Dalili 4 Zinazoonyesha Unahitaji Kubadilisha Kazi.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 12. 2020
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 64

  • @inyasiinvestment18
    @inyasiinvestment18 Před 3 lety +2

    Mm nilisha badilisha kazi na sasa ni dalali kweli nafurahia hii kazi mpyaa napata kipato kizuri nafanya kwa muda wangu kiukweli sina stress tena ,awali nilikuwa fundi tu wa simu nilikuwa nateseka san na madeni ,now im happy ubarikiwe sana joel

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 Před 3 lety +1

    Daaah hii mm kabisaaa,dalili zote ninazoo, najipanga niache hii kazi maana Duuhh kuna mda mwili, akili, nafsi vyote vinachoka ukianza kuamka tu kuelekea job

  • @josephboniface7506
    @josephboniface7506 Před 3 lety +3

    Sina Dalili hata# moja kwa Sasa ila hiyo hali ilikuwa inanitokea kipindi nilichokuwa nafanyakazi Mwanzo#ya kuajiriwa but now nimejiajiri na Enjoy my Job# but all in all kaka Joel..Una Maono.Makubwa Sana.🙏

  • @castosanga7806
    @castosanga7806 Před 3 lety +2

    Thanks brother I understand wht we say

  • @mariamayoob8734
    @mariamayoob8734 Před 3 lety +1

    Asante Bro Joel

  • @Winner_Maggie88
    @Winner_Maggie88 Před 3 lety

    Aksante sana kwa somo zur yapo yalionigusa moja kwa moja

  • @swalhaomar162
    @swalhaomar162 Před 3 lety +1

    Asante Bwana Joel kwa mafundisho

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před 3 lety +1

    Thank you Sir

  • @daviikiperuskiperus2052

    Like your advice bro

  • @idrisasalumu2262
    @idrisasalumu2262 Před 3 lety

    Thnkx broo

  • @franknachimbinya7688
    @franknachimbinya7688 Před 3 lety +1

    Nashukuru mungu hayo kwangu hayajatokea nipo effective

  • @mosalum3657
    @mosalum3657 Před 3 lety

    thank bro

  • @janenkhwazi2457
    @janenkhwazi2457 Před 3 lety +1

    I quitted kazi in 2019 due to above the reasons you've mentioned..... God bless you...wish you happy new year .

  • @elidadaudngunagu7116
    @elidadaudngunagu7116 Před 2 lety

    Mwalimu ninakufuatilia sana mafundisho yako kweli yamenijengea uweo fulani na nimegundua kuwa Mimi ninaweza kufaiti maisha kwa kujiamini

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Před 3 lety

    Fact Bro.Nanauka

  • @sidemlulu3101
    @sidemlulu3101 Před 3 lety +1

    Ukweli mtupu

  • @rafaelmwanyila6134
    @rafaelmwanyila6134 Před 3 lety

    Mwalimu sababu ya nne imenibariki sana

  • @rafaelmwanyila6134
    @rafaelmwanyila6134 Před 3 lety

    Nimekuelewa sana mwalimu,nilishawahi militia sababu ya kwanza na iliniumiza kwa mda mrefu sana.

  • @edgardeus24
    @edgardeus24 Před 3 lety +2

    Dalili zote zimenipata natayari nimesha acha

  • @awamkhalid5571
    @awamkhalid5571 Před 3 lety

    Saf sana bro joel maendeleo ya binadam hayawez kupatikan mpak afurahie anachokfanya

  • @tradewithtony
    @tradewithtony Před 3 lety +1

    Kaka Joel hapo kwenye special skills umeongea inanihusu kabisa 🙂

  • @charlesfaida1515
    @charlesfaida1515 Před 3 lety +1

    Asante Sana my life coach be blessed 🙏

    • @thobiaskapinga1574
      @thobiaskapinga1574 Před 3 lety +1

      Hakika dalili zote ninazo .mi muajiriwa wa benk nipo kama officer tu .ila nataman san kubadili kazi hii

  • @fasahaproductstv638
    @fasahaproductstv638 Před 3 lety

    Kipimo unacho2shajihisha na kutufunza mungu pekee nd anae na ataekulipa hkun yyt atakulipa na kukutoshelez malpo yako

  • @westmanmoses541
    @westmanmoses541 Před 3 lety

    Good

  • @plustzafromusic4908
    @plustzafromusic4908 Před 3 lety +3

    Dalili zote hizo ninazo yani...tatzo hii bongo uache kazi kupata kazi ingine ni mtihani kwa kwel nafanya ili nipate pesa tuu lkn cna amani kabisa

  • @omanmaliyooman5678
    @omanmaliyooman5678 Před 3 lety

    🤲

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 7 měsíci

    🎉

  • @diabyboy5162
    @diabyboy5162 Před 5 měsíci

    Dalili zote ulizotaja ndo nazopitia sasa😢😢😢😢😢😢

  • @davierobert5563
    @davierobert5563 Před 3 lety

    Umenifumbua macho sana sasa kama sina mtaji namie nimeajikiwa ila sipend kabisa ajira yangu nifanyeje nahitaji saana biashara

  • @christinamushi2273
    @christinamushi2273 Před 3 lety

    Kwakuendelea kukusikilizaaa Mimi ni bilionea ajayeeee najivunia kwa kukusikilizaaa

  • @EmmanuelCharles-mn8yv

    Somo limenigusa san kaka dalili zote Niko nazo changamoto kubwa ni vitisho kutoka kwa boss

  • @gwasaonlinetv8763
    @gwasaonlinetv8763 Před 3 lety

    Mimi passion yangu ni uandishi wa habari na utangazaji.... Ndo kinachoimba kila mara moyoni mwangu... Nifanyejeee kuishi ndoto yangu

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 Před 3 lety

      Chukua hatua kuanza kufanya kile unachotakiwa kufanya ili uweze kuiishi ndoto yako

  • @annahaule7428
    @annahaule7428 Před 3 lety

    Aisee yan km ulikaa na mim tukaongea vile,mada hii imenigusa kabsaa kwa 100%

  • @alexdamian7996
    @alexdamian7996 Před 3 lety

    E book zako ulizotoa punguzo wakat wa sikukuu zmekuwa na changamoto ya kupewa mrejesho baada ya malipo kukamilika

  • @edwardsilayo
    @edwardsilayo Před 3 lety

    See me at the top.

  • @tarsisiamwalongo6819
    @tarsisiamwalongo6819 Před 9 měsíci

    Uliyosema nikweli kabisa kaka angu. Sasa mimi huwa nawaza nikiacha kazi nitaishije ,maana hiyo ndio inayonifanya niishi.
    Japo inanikosea amani mda wote nahofu nayo

  • @inothyloserian4912
    @inothyloserian4912 Před 3 lety

    hiyo ya kwanza n mm kabisa
    tatizo kweny kubadilisha ss

  • @Philipoyassiry
    @Philipoyassiry Před 3 lety +4

    Yaan kaka Joel hamna dalil nisioKuanayo. Ila sasa inapofikia hatua ya kubalisha kazi najikuta nashidwa kutoka nilipo.yaan Idea

  • @yustaackson6087
    @yustaackson6087 Před 3 lety +1

    Namba 2 kwangu ndy changamot kubwa yaan nachoka kupita maelezo, najikuta nipo kazin lkn yaan akili haisomi, kiufupi nimeichoka hii kazi nahitaj kuajili mwenyewe.

  • @khamismachemba4020
    @khamismachemba4020 Před 2 lety

    Nimetafuta Ili SoMo na dalili zote ninazo...

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 Před 3 lety

    SEE YOU AT THE TOP

  • @gwasaonlinetv8763
    @gwasaonlinetv8763 Před 3 lety

    Kumbe ndo maana sina mood kabisa na kazi niliyonayo maana nowdaysss nadoji sana kazini, nikiamuka nawaza sana kweli.... Nimezielewa dalili mweee kumbe kwa dalili hizi natakiwa kuuiacha hii kazi nifanyeje mwl joel

  • @hamisilaini9688
    @hamisilaini9688 Před 3 lety

    Dalili na 1 na4 hizo ndo sana kwenye kichwa changu.unanishauri vipi?

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před 3 lety

    DUH! Dalili zoote nne (4) zimethibiti kwangu.

  • @godsontemba4835
    @godsontemba4835 Před 3 lety

    Dalili zot hizo ninazo ila tatizo linakuja pal unapoacha kaz ni ngum sana kupat kazi

  • @godwinmkoma7329
    @godwinmkoma7329 Před 7 měsíci

    Kaka mi hizo dalili zote ninazo zote yani

  • @muckymvungi4466
    @muckymvungi4466 Před 2 lety

    Vip kuhusu kulalamikiwa na wazazi na familia kwa ujumla juu ya hiyo kazi, je inaweza ikawa ni miongoni mwa sababu au inafanana na sababu ya kwanza katika sababu ulizozitaja?

  • @bushirikwizombe653
    @bushirikwizombe653 Před 3 lety +1

    Zote ziko

  • @nasmafarmsltd9146
    @nasmafarmsltd9146 Před 3 lety

    Kitu mkataba Jàmàñ ila hivi vitu vyote cuz ukisema unaambiwa rudisha gharamah zote ukiangaliq hzo gharamah ñ mtaj wa mààñà cjui visa passport gharama za hospital unaona bas tuu Ngoja nimalzie mkataba hÀťà ķàmà umebakia mwez unaona ni miaka 10000000000000000000000000000000000 juzi nimetoka kutundikiwa drips na çjùì naumwa ññ kumbe yote ñapitia haya YÀARB

  • @Sammhela
    @Sammhela Před 3 lety

    Kazi njema br
    Mambo
    ma3 yanayoendesha maisha ya mtu.
    👇🏿👇🏿gusa link👇🏿👇🏿
    czcams.com/video/5eCOUmJp9rY/video.html
    Natamani sana utumie dakika mbili uangalie hii video fupi.
    Naamini hutojutia