ASHUKURIWE MWENYEZI
Vložit
- čas přidán 3. 11. 2023
- Waimbaji: Friends of Eddo
Mtunzi: Ray Ufunguo
Audio Production: Essence Productions
Video Productions: RAJO Productions
Organist: Ray Ufunguo
Karibuni kutazama kazi hii njema iliyoandaliwa na Producer Eddo kutoka Essence Productions akishirikiana na Ray Ufunguo wa RAJO Productions.
RAJO Productions inajivunia kumlea na kuweza kumpata Producer mwenye kiwango kizuri kabisa, Tumpokee Eddo kutoka Essence Productions.
Mungu arubariki sote - Hudba
Tiktok imenifikisha hapa..hongereni nimepata wimbo wangu wa siku yangu ya kuzaliwa mwezi huu wa November...mwanzo wa mwaka hadi mwisho wake ni Mungu ..
Me toooo😂😂😂
Mungu azidi kukubariki
Me too it's such a blessing song. I celebrate my birthday with this song. So elevating 🙏
@@philipmshote7485 happy birthday
@@rajopro amina
Wimbo mzuri sana wa kumaliza mwaka ❤❤❤❤❤Ray Ufunguo huu mwaka umetupeleka na rieng ❤ .. Mungu na akuzidishie mwaka ujao 🙏🙏🙏🙏
Well coordinated, instrumental and movement match perfectly well.If I wasn't an Adventist, I 'd be a catholic faithful. Beautiful composition 🥁🥁🥁💯🎶🎤
Everytime someone likes this comment I'll be coming back to listen once again. I'm blessed big time.
Who is here 2024....a blessing song
Wimbo mtamu wenzangu mmiminiwe baraka tele...@Ray unafanya kazi njema
Tiktok pushed me hadi huku😂 ndo nishafika tayari kupokea hizi baraka jamani 🙏🙏
I came across this oh-so wonderful song yesterday (Saturday), Jan. 27, 2024 through TikTok video and fell instantly in great love with it. Listening to this special song, I felt over the moon and felt like all my burdens were taken away from me. Then I decided to share it with some of my fellow DRC 🇨🇩 people. I'm really happy that all of them have come back to me with many words of thankfulness and praise for the Lord for this song. I say thanks a million to those who have come up with ideas of writing such an absolute wonderful song. I don't know if you are from Tanzania 🇹🇿 or Kenya 🇰🇪 but I would like to say: Asante sana ju ya nyimbo hii (Ashukuriwe Mwenyezi). 🔥🔥🔥🔥💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖💖🙏🤝🇨🇩🤝🇹🇿🤝🇰🇪
Thank you so Much. This feedback is an amazing one. We are happy for you and your friends. The song is from Tanzania, and the song writer is also from Tanzania.
May God keep on Blessing you.
Ray Ufunguo proves to be my favourite Catholic Artist, I really love your songs, keep going, we sing most of your songs in my church. Thanks for always blessing us with your heavenly songs, Mungu akujalie uzidi kumtumikie, Amina 🙏🙏
Ray Ufunguo and Lawrence Kameja,,,,, any time
From tiktok to here..❤❤
Ashukuriwe mungu 🙏
Nzuriiiiiiiii❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ Mungu awalinde Muendelee kumtukuza milele
Amen. Barikiwa sana
Ray Ufunguo has really been putting sme crazy efforts in his compositions, much respect to the dude
Tulio rudia malambili mbili taratibu mnanikanyaga kwaupendo wakristo tumtumikie nakuwajibika mpaka kieleweweke 🙏🙏
Huu wimbo umeweza nawaombeeni na mbarikiwe nyote..kazi safi tena zaidi
Asante sana, ubarikiwe sana
Wimbo mtamu ulio na baraka..hongera 🎉
Shukrani sana
asante bwana wa mbingu,, ni wewe unajua Siri za moyo wangu,,, asante Kwa umbali umenitoa na Nina imani nitamaliza salama,, glory to the most high
Uzidi kubarikiwa
I wish the song could extend abit longer.....i cant get rid of it playinh it again and again you bless us soo much Ray may God bless you and congratulations
Ubarikiwe sana
Wimbo nimeupenda sanaaa!yani sitosheki kuwusikiriza naurudia mpaka
Wooow!! Mtamu sana ,binadamu twastahili kushukuru mungu Kwa ulinzi wake Hadi mahali tulipo siku ya Leo.
Asante sana kwa kutazama
Kweli kilindi cha moyo wangu kimejaa maneno ya kushukuru mwenyezi. A blessing it is
Uzidi kubarikiwa
Sina neno zaidi ya kusema nawapenda na mungu awabariki kila siku ya maisha yenu
Uzidi kubarikiwa
This is the best song I’ve listened to today. Hongereni sana!👏👏👏♥️♥️♥️♥️
Ray🙌🙌🙌
Thank you so much
What more can we say kama sio kumshukuru mwenyezi.
A beautiful piece. Congrats RAJO PRODUCTIONS. 👏👏👏
Thank you
Nikiona Ray Ufunguo, Najuanga hapo kuna wimbo.
Mungu akupe maisha marefu Ray. Ubalikiwe na Bwana.
Vijana wa siku hizi wanasema huna dhambi hata moja.
Asante Mungu wangu nakushukuru...usiku mchana,mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wake..ni Mungu akatie juu ananilinda..
Waauu such a beautiful blessing song.
Thanks Team
Asante mwenyezi Mungu tangu mwanzo wa mwaka Hadi Leo nashukuru 🙏🙏🙏
Asante sana na ubarikiwe
No matter how many times I listen to this song. So sweet, so smooth. All praises to the Most High God. Well done team Rajo. You lead and others follow. Much love from Kenya
Yaani huu wimbo sichoki kuuskiliza❤️❤️❤️
Very true
Proud to be catholic napenda hii nyimbo sana inanipea furaha Kila tyme ❤❤❤
Ak vile nmetafuta hii song since jana nlivyotoka church after kuisikia kwa statuses karibu niachane nayo lakn moyo unakataa and finally am here with it...truly it's God who secures us🙏
Wimbo mzuri Sana, thanks to Ray Ufunguo for active participation in supporting unity among the Christians.
Wimbo mzuri inamfanya kila anaesikiliza azame ktk kutafakari ukuu wa mungu 🥀🥀🌹🥀🥀❤️ mungu azidi kuwafamya baraka ktk kazi yenu🙏
Barikiwa sana
May the Almighty God bless you guys. You are amazing😍 lots of love from +254❤❤❤❤
Ray siku zote huwa anatoa kazi Bora na Bora zaidi 🎉🎉❤❤
Shukrani sana
This is beautiful. One of the best from Rajo this year ❤❤🎉
Thank you so much
ASante sana mtunzi wa huu wimbo na waibaji kwa ujumla ❤❤❤ nimependa sana. kama muimbaji pia nafeel kubarikiwa.
Proud to be a Catholic.
A great piece of work.
God bless you for evangelizing through holy music.
Very nice song may our Lord God bless you Good people,,sauti nazo,waaaaauuuu
Kwaya ilipilkwa ikaiiva hizo sauti🔥🔥🔥🔥 weldone my Catholic sisters n brothers... beautiful song.🥰🥰🥰🥰
Jamani napenda sana nyimbo zenu
Asante sana
Kilindi cha moyo Wangu kimejaa maneno ya kumshukuru mwenyezi. Hakika tunapaswa kumshukuru Mungu kila wakati kwa makuu yote anayo tutendea.
My favourite jam of 2024, always on repeat mode... So blessing.
Be blessed
Me too, I don't know how many times I play it
Nani kama Mimi sitosheki kamwe na wimbo huu❤️❤️❤️
Kweli aimbae husali mara mbili, jamani mungu azidi kuwabariki awape nguvu muimbe miaka yenu yote, I wish mngekuwa kenya ningewajoin huu wimbo ndio my daily anthem
Just as his name suggests, Ukweli Ray Ufunguo anatufungulia mlango wa mbinguni through his songs. Thank You so much Ray, I hope you see this comment
Asante sana. Mungu azidi kukubariki
I am humbled 🥰☺, Thanks so much@@rajopro
Nice song that's why I love my Catholic church ❤❤❤❤
❤❤kameja ad your team/choir,,Sina mengi,,ni mungu tu,,,amazing what a beautiful song,,, Kilaasubuhi mpaka niimbe hio wimbo,,
Ubarikiwe sana
Pianist Ray Ufunguo ni👏👏👏👏👏👏hongera Sana. Wewe ni fundi wa ukweli Mwenyezi Mungu akuzidishie baraka. Nausikiliza wimbo huu kutoka Washington.
A radio station imenileta uku,coz they play this song everyday early in the morning
May God keep thz boys kameja and piano man alive really u guys make good music❤❤❤❤
Thank you so much
Kilindi cha Moyo wangu.....
Kimejaa maneno ya Kushukuru...
Ashukuriwe Mwenyezi..
Anayeketi kaika patakatifu....
Usiku Mchana... Mwanzo wa Mwaka Mpaka Mwisho wake....
Ni Mungu aketiye juu anayenilinda....
Midomo yangu itaimba maneno ya Kushukuru....
Asante nakushukuru Bwana wa Mbingu....
I can't get enough of this song,yaani nimeirudia since morning till now,such a nice song that has bless my entire day🙏
Be blessed
… I’m proud to be catholic. Yaani maneno yanasikika vyema, nyimbo ipo taratibu. Eeee MUNGU ENDELEA KUWATUNZA MAKUHANI WAKO🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Ray never disappoint wherever I sow him playing piano ni Mambo mazuri2❤
Shukrani sana
We need more songs like this to make earth feel like heaven
Kilimi Cha moyo wangu kimejaa maneno ya kushukuru 🎉🎉🎉🎉you can't imagine how blessed I am ...
Wimbo mtamu sana🙏ashukuliwe mwenyezi Mungu amelinda kutoka mwanzo wa mwaka mpaka Sasa , asante kwa zawadi ya maisha .....kilindi Cha moyo 🙌
My church forever ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🥰🥰🥰🥰🥰
Barikiwa sana
My mum loved this song but she died this year January rest easy my mum
Kumbe si mimi pekee naenjoy wimbo, yaani Kila moja kwenye video hii anakatika tu. Kweli ni Mungu anastahili Shukrani zetu. Ray you are God's favourite. Hiyo nayo nimeona kabisa endelea na huu moyo wa kumtumikia kabisa na akuongezee miaka mingi na heri duniani utumie kipaji chako kuleta watu wengine katika nyumba ya Bwana🙏🏻🥰, Hongera sana to the team👏👏👏👏
Nawependa sana jamani munguu awabariki napenda sana nyimbo zenu
Nashukuru sana Mary, Ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana @marymimina
Nanyi mbarikiwe zaidi🙏🏻🥰
❤
Nipo hapa nasikiliza kwa kurudia rudia mpaka mwaka unaingia🎉 happy new year 2024 in advance😊
Nimeipenda sanaaa da sielewi nisemeje hakika nashukuru kuwa mkatoliki ❤❤❤❤❤❤❤❤
We nyimbo nimekutafuta mpaka!👏👏👏🔥🔥🔥🔥tik tok😇😇😇😇😇
Likewise....nimeona tu kaclip yake TikTok na nkaja huku kutafta
Mr Ray ufunguo congratulations for hosting our sister, I respect you brother, you make me proud of being a catholic
Wimbo mtamu saana umenikumbushaa mwaka wangu wa ubadilisho kutoka ushemasi kua padree
Ongera sana
Wow! Wimbo mtamu sana. Hongereni saaaana na Mungu awabariki kwa uinjilishi wenu. Nimeshea kwa wengi 🎉🎉🎉🎉
Mungu akubariki
Hakika mungu ashukuliwe mungu muda wote pia hongera sana kwa mtunzi wa wimbo
Kawimbo katamu sana kinanipa raha sana najiona kama niko mbinguni jamani
First viwer I'm here 🎉🎉😂😂 big up sana
Barikiwa sana
❤❤I love the song, Catholic never disappoint. 🙏🙏🙏🙏💯
The love I have for this song... I'm so excited about it......... 💞💞🎹🎼
Thank you so much
Kilindi cha moyo yangu,kimejaa, maneno ya kushukuru.
Ashukuriwe mwenyezi, anayeketi katika patakatifu.
Usiku mchana, mwanzo wa mwaka, mpaka mwisho wake.
Ni Mungu aketiye juu anayenilinda, midomo yangu itaimba maneno ya kushukuru.
Asante nakushukuru Bwana wa mbingu.
Anayewaalii..sha ndege wa angani.
Ndiye anayeshusha neema
Kwa viumbe vyote.
Jua na mwezi nazo nyota za angani.
Ndiye aliyeziratibisha,(akanipaa...
Zawadi ya maisha.
❤❤❤❤
@@rajopro😅😅
Moyo wangu*
🤣🤣🤣🤣
I have being singing like this. " Kilimi cha moyo wangu"
Nice melody even though I don't understand the language
Mungu akubariki kwa wimbo mzuri! umetulia kweli! tunaomba nota zake
Beautiful song to finish a blessed 2023 and usher in another year of hope
Tiktok ndo imenifikisha huku.I love this song❤
Hakika Mungu ni mkuu sana hongereni sana kwa kazi nzuri na Yesu aishie milele awatunze
Asante sana, ubarikiwe
Kazi mzuri kabisaa echo kwa mwalimu.... He has coordinated the moves to make a presentable view.... Congratulations 🎉🎉
I don't know Swahili but the way I mastered the lyrics is amazing 🥰🥰
Everytime I see the name Ray Ufunguo, definitely the song is on point
Hongera❤❤
Thank you so much
My twin
Hongera sana sauti tamu na maneno pia niliisikia tiktok ikaniharibu kichwa mwaaa
🎉🎉🎉niice
Asante sana
From tiktok though I am not a catholic amazing song❤❤❤❤
Be blessed
Tiktok has landed me here...big up you guys
Lovely and toucheble.mubarikiwe saaana❤❤❤
MUNGU ANANILINDA ,I"M BLESSED ,BEAUTIFUL VOICES KUDOS.
I love u song my people,,,,❤❤❤❤am from Namibia,,,I love u all❤❤❤
Mungu bariki waimbaji wote na uwatunze.
Hongera wimbo huu mtamu kweli ❤❤❤❤Mungu awazidishie maarifa muweze kutoa nyimbo zaidi
wimbo mtamu na mmeutendea haki,hongereni jaman
Waoh waoh
Ray Ufunguo does it again.
Beautiful
What a way to end the year
Thanking God for everything
God bless the work of your hands
TikTok is officially the goat of social media
This is the best song I have listened to... In 2023 .. I thank God ❤❤❤❤❤
Kuimba ni kisali mara ya pili ,wimbo huu umenibariki sana....can't stop watching ❤🙏
Asante sana kwa kutazama. Ubarikiwe
Such a great piece. Aki you made it too brief....
Wow love this song ❤
Thank you
Ujumbe mzuri na wa kweli. Asante kaka Ray
Ubarikiwe
Ubarikiwe sana
Mmeimba kwa His Kali,Mungu awatunze,Nawapenda mnoo
Asante rajo you are always good to us
From TikTok mbio ❤️❤️❤️❤️❤️
Please can you translate this beautiful heavenly song to English