TUNDU LISSU AKIZUNGUMZIA MIAKA 60 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

Sdílet
Vložit

Komentáře • 5

  • @user-tt6ks8vx6v
    @user-tt6ks8vx6v Před 2 měsíci +1

    Anafukuza watanganyika kwenye Aridhi yao,,urithi wao walioachiwa na mababu na mabibi zao.. sababu Hana uchungu wowote ule juu yao
    Anataka awalete mabwana zake ndo wamilikishwe hiyo ardhi..Laana ya mwenyezi Mungu itamkalia kichwani kwake..maana anayoyafanya anayajuwa

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 2 měsíci +1

    Wazanzibari hatutaki Muungano hebu tupusheni uko piganeni na CCM yenu

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 2 měsíci +1

    Lissu watie dozi Watanganyika wenzako ili wauchukie Muungano sisi Wazanzibari tumeuchoka

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 Před 2 měsíci +1

    Jamani wazanzibar bahati hatuna

  • @feruzmato4422
    @feruzmato4422 Před 2 měsíci +1

    Nakuunga mkono mheshimiwa