Watu Wa imbaji wanjili kwanini. Musitumie maneno hayo yabusala. Kutengeneza nyimbo nzuli. Amejieleza vizuli sana nikweli we we unaloho wamungu. Tanzania itapona kwa ajiliyako. Amen from Burundi. Tuna kupenda Sana
Zumbe Shauri kanywe kret ya soda umalize yote bill itumwe kwangu!! watu kama nyie nawapenda sana!! Mungu akutunze mwaya ningeongea mengi juu yako ila nakuombea Allah akutunze!!
Makonda pambana mpaka mwisho wako...Maana hii ni safari ndefu sana tena mapambano makubwa sana .....M/mungu akulinde na akusimamie katika jambo hili la kuzuia Ushoga
kwa walio wa rohoni watakuelewa vizuri Mheshimiwa.....mbele ya Mumgu aliye amiri jeshi mkuu hakuna kujikaza kiume.... na kama ulivyosema baada ya ibada huwezi elezea kilitokea nini
Hassan!! Pole sana nilifikiri unaweza kuwa mtu. Mwenye busaraha na hekima katika hili, yaani unaanza kuleta na maeno ya dini ya kweli au unataka nikukumbushe kuwa we we ndio umepotea? Hebu soma vizuri quarn yako mtume wako Mohammed anaulizwa juu ya hatima yake na wafuasi wake anasema yeye hajui mwisho wake ni nini na Hata wamafuata hajui anakowapeleka na akatoa ushauri kuwa juu ya hilo waulizeni wenye vitabu yaani( Wakristo). Pili Allah unayemuita mungu wako kwenye huyo quaran anasema "naapa kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi" kumaanisha kuwa yeye si mungu muumbaji, jitambue uache kukashfu imani za wenzako tunaijua zaidi imani uliyo nayo. Mungu tunaye muabudu wakristo yeyw mwenyewe anasema " naapa kwa nafsi yangu" ikijitambulisha kuwa yeye ndie. Juu ya utume wa Mohammad na Yesu Kristo, Yesu Kristo alitumwa na Mungu toka mbinguni na kisha baada ya huduma yake ya miaka 3 na nusu akafa akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akapaa mbinguni alikotokea mpaka yu hai . Mohammad wako wewe alizaliwa akajiita mtume akaoa na akawakiri kutokujua mwisho wenu akafa na akazikwa hadi leo yumo.kaburi. Nikushauri tu Mr. Hassani ulitakaiwa utoe maoni yako tu pasipo kujihesabia haki kwenye imani yako ambayo inakuambia pepo yenu mtakuta kila mmoja ameandaliwa wanawake wa kutosha, hiyo pepo yenu ni ya uzinzi kwa hiyo Hata sasa mnafanya maandalizi juu ya kuingia kwenye hiyo pepo. Wakristo Yesu alituweka wazi kanisa akasema mbinguni hakuma kula, kuoa, wala kuolewa maana wote tutabadilishwa na kuvaa mwili wa utukufu. Jitahidi sana Mr. Hassani kuwa mtaraabu juu ya imani za watu wengine. Na Mungu akusaidie
Ubarikiwe sana Mh mkuu wa Mkoa na Hongera kwa kutambua kwamba sehem pekee ya suruhisho na matatizo yako ni Mungu. Hata Musa aliomba toba kwa niaba ya wana Israel na Mungu akawasamehe. Kutoka 14:1_
Mimi nahisi watu wanakuonea gere,suala la kulia kanisani halina ukuu wowote Mungu akusimamie kwenye kazi zako kama ni mapungufu wanadamu wote tunayo lkn kwa hili lakwako basi watafute lingine
Kusema kweli, zamani nlikuwa simkubali kabisa huyu mtu.ila nimemfuatilia sana nilichogundua ni kwamba huyu kaka amekulia kwenye mazingira ya maumivu ktk maisha yake.ni kama mtu ambae alinyanyasika sana.kwa hiyo amepata nafasi kubwa serikalini anatamani kuwasaidia wale wote ambao anahisi kwa sasa na wao wanapitia maisha ya kuumia kama aliyopitia yeye.anajisikia uchungu.lakini mijitu haimuelewi.
Safi sana makonda Julia kanisani kipindi cha maombi una uwenzo Wa kuzama sana ndani ya maombi jinsi roho mtakatifu anavyokutumia endelea na maombi makonda mwangalie mungu usimwangalie binadamu hawajui walinenalo
Uko sahihi mkuu, mbele za Mungu hakuna kuleta uheshimiwa, nikunyenyekea na kujikabidhi kwake akuhudumie, Ukuu wa mkoa pembeni kwanza linapokuja suala la Ibada. SAFII
Kwa mungu hakuna cha mwanaume wala mwanamke mungu ni zaidi ya nafasi zetu napenda sana kuona makonda analia kwa kuomba msaada toka kwa mungu tunakombea sana kwa mapambano makubwa mbele yako
Umeongea ukweli mno na kulia ni ishara ya kujishusha saana mbele za Mungu.
Kweli kabisa
Watu Wa imbaji wanjili kwanini. Musitumie maneno hayo yabusala. Kutengeneza nyimbo nzuli. Amejieleza vizuli sana nikweli we we unaloho wamungu. Tanzania itapona kwa ajiliyako. Amen from Burundi. Tuna kupenda Sana
mkuu mimi sio mkristo lakini nimekuelewa pili jambo unalo pigania nikubwa sana pili unavita kubwa lazima umlilie mungu wala usijali wanavyo kudisi
Zumbe Shauri kanywe kret ya soda umalize yote bill itumwe kwangu!! watu kama nyie nawapenda sana!! Mungu akutunze mwaya ningeongea mengi juu yako ila nakuombea Allah akutunze!!
Makonda pambana mpaka mwisho wako...Maana hii ni safari ndefu sana tena mapambano makubwa sana .....M/mungu akulinde na akusimamie katika jambo hili la kuzuia Ushoga
Umeonae mkuu yuko sahihi kabisa
Mungu akubariki sana ningekua karibu nawe ningekuunga bando la mwezi
Amen mtumishi wa Mungu
Waache tu wanaoongea we chapa kazi TU! Kama umependezwa hebu like Basi!
Well said comrade! Asante sana.
Nimekuelewa sana Mkuu wa mkoa. Mungu akubariki sana ktk malengo yako
kweli kabisa kaka mungu hakulinde
ameni
👏👏👏👏👏👏👏
Kumcha Mungu nichazochamarifa barikiwa. Songambele. Mtangulize Mungu wako bila Mungu minute🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asante 👏👏👏👏👏👏
MKUU MUNGU HATOKUACHA NA MUNGU NDO KILA KITU KWAKO
Amen
Nakuelewa sana...... Kikubwa Mungu akupiganie brother. Sisi tulio wa Rohoni tunakuelewa.
AMEN.
💪👌👍
May Holly Spirit keep guiding u Sir
Mungu akubaliki sana mkuu wa mkoa
Mungu akubariki ...nakuelewa
kwa walio wa rohoni watakuelewa vizuri Mheshimiwa.....mbele ya Mumgu aliye amiri jeshi mkuu hakuna kujikaza kiume.... na kama ulivyosema baada ya ibada huwezi elezea kilitokea nini
Hassan!! Pole sana nilifikiri unaweza kuwa mtu. Mwenye busaraha na hekima katika hili, yaani unaanza kuleta na maeno ya dini ya kweli au unataka nikukumbushe kuwa we we ndio umepotea?
Hebu soma vizuri quarn yako mtume wako Mohammed anaulizwa juu ya hatima yake na wafuasi wake anasema yeye hajui mwisho wake ni nini na Hata wamafuata hajui anakowapeleka na akatoa ushauri kuwa juu ya hilo waulizeni wenye vitabu yaani( Wakristo).
Pili Allah unayemuita mungu wako kwenye huyo quaran anasema "naapa kwa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi" kumaanisha kuwa yeye si mungu muumbaji, jitambue uache kukashfu imani za wenzako tunaijua zaidi imani uliyo nayo. Mungu tunaye muabudu wakristo yeyw mwenyewe anasema " naapa kwa nafsi yangu" ikijitambulisha kuwa yeye ndie.
Juu ya utume wa Mohammad na Yesu Kristo, Yesu Kristo alitumwa na Mungu toka mbinguni na kisha baada ya huduma yake ya miaka 3 na nusu akafa akazikwa na siku ya tatu akafufuka na akapaa mbinguni alikotokea mpaka yu hai .
Mohammad wako wewe alizaliwa akajiita mtume akaoa na akawakiri kutokujua mwisho wenu akafa na akazikwa hadi leo yumo.kaburi.
Nikushauri tu Mr. Hassani ulitakaiwa utoe maoni yako tu pasipo kujihesabia haki kwenye imani yako ambayo inakuambia pepo yenu mtakuta kila mmoja ameandaliwa wanawake wa kutosha, hiyo pepo yenu ni ya uzinzi kwa hiyo Hata sasa mnafanya maandalizi juu ya kuingia kwenye hiyo pepo. Wakristo Yesu alituweka wazi kanisa akasema mbinguni hakuma kula, kuoa, wala kuolewa maana wote tutabadilishwa na kuvaa mwili wa utukufu.
Jitahidi sana Mr. Hassani kuwa mtaraabu juu ya imani za watu wengine. Na Mungu akusaidie
Ni kweli amkimbiliaye na kumtumainia mungu hata aibika mngu atakupiginia ktk kazi yako
Mungu akulinde
Mwenyez Mungu akubariki na akutangulie
Uko sawa mzee
Fact..
Hongera Kaka umetoa elimu Kwa kila ambaye hajamjua ROHO MTAKATIFU
God bless
Uko vizuri mheshimiwa Makonda 👍
Safi sana Paul Makonda....mungu yupo
Pole mheshimiwa
nice broo
Hongera stay strong.
Asante mkuuuuuu tunakuombea
point leo kwa Mh.Makonda Paul
Kabisa i agree with you .Amen amen
Good good
Bravo mheshimiwa, halelluya count your blessing name them one by one,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
fact God bless you RC
Ubarikiwe sana Mh mkuu wa Mkoa na Hongera kwa kutambua kwamba sehem pekee ya suruhisho na matatizo yako ni Mungu. Hata Musa aliomba toba kwa niaba ya wana Israel na Mungu akawasamehe. Kutoka 14:1_
Mimi nahisi watu wanakuonea gere,suala la kulia kanisani halina ukuu wowote Mungu akusimamie kwenye kazi zako kama ni mapungufu wanadamu wote tunayo lkn kwa hili lakwako basi watafute lingine
Ubalikiwe sana kaka yangu.
Mungu yuko Upande wako,pambana Mungu Atakusaidia Nasi tunakuombea,Akulinde Akutie Nguvu.
Kweli kabisa baba makonda nakupenda sana hakyamungu mungu akulinde sana
Kweli kbs
Uko sawa mheshimiwa
Amen baba, aisee umesema kweli baba
Upo sahihi sana mkuu
Natamani ungekuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya God bless you
Mkuu NAKUKUBALI, bless bro.
Kusema kweli, zamani nlikuwa simkubali kabisa huyu mtu.ila nimemfuatilia sana nilichogundua ni kwamba huyu kaka amekulia kwenye mazingira ya maumivu ktk maisha yake.ni kama mtu ambae alinyanyasika sana.kwa hiyo amepata nafasi kubwa serikalini anatamani kuwasaidia wale wote ambao anahisi kwa sasa na wao wanapitia maisha ya kuumia kama aliyopitia yeye.anajisikia uchungu.lakini mijitu haimuelewi.
saitoti saitoti sana
pole sana mkuu wa mkoa
100% ni kweli kabisa.
Amina baba Mimi nakuombea uzidi kumtumikia Mungu
Fact sanaa mh
Amina sana Makonda mtukuze mungu wako mwanadamu Ananini
Mungu azidi simama na wewe Mkuu wa Mkoa
Amen
Mungu aendelee kukusimamia
Mungu akuongoze mkuu wa mkoa.
fanya kazi kaka mungu akutangurie na atakurinda
Mwenyezi Mungu akujaze nguvu zaidi mkuu uendelee kupambana na hao wakupingao
Unalilia taifa lako kweli baba roho mtakatifu amina mimi nakuelewa roho mtakatifu
Safi sana mkuu
Kaka Paul nimekuelewa umevunja gospel ya maana sn lazima majibu mazuri yaonekane
ww mtangazaji hauna vya kuuliza,muache mkuu apige kazi kulia kanisani ni njema
Safi sana makonda Julia kanisani kipindi cha maombi una uwenzo Wa kuzama sana ndani ya maombi jinsi roho mtakatifu anavyokutumia endelea na maombi makonda mwangalie mungu usimwangalie binadamu hawajui walinenalo
Nimekuelewa sana baba
Wewe mshikilie Mungu baba, achana na watu wa dunia
Kwani kulia ni jambo la kushagaza Tz nanyi mko na mambo...Mungu asimame na wewe mueshimiwa umalize kazi ya mashoga salama
Mwenyezi Mungu akusimamie
amina mtumishi nimekuelewa vizuri sana
Nimekuelewa Sana Mh Paul Makonda. Mungu akupe nguvu zaidi inshaallah 🙏🙏🙏🙏
Pole sana ndugu yan kwanza unavyo ongea namm nalia wallah pole sana mungu akusimamie katka vitu vyote unavyo fanya inshaallah
Mungu azidi kukupigania kaka yangu ni bora kulia mbele za mungu kuliko kumlilia binadam asiyejua thaman ya binadam mwenzie mungu akutangulie
Mungu akutumie kweli mkuu wa mkoa umenena ambayo wachache sana watakuelewa
Nice talk..very deep mh Paul
Mhhh
Kulia inaonesha how strong a guy is..bravo RC
kwa hapo nmekuelewa mkuu
Ulishukiwa na Roho Mtakatifu, kwa macho ya nyama wanaona kama unalia, kwa macho ya rohoni ulikuwa umezama kwenye maombi mazito, ubarikiwe sana
Uko sahihi mkuu, mbele za Mungu hakuna kuleta uheshimiwa, nikunyenyekea na kujikabidhi kwake akuhudumie, Ukuu wa mkoa pembeni kwanza linapokuja suala la Ibada. SAFII
Sawa kabisa hata mie nkiendaga mbele za Mungu wakati naomba nkakumbuka mema aliyonitendea najikuta nalia tu. Nimekuelewa mkuu
mungu ndie kila kitu tuko nyuma yko
Kwa mungu hakuna cha mwanaume wala mwanamke mungu ni zaidi ya nafasi zetu napenda sana kuona makonda analia kwa kuomba msaada toka kwa mungu tunakombea sana kwa mapambano makubwa mbele yako
Na kwa nguvu za Mwezi Mungu utashinda
duuuùh .hapo sawa..mkuu acha kuyasikiliza maneno ya watu..we piga kazi ..
Kweli kabisa mheshimiwa embu wakuache tu coz hao wanakusema hawana imani na mungu
Uko sahihi Makonda
Wa tz tuna kasoro ya kuona udhaifu tuu mnaniboa sana #kwenye vitu vya maana tumuunge mkono sio kila kitu ni kupinga tu
#piga kazi brother
Nimekukubali Baba
Excellent Mr RC. Hilo jibu ndilo linalofaa sana kupita majibu yote ambayo hao walitegemea. Nimefurahi sana mkuu. Mungu akubariki sana.
Hapo ni kweli kabisa. Mkuu upo sahihi.
Piga kazi muheshimiwa tuko pamoja
Mungu akusaidie Makonda. Hakuna kosa kulia kanisani.
Mungu atakusaidia isaya anasema usiogope
mbele za mungu lazima ulie uwepo Wa mungu unanguvu sana
Mtu yeyote mwenye imani ya kweli zalima hisia ina kuja mbona masheik wetu wana lia wacheni maneno yenu
Ubarikiwe sana kwa utumishi kwa wasio elewa hawataelewa maana ya kulia
Hakika baba, kama sio Mungu usingekua hapa
Kweli kaka
Somo la roho mtakatifu hilo mkuu kukuelewa ishu sana.
🙏🙏🙏🙏well said
Mungu aendelee kkusaidia kutambua kuwa pasipo yeye hakuna linalowezekana.
(Yohana 15:5 )
Hakika
Wewe umemulilia mungu na c binadamu, sababu unapigana na vita kubwa mno, ucjl pia unahofu ya mungu.