USAJILI WA LAMECK LAWI WAZUA GUMZO SIMBA | DOCTOR MOHAMED AFAFANUA JANJAJANJA YA COASTAL UNION.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 06. 2024
  • Sport

Komentáře • 34

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Před 5 dny +6

    Tamaa za Coastal Union zitawaponza mbona Bakari Nondo Mwamnyeto hakulipwa mbaka mwaka mzima ukakata why kwa Simba iwe kesi embu punguzeni tamaa

    • @msntanzania
      @msntanzania  Před 5 dny +1

      Kumbe

    • @khamismohammed7500
      @khamismohammed7500 Před 5 dny +1

      Kwahio kila siku mnataka kuwachezea coastsl kuwaibia wachezsji wao

    • @msemakweli...
      @msemakweli... Před 5 dny +1

      Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 Před 5 dny +1

    Ka fei toto vile 😮😮 mama kasaidie haka katoto 🙏🙏🙏

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 5 dny +2

    Washanunuliwa na gsm hao control union

  • @NassibuMussa-lu3vf
    @NassibuMussa-lu3vf Před 5 dny +1

    Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2

  • @jumanakamo5503
    @jumanakamo5503 Před 5 dny +1

    KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?

  • @msemakweli...
    @msemakweli... Před 5 dny +1

    Hata utambulisho wenyewe ukiwa na akili timamu utaelewa tu kuna vitu haviko sawa

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dq Před 4 hodinami

    mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 5 dny +1

    Sasa huyo naye wakuhojiwa?.

  • @muddsaid-kn2dq
    @muddsaid-kn2dq Před 4 hodinami

    pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba

  • @ramadhanichaurembokahunge

    Doctor mo uajua kujibu

    • @msntanzania
      @msntanzania  Před 5 dny

      🤣😂

    • @sakinasakina1286
      @sakinasakina1286 Před 5 dny

      wewe nawe kafie mbele hajui kujibu hapo linajibu tako lako

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Před 5 dny

      ​@@sakinasakina1286LUGHA GONGANA 😂😂😂😂 ISOME TENA COMENT YAKE.

  • @LeonorahLeonorah
    @LeonorahLeonorah Před 5 dny +1

  • @imanmasawe749
    @imanmasawe749 Před 6 dny +2

    Costal waache matamaa

  • @aminihamisi3551
    @aminihamisi3551 Před 5 dny +1

    Coastal union wanajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe ......
    Tamaa mbaya sana

  • @ismailmohamed502
    @ismailmohamed502 Před 5 dny +1

    Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja

  • @godfreymabula6858
    @godfreymabula6858 Před 4 dny +1

    Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂

    • @ismailhassan5209
      @ismailhassan5209 Před 3 dny

      Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano
      Haya we yamekuzidi funga domo lako

    • @saidalbakry1990
      @saidalbakry1990 Před dnem

      😮​@@ismailhassan5209r800

  • @msangya60manyanki27
    @msangya60manyanki27 Před 4 dny +1

    kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před 3 dny +1

    Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule

  • @valentinemagige1840
    @valentinemagige1840 Před 6 dny +2

    Utakulaje keki uliokwisha kuiuza?