadae ,he gas charisma
Bakini hapa hapa tz
👊👍✌️.
P endekezo langu Zanzibar
Binafsi napendekeza simba ikaweke kambi lushoto, kuna mazingira mazuri yenye utulivu na hali yake ya hewa ni nzuri kwa ajili ya kuandaa timu itakayoweza kushindana kwenye hali ya hewa yoyote
Lushoto pata faa sana hali ya hewa saf mazingira mazuri
Hakuna haja ya kwenda huko bakini hapahapa
Mnaenda nje kisha mnakuja na mambo ya maajabu
Ahimedi good best
Jamani jamani mangungu atoke hatumtaki akibaki jezi hatununui pia kola za jezi mbaya
Uzur wa huyu mwandishi wa Simba TV hamwin Ahmed daima anamcheka
Nguvu moja
Mh Ally Nakutabiria kuja kuwa kiongozi Mkubwa hapo Baadae
Semaji la caf usiniache nataka kuja kuimba mashairi ya Simba yetu Niko mwanza.
Wewe prisizon nn toa viongoz wabovu kwanza
Ila wanasimba msemaji tunae
Mubaki hapa hapa alusha
Tubaki bongo tuandae bonanza tualike tim mbili au tatu za nje tuache kutumia gharama kubwa baadae hizo gharama zinawekwa kwenye mapato na matumizi
Jaman timu yetu yot
Mm nashauli mbaki ichini2
Hilo tatizo,tuambieni mapema mnaficha nini michezo wa wazi huu
Nashauri usajiri uwe mzuri na mtuletee wachezaji bora na walio na uzoefu wa mechi za afrika! Isihe kua tena porojo tu.
Mtaalam wa utani karud ,,,, our comedian his back , ahmed😇
Waje Ruangwa Lindi Mipango lafk IPO Vzur
Uache ujinga wa kusifu sifu mambo kupita kiasi halafu yote unayoyasifu yanakuwa hasi hatutami tena
hatutakj
Acheni ukhanithi kwenda uturuki cjui sauzi afrika alafu timu inakuja Kua mbovu izo habari msilete
Kikubwa tuna itaji team bola na kikosi kipana
Atujii uwanjani mpaka mangungu atoe nyooo nyinyi
Mwaka huu Tusiende Uturuki.
Mipango iyo anapnga nani😂😂😂😂na tuko kwenye mgogoro na mangungu
Juma mgunda apewe timu
Ahamed ali mh naona kama tuwe siliasi kidogo yani tuwe kijanjaja mh maana pale kwa jirani wana watu sana
Vizuli semaji letu tunakupenda
Hakuna mnachokisema hapo na kikatimia.
Mangungu ni kirusi pale simba
Mbona wachezaji walewale au
Jezy mtanunua wenyewe msimu huu🐕🦺🐕🦺🐕🦺
Ajabu jamaa anasemea baadhi ya content ambazo sio uhalisia wa clabu yao
Isidingo imeanza
amuendi tena uturukii hahahhaa
nendeni handeni mkaugue funza
😂Ahmed jembe letu tuko pamoja
Yebox2 tulieni mnyama afanye kufuru..
😂😂😂❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏
Iringa
Uyo mangungu anasubir nin atak afie umo?
Utapeli tuu wabaki bongo maf faida
Mangungu asibaki tunachotaka usajiri bora sio bora usajili tunahitaji
Tumefanya kampeni nchi nzima tususe kununua jezi mpaka mangungu na bodi yake wajiuzulu
Kunguru 😂😂😂
Simba damudamu
Huyu mwamba hakosei kuongea na anaipenda Simba mno
Hakuna haja ya kupeleka team nje, kwanini uingie gharama kisha mtu anasema anapata hasara, ni upuuzi wa hali ya juu.
Uturuki ni laana kwa simba nendeni bunju tu ujinga wenu ni kuharibu pesa tu na hakuna lolote
Huu msimu wanasimba tunaenda kuyaondoa majonzi yote mana usajr si wakawaida.
Unaendaje kuweka kambi nchi za barid na ukirudi bongo ni joto kali hapo ni kutalii tu
Wabeki hapa hapa ,afu mashabiki hawana shauku kbc wamechoka ko nyie bakini hapa hapa kwani amna chochot
Kama uko nje kuna biashara mnapeleka au mnafuata sawa lakin kama ni kambi bongo
hulaya gundu sisi tunapo kwenda ulaya uku tuna waacha yanga wana dili na malefa wote timu zote waganga wote tuwe makini langu ilo wame tuwini apotu tubaki tuone kama kimimi muongo tubaki tudili nao
Kambi twenzetu kalatu
Vifaaa vipo?
Karatu arusha
Huo mji unawarembo Tz nzima hkuna
Fanyeni yote ila Jobe lin mnampa senki you
Nendeni mkaokoteze wachezaji tena, sisi kama wananchi tunawaahd 5 zngne
Tumewazoea matapeli wetu
HUYO MANGUNGU ATOKE KABSA NDO WANASIMBA ANATUGAWA