Anafukuza watanganyika kwenye Aridhi yao,,urithi wao walioachiwa na mababu na mabibi zao.. sababu Hana uchungu wowote ule juu yao Anataka awalete mabwana zake ndo wamilikishwe hiyo ardhi..Laana ya mwenyezi Mungu itamkalia kichwani kwake..maana anayoyafanya anayajuwa
Anafukuza watanganyika kwenye Aridhi yao,,urithi wao walioachiwa na mababu na mabibi zao.. sababu Hana uchungu wowote ule juu yao
Anataka awalete mabwana zake ndo wamilikishwe hiyo ardhi..Laana ya mwenyezi Mungu itamkalia kichwani kwake..maana anayoyafanya anayajuwa
Wazanzibari hatutaki Muungano hebu tupusheni uko piganeni na CCM yenu
Lissu watie dozi Watanganyika wenzako ili wauchukie Muungano sisi Wazanzibari tumeuchoka
Jamani wazanzibar bahati hatuna
Nakuunga mkono mheshimiwa