PRE SEASON MSIMU HUU NI WAPI?/AHMED ALLY AWEKA WAZI TAREHE RASMI YA TIMU KUINGIA KAMBINI
VloĆŸit
- Äas pĆidĂĄn 20. 06. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
đ Site: simbasc.co.tz/
đ± App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
đ± App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
đ” Facebook: / simbatanzania
đž Instagram: / simbasctanzania
đ Twitter: / simbasctanzania
đ¶ Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
đ”đŽâȘ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Kama unaamini simba bingwa mwakani gonga likes kibao apaâ€â€â€
Amen
â€â€â€â€â€â€â€ đ
@@user-fc5pc1xy4i nguvu moja
@@user-sb8mg9pz6n nguvu moja
Amen đ
Simba yangu!! Chama langu Iwe jua iwe mvua!! Wachezaji wana enjoy wakiwa Simba hatuna madeni na hatujafungiwa na FIFA
Hamjui tu
We unajuađ
Zaidi ya kujua
Mungu atutangulie kwenye mandaliz ya timu yetu simba nguvu moja
Kuweka kambi ismaily SIO shida shida timu yetu iwe Bora
#simbaguvumojađȘ
Kitu kinaniumaga team pre season bila kukamilika wachezaji
Simba nguvu moja naipenda daima iwe Giza au mwanga leteni wachezaji wanaoendana na Simba msituletee wa mchongo
Jamani naipenda sana Simba yangu inaniumiza sana Kila la heri
Roho yangu Simba jamaniâ€â€
Mungu ibariki smba ,
Aminia Chama langu simba đđŠ
simba â€nguvu moja insha allah tutakuwa imara zaid
â€â€â€ tunaipenda sana simba yetu msituangushe msimuu huu
â€â€ I love you simba simba nguvu moja
Wapigaji wengi mno Simba.Unapata pesa husajili.Ukisajili unasajili wachezaji wa mafungu.Harafu utegemee Simba ya moto.Nyoooooo
Umechangia pesa ya usajili??đ€đ€đ€đ€đ€
Usajili uwe wa nguvu mwaka huu tumeteseka sana jaman sio kawaida yetu kuteseka
Appreciate my team đȘđȘđȘđȘfrom Dubai, gonga like â€â€â€
boss yupo kazin anae amin alike apađ
NANI ANAAMINI SIMBA đŠđŠđŠđŠ BINGWA MSIMU UJAO ,, GONGA LIKE KAMA ZOTE
Sijutii kuipenda Simba
Rohoni unajutaa! usidanganye watu.
simba pamoja sana msimu ujao
Kazi kazi hakuna kukata tamaa
Mungu atujazie neema kwenye timu yetu 2024/2025đ€Čđ
Lakn sio mbaya mnyama nguvu mojađŠđŠđŠ
Simba nguvu moja
â€â€â€â€â€I love you so much simba yanguâ€â€â€
No doubts about our team next season on " ubingwa" big up to our Chairman, and his cabinet đ
Nafurahi sana wana simba nguvu moja
Mnyamaaa nguvuu Mojaaa Daimaaaâ€
Dua nyingi chama langu Nguvu mojađȘ
Simba nguvu moya
i love simba till i dieâ€â€
Saf nmefurah kuxikia tunaenda misiri isimalia â€
Mungu ni mwema tumetesema sana tajili MO ametuxikia
Mungu atujaalie ubingwa heshma irudi
Nguvu mojaâ€
Simba hoyeeee
Simba nguvu 1
I like â€â€â€â€ Simba
Pre season bila kocha mkuu,kama ndivyo mgunda ndo aendelee na timu mpka msimu ujao uishe ,haileti afya kama mtamtangaza kocha mkuu mwingine nje ya mgunda baada ya pre season itakuwa kichekesho sana
JAMA wanasimba wenzang popote mlipo duniani tuungane tuijenge Simba mpya
Simba nguvu mmoja
Naipenda simbaaaâ€
Nendeni Mungu awatangulie
Kocha!!!
â€â€â€â€â€simba
Simba nguvu moja đŠâ€ïžđȘ
SIMBA NGUVU MOJAâ€â€â€đđđ
Simba yangu â€â€â€â€â€
Nguvu mojaaaađȘđȘđȘđȘđȘ
â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€ naamini hivyo
Siku nyingine uje utwambie kwamba Ngunguz ameiachia Simba
Naimani na chama langu(Simba nguvu Moja)
Simba nguvuđȘđż moja
Simba nguvu mojaaa
Kila la kheri mnyama kwenye pre season naamin msimu ukianza team itakuwa vizur tuna imani na team yetu Simba nguvu mona
Hivi thank u jobe bado
Tunaiombea Kwan mungu
simba bingwa mwakan
Mnyamaaaaaaa
đđđ
His halal mungu atusaidie
Mungu ndy kila ki2
Ila simbaâ€â€â€
Naam â€â€
đđ
Akika Simba bingwa msimu huu 2024-2025
â€â€đ
Safi sana, ingawa tunataka kila siku mtangaze wachezaji 3 wanaoachwa.
Na kwa nini twende pre season na 95% ya kikosi na siyo 100% kama mlivyoahidi tangu mwanzo?
â€â€â€â€â€â€â€
đȘđȘđȘđȘ
đ„
Hizo gharama kwanini zisitumike kununulia wachezaji wakubwa.Mnaenda kutalii tu huko hongera Sana Waturukism.
Tunataka Tim bora
Cha msingi tuu tuone full squad ikiwa pale atutaki mambo ya mafungu mafungu
Hakika
@simba Nguvu mojađ đ
Simba nguvu moyaaaaaaaaa...
Nyota 5 pre season na bado hata nafasi ya pili ni mgogoro, mihela hiyo tafuteni walimu wazuri na walimu wazuri. Wachezaji wengi wapya đą
Mnaacha kufanya usaajili mzuri mnahangaika
Ishallaa mungu akujalia
đđŒđđŒ
Nguvu moja
Ko ndo hiyo Taarifa au vipi đđđ
Msifanye kama msimu uliopita mkaondoka na wachezaji wachache alafu hamna mlichokifanya bora kuondoka na wachezaji wote baada ya kukamilika
Wakwanza mm
Mm nilitamani kambi tungeeka zanzibar
Mngebakii tyuu bongo,maana mnatuzinguaga sanaa na hizo preseason
Simba chama langu
Ati "PREASON"
đ„đ„đ„đ„
Kila kher tim yetu
tunaanz kuondoka makundi kwa makundi ikiwa mpk saiv hatujamaliz kuwaacha wachezaj tukaingiz wengine tunafany kosa lile lile kuondok makund kwa makund
Tatizo la Simba litaisha siku MO akiiacha timu.Unawatuhumu watu kula pesa harafu unawateuwa tena kuwa wajumbe.Sioni maendeleo yoyote yale.
Natamani msimu huu sifa zisiwe nyingi
đ
â€â€â€â€
Simba bado ina makandokando mengi tunatama kuwa mabingwa kisukwe kikosi vizuri ili tusiwe na matumaini yenye shaka
đ
Msimu mwingne pelekeni timu congo
â€â€â€â€â€â€â€â€â€â€
â€
Uwezekano wa ubigwa upo sana
Ila simba
Ila Mimi mawazo yangu au maoni yangu chama tungeachana nae Alisha kuwa kirusi Cha mannala
Waache mbambamba tunaomba tu msajili watu wenye akir yakujitima nashangaa bado jobe na Fred mmewacha mnafel