TAA YA MIGUU YANGU (Official 4k video) Na F.M.Shimanyi-Kwaya ya Mt. Don Bosco- DECOHAS DODOMA
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2024
- Karibu kutazama wimbo huu ulioimbwa na
Kwaya: MT. DON BOSCO-DECOHAS
Mtunzi: F.M. SHIMANYI
Sound Eng: F.M. SHIMANYI & DUKE
Kinanda:-DUKE
Video Director: F.M. Shimanyi
Studio: CGen Pro
Mawasiliano: +255765449914
Eeee mbona raha kuiba jamn nikusali mara bili mungu ata waja Bure kunakitu atachilia kwenu Wana kwanya🎁🥀🥀
Nawapenda ❤❤❤❤ hakika fanyeni Kaz ya mungu wando zangu talata hizo 👏👏👏👏🙏
Nawapenda ❤❤❤❤ hakika fanyeni Kaz ya mungu wando zangu talata hizo 👏👏👏👏🙏 3:56
Niliungoja sana Huu🤗mtamu sanaaaa❤️❤️❤️
Nami sina hofu wala shaka..kweli wimbo huu kwangu limekuwa taa ndani ya roho kufungua mwanga ya mafanikio
Mambo ya shimanyii ndo hayooo... Waheshimiwa nimesubiria sana huo.wimbo na hatimaye Leo Iko livee hongereni watumishiii mbarikiwe
Woow what's a great composition....waimbaji mko juu,Mungu azidi kuwabariki
Huu wimbo nimeungoja Sana. Congratulations to all choir members.. you are fire
Hongera sana DECCOHAS kwa utume wa uimbaji
Big up MUNGU atukuzwe.
Wah wah ! Jesus Christ! Very nice
Waooooo! Wimbo niliusubri sanaaaaaa
Wow....Nice voices...Nice lyrics, Nice melody.
Hongereni.
Shimanyi my all time composer. Wanakwaya mmeimba vizuri, na video hii ni noma sana, nimeingoja sana baada ya kuutazama ile ya studio.
Kongole kila mmoja aliyefanya jambo kufanikisha.
finally nime upata so lovely🥰🥰👌👌
Ooh , hello choir members , thanks for this lovely , lively and lavable production.
May OUR LORD bless you always .
Hongereni sana Vijana kwa Wimbo huu taa ya miguu yangu.
Deejay Cedric representing Kenya, @fortune shimanyi, hii ni kazi safi na nimeusubiri sana❤❤❤
composition is so lit
What a nice song
Waooh it's so amazing hongera wanadon bosco❤
Fortune never disappoints, this is amazing
Mbarikiwe Kama kama ninavyo barikiwa na wimbo huu
Shimanyi umewafikia sana wanafunzi wa Vyuo
Nice song
Hongereni sana
Alleluia!!!!!. At last Taa ya miguu yangu imefika.
A song I have been waiting for like a watchman waiting for the dawn to come.
Be blessed Bro Shimanyi, without forgetting the choir with your sweet voices. Barikiweni mpaka mshangae.
I have been waiting this song for the last 3 months thanks shimanyi for this wonderful song
Sauti haziskiki kabisa saut ya kwanza iko sawa bt celewi km rekoding ndo mbaya au vp lkn haujatulia kabisa bd mnahitaji mwalim mtaften mtu anaitwa mhagama atawanoa vzr sana
Labda uko kwenye poor network, 😢 hebu nicheck kwa 0765449914 nikupe official 4k video maana wewe ndo mtu wa kwanza kukuona ukisema kuna sauti haisikiki
Kazi safi sana na tamu sana Sifa Na Utukufu Kwa MUNGU,heko sana Ndugu Shimanyi,Organist Duke na waimbaji.MUNGU awabariki sana.
Finally imeachiliwa after kungoja for long
yaani nimeungoja mpaka sasa
The long awaited song is finally out.. thank you, much love from🇰🇪
After a long wait finally we're here good job guys
Thanks to God, I was finally waiting for this drop
Nawapenda sana Wana mt.Don Bosco Mungu na azidi kuwabariki na neema zake ziwe juu yenu siku zote
Wow! Beautiful ❤️,love your songs guys.
Very appropriate for today's Sunday dedicated to the Word of God.Mbarikiweni sana🎉
Mungu awabariki sana watumishi
F. M SHIMANYI mtunzi Shupavu
Safi sana ❤❤❤
WE HAVE BEEN WAITING FOR THIS BEST MELODY FOR A LONG TIME;THANKS TO YOU.
jamani mimi napata amani sana nikiusikiliza huu wimbo asante san mtunzi na waimbaji mungu awape baraka na neema zake
Mungu amekuwa NAMI tangu zamani love the song be blessed choir sauti ya wanakatoliki sauti tamu zilizopangika❤❤
Mwenyezi Mungu azidi kuwabariki
What a Wonderful song🎉🎉🎉❤❤❤❤
Hurraaaaaayyyy, the wait is finally over ...
Mungu taa yangu ❤❤❤❤
Good work,nice voices,kudos to shimanyi and the team🔥🔥🔥✨
Aloo Mbarikiwe saana wataalam🎉🎉❤❤
Hongereni sana
Hongereni jamani..... ningependa kujiunga nanyi nipo mbali..... Wapi nota tafadhali... asante
Nawapenda ❤
Hongelini sana , Tumshukuru Mungu kwa Hatua nzuri ya Kwaya Yetu , Pia Hongeleni Wana kwaya Wote kwa Kijitole kwa Moyo Mmoja kufanikisha jambo hili , Mwenyezi Mungu awe Nanyi Daima na akawafanye Watumishi wake katika Uinjilishaji Wenu . Mbarikiwe sana
Waooooooooooooooooooooooooh jamani nilisubiri sana hatimaye nimeuona 🎉 pokeeni maua yenu wapenzi 🌹🌹🌹🌹🌹🌹by dada teddy from st. Joseph choir mwecau
Nikisikiliza huu wimbo stress zangu zakwisha mara mia kila siku🎉🎉🎉🎉🎉🎉.plz toeni ingine wapendwa.Mungu wangu shukia Hawa baraka zako ziwamiminikie kama mvua
Good song 🎉 nice information
In love with this composition,,,,, pongezi Bwn shimanyi na waimbaji
Asante
❤❤❤Thanks alot ,this song has been ringing in m mind.The song is well blended and melodious too.keep up
Have been really waiting for this hongera sana
Waaaaaauuuuuiuuuuuu❤❤❤❤❤❤
Amaizing sana ❤
Waoooooooo! Kakang shimanyi hujawahi kufanya kosa napenda nyimbo zako sana hongera sana kaka pamoja na waimbaji mko juu mbarikiwe sana
Barikiwa sana F.M.Shimanyi na timu yako Mungu akazibariki kazi zenu
mpo vizuri sanaaaa....wimbo mzuri na mmepeneza🎉🎉🎉👏👏👏
Congratulations❤
Wimbo wa matumaini,hongera sana mtunzi wa wimbo huu,na waimbaji pia Sauti nzuri mno.
Bwana upokee heshima utukufu na hizi sifa watu hawa wanakurudishia wewe na uwabariki na kuwaongezea pia uzidi kuvijaza vinywa vya watu hawa ili wazidi kukuimbia wewe
What a soft voices waaao so good one
Huna kazi mbovu mkuu, Hongera sana mkuu shimanyi for every choir sisi hatukupingiiiii
Congrats 🎉
Thanks, another trending hit in the capital city now approved 🎉
Finally,...Safiiiii
Wimbo mtamu kweli
Ninakushukuru Bwana Fortune Shimanyi wimbo mtamu kweli
hongereni sana
Incredible beautiful angelic
Av waited for this song .. at last
Nmeungojea🙌hatimaye sas…Hongereni tena na tena✨nawapenda sana❤️
Wimbo mtamu sana❤ pongezi Kwa kazi nzuri
CGen Pro haijawahi kuwa na kazi chafu Congrats Shimanyi Congrats Duke Congrats DECOHAS kwaya TEAM 🔥 🔥 🔥
Nawapenda sanaaaaa nilisbr sanaa hongerenii
Waoooh na batimaye baada ya kuisubiri sanaa 🎉 ubarikiwe sana kaka Shimanyi kwa utunzi wako mtakatifu wa nyimbo za catholic cCGEN Pro ni motoo
Nimengoja huu wimbo jamani,asanteni sana
I waited for long
Lakini ni God Manze imefika ❤❤❤😊
Wimbo tamu Sana hongera na mungu awabariki
Waaaoh nice song..... hongera sana Mwalimu
Am blessed Kwa kwel, hongereeni sanaaa jmniiii 🎉🙌
Hatimaye baada ya kusubiri kwa hamu. Hongera kazi nzuri
nice one
Waaaooo hongereni sana wimbo mzur
Love the voices❤❤❤❤❤
Finally, nimeusubiri sana❤❤❤❤
Waooh😘😘🌷🌷🌷🥀🥀🥀
Baraka kwetu
Waoooooooo🎉🎉🎉🎉🎉
🎉hit🎉🎉
Baada ya kipande kidogo kuishia patamu hatimaye nzima imepatikan
Thank you Shimanyi🎉🎉Thank you DECOHAS❤❤🎉🎉
Hongereni sana mmependeza mnooo
Finally, taa ya miguu yangu
Woooow at last it's out. I have been waiting all along.
What a great song........
Mr Fortune Shimanyi Mungu akubariki tena sana
❤❤❤❤ kazi nzuri kaka mkuu
Safi sana.
Wimbo mzuri
Wow finally out. Mungu awabariki
Finally
Safi❤