Jipige pige kifua sema "Hata mimi ni tajiri kwasababu ninao uhai, ambao ndio chemchem ya mambo yote ya mwilini". Ukiwa hai hakuna linaloshindikana, muombe tuu mwenyezi Mungu akupe hekima kabla ya mali, ili ukishakuwa nayo hekima hata mali atakayokupa utaitumia kumtukuza Yeye na kuwaheshimu wale ambao wakati wao wa kubarikiwa haujafika !! Endelea kuchapa kazi muweke Mungu mbele na umheshimu naye atakupa heshima unayoistahili, wala usifedheheshwe na anachomiliki mtu mwingine kile ni chakwake kwa wakati alicho nacho, na wewe amini kuna wakati utakuwa nacho !! Amin Amin Amini nakwambia wewe unayesoma hii na una muamini Mungu na kufanya kazi kwa bidii !!
Sasa wale ambao wanamkejeli Harmonize wao wako na nini, wanafaa kuenda kwanza kuenda kubishana na Harmonize wakimshinda ndio wakuje hapa kusema ati kua yeye hana kitu
Mbn hiyo gari iko tofauti sana na Roll Royce ninazoziona kwenye miatandao. Hiyo imekaa kama Rava4. Asante Simba kwa kumodify Rava4 ukawaambia manufactures wakuandikie jina la Roll Royce
@@zakayomepuyinywe1400 kuna jmaaa jana nilimsikia akihojiwa huyo ni wakala wa magari Tanzania alisema hiyo RR inagharimu dola laki 6.5,ambayo ni sawa na b 1.5
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
@@ultimatekelzy617 Kwa hivyo, hilo gari jipya la Diamond ni haramu TZ? Nimeona steering wheel iko upande wa kushoto kumaanisha linafaa kuendeshewa upande wa kulia.
kama unamkubali diamond piga like
Napiga kelele kwa mond wanguu uuuweeeeeeeeeeeee
Weweeeeeeeeeeeeeeee
Wadau washasema Rolls-Royce hiyo feki. Twataka original kama lile la Davido
Sanaaaaah
@@samueloduor8138 mwambie mama ako ampe og kuma mayoo
Mlinzi ni mungu tu ..ona mlinzi alitoka mbio kiasi ya kumfikia boss wake kama n kitu kibaya c ashafanyiwa
unajua ukipendezewa na mafanikio ya mwenzako ..hata wewe mungu atakunyoshea baraka
Sio kupata Kwa njia ya ambayo Mungu anachukia,,,,
Nikweli
Piga kelele kwa diamond wake weweeeeeee
Oyoooooooooooooooooooooooooooo
Acheni kumwonea wivu diamond .yuko vizuri,
Hhhhh hata mm nimeskia
Kabisa nakubali
Anaetaka Ukose Chapaa Ukipata Unampa Akumbuke 🙌 KOMESHA BABAA UMEPAMBANA
Nampenda Diamond
Acha Jamaa aenjoy kwa raha zake, amesota sana kuzisaka...big up sana Jamaa D
Aliyesikia Harmonise akambake Linah 😅 Gonga like hapa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Imeskika iyooo
😂😂😂
😁😁
Huyo Mwamba fala kweli kweli 😂😂
Rolls royce... big up simbaa👍💥
Bodaboda mnanivunja mbavu mtaends nae hadi wapi
😂 😂 😂
kazi ya mungu ni kuinua vinyonge,big up simbaaa
Very nice 👍 amuniza
Wala si mshamba anakula mema aliepewa
Mungu nisaidie kuelewa jinsi msafara huu umejengwa na kipaji Cha sauti tu
Jipige pige kifua sema "Hata mimi ni tajiri kwasababu ninao uhai, ambao ndio chemchem ya mambo yote ya mwilini". Ukiwa hai hakuna linaloshindikana, muombe tuu mwenyezi Mungu akupe hekima kabla ya mali, ili ukishakuwa nayo hekima hata mali atakayokupa utaitumia kumtukuza Yeye na kuwaheshimu wale ambao wakati wao wa kubarikiwa haujafika !! Endelea kuchapa kazi muweke Mungu mbele na umheshimu naye atakupa heshima unayoistahili, wala usifedheheshwe na anachomiliki mtu mwingine kile ni chakwake kwa wakati alicho nacho, na wewe amini kuna wakati utakuwa nacho !! Amin Amin Amini nakwambia wewe unayesoma hii na una muamini Mungu na kufanya kazi kwa bidii !!
Hongera sana kwa kuwa experience ya hali ya juu.
Simbaa baba lao
Mungu akujalie akulinde pia
Namuona simba anendesha kavua shat au power staring mbovu
Gari nzuri kabisa
Nilikua sijui kutamka rolls Roy's hila toka imekuja bongo hainishindi tena
😂😂😂😂 umeua
Nakubr Sana brother
Maskini akipata lazima atambe na si ushamba tamba simba
Wivuuuu hahaaa fanya kazi bhana
Una wivu
HAYA NDIO MAISHA YA KISTAR🔥🔥🔥🔥
Sio unamskia star eti anapesa lakini hataki kujionyesha😀😁😁😁😁😁😁😁😁
Enyewe huyu ni star🤗nakubali kbsa
Much love all the way from Liberia bro
Sasa wale ambao wanamkejeli Harmonize wao wako na nini, wanafaa kuenda kwanza kuenda kubishana na Harmonize wakimshinda ndio wakuje hapa kusema ati kua yeye hana kitu
Ukweli kabisa... wanaongea na piki piki ya mkopo
Ni chuki na roho mbaya tu
mm nimshabiki wa alikiba ila kwasasa dogo nakukubali nasubili unipigie nyimbo hata 1 brother lil wayney hapo nasaini kuja kwako
Mwacheen mond ndio muda wake mow
Amaaaaah kwel jiji limezizima
Mnyama Simba 🦁
Mbn hiyo gari iko tofauti sana na Roll Royce ninazoziona kwenye miatandao. Hiyo imekaa kama Rava4. Asante Simba kwa kumodify Rava4 ukawaambia manufactures wakuandikie jina la Roll Royce
Hiyo Ni type mpya ya RR inaitwa RR cullinan zile unazofahamu Ni phantom,ghost,wreith.
Kutojua kumbe Kweli usiku wagiza ya rolls Royce na rav 4 kweli wapi na wapi,😂😂😂😂simakosa Yako
Roho inakuuma eeh🤣
Una kaasili ka uchawiuchawi
Diamond namkubali bana
nahisi hicho ndo kiwanja chake anacho jenga nyumba yake ya ndoto, dondosha like kama tuko pamoja
Nakubaliana na wew
Hisi utahisiwa na wewee
Walinzi kz wanayooo
Wachapeee kwa vitendoo Simbaaa
Africa ni Africa tuu..Christiano Ronaldo analo RR lakini huoni ivi vitu but wanyamwezi ni shidah.
Uyu bodaboda wanampakua sijui sa Harmonize kqingia VP Apo 😂😂
Kumamako unapakuliwa wewe na harmonaizi msenge
@@hakizimanafiston3589 🤐
💪
Boda ye hajioni kazi kusifia wenzake
Much love from Planet Bongo Fashions Kampala Uganda
Diamond platnumz simba baba lao africa
Masha lavu ndoa
President of music Africa
Simbaaaaa
Mond Makin sanaaa endelea kuwakela tim konde
Zari help diamond to buy thirty car 🚗 rolls royce
Naskia hamo mchumba tu
Za kukodi hizo! Ndo maana hajasajiri! Awadanganye wajinga! Mzee wa kiki huyo! Mwambie azisajiri tuone!
@@danieljoseph1610 mwambie mamaako nae akodi basi tuvimbe au vp
@@danieljoseph1610 kafanya hivyo kuzima tuzo za bet aibu alijimwamba fai sana kuwa atachukua kakosa kaona aje na style hii
Much respect
Kula maisha mdgo wangu mond, ss ngoja tunywe kawa2
G sana simbaaaaaaaaa
Mmmmmh. Jaman haya tunayaacha dunian. Tulinde roho zetu kwa kutubu dhamba zetu na kuokoka
Kwa wale wanao sema eti nifeki wambie baba zao waka wanunu leye nao gari feki diamond wewe noma sana 👌👌👌❤️❤️🔥🔥🔥🔥
Safi sana kijana onesha mfano kwa vijana wenzako
Huyu anayemtaja vibaya Harmonize anafirwa
the convoy it self , its worth a lot.
Congratulations sir ...
Cruiser Vx mbili mil mia6, +Prado Tx moja mil250,+ Cadillac Mbili Mil 900+ Rolls Roys Bil 1.9=
Saws
Umekosea chief prad mil 129, cardiac mil 600+ na RR ndo imefunika mil 8+ siyo 1.9 b no
@@zakayomepuyinywe1400 kuna jmaaa jana nilimsikia akihojiwa huyo ni wakala wa magari Tanzania alisema hiyo RR inagharimu dola laki 6.5,ambayo ni sawa na b 1.5
@@zakayomepuyinywe1400 hiyo 800M ni kabla ya ushuru na takataka nyingine zote.
Simba nakubali
Nakubali simba
🤝🤝
Simbaaaa nakubali
Uko vizur mkuu
Hatari Simba💥💥
Linaha na konde ni Kiki mtateseka Sana mashabiki
Simbaaaa respect baba lao
Haaah nice
Nice
Waah
Wa Amma Biniimat Rabikka Fahadith...!!
Kwa ushamba tuna wakubali wa bongo
I think Harmonize he may never think of competing with Simba
I don’t think Harmo is that stupid 🤣🤣 Diamond is untouchable period 🥰🥰love from 🇨🇦
Watz kizungu inawalemea haha
@@joelkoross7476 ;)
Underground 🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli mondi Mungu akishikilie uishimika mingi ili nass tujifunze kupitia ww
Gari lenye left hand mmmhh
#aboi_4rm_makambako hao mangoko mbn wanapelekeshwa kama pia babeki haha njaaa hizi
Acha kudanganya watu 2.7b unaijua ww hyo gar sio bei hyoo 555.721 think like that
Simbaa
Gari lenyewe used....
Dunia hiyi haya aca nikae kimwa🤐🤐🏃♀️🏃♀️🏃♀️
poleeee
Simba mwamba wa KG
Ako na masifa yaki ushoga 😏😏 akwende zake ata mara mia harmonize 🤗🤗
Kuna Boya analazimisha kuongea mambo ya Harmonize...
Tutafute Pesa...
💪
Bei gan
Simba my number one(Diamond Platnumz).....
Aliyesema harmonize Hana lolote...eti ana mitumba ni MSHAMBA
Eh hio security
XIKIA MJOMBA XXI TUNATAKA ATUONYEXHE VIBALI NARIXITI KAMA ALIVYO FANYA DAVIDO ALIPO NNUA KARI DAVIDO ALIONYEXHA MPKA KAMPUNI ALIO NNU LILEGAR
Kuvikusaidiye.nini
Kama nimeona escalade SUV kwa nyuma mnymaa simbaaaa salute
Tajiri mod
Kwan Simba kanunua rolls royce
BANZI SYSTEM MAINTAINENCE ....TUNATOA HUDUMA ZA KUJAZA FOMU ZA BODI YA MKOPO OLAMS HELSB .... PAMOJA NA KUTUMA MAOMBI YA VYOO KOTE NCHINI NA NJE YA NCHI TUNAPATIKANA MBEYA SOKO MATOLA KARIBU NA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA
J' am singer j want to sing and you
In god we trust
Alie sikia harmonize si mchumba tu🙊
Wa tz hamna kazi kweli .Je mtume Muhammed akija mtafanya ajee
Subili akishakuja ndio utaona ss tzd tutakavyofanya 🙏
kwani mtume ninani Mohamed ninani seem yesu akija
Mohammad asakufa atakuja wapi sema yesu yuaja
Mtume Muhammed ndo kitu gan yeye mwenyewe anasubir ufufuo ni mfu we akija utafanya nn?
watu wanaumia sana kwa uyu bingwa ujana maji yamoto ata mimi ningekuanazo ningetamba kudadadeki
Ushamba huu haya acha tuone mwisho wake
Kwani TZ mnatumia side ipi kuendeshea gari, right ama left?
Right but RR n left hand
Only left
Sisi tuna tumia zote tu ilimladi kuwa makini usikamatwe na police 😂
@@ultimatekelzy617 Kwa hivyo, hilo gari jipya la Diamond ni haramu TZ? Nimeona steering wheel iko upande wa kushoto kumaanisha linafaa kuendeshewa upande wa kulia.
@@MWENDA-vv5im ni suspect haswa...
Naona hajabandika Ata plate number
Kwetu zanzibar hatuna ushamba kam UW what wanapesa hataree n hawapo ivoooo
Hana ishu uyoo bado mshamba 2
Wameenda shoot video ya wimbo unaitwa iyo
Mbona anaenda uchiii
hamo akambake linnah hana lolote😂😂😂😂