🔴
Vložit
- čas přidán 28. 10. 2023
- 🔴#LIVE: DIAMOND AKIWASILI KAHAMA, AFUNGUKA KUTAPELIWA BILIONI 4 - "SERIKALI INAFUATILIA"
www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Simba la masimba dangote,gosto muito deste cantor,pesso para vir aque em Moçambique.❤❤❤
Diamond💎 is very hardworking ❤Nairobi was 🔥🔥
This guy is a performer,he killed it at Nairobi Octoberfest 💥💥💥💥💥
NAMKUBALI SAAAANA MH. BABU TALE...ALLAH AZIDI KUKULINDA MKUU WEWTU.....#AMEEN....AMEEN 🤛👌🙌🙌
Mm nipo mbezi salam zimfikie da dida maana ndoto yngu nilitaman niwe kam yy sombay nilivokosa nikamzaa mtt anaitw dida lovu u so much dida.
Na unataka mtt wako akikua afuate nyayo za dida😂
Diamond ni jamaa anaejituma sana sana big up lion
Yeahman hardwork always paid
Anavyo ongea Diamond amekua vzr kiakili yupo vzr ndg yetu kila la kheri amin🤝🤲
🔥🔥🔥 Simba la masimba
Mchaga OG kesho
Diamond Marekani.
Huyu jamaa Noma sana
Simbaaaaa....myamaaaah....!!! By Mr okay 1time
"Naona vitu vya red" Boss hana wivu anafurahia kuona vijana wake hawashushi brand.. zingatien sana muonekano wazee..kitu hamjui kijana jipende,zingatia muonekano..ni mojawapo ya njia ya kukupa maokoto..blv💊🤏
❤❤❤❤
Ila Mungu kuna watu anabariki sana.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌
😊😊😊
Wa kwanza Leo. Nipen. Maua yanguu
APO KWENYE KUGONGEWA MBONA KIEYEJI 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Formidable vraiment
Gd work my bro,
😊😊😊😊😊
Pole kwa kuzulumiwa ndege yako inshaalla utapata haki yako
Akuna
The hard worker # simba
nawakubali wasafi
❤❤❤❤❤❤❤
Akuna kma Diamond platinum 🎤
Safi Sana mtangazaji..
🎉🎉🎉🎉
Diamond ❤❤❤❤🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Guiné Bissau, Tanzânia África is a one
Respect simbaaaa
Ni mwendo wa private jet tu 🔥🔥🔥🙌
Sauti ya Chini sana.... Mmechemka
Haina shida sauti kabisa inategemea unatumia cm gani kaka
Sou teu fã a partir de Moçambique, te adoro muito
🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥
katapeliwaa sh ngap
Kweli muongo uyu kenge
Kutapeliwa tena
Wale wazee wa kuiga muige na hiyo tuwakute ICU😂😂😂
Pole Kwa mwamba Simba Binafsi Hua Nakubali Haso Zako Kifupi Tu Ni Kwamba haki haipotei bure Relax
Ximbaaa 🔥🔥 much respect
Uongooooooooo
Hera inaongea mond sio maneno tuu. Bravest mond
we s una boda boda wako mwenzio ana pilot wake
😂😂😂😂😅
Simbaaaaaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwandishi hajui aina za ndege
Mondi wewe niatari naumesaidia wengi Tanzania saiz tupo vizuri kimziki kwasababu yako nakuombea dua tubaitaji kuona mzikiwako ufike duniani kote naomba enderea kuwaonyesha watoto wadogo kwamba wewe nibaba yao tunakukubali sana tengeneza ki2 ambacho uweke histori kwenye dunia hii wewe sio mtu wakawaida
Vizr san yan nakubali san
Blood nakukubali sanaaaaa
Lion
Dar liniiiiii
Simba unaua sana broo 🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎖🎸🎸🎸🎺🎺🎺🎺🎼🎼🎼🎧🎧🎧🎤🎤🎤🎬🎬🥈🥈🥉🥉🎫🎹🎹
Iyo Chata sio privet jet
MwaMBIE WASAFI BET PESA HAZITOKI
Asante kwa taarifa, tunafuatilia
Dodoma lini
Simba🦁
Simba Simba Simba 🎉
Tu Support
Kk mondi samahan ntkulipa billioni 4 zako nlizotapeli
Eti uwanja wa Taifa
ndo jina maarufu la huo uwanja
Ndio unaitwa hivo
Uliza watu wa Kahama
Jna la uwanja wa Kahama unaitwa uwanja wa taifa
Baada ya apo bukoba
Kimemramba simba
Jmn mm tu nataman nikutane na dida shaibu
Usijali utaonana nae, muombe mungu kwani hakuna kinachoshindikana kwake
😂😂😂 ndege imepaa
SIMBA bhana😂😂😂
Kwani huyu Tale jimboni kwake anakuwepo lini?
Jana na Leo 😂😂😂😂
Baby by vkatana
Wasafi
Wanakupigaje 4b easy km ivyo watakuwa wanakujua
Naona mguu mswaki.. 😂😂😂
Sema shetani acha uongo mfasi wa shetani
Nmeona mtu kma kenny
ZUUCHU 😂CHUCH🤣🤣🤣🙌
Bado hujasema, mpaka useme
Uyo shoga alikua anapiga story na rubani akataka kama kumpa tano ya kuregea rubani akamkwema kidizaini😂😂😂😂😂🙌🙌🙌
Duu
Yanga s Azam
Ataacha uongo lini jameni mwambieni atulie
Simba punguza tungi mzee
Huyo boss wenu Chocolate flavour... awadanganye nyie machawa wake...
Uwanja wandege kahama bado ni wa vumbii aibuu kubwa tanzania
That's an airstrip
In other words uwanja wa ndege wa tharula🤣🤣🤣🤣🤣
Upo kwenye maboresho.
Mgodi kupitia mradi wa ufungaji mgodi (Closure) moja ya community related work wanayofanya ni kuboresha uwanja wa ndege wa Kahama.
As you can see, kuna building moja ile mpya wanamalizia kama bado haijakamilika.
Wakati madini yote yanatokea hapo
Aise siku nyerere akiludi atakuta baadhi ya mikoa ata lami haijaungana miaka 60 ya uhulu. Ni uhulu au ni mateso🤐🤐🤐🤐🤐.
Toto la mama simba dangote😂
HEEE HIYO AIR PORT
Hii ni ndege ya shamba 😂
Chatter plane not a Private Jet 😂
Boresha mitambo, sauti hafifu
Huyu nae kama boya
Hiyo immigration counter Mungu wangu weee……. Halafu yule pembeni left kakaa anafanya nn or ndio supervisor wao?
Mwijaku alisema documents zote zilikuwa poa Sasa leo kazurumiwa kaa balaa tatizo wasani ndio zenu
Mamwambia pilot nikiamka ntakushtua daaah Simba bhn
Katapeliwa 4B😂😂😂😂😂😂😂
Weeee zombi
hiyo sio private jet
Hua hata hatujui tunayoyasema sema acha tu tuwaskulize
Dala dala hilo kesho nenda kapige nalo picha kama inawezekana nyau wewe
Watanzania shida elimu duni kwani hiyo ni mwendo kaz au
Yakukodi ya kununua mbona kujikweza bila ngazii kazi mnayo
Niďunia inawadanganya mtaiyacha ilivo
Watu tumepiga pesa wasafi bet hatulipwi
Hapa hamna kitu
Haki wakenya hawana adabu hawana shukrani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utapeli right left center🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Simba kagongwa
hiyo imeenda🤣🤣🤣🤣🤣🤤
Let me advice diamond
Before any performance itisha chako pap mkononi wakenya ni hatari🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jim's irsri
Caravan hiyo ww acha kamba
Private jet halafu ina mapanga 😂😂😂😂😂