Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia
Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule
Tamaa za Coastal Union zitawaponza mbona Bakari Nondo Mwamnyeto hakulipwa mbaka mwaka mzima ukakata why kwa Simba iwe kesi embu punguzeni tamaa
Kumbe
Kwahio kila siku mnataka kuwachezea coastsl kuwaibia wachezsji wao
Hebu turushie mkataba wa kumuuza Mwamnyeto kwenda Yanga tuone makubaliano yalikuaje isije ikawa mnaenda na beat ya kispika ambaye huwa anawaaminisha vitu visivyo na uhalisia
Ka fei toto vile 😮😮 mama kasaidie haka katoto 🙏🙏🙏
Washanunuliwa na gsm hao control union
😂😆
Usajiri wa kijanjajanja lawi sio beki wa kihivyo kiki 2
KWA NINI WALIPOKEA HIYO PESA TAREHE 30 HUKU WAKIJUA WAMECHELEWA MDA WA KULIPA? KWA NINI WASINGEKATAA?
Hata utambulisho wenyewe ukiwa na akili timamu utaelewa tu kuna vitu haviko sawa
mtanagazaji unaulizaaswali ya kitoto sana jezi nini sasa kwenye ishu ya utambulisho
Sasa huyo naye wakuhojiwa?.
pesa tarehe 10 barua tarehe 17 tumesha yakanyaga tuangalieni mambo mengine mkataba umeisha iyo ni mali ya simba
Doctor mo uajua kujibu
🤣😂
wewe nawe kafie mbele hajui kujibu hapo linajibu tako lako
@@sakinasakina1286LUGHA GONGANA 😂😂😂😂 ISOME TENA COMENT YAKE.
❤
💕
Costal waache matamaa
🤣😂
Coastal union wanajitekenya wenyewe nakucheka wenyewe ......
Tamaa mbaya sana
🤣😂
Bakari walifanya makubaliano na siyo janja janja
Kama mlikubaliana tarehe 31 why mlipe tarehe 10??? Klabu kubwa kama Simba kiliwashinda nn?? SIMBA MMETAWALIWA NA VIONGOZI WAHUNI 😂😂😂😂
Godfrey mwamnyeto alipochelewa kulipwa mbona hapakuwa na malumbano
Haya we yamekuzidi funga domo lako
😮@@ismailhassan5209r800
kwann cmba hawakutii mkataba wa kulipa kwa wakati trh 31/5/24?
😂😆
Muuliza maswali huna taaluma ya kutengeneza maudhui! Uliza je kama simba ndio waliokiuka makubaliano ya muda wa MALIPO huoni kama simba ndio waliovunja mkataba?? Na je baada ya kuona hawajaoata pesa za kulipa kwa wakati waliuandikia uongizi wa coast kuomba waongezewe muda??? Ili nasi tujifunze jambo,dada wewe imekaa unaongozwa na yeye bila mwongozo wako wa maswali.Rudi shule
Big up
Utakulaje keki uliokwisha kuiuza?
😂😆
Je unajua Simba lengolao 2024na2025