Magoli | SAMAKIBA 2-3 FEIBUI | Mechi ya Hisani | Nifuate Zanzibar 15/06/2024
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2024
- Tazama magoli yote matano na penati aliyokosa Alikiba katika mchezo wa hisani, Team FEIBUI ikiitandika Team SAMAKIBA mabao 3-2 kwenye Dimba la Amaan Complex, Zanzibar.
Magoli ya FEIBUI (Fesal Salum Feitoto na Abdulaziz Makame) yamefungwa na Feisal Salum, Ibrahim Ahmada Hilika, na Dismas Novatus huku magoli ya SAMAKIBA (Mbwana Samatta na Alikiba) yakifungwa na Kelvin John 'Mbappe' na Mbwana Samatta.
Dakika ya 24, Team SAMAKIBA walipata penati lakini Alikiba alikosa.... - Sport
Hongereni kwa wandaaaji mchezo mzuri Sanaa👏👏👏👏
Mchezo ilikuwa wa kistarabu sana, hongera waandaaji ❤
Samakiba Foundation
Team fei
Mpila umeisha sijamuona alikiba akishika mpila vizuli 😂😂😂
mtangazaji ni🔥💯
Charles hirrarry wa BBC ni hatari sana😃
😂😂😂😂 Nimecheka Kwa SAUTI
Huyo ni Ahmed Hillary 😅 @@RichardIbrahim-bl8kd
Buruuudani safi sana
Mnazingua, Hamuonyeshi Vizurii
Kiba alipokosa Penalty Fei na Nova walivuogeuka na kucheka 😂
Mbona kama nimemuon mukoko tonombe jmn ila kamerazenu zimezingua😢
Ndio alikuepo
Mukoko yeye
Mukoko anaenda kosti ya tanga
Awa wananzingua Kinoma Yn siku ya Derby au Finals ndio wanajitahidi kuweka Camera Zaidi Ya 1 unprofessional things kbs wanaboa
Yupo bongo uyo
😂😂ila kibaka kauza gemu
Dah fei straika
Sana Tukubali tu
Sanaaaa Yani mpira anaujua mnooo tumpe maua yake tu.
Leo mm wa Kwanzaa nipeni maua yangu
Kamwabie Roma😅😅
Hongera Kua wa Kwanza
Kiba 😂
What a match 🙌
KingKiba aache ubishoo umetuangusha 😢
Mukoko😮😮😮😮😮
Kwaio kipindi cha kwanza cup10 Kiba Cha 2 ni Samatta
Namuona hapo MUKOKO TONOMBE
Mukoko TEACHER
Bola hata ningedaka mm kuliko huyo juma kaseja
Ticha tomombe au macho yng
Ndiio
Ni Yeye
Alikiba anatumia left kumbee
Anatumia kulia ila alitaka kufung kisuperStar
Sauti ya mtangazaji kama charles Hillary
Role model
Tonombee Mukoko
Mokok
kba kakznguwa bhn
😅😅😅😅 kibamiaaaa
Hivi huyu ali kiba mnasemaga ni mchezaji😂😂😂😂😂😂
Ndio mchezaj, alwah kuchezea Coastal union ya Tanga na akawa anakiwasha tu 😢
Kisa kakosa penalty??? Hata alivyoipiga tu unajua ni mchezaji....
Sio kukosa penati, sijawahi ona ufundi wowote kutoka kwake...embu Utakeni radhi mpira nyinyi🤣🤣🤣
Mpira unahitaji mazoezi sana sio hivyo unavyofikiria
@@st.jamese.r6941 hajawahi kuchezaa hata huko coastal union
huyu kelvin john ni yupi ?
Nimchezaji wa kitanzatia. Alikuwa anachezea Genk saahivi amesajiliwa Aab ya Denmark.
Mtoto Wa mzee John
Yule alokua anaitwa M'BAPE
@@user-xe6jw8pt3d mwambie ni w mtoto 2 Wa mzee John... Akina mbappe wapo kibao ... Kuna mbappe wa congo, Kuna mbappe wa mwananyamala hata yombo vituka yupo mbappe pia .....
pakome
Mziki hajui hata mpira hajui😂😂😂