AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS
Vložit
- čas přidán 25. 07. 2024
- Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.
Wee Bwana unatufumbua macho barikiwa sana from Nyanda za juu kusini.
Thanks Brother. Umewatafunia vijana ajira Washindwe Wenyewe🥂
Asante Sana mungu akubariki
Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada
Thanks Francis. Good.
But where do we put the postal address details.? How and what goes to where on the form that record those details.?
Ahsante Kaka naomba uniunganyishe na Ruben
Asante nampataje huyo Luben
Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza
🔥👍
Sanduku la posta kias gani kwa mwaka?
Naomba niuge KWENYE group
Kipindi kizuri sana kaka endelea kutuletea maalumati
Naomba no. Yako
Let say labda sina p.o.box nafany vp ili niagize mzigo unifikie?
Kaka nataka niagize baiskeli,,vip kwa kukadilia kodi ntakayolipa posta itakuwa sh ngp,,, baiskel ina kg 35
Samahani kaka nilikua nataka kujua. Ivi ni gharama gani wanakata pale posta. Nimeagiza graphic card ya laki tatu. Nilikua naomba namba tuzungumze
Bila samahani, gharama za posta kwa mzigo wowote wenye uzito chini ya nusu kilo utalipia $1, ila nashauri ufike tu posta watauelekeza kwani inawezekana kuna mabadiliko
Tunaweza kuagiza kutoka USA , UK, Turkey, Dubai, India , Ebay na Amazon na kuletewa Dar es salaam kwa njia na bei rahisi? Kama una idea tafadhali make a video on it
Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi
Nakubali kaka mkubwa, nipe contact yako
Hamna delivery mpaka nyumbani kama kikuu
adress uliweka ipi
Me naitaj kujua jinsi y kulipa na address cna me niko dar kaka nataka kununua alibaba
vp bro
naomba niunge kweny group
Namba yako sasa
Naomba namba yako kiongoz ili unisaidie maelekezo kama hotojali
AliExpress, mbona kuna changamoto, minimepataaaa, nifanyeje asee, kabla sijasubscibe
Umepata changamoto gani mkuu?
Kaka naomba namba yako ya simu
Naomba namba ya huyo ambae hua anawasaidia kuagiza mzigo
Mungu atakubariki ipasavyo
Amen
Kama sina sanduku la posta nafanyaje
Naomba no yako broo
Naomba nambaa
Hao jamaa sio waaminifu nmenunua item toka 1/5/2023 adi leo mara inaonesha imekuwa derivered netherland @ tracking number mara imekuwa derivered Tanzania so mpaka leo
Tufanyie na ebay please
niunge kaka kwenye group
Habari
Habari
Sarama
Sarama
Naomba maelekezo jinsi ya kumpata huyo rafiki Yako Ruben
Nipe no ya ruben
Kazi nzuri broo mi napata shida nikitaka kununua bizaa shida inakuja kwenye apply promo code sijui nijaze nini kila nikitaka kununu inakataa
Sasa promo code ni mpaka muuzaji akupe, kwahiyo kama hauna promo code bado skip tu.
Naomba namba yako boss
Naomba unieleweshe, endapo nikiagiza bidhaa yang ikafika bandarini ni nani atakayeilipia kodi??
Bidhaa ndogo ndogo kuanzia dola 5 kushuka chini haulipii kodi lakini zile za kulipia utalipia zikifika posta kwenye ofisi ya customs
Umeweka video lakin hamna no
Niunganyishe nae
mambo vip kaka
hivi kaka nikitaka kuagiza mzigo kupitia alibaba nitawezaji kusafirishwa kwa urahis na bei nafuu
Samhn naomba kuuliza je Nikuwa na p o box hatakama nikuwa mkoani bidhaa itanifikia nilipo?
Ndio, ukiwa na P. O. Box basi bidhaa zinakufukia popote pale, zinaweza kuchelewa kidogo kuliko mtu aliyeko mjini kwenye mikoa mikubwa hii
Au km inawezekana nipe no yako.
Nimefanya malipo hela Imekatwa lakini naambiwa my order is closed nifanyaje?
Wahuni sn
Samahani kaka inanipa changamoto kwenye wakati wa kuweka address nisaidie kwa hili coz nimeshindwa niweke ipi
Kwenye address unaweka P. O. Box number yako na mkoa uliopo
Unapatikana wapi? Au naomba mawasiliano ili unielekeze vizuri au kama kuna uwezekano nikuone ana kwa ana. Asante sana umeelewesha vizuri
Habari, asante. Naomba unitumie email kwa tekinafrica@gmail.com
Nahitaji vitambaa vya kuvaa kicjwani
Nipo dodoma je Kama bidhaa ikifika inaweza letwa kupitia posta mpaka dodoma mkuu???
Yes, inafika kwenye box adress yako ya Dodoma
Nitumie jina la Ruben
Jina lake ndio hilo hilo Ruben,
kuwasiliana naye ingia kwenye group hili la whatsapp kwa kutumia link hii chat.whatsapp.com/EE31zfsMCbB1kID5y3RpAD
nipe no yako
Mm nipo zanzibar lakn cn sanduku la posta na nataka kununua bidhaaa aliexpress? je ni njia gan nitaweza kutumia
Sasa kwa Zanzibar sijajua mnatumia njia gani kuingiza mizigo, lakini kama una rafiki mwenye sanduku la posta na anaishi Dar, anaweza kukuagizia Kisha akakutumia Zanzibar
Andika poste restante kweny address yako ya AliExpress watatuma kwa posta ofisi za mkoa uliopo.....huwa nafanya hivyo na bidhaa nazipata posta ,wanakupigia simu mzigo wako ukifika
@@Jastus100 kama hutojali naomba mawasiliano yako. Nahitaji kuagiza
una tumia njia ipi sasa
naomba namba yako brother
Kwema kaka, kwa sasa nimeacha kutoa kaka kwani watu wengi sana wanakua wananitafuta so kama hutojali naomba nikupe email address mkuu, francislomwiko@gmail.com
@@TechAfrica bro naomba unieleweshe jishi yakuopokea mzigo kwa kutumia speed off ya arusha kwa maana kunavideo ambao umeiongelea na sijui inavyofanya kazi
Je mzigo ukifika Tanzania unaenda kuupokea wapi
Mzigo ukifika unauchukulia posta kwenye sanduku lako la posta
Bandalini
nimelipia mzigo ali express , tareh 23 mwez wa 8 walinambia utakuwa umefika ila paka sasa kimya.
Umepigwa cha kicha
Vifaa vya umeme kupima
nifundishe kuagiza kitu ebey
Nataka kufaham Zaid nini maana ya wifi nainafanya kazi vipi kwa umbali gani
Wi-Fi ni Wireless Fidelity au kwa maana rahisi ni mtandao kwa njia isiyo ya wire. Wi-Fi zinafanya kazi vizuri ndani ya mita 10 pia pasiwepo na vizuizi kama vile ukuta au Miti mingi
Ikitokea mzigo umefika posta lakini upo mbali,gharama ya posta itaongezeka?,na Kuna uwezekano wa mtu mwngne kunchukulia bidhaa kwa posta yangu mwenyewe?
Mzigo ukifika posta na ukachelewa kuuchukua hakuna gharama inayoongezeka, na ndio unaweza kumtuma mtu akakuchukulia mzigo chamsingi ummpe Kitambulisho chako kinachofahamika na Posta na pia awe ni kile kikaratasi kinachowekwa kwenye Box lako la Posta
Ukihitaj laptop
nataka uniunganixhe nauyi lube
unapofata posta unatozwa Kodi?
Yes, kwa mzigo wowote chini ya nusu kilo ni sh 2300 au $1
Mkuu vip hali m napenda kuuliz kama utatumia kadi ya bank je unahakikishaje u Salam wakadi yko kma hawez kukuibia hela zaid
@@hamidmohammed7808 salama kabisa mkuu, sasa kama utaamua kutumia kadi ya benki basi ni muhimu ukaunganisha na app kama PayPal halafu utumie hiyo PayPal kufanya malipo na sio kuingiza namba za kadi kwenye website ya manunuzi
@@TechAfrica OK shukran San mkuu sas iyo app ni ishu nyengin sas Kwenye mtumiz ina hitjia elimu
Halafu naomb msaad mimi natak kufunguka account ya alibab naon uku Wana vtu rahis lkini nashindwa kwa kweli hasa kwa simu cjui nkwama wapi unaez nisaidia nikafnkish hili
kaka mimi niko arusha wewe unapatikana maeneo gan
kwasasa nafanyia kazi nyumbani ila nikishakua na ofisi rasmi nitawaambia
Dhaaa nilitaman unielekeze namna sahihi ya kuagiza na niwe na address yangu ambayo nitakuwa napata mzigo wangu nimeangalia video nyingi zako ila nataman sana nionane nawe
@@chrissally2397 naweza kukuelekeza tu kaka, kwani umekwama wapi?
Namba zako Blo nimekwama
Bro watsapp group ya jamaa tuagize mzigo china
Unaipataje hiyo P O BOX adress