AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 07. 2024
  • Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.

Komentáře • 104

  • @ellymligo4300
    @ellymligo4300 Před rokem +1

    Wee Bwana unatufumbua macho barikiwa sana from Nyanda za juu kusini.

  • @elirehemamollel4302
    @elirehemamollel4302 Před 5 měsíci

    Thanks Brother. Umewatafunia vijana ajira Washindwe Wenyewe🥂

  • @user-fj3dm6gy1c
    @user-fj3dm6gy1c Před 4 měsíci

    Asante Sana mungu akubariki

  • @hafidhmwadin7154
    @hafidhmwadin7154 Před 12 hodinami

    Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada

  • @anoldel-math2322
    @anoldel-math2322 Před rokem +3

    Thanks Francis. Good.
    But where do we put the postal address details.? How and what goes to where on the form that record those details.?

  • @jumamfaume4633
    @jumamfaume4633 Před 8 měsíci

    Ahsante Kaka naomba uniunganyishe na Ruben

  • @AlbertMsemwa
    @AlbertMsemwa Před 8 měsíci

    Asante nampataje huyo Luben

  • @user-fj3dm6gy1c
    @user-fj3dm6gy1c Před 4 měsíci

    Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza

  • @rexstudio4303
    @rexstudio4303 Před rokem +1

    🔥👍

  • @saidimwanyiro5147
    @saidimwanyiro5147 Před 23 dny

    Sanduku la posta kias gani kwa mwaka?

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 Před 3 měsíci

    Naomba niuge KWENYE group

  • @salafitvsalafitv910
    @salafitvsalafitv910 Před rokem +1

    Kipindi kizuri sana kaka endelea kutuletea maalumati

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t Před 16 dny

    Naomba no. Yako

  • @davsaxandre822
    @davsaxandre822 Před 2 měsíci

    Let say labda sina p.o.box nafany vp ili niagize mzigo unifikie?

  • @musamwibela1179
    @musamwibela1179 Před 11 měsíci +1

    Kaka nataka niagize baiskeli,,vip kwa kukadilia kodi ntakayolipa posta itakuwa sh ngp,,, baiskel ina kg 35

  • @user-fu3ow3xs6i
    @user-fu3ow3xs6i Před 11 měsíci +2

    Samahani kaka nilikua nataka kujua. Ivi ni gharama gani wanakata pale posta. Nimeagiza graphic card ya laki tatu. Nilikua naomba namba tuzungumze

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před 11 měsíci

      Bila samahani, gharama za posta kwa mzigo wowote wenye uzito chini ya nusu kilo utalipia $1, ila nashauri ufike tu posta watauelekeza kwani inawezekana kuna mabadiliko

  • @altafyusuf7638
    @altafyusuf7638 Před rokem

    Tunaweza kuagiza kutoka USA , UK, Turkey, Dubai, India , Ebay na Amazon na kuletewa Dar es salaam kwa njia na bei rahisi? Kama una idea tafadhali make a video on it

  • @charlesnipala
    @charlesnipala Před 13 dny

    Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi

  • @Forexmillionaire820
    @Forexmillionaire820 Před rokem

    Nakubali kaka mkubwa, nipe contact yako

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t Před 17 dny

    Hamna delivery mpaka nyumbani kama kikuu

  • @discoverbless
    @discoverbless Před 15 dny

    adress uliweka ipi

  • @HawaMsafirf-hf7ib
    @HawaMsafirf-hf7ib Před rokem

    Me naitaj kujua jinsi y kulipa na address cna me niko dar kaka nataka kununua alibaba

  • @user-ri9uw6vn1v
    @user-ri9uw6vn1v Před rokem

    vp bro

  • @AlexOnjakiAlexOnjaki
    @AlexOnjakiAlexOnjaki Před 3 měsíci

    naomba niunge kweny group

  • @wilsonmollel3168
    @wilsonmollel3168 Před rokem +1

    Namba yako sasa

  • @pastorlugad4771
    @pastorlugad4771 Před rokem

    Naomba namba yako kiongoz ili unisaidie maelekezo kama hotojali

  • @sagen4868
    @sagen4868 Před 9 měsíci +1

    AliExpress, mbona kuna changamoto, minimepataaaa, nifanyeje asee, kabla sijasubscibe

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před 9 měsíci

      Umepata changamoto gani mkuu?

  • @araphathmohammedmmassy5785

    Kaka naomba namba yako ya simu

  • @rutwizovideo1369
    @rutwizovideo1369 Před rokem +1

    Naomba namba ya huyo ambae hua anawasaidia kuagiza mzigo

  • @piuspradius3503
    @piuspradius3503 Před rokem +1

    Mungu atakubariki ipasavyo

  • @user-oo7ug7pb7t
    @user-oo7ug7pb7t Před 16 dny

    Kama sina sanduku la posta nafanyaje

  • @muuhnation1359
    @muuhnation1359 Před 8 měsíci

    Naomba no yako broo

  • @elishambawala9915
    @elishambawala9915 Před rokem +1

    Naomba nambaa

    • @chekatvshow5610
      @chekatvshow5610 Před rokem

      Hao jamaa sio waaminifu nmenunua item toka 1/5/2023 adi leo mara inaonesha imekuwa derivered netherland @ tracking number mara imekuwa derivered Tanzania so mpaka leo

  • @edsonnyandindi-dk3ws
    @edsonnyandindi-dk3ws Před rokem

    Tufanyie na ebay please

  • @rdjmtukuyu2266
    @rdjmtukuyu2266 Před rokem

    niunge kaka kwenye group

  • @rutwizovideo1369
    @rutwizovideo1369 Před rokem +1

    Habari

  • @juniorfrancis738
    @juniorfrancis738 Před rokem

    Naomba maelekezo jinsi ya kumpata huyo rafiki Yako Ruben

  • @AntidiusAlfred-zq8td
    @AntidiusAlfred-zq8td Před 11 měsíci +1

    Nipe no ya ruben

  • @paschalntambara5244
    @paschalntambara5244 Před rokem +2

    Kazi nzuri broo mi napata shida nikitaka kununua bizaa shida inakuja kwenye apply promo code sijui nijaze nini kila nikitaka kununu inakataa

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Sasa promo code ni mpaka muuzaji akupe, kwahiyo kama hauna promo code bado skip tu.

  • @pastorlugad4771
    @pastorlugad4771 Před rokem

    Naomba namba yako boss

  • @diamondjx
    @diamondjx Před rokem +2

    Naomba unieleweshe, endapo nikiagiza bidhaa yang ikafika bandarini ni nani atakayeilipia kodi??

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před 4 měsíci

      Bidhaa ndogo ndogo kuanzia dola 5 kushuka chini haulipii kodi lakini zile za kulipia utalipia zikifika posta kwenye ofisi ya customs

  • @erickjohn5209
    @erickjohn5209 Před rokem

    Umeweka video lakin hamna no

  • @jumamfaume4633
    @jumamfaume4633 Před 8 měsíci

    Niunganyishe nae

  • @chrissally2397
    @chrissally2397 Před rokem

    mambo vip kaka
    hivi kaka nikitaka kuagiza mzigo kupitia alibaba nitawezaji kusafirishwa kwa urahis na bei nafuu

  • @jamesmmbando4590
    @jamesmmbando4590 Před rokem

    Samhn naomba kuuliza je Nikuwa na p o box hatakama nikuwa mkoani bidhaa itanifikia nilipo?

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Ndio, ukiwa na P. O. Box basi bidhaa zinakufukia popote pale, zinaweza kuchelewa kidogo kuliko mtu aliyeko mjini kwenye mikoa mikubwa hii

  • @hellenkisanga2042
    @hellenkisanga2042 Před rokem

    Au km inawezekana nipe no yako.

  • @fatumamhina9950
    @fatumamhina9950 Před rokem +1

    Nimefanya malipo hela Imekatwa lakini naambiwa my order is closed nifanyaje?

  • @ntunzutzwamkoa3597
    @ntunzutzwamkoa3597 Před rokem +1

    Samahani kaka inanipa changamoto kwenye wakati wa kuweka address nisaidie kwa hili coz nimeshindwa niweke ipi

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Kwenye address unaweka P. O. Box number yako na mkoa uliopo

  • @myfuraha936
    @myfuraha936 Před 8 měsíci +1

    Unapatikana wapi? Au naomba mawasiliano ili unielekeze vizuri au kama kuna uwezekano nikuone ana kwa ana. Asante sana umeelewesha vizuri

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před 8 měsíci

      Habari, asante. Naomba unitumie email kwa tekinafrica@gmail.com

  • @mwanaidimbokozi2836
    @mwanaidimbokozi2836 Před rokem

    Nahitaji vitambaa vya kuvaa kicjwani

  • @rebeccaluwumba6326
    @rebeccaluwumba6326 Před rokem +1

    Nipo dodoma je Kama bidhaa ikifika inaweza letwa kupitia posta mpaka dodoma mkuu???

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Yes, inafika kwenye box adress yako ya Dodoma

  • @albassammusaalbassam7487

    Nitumie jina la Ruben

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Jina lake ndio hilo hilo Ruben,
      kuwasiliana naye ingia kwenye group hili la whatsapp kwa kutumia link hii chat.whatsapp.com/EE31zfsMCbB1kID5y3RpAD

  • @emanuelmsafiri1946
    @emanuelmsafiri1946 Před rokem

    nipe no yako

  • @Channel9Tv
    @Channel9Tv Před rokem +2

    Mm nipo zanzibar lakn cn sanduku la posta na nataka kununua bidhaaa aliexpress? je ni njia gan nitaweza kutumia

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Sasa kwa Zanzibar sijajua mnatumia njia gani kuingiza mizigo, lakini kama una rafiki mwenye sanduku la posta na anaishi Dar, anaweza kukuagizia Kisha akakutumia Zanzibar

    • @Jastus100
      @Jastus100 Před rokem

      Andika poste restante kweny address yako ya AliExpress watatuma kwa posta ofisi za mkoa uliopo.....huwa nafanya hivyo na bidhaa nazipata posta ,wanakupigia simu mzigo wako ukifika

    • @myfuraha936
      @myfuraha936 Před 8 měsíci

      @@Jastus100 kama hutojali naomba mawasiliano yako. Nahitaji kuagiza

  • @emanuelmsafiri1946
    @emanuelmsafiri1946 Před rokem

    una tumia njia ipi sasa

  • @jacksonelphas7256
    @jacksonelphas7256 Před rokem +3

    naomba namba yako brother

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Kwema kaka, kwa sasa nimeacha kutoa kaka kwani watu wengi sana wanakua wananitafuta so kama hutojali naomba nikupe email address mkuu, francislomwiko@gmail.com

    • @RoseDavidi
      @RoseDavidi Před rokem

      @@TechAfrica bro naomba unieleweshe jishi yakuopokea mzigo kwa kutumia speed off ya arusha kwa maana kunavideo ambao umeiongelea na sijui inavyofanya kazi

  • @Hussein_nails_tz
    @Hussein_nails_tz Před rokem +1

    Je mzigo ukifika Tanzania unaenda kuupokea wapi

  • @allychondoma8430
    @allychondoma8430 Před rokem

    nimelipia mzigo ali express , tareh 23 mwez wa 8 walinambia utakuwa umefika ila paka sasa kimya.

  • @KalimuLiuche
    @KalimuLiuche Před 7 měsíci

    Vifaa vya umeme kupima

  • @user-mk2mf6xt3n
    @user-mk2mf6xt3n Před 10 měsíci

    nifundishe kuagiza kitu ebey

  • @rashidmashaka1264
    @rashidmashaka1264 Před 2 lety +2

    Nataka kufaham Zaid nini maana ya wifi nainafanya kazi vipi kwa umbali gani

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před 2 lety

      Wi-Fi ni Wireless Fidelity au kwa maana rahisi ni mtandao kwa njia isiyo ya wire. Wi-Fi zinafanya kazi vizuri ndani ya mita 10 pia pasiwepo na vizuizi kama vile ukuta au Miti mingi

  • @simulizi_tamu26
    @simulizi_tamu26 Před rokem +2

    Ikitokea mzigo umefika posta lakini upo mbali,gharama ya posta itaongezeka?,na Kuna uwezekano wa mtu mwngne kunchukulia bidhaa kwa posta yangu mwenyewe?

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Mzigo ukifika posta na ukachelewa kuuchukua hakuna gharama inayoongezeka, na ndio unaweza kumtuma mtu akakuchukulia mzigo chamsingi ummpe Kitambulisho chako kinachofahamika na Posta na pia awe ni kile kikaratasi kinachowekwa kwenye Box lako la Posta

  • @waltermathias2415
    @waltermathias2415 Před rokem

    Ukihitaj laptop

  • @Mengivoices
    @Mengivoices Před rokem

    nataka uniunganixhe nauyi lube

  • @NaimaCreation
    @NaimaCreation Před rokem +1

    unapofata posta unatozwa Kodi?

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      Yes, kwa mzigo wowote chini ya nusu kilo ni sh 2300 au $1

    • @hamidmohammed7808
      @hamidmohammed7808 Před rokem +2

      Mkuu vip hali m napenda kuuliz kama utatumia kadi ya bank je unahakikishaje u Salam wakadi yko kma hawez kukuibia hela zaid

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      @@hamidmohammed7808 salama kabisa mkuu, sasa kama utaamua kutumia kadi ya benki basi ni muhimu ukaunganisha na app kama PayPal halafu utumie hiyo PayPal kufanya malipo na sio kuingiza namba za kadi kwenye website ya manunuzi

    • @hamidmohammed7808
      @hamidmohammed7808 Před rokem

      @@TechAfrica OK shukran San mkuu sas iyo app ni ishu nyengin sas Kwenye mtumiz ina hitjia elimu

    • @hamidmohammed7808
      @hamidmohammed7808 Před rokem

      Halafu naomb msaad mimi natak kufunguka account ya alibab naon uku Wana vtu rahis lkini nashindwa kwa kweli hasa kwa simu cjui nkwama wapi unaez nisaidia nikafnkish hili

  • @chrissally2397
    @chrissally2397 Před rokem +1

    kaka mimi niko arusha wewe unapatikana maeneo gan

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      kwasasa nafanyia kazi nyumbani ila nikishakua na ofisi rasmi nitawaambia

    • @chrissally2397
      @chrissally2397 Před rokem +1

      Dhaaa nilitaman unielekeze namna sahihi ya kuagiza na niwe na address yangu ambayo nitakuwa napata mzigo wangu nimeangalia video nyingi zako ila nataman sana nionane nawe

    • @TechAfrica
      @TechAfrica  Před rokem

      @@chrissally2397 naweza kukuelekeza tu kaka, kwani umekwama wapi?

    • @philipojames7889
      @philipojames7889 Před 10 měsíci

      Namba zako Blo nimekwama

  • @erickjohn5209
    @erickjohn5209 Před rokem

    Bro watsapp group ya jamaa tuagize mzigo china

  • @cockenzie1
    @cockenzie1 Před 4 měsíci

    Unaipataje hiyo P O BOX adress