![Tech Africa](/img/default-banner.jpg)
- 51
- 147 510
Tech Africa
Tanzania
Registrace 7. 08. 2017
Welcome to our Channel, at Tech Africa we love technology. We are determined to help you use the technology you have to make your life better. We are here to advise you on new technology, whether you should invest in it or not. With Tech Africa you can always learn something new and have fun at the same time.
Bidhaa nilizoagiza China zimefika mapema sana, Tuzifungue tuone.
Tarehe 7 December 2022 niliagiza bidhaa nne kutoka China kupitia kampını ya Aliexpress na ndani ya siku 12 nilipata message kuwa mizigo imefika. Hii ndio mara ya kwanza mango kuwahi kufika Sana kuliki mara zote nilizoagiza, kwenye video hii nimeongelea Imekuaje mizigo ikawahi sana kufika na ni jinsi gani na wewe utaweza kuagiza mizigo yako na ukaipata ndani ya wiki mbili.
Tucheki kwenye mitandao yetu ya kijamii
tech_africa
techafrica1
tekfrika
Tucheki kwenye mitandao yetu ya kijamii
tech_africa
techafrica1
tekfrika
zhlédnutí: 3 285
Video
Simu inayokaa na chaji zaidi 2022
zhlédnutí 2,3KPřed rokem
Kwenye video hii tunaangalia ni smartphone ipi inakaa na chaji zaidi kuliko zote kwa mwaka huu wa 2022.
Iphone 14 haina sehemu ya line, INAKUAJE?
zhlédnutí 566Před rokem
Unaweza kupata habari zaidi kwa kutufuata instagram tech_africa techafrica1 tekfrika
Iphone 14 - Samsung walichemka sana.
zhlédnutí 1,3KPřed rokem
Apple wamengaza Iphone 14 ikiwa ni muendelezo wa Iphone 13 iliyotoka mwaka 2021, kwenye video hii tunakwenda kuangalia mambo yote mapya kuhusiana na simu hii pamoja na bidhaa zingine zilizotangazwa. tech_africa techafrica1 tekfrika
5G Imefika Tanzania
zhlédnutí 399Před rokem
Karibu kwenye chanel yako pendwa ya teknolojia kwa lugha ya kiswahili, kwenye video hii utajifunza faida za 5G, aina za 5G na ukuaji we technolojia nzima ya simu kuanzia 1G mpaka 5G. Unaweza kupata habari zaidi kwa kutufuata instagram tech_africa techafrica1 tekfrika
BIDHAA NILIZOAGIZA KUTOKA CHINA ZIMEFIKA (UNBOXING)
zhlédnutí 852Před rokem
Karibu kwenye chanel yako pendwa ya teknolojia kwa lugha ya kiswahili, leo tunakwenda kuangalia bidhaa nilizoagiza kutoka China kupitia mtandao wa Aliexpress. Unaweza kupata habari zaidi kwa kutufuata instagram tech_africa techafrica1 tekfrika
AGIZA BIDHAA MTANDAONI KUPITIA ALIEXPRESS
zhlédnutí 7KPřed 2 lety
Katika video hii ya leo, tunakwenda kuangalia jinsi ya kuagiza bidhaa mtandaoni kupitia kampuni ya Aliexpress. Video hii itakusaidia kujua ni vitu gani vya muhimu kuzingatia wakati wakuagiza bidhaa mtandaoni.
Studio Tour 2022
zhlédnutí 300Před 2 lety
Karibu kwenye studio mpya ya Tech Africa 2022. Kwenye video hii utakwenda kuona maboresho tuliyofanya kwenye studio yetu ili na wewe uweze kuwa inspired kuboresha studio yako. Bidhaa zote nilizotaja kwenye video hii unaweza kupata bei zake kwa kubofya link hizi hapa chini. Camera (Canon 90D) www.amazon.com/Canon-Digital-Camera-18-135-Lens/dp/B07WHV3HXL/ref=sr_1_2?crid=32T99VJ8QAERB&keywords=Can...
Je Iphone 13 za bongo ni Feki?
zhlédnutí 1,3KPřed 2 lety
Kuna watu wanasema kuwa Iphone 13 zinazokuja bongo ni Feki na ndio maana zimejaa kila mahali wakati kule marekani ni ngumu kupata. Ukweli ni kwamba iphone 13 zinazokuja bongo sio feki. Angalia video hii mpaka mwisho kupata undani zaidi wa mjadala huu. Unaweza kupata habari zaidi kwa kutufuata instagram tech_africa techafrica1 tekfrika
Epuka Matapaeli Mtandaoni ( Wizi umekithiri kwenye WhatsApp groups)
zhlédnutí 358Před 2 lety
Watu wengi sana wametapeliwa mtandaoni na wezi ambao wanajifanya kuwa ni watu wanaouza bidhaa halisi lakini sio. katika video hii tunakwenda kuangalia ni jinsi gani utaweza kujilinda na matapeli hawa wa mtandaoni ambao wanaongezeka siku hadi siku hapa Tanzania na Africa kwa ujumla. Unaweza kupata habari zaidi kwa kutufuata instagram tech_africa techafrica1 facebook.com...
Kwanini logo ya Apple haiwaki tena kwenye laptop za MacBook?
zhlédnutí 522Před 2 lety
Kwanini logo ya Apple haiwaki tena kwenye laptop za MacBook?
Smartphone inayokaa na chaji zaidi 2021
zhlédnutí 876Před 2 lety
Smartphone inayokaa na chaji zaidi 2021
External Harddisk ya 1TB inasoma kwenye smartphone
zhlédnutí 192Před 2 lety
External Harddisk ya 1TB inasoma kwenye smartphone
App itakayokupa kipato na kukurahisishia maisha.
zhlédnutí 342Před 4 lety
App itakayokupa kipato na kukurahisishia maisha.
Tumia AIRTEL MONEY kununua bidhaa online
zhlédnutí 2,3KPřed 4 lety
Tumia AIRTEL MONEY kununua bidhaa online
NALA - Application nzuri ya simu inayorahisisha maisha
zhlédnutí 2,1KPřed 4 lety
NALA - Application nzuri ya simu inayorahisisha maisha
Badili battery ya Iphone yako mwenyewe. NI RAHISI SANA
zhlédnutí 3KPřed 4 lety
Badili battery ya Iphone yako mwenyewe. NI RAHISI SANA
TAHADHARI! Iphone Fake (Refurbished) zimekua nyingi, JE UTAZIJUAJE?
zhlédnutí 28KPřed 4 lety
TAHADHARI! Iphone Fake (Refurbished) zimekua nyingi, JE UTAZIJUAJE?
Tofauti Kati ya Iphone 11 Pro na One Plus 7 Pro
zhlédnutí 242Před 4 lety
Tofauti Kati ya Iphone 11 Pro na One Plus 7 Pro
Nitumie namba ako bos😢
Mimi nimelipia lakini sijaona oda yoyote na malipo tayari yamekamilika naomba msaada
❤
Ntumie namba yako Kwa mawasiliano zaidi
adress uliweka ipi
Naomba no. Yako
Kama sina sanduku la posta nafanyaje
Hamna delivery mpaka nyumbani kama kikuu
Bidhaa ninayotaka ipo na free shipping ko ndo inaeza isifike?
kidogo inasumbuaga lakini kuna kadhaa ambazo zilikua na free shipping na zilifika vizuri tu
Niunge kwenye group
Sanduku la posta kias gani kwa mwaka?
Kaka naomba nisaidie kumpata huyo Luben rafiki Yako kaka. Ubarikiwe
Lubeni nampataje ?
click link hii ujiunge kwenye group la whatsapp ili uwasiliane na Ruben czcams.com/users/redirect?event=comments&redir_token=QUFFLUhqblQ5NXltYUZOSGNteEhKaG1QVDFWQ3NGS1Zld3xBQ3Jtc0treU53WkRUVWV1V21nbVRMN3FmV0VNcl9ENXNaZkM1T2o3OVYwZXdBc2pURWVHUkcwaEdBMUZsU004NEJ3NzVma2tWZzU5NjhnaGYzWnVXUUxicVlqZERiTXExR0piMURlS2JkTTJwY2hCaXU0SWNyaw&q=https%3A%2F%2Fchat.whatsapp.com%2FEE31zfsMCbB1kID5y3RpAD
Kaka naitaji vitu mbalimbali napenda uniagizie wewe mimi nipo make
Nahitaji kuagiza mzigo china nafanyaje sasa
Je nawezaje kukupigia kaka
Niunge kaka Whatsapp
NAOMBA tuwasiliane kaka
Sasa Naomba ubunge Whatsapp ili niweze kujifunza na kuagiza bidhaa
Niunge kwenye group
Let say labda sina p.o.box nafany vp ili niagize mzigo unifikie?
Naomba niungwe kwenye group
Asant kwa elimu ila jitahidi kwend kweny point mb zimepand gharama
naomba niunge kweny group
👍🔥🔥
Mko vzur Sanaa
Mko vzur Sanaa
Naomba niuge KWENYE group
Nipo Canada nisaidieni jamnip
Mm hiyo nala kujiunga inanipa tabu yani
Mm ifhon yangu better nibadilisha asa mbn haiwaki utafanya nini nisaidieni
Naomba namb broo
good job see at the top
Niunge kaka
niunge
Niunge na mm nahitaji kuagiza zingatia hii comment hii ni silias naeshim mawazo yako
Mm shida yinakuwa kwenye post code ila master card nimetengeneza
Asante Sana mungu akubariki
Niunge kwa group
Minaoba musad naifon inashda ya haiklaud
Unaipataje hiyo P O BOX adress
Kama nipo chuo naweza kutumia adress ya chuo kuagiza mzigo wangu AliExpress
Niunge group
Niunge group
Jiunge Kwenye Hilo group la whats app
Naomba kuungwa kwenye group
sasa kaka kwa sisi tulio mikowan tunapataje mzigo tukiagiz aliexpess
Naombaa niunge
Hellow